MPENDA NDEFU 20 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+
ENDELEA........
Tulijiandaa na baada ya kumaliza tuliondoka na Aisha aliniambia tuelekee kwanza nyumbani kwao mara moja, sikutaka kukataa maana yeye ndiye aliyekuwa muendeshaji.
Tulifika na kukutana na kikao cha familia.
"Bora umekuja, aya njoo ukae hapa!"
Ilibidi nitoke nje na kumuacha Aisha akiongea na familia yake baada ya kuambiwa na baba yake.
Zilipopita dakika 5 Aisha alitoka nje huku akiwa na hasira.
"Tuondoke!"
"Kuna nini mbona uko hivyo!"
"Wazee wananilazimisha niolewe ili niondoke nyumbani!"
"Mmmmh! pole shoga!"
Aisha hakutaka hata kuitikia pole niliyompa zaidi ya kuingia kwenye gari. Nilipanda na safari ilianza huku muendeshaji akiwa ni yeye mwenyewe, tulifika sehemu kulipokuwa na magari mengi yamepaki.
"Ngoja tuanze na hapa shoga!"
"Kivip tena!"
"Aaaaah unanikera bhana yaani mpaka sasa ivi hujaelewa tu!"
Alifoka kwa hasira na kuisogeza gari karibu kabisa na magari yalipokuwa na kuipaki.
Aisha aliizima gari na kutulia ndani ya gari.
"Sasa subiri tukimuona mwanaume anayeleweka tunaluka naye!"
"Basi sawa!"
Tulikaa zaidi ya nusu saa bira kuona mwanaume yoyote yule na mwisho nilianza kukata tamaa na niliona tunapoteza mda bure ila Aisha alishuka ndani ya gari na kwenda kuchomoa waya wa kwenye betry la gari ili gari isiweze kuwaka na Baadae alirudi ndani ya gari na kutulia.
Dakika mbili mbele tulianza kuona watu tofauti tofauti wakisogea na yalipokuwa magari na kuanza kuingia ndani ya magari yao, baadhi walikuwa ni wanaume na wengine walikuwa ni wanawake.
Aisha alishuka kwenye gari na kuniacha mimi ndani ya gari, alisogea mpaka sehemu kulipokuwa na kijana wa makamo aliyekuwa kavaa kitanashati na kuongea naye.
Sijui alichomwambia kwakweli ila tu niliona akiongozana na kijana aliyekuwa akiongea naye mpaka kwenye gari nilipokuwa mimi.
"Kaka gari yetu ndiyo hii!"
"Poleni sana jamani!"
"Ahsante sana kaka yangu yaani hapa tunashindwa cha kufanya jamani na tulikuwa tunawahi ofisini"
Mkaka wa watu alisogea mpaka upande wa mbele wa kwenye gari na kuangalia tatizo nini na ndipo alipoona waya wa betry la gari ukiwa umechomolewa.
"Mbona tatizo dogo tu dada angu!?"
Aisha aliniangalia na kumsogelea.
"Kwani tatizo nini kaka!?"
"Tatizo ni huu waya tu!"
Aliurekebisha vizuri na baada ya kumaliza Aisha aliingia ndani ya gari na kuiwasha gari na kweli ilikubali kuwaka.
Alitoka ndani ya gari mbio mbio na kwenda kumkumbatia mkaka wa watu tena akimbusu kabisa kwenye shavu lake.
"Ahsante sana kwa msaada wako jamani!"
"Usijali ni kawaida tu!"
Aisha alimwomba namba yake ya simu huku akiwa na maana yake na kijana aliitoa, baada ya hapo waliagana na kijana alielekea kwenye gari lake na kuondoka.
Aisha alinisogea na kuniambia.
"Mimi tayari nimepata namba bado wewe changamka shauri yako wewe kaa kizembe hapa!"
"Mmmmh sasa mimi nifanyeje Aisha!"
"Tumia akili mtoto wa kike mjini hapa!....
Ngoja kwanza kuna mwingine huyo uko"
Haraka alisogea upande wa mbele wa gari na kuutoa waya tena kwa mara nyingine na kumkimbilia mwanaume aliyemuona akiingia kwenye gari lake.
Aliongea naye na baada ya mda alikuja naye mpaka kwenye gari.
"Oooh poleni sana warembo ngoja nimpigie fundi wangu aje!"
"Kaka jamani hawa mafundi hawaeleweki huwa wanataja bei kubwa mno!?"
"Msijali nitalipia mimi!"
Aisha aliniangalia na kunikonyeza kuwa tayari kaisha ingia kwenye mtego wake.
Alimpigia simu na baada ya kumaliza kuongea naye ndipo Aisha alipoanza kujibebisha sasa huku akimshukuru na akimuuliza ampe kitu gani ili afurahie mwenyewe.
"Hahahahahaha haina haja ya kunilipa mimi nimewasaidia tu!"
"Jamani sema tu mimi nipo tayari kukupa unachotaka maana msaada uliotufanyia ni mkubwa mno!"
"Tetetetetetetete!"
Aliachia kicheko na kwa jinsi alivyokuwa alionekana ni domo zege kweli kutongoza mwanamke.
Aisha alimsogelea karibu na sijui waliongea nini ila niliwaona tu wakipelekana mpaka kwenye gari lake.
Walitumia mda mrefu kidogo na gari lilikuwa likitikisika kwa mbali.
"Mmmmh Aisha tayari anazagamuliwa!?"
Niliongea mwenyewe huku nikipiga piga mikono nikiwa siamini kabisa kama Aisha anatiwa kwenye gari.
Baada ya mda Aisha pamoja na mwanaume waliyekuwa naye kwenye gari walitoka wote ndani ya gari na mda huo huo alifika fundi wa gari aliyekuwa amepigiwa simu.
Walisogea nilipokuwa mimi huku Aisha akitabasamu na fundi aliangalia tatizo la gari ni lipi.
"Mbona tatizo dogo tu hili!"
Fundi alizungumza huku akiuchomeka waya kwenye betry la gari.
Alilipwa pesa yake na kuondoka akiwa na mwanaume aliyeamua kutusaidia na baada tu ya wao kuondoka Aisha aliingia kwenye gari na kusogea karibu yangu.
"Shoga unaona!, mambo haya shoga yangu uhuuuuuu!"
Aliongea huku akizitoa pesa zilizokuwa kwenye pochi yake akiziweka pembeni.
"Weeee usitake kuniambia amekupa zote hizi!?"
"Amini shoga yangu, nimeikalia na kuinyonga kama nataka kuivunja mbaba wa watu ubongo ukata kutoka!"
"Mmmmh!"
"Kwanza tuondoke asije akarudi bure!"
Aliwasha gari na kuiondoa maeneo yale.
Huo ndiyo ulikuwa mtindo wa maisha yetu, hata mimi nilijikuta nikitumia mtindo huo kutafuta wanaume wenye uwezo kiuchumi, licha ya wengi kutokuwa na mitalimbo mirefu ila tulizingatia maokoto tu mimi pamoja na Aisha, pia Benson aliendelea kulala na sisi tena tulikuwa tukimtaka wenyewe ili tu aturidhishe maana yeye alikuwa na mbo ndefu na wote tulikuwa wapenda ndefu.
Aisha naye aliamua kuhama kabisa nyumbani kwao na kuhamia kwenye chumba nilichokuwa nikiishi mimi lodge.....ITAENDELEA..