MPENDA NDEFU 06 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+
ENDELEA........
Tuliingia chumbani na Mke wa Boss aliufunga mlango vizuri na kunikalisha kitandani.
"Niambie ukweli Happy, maana mimi na wewe tunajuana!"
"Nitakwambia ila usije kunifikiria vibaya lakini!"
"Wewe niambie tu!"
"Nilipokuwa nimelala kuna mtu aliingia na kuanza kunipapasa!"
"Unasema kweli!"
"Ndio"
"Sijui atakuwa nani ila lazima atakuwa ni John tu na sio Silas!"
"Hata mimi sijui!
"Nataka tulale wote kwanza nimemiss yale mambo yetu!"
Aliongea na kama matani Mke wa Boss alianza kunishika shika palepale.
Alisahau kabisa kama mwenzake natakiwa nilale ili niamke mapema kwa ajili ya kufanya kazi za ndani yaani alinichukulia kama mke mwenzake na sio mfanyakazi wa ndani tena.
Basi tulianza kufanya mambo yetu na tulumaliza kusagana mda ukiwa umeenda!, nilijikuta nikipitiwa na usingizi na nilikuja kuamka mida ya saa 1 tena aliyetuamsha ni boss mwenyewe, Mtu wa kwanza kuamka nilikuwa mimi na nilivyotazama pembeni yangu nilimuona Mke wa Boss akiwa uchi huku akiendelea kuuchapa usingizi.
Nilimwamsha ili avae nguo na mimi nilishuka kitandani na kwenda kuvaa nguo zangu.
Nilitoka chumbani na kukutana na Boss wangu na kumsalimia na aliitikia salamu yangu kishingo upande, sikutaka kuwaza sana maana nilikuwa na kazi nyingi za kufanya.
Siku hiyo si John wala si Silas hakuna aliyetaka kunichangamkia yaani wote walikuwa wakinitazama kama wananidai na hapo ndipo walipokuwa wakinichanganya na kunifanya nishindwe kuelewa ni yupi kati yao aliyekuja usiku wa jana.
Niliendelea na kazi zangu na baadae niliondoka na kwenda kuhemea vitu vya ndani na nikiwa njiani nilikutana na kijana mmoja aliyenisimamisha.
"Dada habari!"
"Poa"
"Samahani na shida kidogo, simu yangu nimeiacha chaji nilikuwa naomba umtumie ujumbe mwanamke wangu aweze kunikuta hapa niliposimama"
Nilimwangalia kuanzia juu mpaka chini na kuchukua kitochi changu ili nimsaidie kama alivyoniomba.
Alitaja namba za mwanamke wake na mimi niliziandika na baada ya hapo niliandika sms ya maelekezo na kuituma.
"Tayari nimeshaituma!"
"Ahsante ubarikiwe na chukua hii hapa elf tano ya soda!"
Mambo ya kukataa pesa huwa sina kabisa kwakweli, niliichukua na kumshukuru nakuondoka.
Nilifanya kilichonipeleka na baada ya mda niligeuza kwa ajili ya kurudi nyumbani lakini simu yangu iliita nikiwa njiani, kuangalia anayenipigia alikuwa ni dada yangu niliyekuja naye mjini kutafuta maisha anayeitwa Eliza, niliipokea na kuiweka sikioni mwangu.
"Unaendeleaje na kazi mdogo wangu!?"
"Vizuri tu dada, napambana hivyo hivyo!"
"Sasa sikia, kuna mchongo huku nimeupata wa maana na wanalipa vizuri tu!"
"Wapi tena huko!?"
"Hapahapa tu mjini cha mhimu kesho njoo nyumbani nikwambie vizuri!"
Nilimkubalia na baada ya kuongea naye alikata simu, nilitamani kujua ni kazi gani maana ndiyo kitu kilichokuwa kimenileta mjini! yaani sikutaka kukumbuka kuhusu mambo ninayofanya na Mke wa Boss ya kusagana.
Nilifika nyumbani nakuanza kufanya kazi ya kupika lakini mda huo huo kuna ujumbe uliingia kwenye simu yangu, sikujihangaisha kuusoma kutokana na kubanana kwangu.
Baadae nilishangaa kuona ujumbe niliotumiwa, kumbe mwanaume aliyetaka nimtumie ujumbe mpenzi wake haikuwa kweli ila tu zilikuwa ni janja zake za kutaka kuchukua namba yangu ya simu kiaina pasipo mimi kujua, alinitumia sms nyingi za kunitongoza lakini sikujibu sms yoyote ile zaidi ya kuziangalia tu.
Kimbembe kilikuwepo siku iliyofata kwani Mke wa Boss hakutaka kuniruhusu kutoka nyumbani baada ya mimi kumwambia kuwa naenda kuonana na dada yangu Eliza, alitaka tushinde wote tunasagana tu ndani, dah! kiufupi nilichukia maana sikuwa na hamu kabisa ya kupapasana na kuchezeana siku hiyo ila ndiyo hivyo ningefanyeje mimi Happy.
Tulifanya kama alivyokuwa akitaka kwenye chumba chake mpaka pale kila mtu alivyoridhika, nilitaka kutoka chumbani lakini alinizuia tena.
"Mbona leo unaharaka sana au mwanaume mwenye mtalimbo mrefu wa jana alikuchanganya!?"
"Hamna baby sema tu kazi nyingi, hapa inatakiwa nikaoshe vyombo!"
"Haina shida ila nataka uyabinye binye makalio yangu kwangu mpaka nitakaporidhika!"
"Sawa Baby!"
Nilimkubalia huku nikimuita baby kama tulivyokuwa tumezoea kuitana.
Nilianza kuyashika shika huku nikiyabinya binya huku nikiwa nawaza mchongo aliotaka kuniambia dada, yaani nilikuwa nawaza vitu viwili kwa wakati mmoja, basi baadae aliniambia twende tukaoge wote kwenye bafu lililo ndani ya chumba chao, tulipelekana mpaka bafuni na kuanza kuogeshana.
Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini lakini sidhani kama hata hizo siku arobaini zilikuwa zimeshafika tangu nianze kusagana na mke wa boss, pasipo kujua tulisikia mlango wa chumbani ukisukumwa kwa nguvu na bahati mbaya hatukuufunga maana tulikuwepo sisi tu nyumbani huku watoto wa kike wa Boss wakiwa shuleni na John pamoja na Silas nao wakiwa buchani.
Aliingia boss mwenyewe na kusogea mpaka upande wa bafuni tulipokuwa sisi tukioga.
"Kumbe ndiyo upumbavu unaofanya siku zote wewe mwanamke wa kusagana na huyu mtoto wa watu!?"
Ni aibu ndiyo tuliyokuwa nayo, kila mtu alikuwa kainamisha kichwa chake chini hasa mimi.
"Tunaogeshana tu mme wangu na wala hatufanyi mambo mengine!"
"Kila kitu nimeona kwa taarifa yako, nilitegesha camera humu chumbani pasipo wewe kukwambia, inaamana mimi sikutoshi mpaka unaamua kutumia vitu vya bandia kukuridhisha!"
Boss aliongea kwa hisia na kusogea mpaka kitandani kulipokuwa na uume wa bandia ule mkubwa na kuuchukua.
"Hichi nini!"
"Nisamehe Baba John sitarudia tena!"
"Aya wewe binti vaa haraka utoke humu chumbani!"
Nilitoka bafuni huku nikificha maungo yangu na kusahau kama aliona kila kitu kwenye camera, sijui nilikuwa naficha nini tu jamani dah!
Sikuwa na mda hata wa kuvaa nguo zaidi ya kuchukua nguo zangu na kuondoka.......ITAENDELEA.