Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPENDA NDEFU 13
Gonga94 · Stories

MPENDA NDEFU 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MPENDA NDEFU 13 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

ENDELEA........
Niliwakuta Joyce na Vanesa wakiwa uchi kabisa tena wamelaliana.
"Mmmmh hawajasagana kweli hawa!?" nilijiuliza na sikutaka kuwasumbua zaidi kufanya kilichonipeleka chumbani.
Nilijiandaa na baada ya kumaliza nilitoka chumbani na kupitia upande wa sebleni na kumkuta Sarah au binti mdogo wa kazi akichakalika na kazi ya kudeki.
"Shikamoo dada!"
"Marahaba mdogo wangu, pole na kazi!"
"Ahsante!"
Nilitoka mpaka nje nikimuacha Sarah akiendelea kudeki.

Kwakuwa kulikuwa na kaumbali basi ilibidi nichukue usafiri na kwenda mpaka sehemu anayoishi dada, nilifika na kukutana na ugomvi uliokuwa ukiendelea kati ya dada na shemeji na baadhi ya watu walikuwepo akiwemo John pamoja na Amina waliokuwa wamesimama pembeni, siku hiyo nilielewa ni wapi John anapoenda kulala karibu kila siku na nilikuwa na uhakika huwa analala kwenye chumba cha Amina

Ugomvi uliokuwepo ni dada kumtimua shemeji yaani hakutaka aendelee kuishi kwenye chumba chake na nilishangaa zaidi pale shemeji aliposema kuwa Eliza usiku uliopita alilala na mwanaume chumbani, Niliamua kuwa upande wa dada na sio upande wa shemeji na kwa hasira shemeji alichukua vitu vyake na kuondoka na watu walitawanyika baada ya ugomvi kumalizika.

Mimi, dada pamoja na Amina tuliingia ndani lakini John aliamua kuondoka.
"Dada ivi kimetokea nini kwanza na mwanaume yupi ulikuwa naye jana!"
Hakutaka kuniambia mwanaume aliyekuwa naye usiku uliopita zaidi ya kuniambia tu amemchoka shemeji ndiyo maana kamtimua.
Jinsi walivyokuwa wakiangalia na Amina nilianza kupatwa na wasiwasi kidogo, niliamini kuna kitu wanachonificha na hawataki kuniambia.
Basi tuliongea mengi na siku hiyo niliamua kushinda na Amina kwenye kibanda changu cha matunda alichokuwa akikisimamia kwa mda.
Eliza yeye alienda kwenye kazi yake anayoifanya siku zote.

Mida ya saa 1 jioni nilimuaga Amina na kugeuza kwa ajili ya kurudi ninapoishi lakini nilipigwa na butwaa kwa mbali nilipomuona Juma akiwa pamoja na dada yangu Eliza.
"Jamani huyo si Juma au naona vibaya!"
Yaani kama kulikuwa na mtu pembeni yangu niliyekuwa naongea naye wakati nilikuwa mwenyewe tu!, nilitaka kusogea mpaka wao walipo ila moyo ulisita na kuamua kuwafatilia ili nione mwisho wao ni upi.
Kingine kilichonifanya niamue kuwafatilia ni baada ya kukumbuka siku aliyoniambia Eliza kuwa anatamani kumpa utelezi Juma ili aone ukubwa wa mtalimbo wake ukoje, nilihisi huwenda wapo kwenye kampeni ya kugawiana utamu.

Nilianza kuwafata taratibu pasipo wao kuniona na macho yalinitoka baada ya kuwaona wakiingia wote ndani ya chumba cha dada na kabra hawajafunga mlango nilikimbia na kuusukuma mlango na kuingia ndani.
"Happy!"
"Dada!? mbona upo na mpenzi wangu!"
Wote waliniangalia baada ya kuwafuma na Eliza alikuwa ni mwenye aibu.
"Ngoja tu nikwambie ukweli mdogo wangu ila samahani na usinifikirie vibaya!, Kiukweli kabisa mimi jana nilifanya mapenzi na Juma na ndiyo maana nilimfukuza shemeji yako, nimevutiwa na huyu mwanaume Happy naomba uniachie mdogo wangu tafadhali!"
Nilijua kilichomvutia ni ukubwa wa mtalimbo tu wa Juma na ufundi wake kitandani na sio kingine.

Niligeuka na kuondoka zangu bira kuongea kitu chochote yaani nguvu zote ziliisha baada ya dada kumchukua Juma, licha ya kuwa mda mwingi niliutumia kusagana na Mke wa Boss ila Juma alikuwa na nafasi yake, joto la mwanaume sio sawa na joto la mwanamke na mboo ya mwanaume sio sawa na mboo bandia, niliumia kiufupi kwa kitendo cha Eliza kunichukulia Juma.

Nilifika home huku nikiwa sina raha kabisa na karibu kila mtu alijua sipo sawa hasa Mke wa Boss aliyeniita pembeni na kuanza kuniuliza kipi kilichokuwa kikinisumbua.
"Mimi nipo sawa tu baby!"
"Sijazoea kukuona hivyo kwanza leo hujashinda hapa nyumbani, najua lazima kuna kitu umekutana nacho huko kilichokuumiza!"
Aliendelea kunisisitizia nimwambie ukweli na mwisho nilijikuta nikifunguka kila kitu kwake kwa kumwambia kile kilichonikuta.
"Pole sana baby, mimi ndiyo maana huwa napenda tusagane tu sisi kwa sisi hawa wanaume ni pasua kichwa hawa!"
"Lakini mimi sitaki kuishi haya maisha ya kusagana tu nataka niwe na mwanaume wa kutengeneza naye maisha na familia!"
"Ila vipi kama ukimpata wa kuwa anakutuliza tu kihisia utatulia hapa hapa nyumbani au!?"
Mawazo yalikuwa mbali na mimi sikusikia vizuri kile alichoniuliza ila nilitikisa kichwa tu nikimkubalia.
"Basi sawa ngoja nitaangalia namna ya kukusaidia, najua unapenda mipini ya wanaume na mimi napenda huduma yako sitaki uende mbali na mimi kabisa Happy maana Rebeca ameshahama hayupo tena, sina mwanamke mwingine wa kufanya naye zaidi yako!"
Yaani nilikuwa ni mtu wa kukubali tu kile alichokuwa akikisema Mke wa Boss.

Ila kiukweli kuna watu mbigu wataisikia tu, sijui kama Mke wa Boss alikuwa timamu kwenye kichwa chake, nasema haya kutokana na maamuzi aliyoamua kuyafanya yaliyoniacha mdomo wazi na kubaki kwenye mshangao mkubwa usiku huo, baada ya wote kumaliza kula dinner ya usiku Vanesa na Joyce walichukuana na kupelekana chumbani tena wakiwa na haraka kweli, licha ya kuwa nilikuwa na mawazo yangu ila nilikumbuka asubuhi nilivyowakuta wamelaliana, moja kwa moja nilipata jibu kuwa lazima nao wameanza kusuguana wakate upwiru wao.

Mimi niliingia kwenye chumba cha Boss kwa ajili ya kulala maana nilikuwa nimeshazoea na kukichukulia kama chumba changu tu, nikiwa chumbani nilishangaa kumuona Mke wa Boss akiingia na mwanaume chumbani na kuufunga mlango.......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPENDA NDEFU 13

MPENDA NDEFU 13 ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

ENDELEA........
Niliwakuta Joyce na Vanesa wakiwa uchi kabisa tena wamelaliana.
"Mmmmh hawajasagana kweli hawa!?" nilijiuliza na sikutaka kuwasumbua zaidi kufanya kilichonipeleka chumbani.
Nilijiandaa na baada ya kumaliza nilitoka chumbani na kupitia upande wa sebleni na kumkuta Sarah au binti mdogo wa kazi akichakalika na kazi ya kudeki.
"Shikamoo dada!"
"Marahaba mdogo wangu, pole na kazi!"
"Ahsante!"
Nilitoka mpaka nje nikimuacha Sarah akiendelea kudeki.

Kwakuwa kulikuwa na kaumbali basi ilibidi nichukue usafiri na kwenda mpaka sehemu anayoishi dada, nilifika na kukutana na ugomvi uliokuwa ukiendelea kati ya dada na shemeji na baadhi ya watu walikuwepo akiwemo John pamoja na Amina waliokuwa wamesimama pembeni, siku hiyo nilielewa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpenda-ndefu-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpenda-ndefu
MPENDA NDEFU 01
MPENDA NDEFU 01
MPENDA NDEFU 02
MPENDA NDEFU 02
MPENDA NDEFU 04
MPENDA NDEFU 04
MPENDA NDEFU 06
MPENDA NDEFU 06
MPENDA NDEFU 05
MPENDA NDEFU 05
MPENDA NDEFU 03
MPENDA NDEFU 03
MPENDA NDEFU 21
MPENDA NDEFU 21
MPENDA NDEFU 14
MPENDA NDEFU 14
MPENDA NDEFU 15
MPENDA NDEFU 15
MPENDA NDEFU 16
MPENDA NDEFU 16
MPENDA NDEFU 17
MPENDA NDEFU 17
MPENDA NDEFU 10 ?
MPENDA NDEFU 10 ?
MPENDA NDEFU 20
MPENDA NDEFU 20
MPENDA NDEFU 19
MPENDA NDEFU 19
MPENDA NDEFU 18
MPENDA NDEFU 18
MPENDA NDEFU 11 ?
MPENDA NDEFU 11 ?
MPENDA NDEFU 09
MPENDA NDEFU 09
MPENDA NDEFU 07
MPENDA NDEFU 07
MPENDA NDEFU 08
MPENDA NDEFU 08
MPENDA NDEFU 12
MPENDA NDEFU 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

891
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

468
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

81

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest