Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPENDA NDEFU 21
Gonga94 · Stories

MPENDA NDEFU 21

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MPENDA NDEFU 21 FINAL ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

ENDELEA........
Kiufupi maisha yale yalinibadilisha kwa kiasi kikubwa na nilikuwa mwanamke mwingine kabisa, licha ya kupenda pesa pia mitalimbo mikubwa niliipenda na kuna mwanaume aliyekuwa akiitwa Mark alikuwa ni miongoni mwao.

Nilifurahishwa naye maana alikuwa na kitu ninachokipenda ambacho ni mbo kubwa!, nilishangaa kuona Mark akizidisha upendo mpaka kufikia hatua kunitamkia kuwa anataka kunioa.

Nilishangazwa maana tabia yangu mwenyewe aliijua ya kudanga na wanaume mbalimbali, nilimuuliza zaidi ya mara mbili lakini Mark alikazia palepale kuwa anataka kunioa.
Sikutaka kufanya maamuzi peke yangu zaidi ya kwenda kumshirikisha Aisha.
"Makubwa mambo ya kuolewa tena ila kama utataka wewe kubali tu kwani shingapi!"
"Tatizo wanaume hawaeleweki hawa shoga!"
"Hiyo ndiyo shida unaweza kuolewa leo alafu baada ya mwaka mkaachana! ila olewa tu ili Benson awe wangu"
Nilibaki njia panda kwakweli ila usumbufu wa Mark ulinifanya binti wa watu nikubali kufunga naye ndoa.

Siku hiyo tukiwa wote tumemaliza kuzagamuana mimi na Mark aliniambia nijiandae ataenda kunitambulisha kwa wazazi wake, nilikubali na kweli baada ya siku kadhaa Mark alinichukua na kunipeleka nyumbani kwao na uzuri wazazi wake walivutiwa na mimi na kitu pekee walichoniambia kama ningekuwa na mtoto basi wasingekubali kuona kijana wao anaoa mwanamke mwenye mtoto.
Tatizo lilikuwa upande wangu kumpeleka Mark nyumbani kwetu, niliogopa taarifa zikimfikia mama mdogo kutokana na wizi nilioufanya wa kumuibia Deo pesa zake, Mark mwenyewe alishangaa kuona nikiwa mgumu kumpeleka nyumbani kwetu.
"Mbona hutaki kunipeleka kwenu!?"
"Hapana ila tu sijui wazazi watanichukuliaje maana ni mda mrefu sijawasiliana nao!"
"Ila wanawake bhana hicho ndiyo kinakufanya uogope Happy!?"
Nilitikisa kichwa nikikubali japo nilijua namdanganya.
Sikuwa na namna zaidi ya kumpeleka Mark nyumbani kwetu, nilichowaza ndicho kilichotokea yaani ile nafika tu mama alinipeleka pembeni na kuanza kuongea na mimi kiukali akinishutumu kuiba pesa za Deo.
"Nilishikwa na tamaa siku ile mama ila msimwambie Mark"
Mama atakabaki kuwa mama tu kwani alikubali kukaa kimya na alienda kumshiriki baba.

ilikuwa kama utani tu ila ndiyo hivyo niliolewa na Mark, Dada Eliza naye alikuwepo kwenye ndoa yangu japo sikujua kama ameshaachana na Juma au bado yupo naye.
Maisha ya ndoa yalianza na nilipunguza mazoea na Aisha na Deo kumbe alizipata taarifa.
Ndani ya wiki hiyo hiyo toka tufunge ndoa Deo alifika tena akiwa na Mama Mdogo, alinikuta nikiwa pamoja na Mark maana alipewa likizo ya wiki moja ili tudinyane vizuri.
"Pesa zangu zipo wapi!?"
Aliongea huku akiniangalia kwa hasira.
"Pesa!"
"Muulize vizuri mkeo atakwambia!"
"Happy!?"
"Abee!"
"Anazungumza kuhusu pesa gani huyu!"
Sikuwa na namna zaidi ya kumwambia ukweli Mark.

Alinikata jicho na niliamini ndoa hamna tena ila nilishangaa akimwambia Deo atalilipa deni taratibu, Mama Mdogo pamoja na Deo waliondoka baada ya kukubaliana na Mark.
"Kwanza nitauza hilo gari lako nipunguze deni la watu!"
Nilikaa kimya tu na sikuwa na namna zaidi ya kumkubalia ili kuepusha maneno mengine.

Wiki moja ilipita nilishangaa kusikia sauti ya Eliza akinipigia kupitia namba ngeni.
"Mdogo wangu naomba unisamehe sana kwakweli kwa kukuibia Juma!"
"Hayo yameshapita dada!"
"Ivi na mme wako naye ana mboo ndefu kama ya Juma!?"
"Tatizo nikimwambia utamuiba na huyu!"
"Simuibi wewe niambie tu!"
"Eeeeh anayo!"
"Mmmmh binti unapenda ndefu wewe!"
"Mbona hata wewe mpenda ndefu usiniseme tu mimi!"
"Yote kwa yote mimi na Juma tumeshamwagana alipata lishangazi huko akaniacha sasa ivi nipo na shemeji yako wa zamani niliyekuwa nikiishi naye!"
Tuliongea mengi hiyo siku ila Eliza hakuacha kunitania kwa kuniambia kuwa atamchukua Mark kisa anamtalimbo mkubwa na alinihimiza nitafute siku ili nikamsalimie na tuongee vizuri.

Miezi miwili mbele tena nikiwa na mimba ya mwezi mmoja nilienda kumtembelea Eliza ila kabra sijafika kwake nilikutana na Sarah binti aliyekuwa akifanya kazi kwenye nyumba ya Mke wa Boss niliyekuwa nikisagana naye.
Sarah aliniambia mengi kuhusu mambo yaliyotokea kwa Mke wa Boss.
Aliniambia kuwa ilifika kipindi John pamoja na mama yake walikuwa wanalala pamoja na Silas naye na wadogo zake ambao ni Joyce pamoja na Vanesa.
Hakuishia hapo tu, alienda mbali zaidi kwa kuniambia kuwa Baba wa familia baada ya kugundua mambo yaliyokuwa yakifanywa na familia yake aliondoka na hakuwahi kurudi tena.
"Dada hata mimi niliamua kuacha kazi kwenye ile nyumba!"
"Kwanini uliacha!?"
"John!"
"Alikufanyeje!?"
"Alinibaka na kuniumiza!"
Nilimpa pole Sarah baada ya kuniambia vile na aliondoka na kuendelea na safari zake na mimi niliendelea na safari yangu nikienda anapoishi Eliza japo kichwani nilitamani kujua zaidi kile kinachoendelea kwenye nyumba ya Mke wa Boss....

Mpaka namaliza kusimulia story hii na mtoto mmoja wa kiume na nimeridhika na mme wangu Mark huku tukipeana utamu kama wote.
"Mbona hujaniambia kuhusu Mke wa Boss wako pamoja na watoto wake!"
"Oooh mambo mengi Zooper mpaka nilitaka kusahau, katika kupeleleza kwangu nilisikia familia ilitengana na kila mtu anaishi maisha yake, Joyce pamoja na Vanesa nao sasa ivi ni wadangaji wazuri na wapo hapa hapa mjini kwa sasa!"
"Hapo sawa, mmeo unampa tigo au umeshaacha sasa ivi!?"
"Heeee! swali gani hilo sasa Zooper,  nikiwa kwenye siku zangu huwa nampa niwe tu muwazi sitaki achepuke mie!"
"Vua basi tuone!"
"Naona umechoka kuniuliza mswali, aya nyenyuka uondoke haraka kwenye nyumba yangu kabra Mark hajarudi!"
"Basi nilikuwa nakutania tu na wewe Happy! ahsante kwa kupoteza mda wako kunisimulia mkasa wako, uwe na siku njema"

                  MWISHOOOOO.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPENDA NDEFU 21

MPENDA NDEFU 21 FINAL ??
WhatsApp……...0613083801
Umri………………..18+

ENDELEA........
Kiufupi maisha yale yalinibadilisha kwa kiasi kikubwa na nilikuwa mwanamke mwingine kabisa, licha ya kupenda pesa pia mitalimbo mikubwa niliipenda na kuna mwanaume aliyekuwa akiitwa Mark alikuwa ni miongoni mwao.

Nilifurahishwa naye maana alikuwa na kitu ninachokipenda ambacho ni mbo kubwa!, nilishangaa kuona Mark akizidisha upendo mpaka kufikia hatua kunitamkia kuwa anataka kunioa.

Nilishangazwa maana tabia yangu mwenyewe aliijua ya kudanga na wanaume mbalimbali, nilimuuliza zaidi ya mara mbili lakini Mark alikazia palepale kuwa anataka kunioa.
Sikutaka kufanya maamuzi peke yangu zaidi ya kwenda kumshirikisha Aisha.
"Makubwa mambo ya kuolewa tena ila kama utataka wewe kubali tu kwani shingapi!"
"Tatizo wanaume...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpenda-ndefu-21

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpenda-ndefu
MPENDA NDEFU 01
MPENDA NDEFU 01
MPENDA NDEFU 02
MPENDA NDEFU 02
MPENDA NDEFU 04
MPENDA NDEFU 04
MPENDA NDEFU 06
MPENDA NDEFU 06
MPENDA NDEFU 05
MPENDA NDEFU 05
MPENDA NDEFU 03
MPENDA NDEFU 03
MPENDA NDEFU 14
MPENDA NDEFU 14
MPENDA NDEFU 15
MPENDA NDEFU 15
MPENDA NDEFU 16
MPENDA NDEFU 16
MPENDA NDEFU 17
MPENDA NDEFU 17
MPENDA NDEFU 10 ?
MPENDA NDEFU 10 ?
MPENDA NDEFU 13
MPENDA NDEFU 13
MPENDA NDEFU 19
MPENDA NDEFU 19
MPENDA NDEFU 20
MPENDA NDEFU 20
MPENDA NDEFU 11 ?
MPENDA NDEFU 11 ?
MPENDA NDEFU 18
MPENDA NDEFU 18
MPENDA NDEFU 09
MPENDA NDEFU 09
MPENDA NDEFU 07
MPENDA NDEFU 07
MPENDA NDEFU 08
MPENDA NDEFU 08
MPENDA NDEFU 12
MPENDA NDEFU 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

495
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

436
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

234
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

99

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest