????CHUMBA CHA MPANGAJI
6--7
ILIPOISHIA.....
"" " Haya mdogo wangu naomba twende nikakuogeshe..
Aliongea Nasra huku analia sana na kuongozana na Saidi hadi chumbani..
Walifika chumbani lakini Saidi alionekana kama mgeni kabisa kwenye mazingira yale.. Hakuwa anajua kama pale ni nyumbani kwake.. Nyumba aliyoihangaikia kujenga hadi kukamilika lakini hakuwa na kumbukumbu nayo yeyote..
"" " Karibu mdogo wangu Saidi.. Aliongea Nasra huku analia bado....
" "" " Dada chiku.. Nyumba yako nzuri. Yule muhindi alie kuacha ndio alikujengea.?? Aliongea Saidi....
" "" Hapana mdogo wangu. Hapa ni nyumbani kwako.. Tena nyumba uliyo ijenga mwenyewe kwa nguvu zako..
Hembu jaribu kukumbuka mdogo wangu hii nyumba ni yanani kama si yako.????
Aliuliza Nasra..
Saidi alitulia kimya kama mtu anaewaza jambo.. Aliangalia Gypsum ya ile nyumba na kushusha kichwa chini kuangalia Tiles kisha kuanza kucheka sana.
""" Hii sakafu mbona yamtelezo sana.. Nyumba za wahindi zinamambo mengi.. Aliongea Saidi na kuendelea kucheka..
Nasraa alijikuta na yeye anacheka tu na kumsogelea Saidi kisha kuanza kumvua shati ili akamuogeshe..
"" " Haya Mdogo wangu saidi.. Inabidi uoge ili uwe mtoto mzuri sawa jamani..
Aliongea Nasra..
Saidi aliitika kwa ishara na kuvua nguo zote...
Alishikwa mkono na kupelekwa bafuni kisha kuogeshwa na kupendeza vizuri sana..
Nasra aliingiza mkono kwenye suruali aliyokuwa ameivaa saidi na kutoa funguo za chumbani kwake kisha kwenda kumchukulia nguo za kubadilisha.. Alichukua bukta na Singlend tu kwasababu muda wa kulala ulikuwa umekaribia.
Nasra Alimpaka mafuta na kumvalisha kisha kukaa nae Sebuleni..
Saidi alikuwa amepndeza sana na ukimwangalia upesi huwezi jua kama anayo matatizo ya akili..
Lakini ukimsikiliza maongezi yake ndio utajua matatizo aliyo nayo...
Waliangalia Tv pale Sebuleni huku Nasra amemlaza Saidi kwenye mapaja yake..
Saidi alikuwa akimtii sana Nasra kwasababu alimzoea kwa jina la Dada Chiku..
Huyo chiku sijui ni nani lakini mbeleni tutamtambua tu..
Hadi usiku ulifika na Nasra alimshika saidi mkono na kurudi nae chumbani.. Saidi alikaa kitandani huku anachezea tu kucha zake kwa kung'ata na meno huku anacheka..
Nasra yeye alikuwa amewasha jiko lake dogo la gesi anakaanga chipsi..
*******
"" "" Zamani wakati tupo ujerumani kule Tokyo kwa Trump.. Niliwahi kuwa baharia.. Najua hujui na utajua tu kuwa hujui..
Unamjua baharia wewe dada Chiku au Umezoea kudanga kwa wazee wa kihindi na kuwatapeli tu.. Fala wewe ndio maana umeachika....
Aliongea Saidi huku anajikunakuna kichwa..
Nasra aligeuka na kumtazama saidi..
""" unanitukana mdogo wangu.?? Aliuliza Nasraa..
"""" Sista wewe wa damu ya kwetu siwezi kukutukana yamkini unanitunza na kunipikia pweza ili muhogo wa chang'ombe upate mzizi ulio nenepa kwa kazi ngumu ya kutifua udongo..
Aliongea Saidi...
" "" " Hahahaha. Unaijua kazi ya kutifua udongo au unaongea tu..
Nasra alicheka na kuuliza..
" "" Kuchimbua visiki kwenye shamba lenye rutuba ili kulima karanga za singida.. Tatizo dada Chiku wewe unanizarau sana mimi..
Aliogea saidi na kuendelea kuchezea mto pale kitandani..
Chakula kiliiva wakala kwapamoja kisha kulala kwa pamoja..
Muda ulikuwa haujaenda sana. Ilikuwa bado saa tatu lakini Nasra alipenda walale muda ule ili saidi aweze kupumzika kutokana na hekaheka za mchana wa siku hiyo..
**************
**************
Kweli hata saa nne haikufika Saidi alianza kukoroma taratibu kuashiria usingizi unamchukua polepole..
Nasra alichukua Shuka nyepesi kisha kumfunika mpenzi wake..
Nasra pia alivua nguo zake na kubaki na night Dres tu kisha kuingia ndani ya shuka na kumkumbatia mpenzi wake aliekuwa amelala kwa muda ule..
Nasra alijitahidi sana kutafuta usingizi lakini hakupata.. Alijaribusa kufumba macho kwa muda mrefu ila usingizi uligoma kabisa..
Nasra alijisogeza karibu kabisa na Saidi kisha kumpandishia mguu mmoja kiunoni..
Saidi hakuwa anaelewa kitu.. Yeye alikuwa bado anakoroma tu...
Nasra alijikuta hisia zinaanza kumjia na kuanza kumpapasa Saidi juu ya bukta..
Nasra alipenyeza mkono ndani ya bukta na kuanza kushika muhogo wa saidi taratibu..
Kama ilivyo kawaida.. Eneo la muhogo wa mwanaume hauna mawasiliano na sehemu ingine kabisa.. Hatakama umelala lakini ukishikwa shikwa itasimama tu na wewe upo usingizini..
Hii ilimtokea na Saidi pia. Muhogo ulisimama Ghafla hadi Nasra aliagopa na kuhisi huenda Saidi yupo macho na hajalala..
Nasraa alimvua saidi Bukta kisha kuanza kuunyonya Muhogo wa mpenzi wake kichaa.. Muhogo ulizidi kusimama hadi ulikuwa unaogopesha..
ITAENDELEA...SEHEMU YA 07
CHUKBA CHA MPANGAJI
ILIPOISHIA.....
Nasraa alimvua saidi Bukta kisha kuanza kuunyonya Muhogo wa mpenzi wake kichaa.. Muhogo ulizidi kusimama hadi ulikuwa unaogopesha..
Nasra alichukua mate kidogo na kupaka kwenye kitumbua chake kisha kuikalia mashine ya Saidi..
Mashine iliteleza na kuzama yote hadi mwisho...
"" "" Aaaaahhhhhh... Jamani myyyyyy... Uuuuhhhhhhhh..
Alianza kuguna Nasra huku anakatikia muhogo wa Saidi..
Saidi alikuwa bado anakoroma tu wakati Nasra anajihudumia..
Nasra alikatika kwa hisia sana tena akiwa anajipapasa maziwa yake yeye mwenyewe na kujiliza kama mtoto mdogo..
Ilimchukua mda sana kufika kileleni kwasababu mpira ukiucheza mwenyewe haunogi. Lazima muwe timu mbili ili kupata ladha..
Nasra alikuwa akihangaika tu kwa zaidi ya dakika ishirini hadi akakaribia kufika kileleni..
Nasra aliongeza mwendo wa kukatika kwa kujibinua na kubana kitumbua chake huku anajisugua kwanguvu sana..
"" " Nipe saidi.. Nipe my.... Uuuuhhh.. Aaaahhhhhh jamani mpenzi wangu maji yanakuja jamani nakumwagia uuuhhhhh..
Aliongea Nasra huku anajibana na kukatika kwanguvu sana...
Wakati huo Saidi pia alianza kutikisa miguu na baadae aliongeaza mwendo na kuanza kurusha mateke na kupiga kelele kwanguvu..
"" " Uuuuwwwiiiiiiii.. Radi imeshuka hiiiiyooo.... Uuuuuwwiiiii kiuno kimeteguka Dada chiku..
Aliogea saidi na kuamka kutaka kukaa lakini alikuwa ameshikiliwa vyema na Nasra....
Nasra alimziba saidi mdomo asipige kelele na pamoja walimwaga kwanguvu zote..
Baada ya kumwaga tu... Saidi alidondoka kitandani na kuendeleza usingizi utadhani hakuna kitu alicho kifanya..
Nasra alishtuka sana na kuchukua mtandio kujifuta na kumfuta saidi pia kisha kumkumbatia na kulala...
Saidi alikuwa wakwanza kuamka Asubuhi ya kesho yake.
Alishtuka kujiona uchi...
Alitazama pembeni yake na kumuona Dadaake Chiku pia kajilaza na yupo Uchi..
"""" Dada chiku Amka uone maajabu ya dunia.. Aliongea Saidi huku anajitazama mkia wake uliokuwa naning'inia tu kama wa ng'ombe..
Nasra aliamka akiwa na wenge la uchovu wa kazi nzito ya usiku na kumtazama mpenzi wake..
" "" " Unasemaje saidi.. Lala bana.. Saa kumi na moja hii unaenda wapi mpenzi..
Aliongea Nasra...
" "" Dada chiku huu mkia ujue umenisababishia nikapigwa na radi usiku.. Nimelala nikaota huu mkia wangu namuingizia Punda.. Baada ya kuingia sana.. Punda alinipiga teke alafu mkia ukapatwa na radi kisha kurusha maji mengi hadi bahari ya Pasifiki kaskazini mwa Tanzania ukajaa kisiwani unguja..
Aliongea Saidi huku bado anautazama uume wake...
Nasra akiwa bado na hasira za usingizi.. Aliamka na kumshika mkono saidi hadi chooni na kumkojolesha..
Saidi alikojoa huku anacheka cheka tu..
Alivyomaliza na Nasra pia alikojoa kisha wakaanza kuoga..
Walimaliza na kurudi chumbani.. Nasra alipika chai kisha kupaka Blueband kwenye mkate na kunywa yeye na mpenzi wake..
********
"" " Saidi.. Nitaenda kazini kuomba ruhusa. Muda wote nitakufungia humu ndani ila usije kuleta fujo sawa mtoto mzuri.??
Aliongea Nasra huku anavaa sare zake za Benk..
Alimaliza kuvaa na kutoka na saidi hadi sebuleni kisha kumuwashia Tv na kumfungia mlango kwa njee..
Nasra alifungua mlango wa gari lake na kutupia mkoba wake kisha kurudi kwenye dirisha la sebuleni kuchungulia ili kujua saidi ametulia au kuna nini anafanya..
Kabla hajafika dirishani, Nasra alisikia mlango wa geti ukigongwa.
Taratibu Nasra aligeuka na kwenda geti.. Alifungua geti na kumuona mmama fulani akiwa ameongozana na Dalali Sele..
Aliwakaribisha na kuingia ndani..
"" " Samahani binti.. Mimi naitwa Mama Habibu.. Ni mama mzazi wa saidi, nilimzaa Saidi na kaka yake Habibu. Wapo wawili tu kwenye kizazi changu...
Nasikia mwanangu anayo matatizo..
Aliongea yule mama...
" "" "" " Ooohh... Karibu sana mama yangu.. Karibu ndani.. Aliongea Nasra na kufungua mlango..
Saidi baada ya kumuona mama yake na dalali tu aliinuka na kuanza kutukana kisha kupiga hatua kuelekea ndani..
" "" Wachawi wa mozambiki mmekuja.. Wewe mkaka mwanga kupita kiasi. Umeanza kumfundisha na bibi mwenda uchawi....
Aliongea Saidi huku anaondoka na kumnyooshea Sele kidole..
Yule mama aligaragara chini na kuanza kulia baada ya kuona hali ya mwanae.
Dalali na Nasra walisaidiana hadi kumtuliza mama na baadae Nasra aliingia ndani na kumuita Saidi...
"" " Mdogo wangu.. Kama unaniheshimu nakuomba twende sebuleni ukamsalimie mama..
Siunanipenda au hunipendi mimi.???
Aliongea Nasra huku anamshika mkono Saidi aliekuwa amekaa tu kitandani anatikisa kichwa utadhani kuna mtu kamuudhi sana..
Saidi alisimama kwa heshima ya Nasra na kutoka nae hadi sebuleni...
Waliketi kwenye kochi ila Saidi alikuwa akimtazama Dalali sele kwa hasira sana..
"" "" Mdogo wangu tulia.. Hawa ni watu wema tu.. Hawawezi kukudhuru..
Aliongea Nasra akimtuliza Saidi..
Wakati huo Dalali sele alikuwa akimkonyeza mama yake saidi ashuhudie kiasi gani mwanae anamuheshim mwanamke yule..
"" "" Binti... Mimi naenda.. Nakuomba sana unirejeshee mwanangu kwenye hali yake ya Mwanzo.. Nakupa siku saba. Tofauti na hapo utanijua mimi ni nani...
Nyie mabinti wa mjini mnajidai mnajua kuchezea watoto wa watu kwa kuwaloga ili mmiliki mali zao.. Sasa kwa huyu Mgongo wa Dodoma naomba usahau hilo.. Mali ya mwanangu hakuna mpuuzi wa kuichukua.. Nakupa siku saba mwanagu arudi kwenye hali yake..
Aliongea yule mama na kuinuka kuondoka zake....
ITAENDELEASEHEMU YA 08
Full 1000
Whatsp 0784468229.