MPENDA NDEFU 08 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+
ENDELEA........
Tulizagamuana kwa mda na mpaka tunakuja kumaliza kila mtu alikuwa hoi, tulilaliana kwa kukumbatiana na Juma aliongea.
"Baby ivi umeshawahi kufir***n**!?"
"Bado kwanini!?"
"Mbona nikikuangalia naona kama tayari my!?"
"Bado sijawahi na haitakaa itokee kabisa!"
Niliongea na kuutoa mkono wake uliokuwa kwenye makalio yangu ili asije kuingiza kidole bure na kuangalia kama nimeshawahi au bado, kiufupi sikutamani kuona akinila tigo yangu hasa kutokana na ukubwa wa mtalimbo wake ulivyokuwa, ni lazima maumivu ningeyasikilizia tu na huenda angeniharibu kabisa Juma!
Basi niliondoka bira kuoga na kurudi kwenye getto la dada Eliza na kumkuta akiwa kakaa nje ya mlango wa chumba chake.
"Ulikuwa wapi Happy!"
"Nilienda kuchangamsha akili kidogo dada!"
Nilisogea mlangoni ili niingie ndani na mwenzangu aliisikia harufu ya mambo ya kikubwa!.
"Mmmmmh huwezi kunidanganya Happy unaonekana umetoka kufanya mapenzi!?"
Sikutaka kumficha zaidi ya kumkubalia kuwa nimtoka kwenye mizagamuo.
Niliingia ndani na kujifunga kitenge na kwenda kuoga.
Baada ya kumaliza tulikaa na kuanza kupiga story huku akiniuliza kunipepeleza vizuri mwanaume niliyetoka kufanya naye, sijui mdomo wangu ukoje tu jamani! nilijikuta nikimwaga sifa zote za Juma kwa kumwambia dada kuwa Juma anamtalimbo mrefu na anajua kukuna vizuri.
"Heee! kumbe na wewe unapenda ndefu Happy!"
"Sio sana dada mhimu awe anajua tu!"
"Ngoja nikuibie siri sasa shemeji yako naye ana ndefu mpaka raha, ndiyo maana niliamua kumleta hapa kwangu na kuamua kuishi naye ili tu awe ananikuna vizuri!"
Sikushangaa kwa alichoniambia dada maana wote tumezaliwa tumbo moja hivyo wote tulikuwa wapenda ndefu japo nilimficha kwa kumwambia napenda mwanaume anayeyajua mambo lakini ukweli halisi hatakama anayajua ila urefu wa mtalimbo ni mhimu, mtanisamehe tu mamen wenye vibamia jamani! mimi furaha yangu ni ndefu jamani ndivyo nilivyo na sio kwamba nawadharau ila tu napenda ndefu.
Basi tuliongea mengi na dada huku akimmwagia sifa shemeji kuwa anayajua, mda huo huo nilipigiwa simu na John na niliishia kuiangalia tu pasipo kuipokea.
Baada ya mda alinitumia ujumbe akitaka kuonana na mimi na akiniuliza nilipo ila sikutaka kumjibu zaidi ya kumkaushia tu! nilitaka kuanza upya na kukata mazoea na familia yao maana kila kitu kilikuwa kimeshaharibika tayari kutokana na fumanizi la kusagana nililolipata nikiwa na Mke wa Boss.
Basi dada alinishauri nifungue kibanda cha kuuza matunda ili kinisaidie kusogeza maisha wakati huo napalangana kutafuta kazi yenye mshahara mzuri, wazo lake nililipenda na nilianza kulifanyia kazi siku iliyofata kwa kutafuta eneo na baada ya kupata nilitafuta fundi wa kunitengenezea kibanda cha matunda.
Kibanda kilikamilika na kilichokuwa kimebaki ni mambo madogo madogo tu ili nikifungue.
Basi siku hiyo kwa mara ya kwanza Juma alikuja mpaka sehemu niliyokuwa nikiishi na alitukuta tukiwa watatu yaani mimi, dada Eliza pamoja na Amina tunayelala wote anayeishi chumba cha jirani.
Ilibidi nikaongee na Juma pembeni na kumbe Eliza alianza kumpa umbea Amina kwa kuwamwabia habari za mtalimbo mrefu alionao Juma na nilijua baada ya mimi kurudi kwani Amina alianza kuniuliza habari zinazomhusu Juma.
"Mimi natafuta wa hivyo jamani awe hata mchepuko wangu tu maana mpenzi wangu zero kabisa kitandani!"
"Huna bahati shoga!"
"Nawaonea wivu kweli kwani Happy unampango wa kuishi naye huyo mwanaume wako!?"
"Mimi sijui kwakweli ila ikitokea tutaishi wote!"
"Kama huna mpango wa kuishi naye nipe namba zake basi jamani aje anipoze mara moja, nataka nionje na mimi ndefu zikoje jamani sijawahi zaidi ya kukutana na za kawaida tu au fupi!?"
"Mmmmh huyo hapana kwakweli Amina ila kuna huyu hapa mwingine naye anakubwa wewe mwenyewe utapenda!"
"Mmmh yupi huyo!?"
"Hizi hapa namba zake, andika 07..
......!"
Nilimtajia namba za John ili aongee naye waweze kuyajenga, sikutaka kumpa namba za Juma maana hata mimi mwenyewe nilidata kwa Juma.
Kama mchezo Amina alimtafuta John na mbaya zaidi alimwelekeza sehemu tunayokaa, masaa mawili mbele John alifika tunapoishi na aliponiona mimi alijua ndiye niliyempatia namba Amina, sasa ili kuniumiza waliamua kupelekana mpaka ndani wakafanye yao wakati huoni mimi pamoja na Dada Eliza tukiwa tumekaa nje.
Dakika 5 hazikupita, tulianza kusikia sauti za Amina.
"Ashiiiiiii oooh baby, hapo hapo babyyyy aaaaaaaah......!"
"Chomeka taratibu mwaaaaaaa!"
Eliza alinigeukia na kuniangalia.
"Mmmmh kumbe umeacha mwanaume wa maana ivi Happy!?"
"Wa maana wapi acha awe naye tu dada!"
"Siungekuwa nao wote wawili yaani unakula huku na huku kwani shida iko wapi hapo!? ona sasa mwenzako anasikilizia utamu alafu wewe upo hapa unapigwa na upepo nje!"
Dada naye alianza kunilalamikia na sikujua kama alivutiwa na show iliyokuwa ikiendelea ndani au vip ila siku hiyo kweli Amina alidhamilia kutulusha roho kwa misauti yake yaani mpaka wanamaliza kufanya mapenzi mpaka majirani waliokuwa wakiishi nyumba ya karibu nao walikuwa wakisikia sauti ya Amina.
Walitoka wakiwa wameshikana mikono na kutupita huku Amina akimsindikiza John.
Baada ya mda Amina alirudi huku akiwa na tabasamu kama lote na kunisogelea na kunipiga busu la kwenye shavu.
"Ahsante sana Happy yaani bira wewe hizi raha nisingezipataka kabisa, ahsante mwaaa"
"Haina haja ya kunichumu nimeshaelewa!"
Niligoma kabisa asinichumu tena kwenye shavu langu yaani mtu katoka kufanya mapenzi alafu anichumu wapi na wapi!?.
Hapo unakuta katoka kuinyonya na kulambana mpaka kwenye visigino huko.
Amina alitoa pesa na kunipatia kama shukrani tu kwa mimi kumuunganisha na John, baadae aliingia ndani kwake kwa ajili ya kujiandaa ili akaoge.
Dada ndiyo alipata mda mwingine wakuanza kunisimanga sasa baada ya Amina kuondoka.
"Unaona Happy unaona Amina alivyo na furaha!?"
"Dada na wewe muache tu awe na furaha!"
"Mimi namjua mno Amina huwa hadanganyi yaani mpaka kuona hivyo basi mti kapigwa kweli kweli na show ameielewa"
"Bhana watajuana wenyewe huko!"
Niliongea ila nilishangaa kuona Eliza akichukua simu yangu.
"Nioneshe namba yake na mimi nije nihakikishe kama kweli anamtalimbo mrefu na anayajua!"
"Heeeeeh dada!"
"Dada nini wewe nioneshe namba!"
Kwa alivyokuwa akiongea kweli alidhamilia nimuoneshe namba ya John, basi nilifanya kama alivyoniambia kwa kumuonesha na dada aliisave namba ya John kwenye simu yake......ITAENDELEA..