MPENDA NDEFU 17 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+
ENDELEA........
"Kwanini umeamua kumfanyia hivyo mmeo!?"
"Ongea taratibu atasikia!"
Mke wa Boss aliniziba mdomo ili nisiendelee kulopoka kwa nguvu, sikufurahishwa kabisa na kile alichoniambia Mke wa Boss na pale pale nilipata wazo.
"Kuna kitu nahitaji unisaidie baby!"
"Kitu gani hicho!?"
"Na shida na pesa!"
"Kiasi gani baby!?"
Nilimtajia na Mke wa Boss alikaa kimya kwa mda na baadae aliniambia atanipatia mda wowote ule, moyoni nilifurahi maana nilikuwa na mpango wangu na mimi.
Siku iliyofata Mke wa Boss alinipatia kiasi cha pesa nilichomuomba, sikutaka kupoteza mda na palepale niliamua kuondoka kama nipo yaani nilitoroka kabisa ili nikapambane na maisha yangu mbele kwa mbele na kuamua kukata mawasiliano ili wasiweze kunipata hata kwenye simu.
Sababu kubwa iliyonifanya mpaka nikachukua maamuzi ya kutoroka ni baada ya Mke wa Boss kuniambia kuwa kamloga mmewe ili tu asiwe na sauti mbele yake yaani amuache afanye kile anachojisikia, kwa uchafu uliokuwa ukiendelea ndani ya nyumba ile kulikuwa na kila dalili za siku moja wanafamilia kutiana wao kwa wao kwa wakati mmoja.
Safari yangu ilinifikisha kwenye wilaya nyingine kabisa ili nianze maisha ya kivyangu vyangu.
"Happy Happy!.
Niligeuka kuangalia mtu aliyekuwa akiniita.
"Mama mdogo kumbe unaishi huku!"
Sikutegemea kama ningekutana na mtu ninayefahamiana naye, Mama Mdogo alishangaa kuniona nikiwa na begi na aliponiuliza nilimwambia ukweli nipo pale kwa ajili ya kujitafuta kimaisha.
"Basi pole sana mwanangu, hapa ndipo ninapofanyia kazi hivyo unatakiwa kunisubiri mpaka nimalize kufanya kazi ili tuondoke wote!"
Nilimkubalia na ilikuwa kwenye kampuni moja alilokuwa akifanya kazi Mama mdogo, sikujua alifanyeje mpaka akaipata hiyo bahati ila hii dunia kila mtu na bahati yake.
Nilimsubiri mpaka pale mda wa kazi ulipoishi na ndipo aliponichukua na kunipeleka nyumbani kwake, tulifika na kuingia ndani na kuwakuta watoto wake wawili wa kike wakicheza, Alinitambulisha mbele yao na kunikaribisha ndani kwake.
"Bora hata nimekutana na wewe Happy!"
"Kwanini dada!"
"Kipindi unahangaika kujipanga naomba unisaidie walau kuwa unakaa na wanangu maana binti wa kazi kaondoka jana na hapa nahangaika kutafta mfanyakazi mwingine!"
"Haina shida mama mdogo".
Nilimkubalia na niliona bora niishi kwake kuliko kurudi kwenye nyumba ya Mke wa Boss.
Mida ya jioni mmewe alirudi lakini hakuwa peke yake, alikuwa pamoja na mdogo wake wa kiume aliyekuwa akiitwa Deo ambae naye alikuwa akiishi hapo hapo.
Siku hiyo ilipita na siku ya tatu yake Deo alianza kunitongoza akitaka sex na mimi!, tabu nyingine ilianza, nilikuwa nikimpiga chenga za hapa na pale na kumbe alikuwa na maelewano mazuri tu na mama mdogo wangu.
Nilishangaa kuona akinihimiza niweze kumkubalia na mimi kutokana na heshima niliyokuwa nayo kwa Mama mdogo nilijikuta nikikubali kuingia kwenye mahusiano na Deo na yote shemeji alikuwa hajui kinachoendelea.
Mida ya usiku niliingia kwenye chumba anacholala Deo kwa ajili ya kulala naye. Deo alionekana kuwa mgeni kwenye mambo ya utelezi kwani alikuwa haeleweki kabisa, mara anishike mapaja mara anishike titi mara mdomo wake aupeleke kwenye kisigino changu mara ivi mara vile, nilijua kabisa sio mzoefu wa mizagamuo hivyo nilimtuliza ili niweze kumuonesha mambo mazuri bira kujua kama ni kosa jingine nafanya.
Kwanza nilimwambia alale chali na baadae niliichomoa bakora yake iliyokuwa imesimama kama msumari, kwa kuiangalia tu nilikuwa na uhakika hata punyeto haijui kabisa ndiyo maana ilisimama ndindindiii!, taratibu nilipitisha mikono yangu kwenye mtalimbo wa Deo huku nikiuchezea.
"Hiiii endelea tamu tamu tamu tamu aaaaah"
"Wewe Deo kelele!"
Nilimzuia baada ya kuona utamu umemwelemea na anapiga kelele hovyo.
Alipunguza makelele yake na kuniacha niendeleee na kazi yangu ya kuichezea bakora yake.
Baada ya kuichezea kwa mda mrefu ulikuwa ni mda wa kuanza kudinyana sasa!, nililala kichura na kupanua miguu yangu na ndipo Deo aliponilalia na kuichomeka bakora yake ndani ya ke yangu.
Alianza kufanya kwa kasi bira kuonesha ufundi wowote ule na baada ya mda nilisikia.
"Aaaaaai zinakuja zinakuja zinakujaaa oooooooooh nakojoaaa!"
Haraka niliitoa bakora yake ndani ya tunda langu na kuishika vizuri na kuisugua kwa kasi na ndipo alipofyatua risasi zilizoenda kutua kwenye paja langu la kulia.
"Nini hichi kumbe tamu ivi!?"
Niliona kweli nimekutana na mtu ambae hajui chochote kabisa yaani hata maana ya shwa tu hajui!.
"Pole Deo!"
"Mwaaaaaaaaaaa! Nakupenda Happy naomba uwe mke wangu!, Happy nakupenda mno na sitajali kama kaka yangu ameo kwenu!"
"Unasema kweli!?"
Deo alinihakikishia kwa kuniambia kuwa anataka kunioa!, niliamua kumjaribu kwa kumwambia afanye kitu kitakachonifanya niamini kweli anataka ananipenda na atanioa kwa baadae.
Deo alinyenyuka kitandani na kusogea mpaka kwenye begi lake, hiyo siku ndiyo niliamini kweli K zetu wanawake zinanguvu jamani, utamu wa huku chini haufananishi na chochote kile kwenye hii dunia ndiyo maana usishangae kuona wasanii wakubwa wanaimba nyimbo za kuumizwa na mapenzi! kiukweli mapenzi yanadunia yake.
Huwezi amini Deo alitoa pesa alizokuwa ameziweka kwenye mfuko na kusogea nazo kitandani.
"Mke wangu hizi pesa nilikuwa natunza tangu nije hapa ili baadae nijenge nyumba yangu na nihame kwa kaka!"
"Zote hizi!?"
Niliongea huku nikizichukua kutoka kwake na zilikuwa kama million kadhaa pesa alizokuwa nazo Deo.
"Ila kwakuwa tayari umeshakuwa mke wangu kaa nazo wewe na ukitaka kuzitumia wewe tumia tu!"
Mbuzi alifia kwa muuza supu baada ya kuniambia vile na mahaba niliyomuonesha Deo yalimvuluga.......ITAENDELEA.
Maoni