MPENDA NDEFU 18 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+
ENDELEA........
Ningekuwa mtu wa ajabu kama ningekubali Deo anioe licha ya kukubali kutoka naye kimapenzi haikuwa na maana pia nilikuwa tayari kuolewa naye, sikuwa tayari kwa hilo maana ningeonekana mtu ajabu kama tu wazazi wangu wangesikia.
Kingine sikufurahishwa na bakora ya Deo ilivyo maana mimi napenda mitalimbo mirefu inayokuna vizuri kama ulivyokuwa mtalimbo wa Juma!.
Basi nilibaki nikiziangalia pesa alizonionesha huku nikipiga mahesabu kichwani, Deo alikuwa akinitazama na kunisogelea karibu.
"Unawaza nini mke wangu!?"
"Nawaza tu jinsi ulivyokuwa na akili jamani!"
Nilizungumza huku mikono yangu nikiipeleka kwenye kitovu cha Deo.
"Aiiii unanitekenya mke wangu!"
Baada ya kuona Deo akiongea huku akicheka kwa kumshika kwenye kitovu chake nilimshika kwa mara nyingine na kumfanya azidi kupagawa zaidi.
Palepale tulipelekana kitandani na kwa mara nyingine tena nilikubali anichape bakora Deo na yote ni baada ya kuona pesa alizonionesha.
Siku hiyo nilimpa uhuru anipanue mapaja na anifanye anavyojua yaani hata angeniomba tigo ningekuwa tayari kumpatia tu! akili zote zilikuwa kwenye maokoto niliyoyaona.
Mpaka asubuhi inafika mimi mwenye nilimuamsha na kumpa cha asubuhi na baadae Deo aliondoka na kuongoza na shemeji kwenda kazini.
Mama Mdogo alinifata chumbani ili kuniaga maana alikuwa ameshamaliza kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini kwake.
"Nilisikia mliyokuwa mnayafanya jana usiku humu!"
"ila mimi siwezi kuolewa naye maana mama hatakubali!"
"Hata mimi najua binti yangu ila kuwa makini tu asije kukupa mimba ikawa bala, mhimu mtulizane hisia wote!"
"Sawa!"
"Basi baadaye mimi naenda kazini!"
"Aya Mama mdogo!"
Aliniaga na kuondoka na kuniacha mwenyewe nyumbani pamoja na watoto wake wawili.
Nilianza kufanya kazi za ndani na kuwatengenezea kifungua kinywa watoto na baada ya kumaliza ndipo akili ilipoanza kuwaza vitu vya kijinga sasa.
Kwanza niliingia kwenye chumba cha Deo na kuziangalia pesa zake!.
"Mmmh hii mbona kama bahati hii!"
Nilijikuta tu nikifanya kitu ambacho sikukitegemea kabisa kwa kuchukua pesa zote za Deo na kuziweka kwenye begi langu.
Nguvu ya pesa ilianza kuniendesha kwani nilitoka chumbani nikiwa na begi mkononi.
"Dada unaenda wapi tena!?"
"Naenda kwa fundi cherehani nitarudi mda sio mrefu sawa!"
"Aya dada!"
Niliondoka kwenye nyumba ya Mama Mdogo huku moyo ukiwa unaenda mbio maana ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kuiba, nilikuwa nahisi Deo yupo nyuma yangu na ananifatilia kitu ambacho sicho.
Mida hiyo hiyo ya asubuhi nilipanda gari tena na kuondoka kabisa huku nikipanga kwenda mbali zaidi nikiwa na pesa za Deo, sikujali alihangaika kiasi gani kuzipata ila nilichozingatia zipo kwenye mikono yangu kwa wakati huo.
Dah! ila pesa za wizi sio nzuri jamani kweli tena nawaambia! huwezi kuamini hamna cha maana nilichokifanya tangu niibe pesa za Deo, yaani nilinunua gari baada ya kufika sehemu ambayo hamna ndugu anayenijua na pesa zingine zilizobaki nilikuwa nazitumia kula bata tu!, mbaya zaidi sehemu niliyokuwa nikiishi ilikuwa ni lodge tena ya gharama kweli! gari lenyewe nilinunua nikiwa hata sijui kuendesha, nilienda kulipaki kwenye Lodge niliyokuwa nikiishi na kuna binti aliyekuwa akija kwenye Lodge ile mara kwa mara aliyeitwa Aisha.
Mimi na Aisha tulitengeneza urafiki hasa baada ya kuniambia kuwa anajua kuendesha gari na ana leseni, mara kwa mara alikuwa akiendesha gari yangu kama yake na aliniunganisha kwa kijana mmoja HB aliyekuwa akiitwa Benson.
Kati ya watu waliochangia kuharibu mwili wangu na kunifanya niwe mgonjwa wa kupenda ngono mara kwa mara basi alikuwa ni Benson.
Sijui ni dawa alitumia mpaka kukuza mtalimbo wake na kuufanya uwe mrefu au ndivyo alivyozaliwa!? ila Benson alikuwa havai suruali za kubana kama ilivyo kwa wakaka wengi hapa mjini yeye mara nyingi alikuwa akivaa suruali zile pana na yote ni kwa sababu ya ukubwa wa mbo yake isijichore.
Maisha tuliyokuwa tukiishi yalikuwa ni ya gharama mno yaani pesa tulikuwa tunatumia hovyo hovyo, nilikuwa sio mlevi kabisa ila Benson pamoja na Aisha walinifundisha kunywa tena nilitokea kupenda pombe kushinda mpaka wao, nilikuwa sipitishi siku bira kunywa pombe.
Siku hiyo nikiwa na Benson Aisha naye alikuja na Mpenzi wake aliyekuwa akiitwa Mudi, tulikunywa na kunywa na baada ya kumaliza tulipelekana kwenye chumba kimoja cha Lodge kwa ajili ya kufanya yetu.
Benson alinivulisha na kuniinamisha, nilishangaa kuona akiupeleka mtalimbo wake kwenye tigo yangu.
"Baby wapi huko unaingiza!?"
"Sogeza mkono wako leo nataka nionje utamu wako wa nyuma baby, nimechoka kuk..mba mbele tu!"
Benson alizungumza huku akiendelea kuulazimisha mtalimbo wake kuungiza na baada ya kuona unasumbua aliuchomoa na kuupaka mate na baada ya hapo aliuchomeka tena kwenye tigo yangu kwa kutumia nguvu na ndipo ulipoingia na kunifanya nilale kitandani mwenyewe bira kupenda na mtalimbo wa Benson ulichomoka.
"Mambo gani tena haya tunafanyiana Happy!?"
"Mimi sitaki kunifanya huko nyuma!"
"Happy na wewe shoga yangu kumbe bado mshamba ivi, mbona bakora ya Mudi ipo kwenye tigo yangu tunapeana utamu na hata sijakataa!"
Aisha alizungumza na nilipowaangalia kweli mtalimbo wa Mudi ulikuwa kwenye tigo ya Aisha.
"Wewe ni mtoto wa mjini ila huyu sijui wa wapi tu!? tigo ndiyo mpango mzima sasa ivi, binua kiuno huko mimi nichomeke lasivyo utanikera Happy!"
Binti wa watu baada ya kuona wenzangu wakiniponda kwa maneno basi niliinua kiuno changu na kuinama tena kwa mara nyingine..........ITAENDELEA..