MPENDA NDEFU 05 ??
Umri………………..18+
ENDELEA.......
Baadae aliuchomoa mtalimbo wake na kumgeukia Mke wa Boss.
"Zamu yako sasa!"
Ilibidi nisogee pembeni kumwachia uwanja na ndipo niliposhikwa kiuno na mwanaume aliyekuwa akifanya mapenzi na Mke wa Boss kwa mara ya kwanza.
Baada ya kuona kakimbiwa na Mke wa Boss aliyekuja kudaka wangu naye aliamua kunidaka mimi!, tulisogezana pembeni na kuanza kufanya yetu nikimuacha Mke wa Boss akitoa sauti za mahaba kama nivyokuwa nikitoa mimi tu!.
Niliikalia bakora yake lakini nilielewa kwanini Mke wa Boss alimkimbia kwani hakuwa na maajabu yoyote yale.
Mpaka tunamaliza kufanya yetu watu 6 tuliokuwa mle kila mtu alikuwa katosheka kivyake japo upande wetu karibu kila mtu alitamani kufanya mapenzi na mwanaume mwenye kipala aliyekuwa na mpini mrefu, kiufupi wote tulipenda ndefu.
Mimi na Mke wa Boss tuliondoka nyumbani kwa Rebeca na kurudi tunapoishi na ile tunafika tu tulimkuta boss akiwa tayari amesharudi tena akiwa kakaa upande wa nje, siku hiyo alirudi mapema isivyo kawaida.
Nilimsalimia na kumpita nikitaka kuingia ndani.
"Na maongezi na wewe!"
"Mimi boss!?"
"Eeeh wewe!"
Niligeuka na kumsogelea na Boss alimwambia mke wake atupishe kidogo.
Mke wa Boss aliingia ndani ila kwa jinsi alivyoniangalia nilijua tu lazima aje aniulize kile nitakachoambiwa.
Boss alinitazama kuanza juu mpaka chini jinsi nilivyokuwa nimependeza kwa dakika kadhaa pasipo kuongea kitu.
"Abee boss!"
"Khokhokhokho!"
Alikohoa kwanza kabra ya kuongea.
"Kuna kitu natamani nikwambie maana wewe ni kama mwanangu pia ni kama mdogo wangu!"
"Haina shida boss unaweza tu kuniambia!"
"Wewe ni mtoto wa kike, inatakiwa ukumbuke kilichokuleta humu ndani, nadhani utakuwa umenielewa!"
"Mmmmh! unamaana gani boss maana sijakuelewa bado!?"
"Oky, maana yangu ni hii!, jiangalie ulivyovaa Happy!"
Nilijitazama nione kama kuna kasolo yoyote ile kwenye nguo nilizovaa lakini sikuona tatizo lolote lile.
Nguo niliyokuwa nimevaa haikuonesha maungo yangu labda tako tu ambalo lilikuwa limejichora.
"Wewe lazima ujione upo sawa binti ila mimi sipendi kuona ukipendeza ndani ya hii nyumba yangu, kumbuka wewe ni mfanyakazi wa ndani na humu kuna watoto wa kiume watakupa mimba bure mwisho uharibikiwe na maisha!"
"Nimekuelewa boss!"
"Basi sawa kama umenielewa, na kingine nataka kujua kuhusu mke wangu!"
"Mke wako!?"
"Eeee! ivi nikiwa sipo hamna mwanaume yoyote yule anayeingia chumbani kwangu!"
Mmmh niliona mambo yanaenda kuwa hadhalani, nilimwambia sijawahi kuona mwanaume yoyote yule akiingia kwenye chumba chao lakini boss hakutaka kuamini kabisa, alitoa pesa na kunipatia kwa ajili ya kunishawishi ili niweze kumwambia lakini bado nilishikilia msimamo wangu na kukataa.
"Sawa ila kama unanidanganya usije kunilaumu baadae!"
"Hapana boss ninachokwambia ni ukweli!"
Niliondoka baada ya kuongea naye, moyoni niliwaza siku akijua kuwa nasagana na mkewe sijui itakuwaje tu! nilikoswa amani kabisa kwa kile alichoniambia na ile nafika jikoni Mke wa Boss alifika.
"Alikuwa anakwambiaje!?"
"Amenikataza tu nisiwe napendeza kwani nawatamanisha watoto wako!"
"Huyu naye!? achana naye baby wewe endelea kupendeza tu ivi ivi ili nikiwa nakwangalia tu nasisimka sawa!"
"Nimsikilize nani sasa baby wewe au mmeo!?"
"Nisikilize mimi na uachane naye huyo, kwanza kisu chake ni butu sasa ivi hakikati vizuri yaani hana madhala kitandani kabisa!"
"Aya baby!"
Niliongea na Mke wa Boss alinipiga busu nakuondoka.
Mida ya kulala ilipofika nilitaka kuona kama mtu aliyekuja kulala na mimi usiku uliopita atakuja tena, sikutaka kuufunga mlango zaidi ya kuugesha tu na hata taa yenyewe sikuweza kuizima ya chumbani.
Nilipitiwa na usingizi na nilikuja kushituka usiku baada ya kuhisi mipapaso kwa mara nyingine tena kwenye mwili wangu, kulikuwa na giza na sikujua kama umeme umekatika au aliamua kuzima taa makusudi tu ili nisiweze kumuona.
"Wewe nani na kwanini hutaki nikuone!?"
Hakutaka kunijibu zaidi ya kuanza kutumia nguvu ili aweze kufanya mapenzi na mimi.
"Ananibaka..."
Nilijikuta tu nikiongea kwa sauti ili nione atafanya maamuzi gani lakini aliniachia na kutoka nduki chumbani, haraka na mimi nilishuka kitandani kwa ajili ya kumkimbiza ila nilijigonga kwenye ukuta na kushindwa mpaka kumkimbiza kwani sehemu niliyojigonga ilikuwa ikiniuma.
"Kuna tatizo gani!?"
Boss aliongea akiwa tayari kafika karibu kabisa na mlango wa chumba changu.
Niliwasha taa na mwanga ulionekana chumbani.
"Kuna tatizo gani!?"
Aliongea kwa mara nyingine.
"Kuna mtu katoka humu chumbani anakimbia!"
ilibidi tu niongee ili nisionekane kuwa mimi ndiye mwenye matatizo.
"Nani huyo na kwanini hukufunga mlango wa kwenye chumba chako!?"
"Nilijisahau tu kuufunga!"
"Subiri hapa!"
Boss aliongea na kusogea kilipo chumba wanacholala John pamoja na Silas.
"John na Silas!"
Walikaa kimya kana kwamba hawajamsikia baba yao!
"Inamaana hamnisikii!?"
"Namu baba!?"
Waliitikia na kufungua mlango.
"Nani aliyeingia kwenye chumba cha mfanyakazi!?"
"Mbona sisi tulikuwa tumelala!"
Boss aliwatazama na mda huo huo Mke wa Boss alitoka chumbani.
"Kuna tatizo gani usiku huu!?"
Aliongea kwa uchovu na Boss alimwelezea lakini Mke wa Boss aliwatazama vijana wake na mwisho aliwaambia warudi kwenye chumba chao.
"Tutaongea kesho haya mambo mme wangu, wewe nenda chumbani ukalale mimi ngoja nimtulize Happy maana hayupo sawa kwa sasa!"
Boss aliingia chumbani kama alivyoambiwa na mkewe na Mke wa Boss alinishika na kunipeleka kwenye chumba ninacholala......ITAENDELEA.