Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26
Gonga94 · Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

????SEHEMU YA 25*

CHUMBA CHA MPANGAJI
"" "" Njia nzima alikuwa akimuwaza Nasra tu.. Alikuwa na hasira kupita kiasi.. Lengo lake kuu lilikuwa kujua kwanini Nasra kamuua Dalali sele.??

Rehema aliendesha gari kwanguvu sana..
Alifika hadi nyumbani kwa Saidi alipokuwa akiishi Nasra na kupaki gari..

Alisogea getini na kumkuta mama Fulani anabisha hodi pia....

"" " Shkamoo mama... Kwani Nasra hayupo.???
Aliongea Rehema...

" "" Marahaba mwanangu..
Yupo ndani, nimeita akaitika nadhani anakuja..
Aliongea yule mama....

****
Kweli Nasra alifika na kufungua Geti lakini Kabla hajatoa uso kujua nani alikuwa anagonga, Nasra alishangaa anakoswa na teke usoni kisha kurudi nyuma.

Rehema aliingia ndani ya Fensi na kuwahi kumshika Nasra..

"" " Kwanini umemuua Sele.???
Nakuuliza Nasra kwanini umemuua Sele..???
Aliongea Rehema kwa ukali huku anatokwa na machozi..

" "" Rehema umetumwa kwangu.?? Au umekuja tupimane nguvu Eti.. Hembu niachie upesi kabla sijakubamiza hapa....

Aliongea Nasra na kuuchomoa mkono wa rehema uliokuwa umemshika..

Yule mama aliekuwa anagonga geti, pia aliingia ndani huku anatazama kwa makini...
"" "" Mbona ni kama ngumi zinataka kupigwa asubuhi hii... ???????? Aliwaza yule mama na kucheka kimya kimya...

"" "" Nasra kwanini umemuua dalali sele nakwambia.????
Aliongea Rehema kwa ukali tena..

"" " Rehema naomba uondoke kwangu, nadhani umetumwa wewe.. Alafu muda tu nakuonaga unanitafuta we Rehema.. Unakuja kuniletea fujo nyumbani kwangu.. Nitakufanya kitu kibaya sasa hivi...
Aliongea Nasra pia..

" "" Mavi tu wewe.. Umfanye kitu kibaya nani.?? Aliongea Rehema...
Nitakupiga mbwa wewe nikuvunjevunje hiyo miguu yako kama spoku ya baiskeli mshenzi wewe..
Aliendelea kuongea Rehema..

"" "" Rehama nani anamguu Kama Spoku.?? Umetumwa kwangu leo.???
Sasa ngoja nikuonyeshe mshenzi wewe...

Nasra aliongea kisha kufungua kitenge alicho jifunga na kubaki na Taiti tu,
Nasra alikunja ngumi na kukaa sawa tayari kwa kukabiliana na Rehema..

Rehema alikunja ngumi pia na haraka alimfuata Nasra na kumtupia ngumi kama nne mfululizo ila zote Nasra alizikwepa..

"" " Nasra alirusha teke na kumkanyaga Rehema shingoni...

Rehema alipepesuka karibu adondoke..

Yule mama alikuwa pembeni anashangaa tu mkono unaopigwa pale..

Nasra alirusha tena teke lakini alimkosa Rehema..

Nasra alianza kurukaruka kama mchina kisha kukunja vyema ngumi...

Nasra aliruka na kumshika Rehema Shingoni.. Rehema alikabwa hadi mishipa ilimtoka.. Macho yalimtoka makubwa na mekundu sana..

Rehema alijikaza hadi akauondoa mkono wa Nasra shingoni kwake..

Kwa harka Rehema alirusha ngumi mbili na teke zito lililotua tumboni kwa Nasra....

Nadhani Nasra aliisikia ile teke tumboni kwasababu alijikunja na kujishika tumbo...

Rehema alitumia nafasi ile kurusha teke jingine lililotua vyema kwenye shingo ya Nasra...

Nasra alidondoka akiwa ameikamata vyema shingo yake huku analia.
Aliinua uso na kumtazama Rehema kwa hasira sana..

Rehema alisogea karibu na Nasra na kumkanyaga tena mgongoni kisha kumwambia..

"" " Kuwa makini binti.. Aliongea Rehema..

******
Muda huo Gari la Polisi lilikuwa limefika kwa Saidi ili kumkamata Rehema kwasababu ya kosa la kuvunja mlango wa mochwari....

Polisi walisukuma geti na kuingia..

Walikuwa wanaongozwa na Mkuu wa kituo cha Central pale mjini...

Askari walitangulia ndani na kumshika Rehema kisha kumfunga Pingu..

Wakati huo Nasra alijikaza na kuinuka kisha kujifunga kitenge vizuri...

Mkuu wa kituo yeye alikuwa wamwisho kuingia..
Alifika ndani na kukuta Rehehema ameshafungwa pingu..

"" "" ""
Yule Mkuu wa kituo alivyomuona tu Rehema.. Upesi aliweka miguu yake sawa na kupiga Saluti kisha kutoa Amri ya Rehema kufunguliwa pingu....

Askari walishangaa ni vipi Mtuhumiwa anapigiwa Saluti na Mkuu wao wa kituo...

"******
"" "" Samahani mkuu sikujua kama ni wewe.. Aliongea mkuu wa kituo cha polisi huku anamtazama Rehema..

"" " Mfungeni pingu huyu binti nimkute kituoni...
Aliongea Rehema na kumfuata yule mama aliekuwa amesimama pembeni anashangaa tu..

Wale Askari walimfunga pingu Nasra na kuondoka nae...

Rehema alimsogelea yule mama na kumshika mkono kisha kuingia nae ndani...

*SEHEMU YA 26*

******
"" " Mama ulikuwa unasemaje.??
Aliongea Rehema..

"""" Mwanangu mimi ni mama yake Saidi, nimekuja kumuangalia Mwanangu..

Mwanangu Saidi alikuwa anaumwa lakini siku mbili tatu hizi nasikia hakuonekana..
Ndiomaana nimekuja ili nimuulize huyu binti....
Aliongea yule mama....

" "" Mama, mwanao yupo kwenye mikono salama.. Usiwe na hofu mwanao yupo kwenye uangalizi wangu kwa sasa...
Nakuomba unielewe..

Kwasasa naomba ubaki hapa nyumbani kuangalia nyumba na usiku nitakuja mimi na Saidi hapa,
Kwa sasa saidi hawezi kuonekana Mchana hata mara moja..

Aliongea Rehema na kuinuka kisha kuondoka zake..
Yule mama alibaki anatumbua tu macho bila kuelewa nini kinaendelea...

**********
***
**********
Gari lililombeba Nasra lilikuwa linatembea upesi sana hadi likafika kituoni...

Nasra alishushwa na kuingizwa Sero akiwa na kanga moko yake..

Askari walitoka akabaki mkuu wa kituo ndani ya Sero huku anamtazama Nasra...

***
"" " Binti, unapigana na yule dada unamjua ni nani.???
Mbona nyie watoto mnajitafutia matatizo makubwa kiasi hicho.????
Aliongea mkuu wa kituo huku anamtazama Nasra....

" "" Kwani wewe unanijua mimi ni nani.?? Aliongea Nasra huku anamtazama mkuu wa kituo kwa dharau..

"" " Sihitaji kukujua sana.. Lakini yule dada uliekuwa unapigana nae anaitwa "Rehema Gwandu"
Yule dada ni mkuu wa Usalama wa Taifa kwenye kanda yote hii ya kati...

Viongozi wote wa usalama wa taifa hapa Dodoma na mikoa mingine ya kanda ya kati wapo chini ya yule dada...

Tena Siyo dada, yule ni mmama kwasababu anaumri mkubwa sana, pia anae mtoto mkubwa tu..
Aliongea Mkuu wa kituo..

Nasra alibaki kutumbua Macho tu kwasababu hakujua kama Rehema ni mtu mkubwa kiasi kile..

Kumbe hata yule mzee ambaye Alimpeleka Saidi kule bondeni, alikuwa na cheo kidogo sana kwa Rehema..

"" "" Mbona hakuniambia sasa.??? Aliongea Nasra...

"" " Akwambie ili iweje..???? Unadhani hizi ni kazi za kuuza karanga kila mtu akujue..
Yaani kupata kazi kubwa kama hii siyo rahisi.. Wewe ulikuwa na kitambulisho tu lakini hukuwa na kibali cha kukuruhusu kufanya opareshen kubwa za kimataifa..

Mkuu aliamua akuchunguze yeye mwenyewe... Nadhani kuna madhaifu yako aliyaona..

Aliongea mkuu wa kituo kisha kuondoka zake na kulifunga lile Sero...

********
********

Rehema alifika kwemye jengo la NSSF kisha kuingia ndani na kwenda kwenye ofisi namba 25 anapokuwaga yule mzee anaepokea wageni....

Mlango ulifunguka kisha Rehema akaingia ndani..

Mzee alisimama na kupiga Saluti kwa heshima mbele ya Rehema..

"""" Nahitaji kuonana na Saidi usiku wa leo.. Aliongea Rehema na kuondoka zake...

Rehema alipanda gari na kurudi nyumbani kwake..

Rehema alifika nyumbani na kuoga kisha kujipumzisha..

*****
Alikuja kuamka saa kumi na mbili kasoro jioni..

Alishika simu yake na kukuta Missed call kama mbili,,
Alizifungua na kutazama.. Alikuwa ni mama yake...

Rehema alimpigia mama yake na kumuelekeza taratibu zote za Msiba na kuwaambia kuwa kesho mwili utapelekwa na Ambules ya Hospitali ya mkoa...

Mama yake Rehema alishukuru kwa msaada alio utoa binti yake,
Yule mama alikata simu kisha kutoa taarifa kwa ndugu wengine...

*********
*********
*
*
Rehema aliingia kuoga na kuvaa kisha kutoka...
Muda ulikuwa umeenda na ilikuwa ni saa moja na nusu Usiku...

Rehema alienda kambini ili kumchukua Saidi...

****
Alifika na kukuta Saidi ameshafikishwa ofisini kwa yule babu...

Rehema aliingia na kusalimiana na Saidi...

"" " Shkamoo mwalimu.. Aliongea Saidi huku anamtazama Rehema kuanzia juu hadi chini...

" "" Marahab. Haujambo Saidi...
Nimekuja kukuchukua mara moja kuna sehemu tuende,
Aliongea Rehema...

""" Sawa. Alijiu Saidi kwasababu alishajua kuwa na Rehema ni afisa wa usalama pia..

Yule mzee alipiga Saluti na kuwaaga..

Saidi alishangaa kidogo na kujiuliza imekuwaje hadi mzee apige saluti kwa Rehema..

"" ****

Waliondoka na kurudi nyumbani kwa Rehema..

Walifika na kumkuta mtoto wa Rehema amekaa Sebuleni anajisomea..

Baada ya mtoto kumuona mama yake, alifurahi na kumkumbatia..

***
Muda huo Saidi alikuwa amesimama anamshangaa tu yule mtoto jinsi alivyo Fanana nae...

"" " Mbona nimefanana sana na Huyu mtoto.??? Aliongea Saidi..

" " Ni mwanao, alijibu Rehema na kumkumbatia Saidi huku analia...

****
Saidi Wakati unasoma umesahau kama uliingia kwenye mahusiano na mimi mwalimu wako.???
Basi kipindi kile ulinipa mimba.. Na baada ya wewe kumaliza tu shule mimi nilipandishwa cheo na kuacha kazi ile ya kufundisha..
Aliongea Rehema.....

*
Saidi alimshika mtoto yule mwenye miaka kama Tisa hivi na kuanza kumtazama huku na yeye anabubujikwa na Machozi..

Offer offer offer
Soma yote kwa sh 800
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI 25---26


????SEHEMU YA 25*

CHUMBA CHA MPANGAJI
"" "" Njia nzima alikuwa akimuwaza Nasra tu.. Alikuwa na hasira kupita kiasi.. Lengo lake kuu lilikuwa kujua kwanini Nasra kamuua Dalali sele.??

Rehema aliendesha gari kwanguvu sana..
Alifika hadi nyumbani kwa Saidi alipokuwa akiishi Nasra na kupaki gari..

Alisogea getini na kumkuta mama Fulani anabisha hodi pia....

"" " Shkamoo mama... Kwani Nasra hayupo.???
Aliongea Rehema...

" "" Marahaba mwanangu..
Yupo ndani, nimeita akaitika nadhani anakuja..
Aliongea yule mama....

****
Kweli Nasra alifika na kufungua Geti lakini Kabla hajatoa uso kujua nani alikuwa anagonga, Nasra alishangaa anakoswa na teke usoni kisha kurudi nyuma.

Rehema aliingia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-25-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji
CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9
CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2
CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 29--30 final season one
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI 10
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
CHUMBA CHA MPANGAJI 21---22
SEHEMU YA 23  CHUMBA CHA MPANGAJI
SEHEMU YA 23 CHUMBA CHA MPANGAJI
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

625
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

272
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

191
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

176
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

168
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

164
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

161
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

148
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

140
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

129

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.61K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.35K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.75K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
@majario LIVE

31 MPAKA 32 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19
@majario LIVE

SEHEMU YA 7 ENDELEA.......... Wote tulipitiwa na usingizi mzito. Tuliamka saa kumi jioni na wa kwanza kuamka alikuwa madame. Nilistuka kutoka usingizini baada kuhisi nimeshikwa mashine yangu. "Madame" nilimuita kwa uoga. "Shiiiiii!" Alininyamazisha kwa kuniwekea...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 2 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefuata Nini hapa nyumbani kwangu? " Hili swali natakiwa nimuulize wewe Mr....

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest