Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPENDA NDEFU 06
Gonga94 · Stories

MPENDA NDEFU 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MPENDA NDEFU 06 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

ENDELEA........
Tuliingia chumbani na Mke wa Boss aliufunga mlango vizuri na kunikalisha kitandani.
"Niambie ukweli Happy, maana mimi na wewe tunajuana!"
"Nitakwambia ila usije kunifikiria vibaya lakini!"
"Wewe niambie tu!"
"Nilipokuwa nimelala kuna mtu aliingia na kuanza kunipapasa!"
"Unasema kweli!"
"Ndio"
"Sijui atakuwa nani ila lazima atakuwa ni John tu na sio Silas!"
"Hata mimi sijui!
"Nataka tulale wote kwanza nimemiss yale mambo yetu!"
Aliongea na kama matani Mke wa Boss alianza kunishika shika palepale.

Alisahau kabisa kama mwenzake natakiwa nilale ili niamke mapema kwa ajili ya kufanya kazi za ndani yaani alinichukulia kama mke mwenzake na sio mfanyakazi wa ndani tena.

Basi tulianza kufanya mambo yetu na tulumaliza kusagana mda ukiwa umeenda!, nilijikuta nikipitiwa na usingizi na nilikuja kuamka mida ya saa 1 tena aliyetuamsha ni boss mwenyewe, Mtu wa kwanza kuamka nilikuwa mimi na nilivyotazama pembeni yangu nilimuona Mke wa Boss akiwa uchi huku akiendelea kuuchapa usingizi.

Nilimwamsha ili avae nguo na mimi nilishuka kitandani na kwenda kuvaa nguo zangu.
Nilitoka chumbani na kukutana na Boss wangu na kumsalimia na aliitikia salamu yangu kishingo upande, sikutaka kuwaza sana maana nilikuwa na kazi nyingi za kufanya.
Siku hiyo si John wala si Silas hakuna aliyetaka kunichangamkia yaani wote walikuwa wakinitazama kama wananidai na hapo ndipo walipokuwa wakinichanganya na kunifanya nishindwe kuelewa ni yupi kati yao aliyekuja usiku wa jana.

Niliendelea na kazi zangu na baadae niliondoka na kwenda kuhemea vitu vya ndani na nikiwa njiani nilikutana na kijana mmoja aliyenisimamisha.
"Dada habari!"
"Poa"
"Samahani na shida kidogo, simu yangu nimeiacha chaji nilikuwa naomba umtumie ujumbe mwanamke wangu aweze kunikuta hapa niliposimama"
Nilimwangalia kuanzia juu mpaka chini na kuchukua kitochi changu ili nimsaidie kama alivyoniomba.

Alitaja namba za mwanamke wake na mimi niliziandika na baada ya hapo niliandika sms ya maelekezo na kuituma.
"Tayari nimeshaituma!"
"Ahsante ubarikiwe na chukua hii hapa elf tano ya soda!"
Mambo ya kukataa pesa huwa sina kabisa kwakweli, niliichukua na kumshukuru nakuondoka.

Nilifanya kilichonipeleka na baada ya mda niligeuza kwa ajili ya kurudi nyumbani lakini simu yangu iliita nikiwa njiani, kuangalia anayenipigia alikuwa ni dada yangu niliyekuja naye mjini kutafuta maisha anayeitwa Eliza, niliipokea na kuiweka sikioni mwangu.
"Unaendeleaje na kazi mdogo wangu!?"
"Vizuri tu dada, napambana hivyo hivyo!"
"Sasa sikia, kuna mchongo huku nimeupata wa maana na wanalipa vizuri tu!"
"Wapi tena huko!?"
"Hapahapa tu mjini cha mhimu kesho njoo nyumbani nikwambie vizuri!"
Nilimkubalia na baada ya kuongea naye alikata simu, nilitamani kujua ni kazi gani maana ndiyo kitu kilichokuwa kimenileta mjini! yaani sikutaka kukumbuka kuhusu mambo ninayofanya na Mke wa Boss ya kusagana.

Nilifika nyumbani nakuanza kufanya kazi ya kupika lakini mda huo huo kuna ujumbe uliingia kwenye simu yangu, sikujihangaisha kuusoma kutokana na kubanana kwangu.

Baadae nilishangaa kuona ujumbe niliotumiwa, kumbe mwanaume aliyetaka nimtumie ujumbe mpenzi wake haikuwa kweli ila tu zilikuwa ni janja zake za kutaka kuchukua namba yangu ya simu kiaina pasipo mimi kujua, alinitumia sms nyingi za kunitongoza lakini sikujibu sms yoyote ile zaidi ya kuziangalia tu.

Kimbembe kilikuwepo siku iliyofata kwani Mke wa Boss hakutaka kuniruhusu kutoka nyumbani baada ya mimi kumwambia kuwa naenda kuonana na dada yangu Eliza, alitaka tushinde wote tunasagana tu ndani, dah! kiufupi nilichukia maana sikuwa na hamu kabisa ya kupapasana na kuchezeana siku hiyo ila ndiyo hivyo ningefanyeje mimi Happy.

Tulifanya kama alivyokuwa akitaka kwenye chumba chake mpaka pale kila mtu alivyoridhika,  nilitaka kutoka chumbani lakini alinizuia tena.
"Mbona leo unaharaka sana au mwanaume mwenye mtalimbo mrefu wa jana alikuchanganya!?"
"Hamna baby sema tu kazi nyingi, hapa inatakiwa nikaoshe vyombo!"
"Haina shida ila nataka uyabinye binye makalio yangu kwangu mpaka nitakaporidhika!"
"Sawa Baby!"
Nilimkubalia huku nikimuita baby kama tulivyokuwa tumezoea kuitana.

Nilianza kuyashika shika huku nikiyabinya binya huku nikiwa nawaza mchongo aliotaka kuniambia dada, yaani nilikuwa nawaza vitu viwili kwa wakati mmoja, basi baadae aliniambia twende tukaoge wote kwenye bafu lililo ndani ya chumba chao, tulipelekana mpaka bafuni na kuanza kuogeshana.

Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini lakini sidhani kama hata hizo siku arobaini zilikuwa zimeshafika tangu nianze kusagana na mke wa boss, pasipo kujua tulisikia mlango wa chumbani ukisukumwa kwa nguvu na bahati mbaya hatukuufunga maana tulikuwepo sisi tu nyumbani huku watoto wa kike wa Boss wakiwa shuleni na John pamoja na Silas nao wakiwa buchani.
Aliingia boss mwenyewe na kusogea mpaka upande wa bafuni tulipokuwa sisi tukioga.
"Kumbe ndiyo upumbavu unaofanya siku zote wewe mwanamke wa kusagana na huyu mtoto wa watu!?"
Ni aibu ndiyo tuliyokuwa nayo, kila mtu alikuwa kainamisha kichwa chake chini hasa mimi.
"Tunaogeshana tu mme wangu na wala hatufanyi mambo mengine!"
"Kila kitu nimeona kwa taarifa yako, nilitegesha camera humu chumbani pasipo wewe kukwambia, inaamana mimi sikutoshi mpaka unaamua kutumia vitu vya bandia kukuridhisha!"
Boss aliongea kwa hisia na kusogea mpaka kitandani kulipokuwa na uume wa bandia ule mkubwa na kuuchukua.
"Hichi nini!"
"Nisamehe Baba John sitarudia tena!"
"Aya wewe binti vaa haraka utoke humu chumbani!"
Nilitoka bafuni huku nikificha maungo yangu na kusahau kama aliona kila kitu kwenye camera, sijui nilikuwa naficha nini tu jamani dah!
Sikuwa na mda hata wa kuvaa nguo zaidi ya kuchukua nguo zangu na kuondoka.......ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPENDA NDEFU 06

MPENDA NDEFU 06 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

ENDELEA........
Tuliingia chumbani na Mke wa Boss aliufunga mlango vizuri na kunikalisha kitandani.
"Niambie ukweli Happy, maana mimi na wewe tunajuana!"
"Nitakwambia ila usije kunifikiria vibaya lakini!"
"Wewe niambie tu!"
"Nilipokuwa nimelala kuna mtu aliingia na kuanza kunipapasa!"
"Unasema kweli!"
"Ndio"
"Sijui atakuwa nani ila lazima atakuwa ni John tu na sio Silas!"
"Hata mimi sijui!
"Nataka tulale wote kwanza nimemiss yale mambo yetu!"
Aliongea na kama matani Mke wa Boss alianza kunishika shika palepale.

Alisahau kabisa kama mwenzake natakiwa nilale ili niamke mapema kwa ajili ya kufanya kazi za ndani yaani alinichukulia kama mke mwenzake na sio mfanyakazi wa ndani tena.

Basi tulianza kufanya mambo yetu na tulumaliza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpenda-ndefu-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpenda-ndefu
MPENDA NDEFU 01
MPENDA NDEFU 01
MPENDA NDEFU 02
MPENDA NDEFU 02
MPENDA NDEFU 04
MPENDA NDEFU 04
MPENDA NDEFU 05
MPENDA NDEFU 05
MPENDA NDEFU 03
MPENDA NDEFU 03
MPENDA NDEFU 21
MPENDA NDEFU 21
MPENDA NDEFU 14
MPENDA NDEFU 14
MPENDA NDEFU 15
MPENDA NDEFU 15
MPENDA NDEFU 16
MPENDA NDEFU 16
MPENDA NDEFU 17
MPENDA NDEFU 17
MPENDA NDEFU 10 ?
MPENDA NDEFU 10 ?
MPENDA NDEFU 13
MPENDA NDEFU 13
MPENDA NDEFU 20
MPENDA NDEFU 20
MPENDA NDEFU 19
MPENDA NDEFU 19
MPENDA NDEFU 18
MPENDA NDEFU 18
MPENDA NDEFU 11 ?
MPENDA NDEFU 11 ?
MPENDA NDEFU 09
MPENDA NDEFU 09
MPENDA NDEFU 07
MPENDA NDEFU 07
MPENDA NDEFU 08
MPENDA NDEFU 08
MPENDA NDEFU 12
MPENDA NDEFU 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

81

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest