Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 15 🔥      Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia  max vizuri
Gonga94 · Stories

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 15 🔥 Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia max vizuri

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
sana na kubaki nikiwa nimetoka macho tu, muda huo nilibaki nikiangalia uku na uku, Yaani Mara nimuangalie max Mara nimuangalie mume wangu yaani shingo yangu haikutulia kabisa.

Max akanishika mkono wangu na tukaanza kuondoka lakini gafla hamad akadaka mkono wangu wa pili na kuzuungumza.

“Broh achia mkono wa mke wangu “
Max akaniangalia kwa muda kisha akaniachia mkono wangu na kubaki akimuangalia Hamad kana kwamba ananiambia haya fanya unachokitaka.

“Shamsa unafanya nini uku Saa hizi Tena mke wa mtu na mume wako Sijui kabisa “

Alizungumza hamd uku akitunisha kufua Kana kwamba alikuwa akimtambia max Kuwa huyu ni mke wangu Broh.

“Ina maana awakumbukani au ??”

Nilijiuliza kimoyomoyo tu, Yaani hamad na max walikutana Nyumbani kwetu kama umesahau ilikuwa ni siku ile ambayo Mimi nilienda shuleni kwa watoto wangu na kuwapelekea zawadi Mbili Tatu halafu hamad akagundua na kuja kufanya Fujo Nyumbani kwetu.

“Hamad tukutane ofisini”

Alizungumza max kisha akanishika mkono Mimi na kuanza kuniongozesha njia.

“Ofisini ? Kwani wanajuana au ? Aaah ni nini kinaendelea jamani au wananichezea michezo wawili hawa”


Nilijikuta nikipata wasiwasi wa hali ya juu sana, Yaani nilishindwa kuelewa ni kitu gani kilikuwa niliendelea jamani, Yaani Mimi najionea mapicha Picha lakini nilipofikia ni Kama Natakiwa Kuwa makini sana, akili yangu iliniambia Kuwa max na hamad ni wa najuaana na ni watu ambao mni team moja na wanaangalia njia ya kunichota Tu na kuharibu kila kitu kwenye maisha yangu.

Basi moja kWa moja nikiwa nikiwanimeshikwa mkono na max, safari ikaishia kwenye ofisi moja kubwa sana, ofisi ambayo ilikuwa na kila kitu muhimu, ofisi Fulani hivi kubwa na ya kisasa.

“Kaa pale “

Alizungumza max uku akinyooshea mkono sehemu Ambayo anataka Mimi nikae .

“Max kuna nini ??”

Nilijikuta nikiuliza kWa wasiwasi sana maana ni Kama max alikuwa serious sana na alionekana kuwa na hasira kiasi.

“Shamsa Kaa pale kwnza Nina mazungumzo ya muhimu sana kWa sasa”

Eeeh nini hiki jamani 🥹 ifikie hatua sasa na Mimi maisha yangu yapate utulivu jamni Yaani Nimekuwa ni mtu wa matukio Mapya kila iitwapo Leo khaaah.

“Hamad kuna chochote kile kinaendelea hapa ofisini na unataka kunijulisha ??”

Max alimuuliza hamad Kana kwamba yeye ndio boss wa ofisini nzima.

“Kitu gani ??”

Hamad alimuuliza max lakini macho yake yote yalikuwa yakiniangalia Mimi tu.

“Kwamba ujui kitu gani ? Hamad kuna upotevu wa Pesa nyingi sana za ofisi, Jambo ambalo niliamini Kuwa wewe ndio ulitakiwa Kuwa wa kwanza kabisa kunijulisha sasa sijajua shida ni nini “
KWa sauti ya dharau hamad akajibu.

“Na Kwanini nikushirikishe ikiwa hautaki kufika ofisini na upo bize kuangaika na wanawake za watu kwenye kila kona ya dunia”

“Hamad usiniletee masuala ya mapenzi kwenye ofisi yangu, usiniletee mahusiano kwenye Mali ambayo nimetumia nguvu nyingi sana kuifikisha hapa ilipo”

Hapo hamad akajikuta akicheka sana na na kuzungumza.

“Unavyozungumza Sijui ofisi yangu Sijui nini nini, utafikili hii ofisi ni yako peke yako “

Max alionekana kuchanganyikiwa sana alibaki Akizunguka uku na uku na kukuna kichwa chake tu.

“Hamad unasiikia ninachozungunza lakini au ? Nazani unaanza kusahau au labda baba yako alichelewa kukupa taarifa zangu, ngoja nikuambie kitu hamad, Mimi ndio mwanzilishi wa hii kampuni, Mimi ndio CEO wa kampuni nzima, lakini pia mimi ndiye mtu Mwenye shareholder kubwa, hapa ofisini namiliki asilimia 87 ya kila kitu hapa Kwahiyo unaweza kuona utofauti, sikiliza nakupa hii barua mfikishie baba yako kisha Mwambie baba yako Nina maongezi nae lakini Kuanzia sasa sitaki Tena kukuona kwenye ofisi hii mpaka nitakapokuita “

Eeeek kwanza nilikuwa nasahau Kuwaambia kitu jamani, Yaani Leo ndio Nimejua sehemu ambayo hamad anafanya kazi 😂🙌 Yaani miaka yote tuliyoishi sikuwai kujua sehemu halisi anayofanyia kazi hamad, hamad amekuwa mtu wa kunificha mambo yake.

Hamad wa watu mwaya sijui ndio kuchanganyikiwa Sijui ni kitu gani maana kwa haraka sana akanishika mkono na kuniambia.

“Wewe na Mimi Tutamalizana Nyumbani “

Kisha akaanza kunivuta uku na uku akitaka tuondoke wote.

“Hamad Ebu Niache “

Nilizungumza kWa hasira sana kisha nikatoa mkono wangu na kurudi kukaa chini.

“Nitakufundisha adabu mbwa wewe “

Alizungumza hamad kWa hasira sana kisha akaondoka zake.

Baada ya hamad kuondoka, na Mimi nikamgeukia max na kumuuliza.

“Ilikuwa Unamaanisha nini kunileta uku na unajua hamad yupo uku au haujui Kuwa yeye ni mume wangu ??”

KWa mwendo wa taratibu max akaanisogelea na kuzungumza.

“Nafikili ilo Jina la mume wangu ungelitoa kinywani mwako Shamsa, hamad astahili kuitwa mume ata siku moja, halafu Nafikili labda unikumbuki tu Ila Mimi nakukumbuka, miaka kadhaa nyuma nilikuja Nyumbani kwako, nakumbuka wewe ndio kwanza ulikuwa umetoka kujifungua Mtoto wako wa kwanza lakini hamad akakutambulisha wewe Kama mfanyakazi wake wa kazi za Ndani na niliamini hivyo”

“Max sitaki kujua mambo ya nyuma Sawa nataka kujua sababu ya wewe kunileta uku na unajua kabisa hamad yupo, Lengo lako ni nini ?!”


“Sina Lengo baya na wewe ata kidogo, Kama unakumbuka nilikuambia Kuwa hakuna mtu mwingine anayejua Kama Mimi Nina ofisi nyingine Tena kubwa Kama hii “

“Max unanichanganya tu, Lengo lako ni nini Yaani 🥹”

Max baada ya kuona Kuwa Mimi Nimepaniki sana gafla tu Akalopoka.

“KWa sababu nakupenda Shamsa, kwa sababu wewe ni mwanamke wa maisha yangu “

Nyieeeeh kwanza nilishtuka sana na kujikuta nikinyanyuka kitini bila kupenda.

“Yaaaah najua utasema Kuwa wewe ni mke wa mtu lakini hamad hakustahili wewe ata kidogo, hamad hana hadhi ya kumiliki mwanamke Kama wewe, I love you Shamsa”

“Kimya, kimya max Kaa kimya “

Nilijikuta nikimfokea tu maana ni Kama alikuwa akinipigia Kelele, kitendo cha max kuniambia ukweli wa moyo wake kilinikimbusha mbali sana, kilinikumbusha enzi hizo za nyuma wakati hamad ananitongoza, siwezi kukataa Kuwa nampenda sana max na nanatamani sana awe mwenza wa maisha yangu lakini naogopa sana, ndoa yangu na hamad imenitengenezea Picha ya kutisha sana kwenye maisha yangu.

“Nipeleke Nyumbani “

Nilimwambia max.

Mkaka wa watu alielewa Kuwa siko sawa hivyo Wala hakufanya ajizi alichofanya ni kunishika mkono na kuniongoza njia maana sikuwa ata na nguvu kWa wakati huo.

Baada Kama ya masaa mawili hivi tayali nilikuwa Nyumbani wetu, Yaani tayali nilifika kWa wazazi wangu na mama na baba yangu wakanipokea wakiamini Kuwa Naumwa kutokana na maelezo ya uongo waliyopatiwa na hamad.

********

Siku ziliendelea kwenda na hatimaye siku ya mwisho ya maamuzi juu ya taraka yangu Mimi na hamad lakini pia juu ya malezi ya watoto, siku hiyo nilikuwa ni mtu Mwenye huzuni sana na Mwenye wasiwasi wa hali ya juu, kwa upande wangu Bwana nilikuwa na mama yangu, baba, max, Neha pamoja na mume wa Neha na wadogo zangu wengine.

KWa upande wa hamad alikuja na familia yake ambayo ilijionesha Kuwa na Pesa sana maana walikuja na ma gari ya kisasa sana.

Mwenye Pesa sio mwenzio bwnaaa 🥹💔 Yaani baada ya kutoa ushahidi wangu ulionyoka na kila kitu still hamad akainuka mshindi kwenye upande wa malezi ya watoto lakini pia kwenye taraka hamad alikataa kabisa kunipatia taraka akidai Kuwa ananipenda sana na anataka Mimi na yeye tulee watoto wetu kWa pamoja.

JE NI KITU GANİ KITAFUATA TUKUTANE SEHEMU INAYO.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 15 🔥 Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia max vizuri

sana na kubaki nikiwa nimetoka macho tu, muda huo nilibaki nikiangalia uku na uku, Yaani Mara nimuangalie max Mara nimuangalie mume wangu yaani shingo yangu haikutulia kabisa.

Max akanishika mkono wangu na tukaanza kuondoka lakini gafla hamad akadaka mkono wangu wa pili na kuzuungumza.

“Broh achia mkono wa mke wangu “
Max akaniangalia kwa muda kisha akaniachia mkono wangu na kubaki akimuangalia Hamad kana kwamba ananiambia haya fanya unachokitaka.

“Shamsa unafanya nini uku Saa hizi Tena mke wa mtu na mume wako Sijui kabisa “

Alizungumza hamd uku akitunisha kufua Kana kwamba alikuwa akimtambia max Kuwa huyu ni mke wangu Broh.

“Ina...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya-15-kwanza-nilishtuka-sana-na-haraka-nikatoa-mikono-yan

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 07
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 07
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 13        KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 13 KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 14       “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 14 “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
   MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 09....10        Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 09....10 Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 12         Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 12 Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

555
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

497
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

490
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

346
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

278
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

244
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

207
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

193
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

128
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

75

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.17K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘
@majario LIVE

Usiku mzima Hemed hakuniongelesha kitu chochote namm sikutaka kumuongelesha nililala zangu kimya nikajikausha mpaka asubuhi niliwahi kuamka nikamwandalia kiamsha kinywa then nilirudi chumbani kwa ajiri ya kujiandaa kwenda kazini.... nilivyotoka...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest