Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth”
Gonga94 · Stories

Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth”

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth” iliigizwa na Raia Wa uingereza Robert Powell.Kuanzia apo Dunia ikaanza kukumbwa na Mtazamo kuwa Sura ya Robert powell ndiyo Sura halisi ya YESU.

Miaka miwili mbele Yaani 1979 ilitengenezwa Filamu nyingine ya Maisha ya YESU .mtu mmoja akachaguliwa kuigiza Filamu hiyo Muingereza aliyeitwa Brian Deacon .Filamu hii iliuza Sana Duniani na Watu wakaamini Sura halisi ya YESU ni Ile waliyoiona kwenye Filamu .

Picha za Robert powell na Brian Deacon waigizaji walioigiza Filamu ya YESU zikaprintiwa na kuuzwa Kwa wingi .karibu na kila nyumba ya Mkristo Duniani Sebule Yake ilipambwa Kwa picha za Brian Deacon na Robert powell .Imani moyoni ilituambia sasa Ile Ni picha ya YESU.

Mbaka makanisa zikatengenezwa sanamu zenye Sura ya Robert powell na Bryan Decon na watu wanaamini kuwa hiyo Ni Sura halisi ya YESU Mwana Wa Mungu . inawezekana kuwa picha Brian Deacon na Robert powell inafanana na Sura halisi ya YESU lakini si kwamba huo ndio muonekano Halisi Wa YESU hivyo Tuweni makini isije siku YESU akarudi tukashindwa kumpokea Kwa Maana tumekalili zile picha za Brian Deacon na Robert powell Kwa kudhani kuwa ndio Mwonekano halisi Wa YESU.

Mwandishi na mwanafalsafa Kutoka uingereza George Bernard show aliwahi kusema “kuweni makini na Elimu yenye upotofu Kwa Maana Ni hatari zaidi kuliko ujinga ”

Hapo zamani Mchoraji mmoja Maarufu kutokea katika falme za Byzantine iliyo kuwa chini ya utawala Wa kirumi Miaka 200 baada ya kifo cha Kristo .aliamua kuchora michoro Kwa jinsi anavyo fikiria Kwa akili zake kuwa YESU alikuwa anaonekanaje.kijana huyo alikuwa ni mfuasi Wa Miungu ya Kigiriki hivyo mchoro huo aliuchora Kwa kuufananisha na muonekano Wa Miungu ya Kigiriki.

Zamani kulikuwapo na Miungu ya Kigiriki ambayo sifa ya mionekano yao ni kuwa na nywele na ndevu ndefu.Miungu hiyo Ni Apollo na Zeus.basi hapo zamani katika falme ya Byzantine iliyo kuwa chini ya utawala Wa Roma , Miaka 200 baada ya kifo cha Yesu kijana mmoja Mwenye stadi ya uchoraji aliyekuwa mfuasi Wa Miungu ya Kigiriki aliamua kuchora picha ya muonekano Wa YESU Kwa jinsi anavyo fikiria.Alimchora kijana Handsome akifananisha muonekano wa YESU.

Inawezekana mchoro huo ulitumika kuipotosha Dunia watu waliamini YESU alikuwa na ndevu ndefu na nywele nyingi .kumbe ulikuwa Ni uongo Wa Yule Mchoraji Wa kirumi Ambaye alimchora YESU na kumfananisha na Miungu Yao ya kirumi ZEUS . inawezekana alifanikiwa Kwa kiasi kikubwa kuudanganya ulimwengu.

Kwa wasomi Wa Dini ya Ukristo wanatambua kuwa zamani watu wa kale walipo kuwa wakiandika na kuchora picha za YESU mapangoni au kwenye makanisa ya zamani wote walimchora YESU akiwa na nywele Fupi .

Ushahidi Wa msingi Wa michoro hii ni ule ushahidi wa watu wa kale walio chora mchoro Wa YESU na kuuweka katika kanisa la Dura europos huko Syria ambapo zamani ilikuwa ni mpakani katika Dola ya kirumi katika karne ya 3.Yesu aliishi katika utawala Wa Dola ya Rumi katika karne ya Kwanza .Dola ya kirumi ndio ilikuwa ikitawala Dunia wakati huo.hivyo watu wengi waliishi katika tamaduni za kirumi.

Itaendelea!.

Karibu Nyasa - Mbamba Bay
Karibu (Ruvuma) Songea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth”

Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth” iliigizwa na Raia Wa uingereza Robert Powell.Kuanzia apo Dunia ikaanza kukumbwa na Mtazamo kuwa Sura ya Robert powell ndiyo Sura halisi ya YESU.

Miaka miwili mbele Yaani 1979 ilitengenezwa Filamu nyingine ya Maisha ya YESU .mtu mmoja akachaguliwa kuigiza Filamu hiyo Muingereza aliyeitwa Brian Deacon .Filamu hii iliuza Sana Duniani na Watu wakaamini Sura halisi ya YESU ni Ile waliyoiona kwenye Filamu .

Picha za Robert powell na Brian Deacon waigizaji walioigiza Filamu ya YESU zikaprintiwa na kuuzwa Kwa wingi .karibu na kila nyumba ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwaka-1977-ilitoka-filamu-maarufu-iliyo-kuwa-ikizungumzia-maisha-ya-yesu-filamu-hii-iliitwa-jesus-of

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwaka
CHOMBEZO-JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA KWANZA  Ilikuwa mwaka 2008 nilipomaliza kidato cha nne,lakini matokeo
CHOMBEZO-JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA KWANZA Ilikuwa mwaka 2008 nilipomaliza kidato cha nne,lakini matokeo
Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo
Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo
Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
*BIKRA TAMU, DADA NAKUOA* *1-5* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  Ilikuwa ni mwaka elfu mbili na kumi na nane, mwaka ambao nilikuwa chuo mwaka wa pili,
*BIKRA TAMU, DADA NAKUOA* *1-5* *_____________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Ilikuwa ni mwaka elfu mbili na kumi na nane, mwaka ambao nilikuwa chuo mwaka wa pili,
Chombezo : Huruma Ya Dudu  Sehemu Ya : Kwanza (1)  Nakumbuka ilikuwa mwaka jana tarehe 8 mwezi wa 8, siku ambayo niliamua
Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Kwanza (1) Nakumbuka ilikuwa mwaka jana tarehe 8 mwezi wa 8, siku ambayo niliamua
NITAWATAJIRISHA KWA MWAKA MMOJA TU NA WATARUDI KWENYE UMASKINI WAO
NITAWATAJIRISHA KWA MWAKA MMOJA TU NA WATARUDI KWENYE UMASKINI WAO
Gari la kwanza duniani lilitengenezwa nchini  Ujerumani na mtu mashuhuri  Karl Benz  mwaka 1885
Gari la kwanza duniani lilitengenezwa nchini Ujerumani na mtu mashuhuri Karl Benz mwaka 1885
Mnamo mwaka 1899, ikiwa ungetaka kusikiliza wimbo, ulilazimika kukodi bendi ya muziki au kujifunza piano
Mnamo mwaka 1899, ikiwa ungetaka kusikiliza wimbo, ulilazimika kukodi bendi ya muziki au kujifunza piano
Nicki Minaj aliandika kwenye Twitter:  “Inashangaza kuona baadhi ya watu bado wamekwama mwaka 2003
Nicki Minaj aliandika kwenye Twitter: “Inashangaza kuona baadhi ya watu bado wamekwama mwaka 2003
MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________  Mwaka 1983,
MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________ Mwaka 1983,
SULTANAT ndiyo filamu ya kwanza kuwakutanisha wawili hawa mwaka 1986, ndani humo kukiwa na Sunny Deol, Dharmendra na Amrish Puri
SULTANAT ndiyo filamu ya kwanza kuwakutanisha wawili hawa mwaka 1986, ndani humo kukiwa na Sunny Deol, Dharmendra na Amrish Puri
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
Tarehe 11 November kama leo lakini hii ilikua ni mwaka 1988 filamu hii iliachiwa rasmi kwenye majumba ya sinema.  TEZAAB
Tarehe 11 November kama leo lakini hii ilikua ni mwaka 1988 filamu hii iliachiwa rasmi kwenye majumba ya sinema. TEZAAB
 BETWEEN SISTERS AND SECRET 8-9 Chapter 8 "Sweetheart, hapa ni kituo cha watoto yatima. Kila mwaka huwa tunakuja kupata nao chakula,
BETWEEN SISTERS AND SECRET 8-9 Chapter 8 "Sweetheart, hapa ni kituo cha watoto yatima. Kila mwaka huwa tunakuja kupata nao chakula,
MUNGU NISAMEHE NIMEMT*OA MIMBA BINTI YANGU!  Mwaka 2008 ndiyo niliachana na mama wa mtoto wangu
MUNGU NISAMEHE NIMEMT*OA MIMBA BINTI YANGU! Mwaka 2008 ndiyo niliachana na mama wa mtoto wangu
Chini ya Rais Barack Obama Mnamo mwaka wa 2010, Marekani ilizindua uchunguzi maalumu uliohusisha uchambuzi wa taarifa za siri na ushahidi uliotolewa na mahabusu waliohusika na Al-Qaeda
Chini ya Rais Barack Obama Mnamo mwaka wa 2010, Marekani ilizindua uchunguzi maalumu uliohusisha uchambuzi wa taarifa za siri na ushahidi uliotolewa na mahabusu waliohusika na Al-Qaeda
Cynthia Rothrock Machi 8 mwaka 1957 katika jiji la Wilmington
Cynthia Rothrock Machi 8 mwaka 1957 katika jiji la Wilmington
FIFA inafikiria mashindo ya Kombe la Dunia la mwaka 2030 kushirikisha timu 64 lengo likiwa ni kusherehekea miaka 100 tangu kufanyika kwa Kombe la Dunia la Kwanza 1930 Uruguay
FIFA inafikiria mashindo ya Kombe la Dunia la mwaka 2030 kushirikisha timu 64 lengo likiwa ni kusherehekea miaka 100 tangu kufanyika kwa Kombe la Dunia la Kwanza 1930 Uruguay
Mwaka 1992 kundi la vijana  Stoway kutoka Ghana walimvamia na kumnyonga Nahodha wa meli ya mizigo ya
Mwaka 1992 kundi la vijana Stoway kutoka Ghana walimvamia na kumnyonga Nahodha wa meli ya mizigo ya
Hapo ni Golden Harvest Studios mwaka 1972 pale ambapo kijana mdogo Jackie Chan alijihisi anauwezo sawa na mpiganaji bora wa dunia wa muda wote Bruce Lee,Na
Hapo ni Golden Harvest Studios mwaka 1972 pale ambapo kijana mdogo Jackie Chan alijihisi anauwezo sawa na mpiganaji bora wa dunia wa muda wote Bruce Lee,Na
Apocalypto ya mwaka 2006  ni moja kati ya filamu bora kwenye ulimwengu wa filamu..
Apocalypto ya mwaka 2006 ni moja kati ya filamu bora kwenye ulimwengu wa filamu..
Historia ya MV Bukoba  Meli ya MV Bukoba ilizinduliwa mwaka 1979 na Baba wa Taifa
Historia ya MV Bukoba Meli ya MV Bukoba ilizinduliwa mwaka 1979 na Baba wa Taifa
Angela white, mzaliwa wa Australia amezaliwa mwaka 1985 Kwa Sasa ana umri wa miaka 40.
Angela white, mzaliwa wa Australia amezaliwa mwaka 1985 Kwa Sasa ana umri wa miaka 40.
Ilikuwa ni kwenye tuzo za Hollywood mwaka 2000,Pale ambapo familia
Ilikuwa ni kwenye tuzo za Hollywood mwaka 2000,Pale ambapo familia
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

662
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

591
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

206
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

168
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

159
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

151
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

138
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

114
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

98
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

96

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa 🔥🔥🔥  SEHEMU YA 1       😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui  wapi wapii  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mr. Marvel akaendelea “Niliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest