Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

ONE NIGHT ONE MISTAKE*❤ *1---2* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  Kulikuwa na maandalizi ya ukumbi ambao kulikuwa na maonyesho ya kibiashara. Salsabil msichana mrembo
Gonga94 · Stories

ONE NIGHT ONE MISTAKE*❤ *1---2* *_____________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Kulikuwa na maandalizi ya ukumbi ambao kulikuwa na maonyesho ya kibiashara. Salsabil msichana mrembo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
alikuwa akishuhurika na wenzake kufanya maandalizi kwaajili ya kumpokea ceo wa hiyo kampuni kuja kuangalia kampuni yake mpya ilifunguliwa miezi mitatu iliyopita.

Baada ya maandalizi watu wote walikaal pembeni kumsubiri mgeni rasmi ambae watu wengi hawakuwa wakimjua.

Jamani kila mtu akae kwenye nafasi mgeni mgeni rasmi amefika magari yameanza

kuingizana huko. Alisema msichana mmoja anayeitwa Amina na kila mmoja alienda kukaa kwenye nafasi yake. Salsa alipokuwa anaenda kwenye sehemu yake

aliitwa.

"Salsa hebu katoe kile kikopo cha rangi pale. Salsa alienda kuchukua bakuri ya rangi ambayo ilikuwa inatumika kucholea michoro na maandishi ya kumkaribisha mgeni. Wakati anarudi kwa haraka alijikuta anavamiana na mtu na ile rangi ikawamwagikia wote wawili.

Kwani ulikuwa unaangalia wapi angalia sasa ulivyonichafulia nguo yangu nyeupe. Aliongea salsa bila kumjali kuwa kamchafua na huyo anamlaumu.

Yule mtu alinyamaza kimnya akiangalia suti yake ya gharama jinsi ilivyochafuliwa na ile rangi nyekundu.

Salsa aliponyanyua uso wake alikutana na sura ya kijana mtanashati mwenye sura ya kuvutia alibaki mdomo wazi kwa kuduwaa.

Yule mwanaume alimuangalia machoni huku kila mtu akiwa anaangalia jinsi walivyokuwa

wanaangaliana. Fumba mdomo nzi wataingia. Alisema yule kijana huku akimuangalia usoni na salsa akifumba mdomo wake haraka. Unatakiwa kuwa makini unapokuwa

unatembea ona sasa hasara kwetu umechafua

nguo yako na mimi nimechagua nguo yangu na nilipangiwa kuwa karibu na mgeni rasmi sasa kila kitu kimeharibika shauku yangu imeishia hapa.

"Masikini pole sana. Aliongea yule kijana huku

akimsikitikia

Afadhali kama hiyo pole yako Ingekuwa na msaada lakini haisaidil chochote ni kelele tu kwangu.

Salsa alitaka kuondoka lakini yule kijana alimshika mkono. Salsa akamuangalia usoni. *Vipi tena?

"Unaitwa nani? "Sidhani kama ni muhimu kujua jina langu. Naitwa Romex.

"Hongera kwa kwa kuwa na jina la kishua kama hilo ila mimi sina muda wa kuendelea kukusikiliza sababu kuna mtu muhimu anakuja hapa.

Mara alifika boss wa ila kampuni na kumkaribisha yule kijana kwa heshima, tu Karibu mr Romex ulikuwa unasubiriwa wewe

Salsa alishituka kusikia boss wake akimkaribisha kwa heshima "mmmh mbona boss anamkaribisha kwa

heshima inamaana ni mtu wa muhimu hapa? Meneja alipoangalia vizuri akaona salsa na Romex walikaa wamechafuka kwa rangi na salsa akiwa kamshikilia kikopo cha rangi.

"Salsa nini hiki? Aliuliza boss

"Aaa ni ajali ndogo imetokea.

*Salsa wewe sio muangalifu hata kidogo kwani ulikuwa huoni?

"Nisamehe boss ilikuwa ni haraka na imetokea. bahati mbaya.

"Usijali salsa chukua koti langu nenda kafue.

Romex alivua lile koti na kumpa salsa. Salsa aliondoka huku akiwa analalamika. "Sasa mimi nafuaje hizi rangi kiti lenyewe linaonekana zito sana.

Salsa alienda kufua lile koti lakini ilikuwa ngumu sana ile rangi kutoka. Alichukua muda mrefu sana kulitakatisha.

Wakati anamalizia mara alikuja msichana mmoja.

"Bado haujamaliza tu?

"Bado haikuwa kazi rahisi, rangi ilikuwa ngumu sana kutoka. *Pole.

Kwani yule kijana ni nani?

Ni mtoto wa hii kampuni amekuja badala ya baba yake na inasemekana yeye ndio mrithi wa hii kampuni.

"Weeee... Sasa itakuwaje?

"Kuwaje kivipi? Sikuongea nae kwa adabu na wala sikujua kama anaweza kuwa mmiliki wa kampuni.

"Umzaniae sir kumbe ndie. Inaweza kuleta shida kwangu natamani. kumuomba msamaha.

"Sijui kama unaweza kupata nafasi ya kukutana nae maana atakuwa Bize sana na maswala ya kazi.

Kesho Yake asubuhi wakiwa kazini mara aliingia Romex akiwa na bodyguard wake, alipita karibu na meza ya salsa alimuangalia na kuachia tabasamu la mbali kisha akapita zake na kwenda ofisini kwa boss Ivan. wakati huo moyo wa salsa ulikuwa ukidunda kwa kasi.

Uuuuh nimeshiriki sana sasa namuogopa sijui atatoa maamuzi gani kuhusu kauli zangu za Jana.

Baada ya muda Romex alitoka ofisini akiwa kaongozana na Ivan huku wakiwa wanaongea mambo yao

Yule mlinzi wa Romex alimfuata salsa

"Habaril

Salama... Salsa aliitikia kwa hofu huku akimuangalia uso.

Nina maagizo kutoka kwa boss Romex. Salsa kusikia hivyo moyo wake ulipasuka akajua

anaenda kupokea taarifa mbaya. "Leo jioni kwenye hoteli ya Silver hotel kutakuwa na sherehe hivyo itatakiwa kuja na lile koti. Sawa, sawa nitakuja nalo hata hivyo

limeshakauka na rangi yote imetoka..... Salsa aliongea maneno mengi yule mlinzi hakuwa na muda wa kumsikiliza aliondoka. Salsa alishika mapigo ya moyo wake kisha akashusha pumzi

Uuuuh... Huu mdomo utakuja kuniponza jamani.

Aliendelea kufanya kazi mara boss wao mr Ivan alirudi na kutoa tangazo kuwa siku hiyo watu

watatoka mapema kwaajili ya kwenda kufanya maandalizi kwaajili ya sherehe. "Ceo Romex amefurahishwa na utendaji wa kazi na kampuni imefanya vizuri kutokana na jitihada

zetu na kujituma hivyo basi ameamua tukajipingeze kwahiyo leo kuanzia muda ya saa moja jioni tutaenda kusheherekea mafanikio yetu kwenye hotel ya Silver hotel. Wafanyakazi wote walifurahi.

Ilipofika jioni Salsa alikuwa chumbani kwake alichagua nguo ya kuvaa, alitoa nguo nyingi na

kujaribisha. Alichukua gauni moja ya rangi pink. "Hii itafaa huwa inanikaa vizuri. Baada ya kufanya maamuzi alianza kujiandaa huku akiwa amekaa mbele ya kioo cha dressing.

table.

Baada ya kufanya maandalizi alichukua koti la Romex akiweka vizuri kisha akatoka kwenda kuchukua usafiri.

Wakati anaelekea hotelini kulikuwa kuna foleni sana barabarani hivyo kusababisha kuchelewa sana kufika kwenye eneo la sherehe.

Chapter 2

Alipofika alikuta ukumbi imechangamka sherehe ilikuwa imefana, kulikuwa na nyama za kutosha pamoja na vinywaji huku bufee ikiwa pembeni. alienda kukaa sehemu huku akiwa anasubiri mtu wa kwenda kuchukua lile koti.

Kwa upande wa Romex alikuwa amesimama sehemu akila nyama. Alimsogelea mlinzi wake

na kunnongoneza. Fanya maarifa si unajua siwezi kulala bila kupata mrembo.

Najua hili boss marekebisho sasa hivi. Sawa lakini ningempata Merry ingekuwa poa sana.

Mlinzi alisogea pembeni akatoa simu na

Sawa usijali

kumpigia mtu. Wakati huo watu waliendelea kula na kunywa.

Salsa alikuwa anakunywa juice tu. Wewe kwani ni mgonjwa? Mmoja aliuliza

Mimi mzima sina ugonjwa wowote.

Sasa mbona unajijaza juice kama mtoto mdogo?

"Unataka ninywe nini sasa? Kunywa vinywaji vya wakubwa achana na soda sijui juice.

Salsa hakukubaliana na ushauri wa wenzake lakini alipoenda chooni walimtilia wine kwenye kinywaji chake.

Baada ya kurudi alikunywa kidogo mara mlinzi wa Romex alipita karibu na alipokuwa amekaa.

Salsa alinyanyuka huku akiwa na lile koti. Mr.... Aliita. Hivyo sababu hakujua jina lake na yule mlinzi waligeuka kumuangalia.

Samahani nimekuja na koti la boss Romex.

Sawa, lakini kwa sasa nina kazi kidogo naomba uende mapokezi kawaambie nimekutana funguo ya chumba cha Romex alafu upeleke hili koti.

Salsa alisita kidogo lakini kwakuwa ni boss hakutaka kuleta ukaidi alikubali. Taratibu alielekea upande jengo kubwa la

ghorofa ambapo ndio kulikuwa na vyumba vya kulala. Alifika mapokezi. Habari dada.

Salama.

Nimeagiza funguo ya chumba cha Mr Romex.

Muhudumu akitoa funguo. Nenda chumba namba 97. Chumba kipo ghorofa ya 3.

Sawa, asante.

Salsa alipokea ule ufunguo kisha akaenda kupanda lift na kuelekea huko.

Alipofika ghorofa ya tatu alitoka kwenye lift na kuanza kutafuta chumba namba 97. Alipokiona

alifungua na kuingia ndani. Kulikuwa na mwanga hafifu sana hakuona haja

ya kuwasha taa alijua anaweka tu na kuondoka. Aliweka koti kitandani wakati anataka kutoka alihisi kitu kimeanguka chini, aliushika kwenye

masikio yake akagundua ameangushwa heleni yake moja.

"Heleni imeanguka, sijui taa zinawashiwa wapi? Aliangaza macho hakuona sehemu ya kuwashia taa akawa anapapasa chini kwa kubahatisha kama ataiona.

Wakati huo mlinzi alimfuata Romex.

Boss Merry ameshafika nimemwambia atangulie chumbani.

Romex aliachia tabasamu. Safi sana naenda sasa hivi.

Kwa upande wa Merry alikuwa ameshika kwenye taxi akawa anaingia hotelini lakini kabla hajafika.

hata mapokezi akakutana na mtu ambae

wanafahamiana nae na walipotezana siku nyingi. Walisomea pembeni wakawa wanaongea

na kupeana namba za simu. Romex aliondoka taratibu pale kwenye sherehe

na kuelekea chumbani. Wakati huo Salsa alikuwa ametafuta na kuona

anafanya kazi bure bila kuwasha taa, alisimama na kuangaza kama ataona sehemu ya kuwashia taa. Mara ghafla alikumbatiwa kwa nyuma

alishituka na kutaka kuongea lakini alisita baada ya Romex huanza kumbusu shingoni. Kutokana na harufu ya marashi salsa alijua kuwania

Romex. Salsa alijitahidi kugeuka ili wasngaliane usoni

lakini Romex hakuna hiyo nafasi Tulia Merry nilikuwa nina hamu sana na wewe,

nitulize kwanza mama mambo mengine badae. Alimnyanyua na kwenda kumlaza kitandani nа kutaka kumtia nguo zote lakini salsa alizuia.

Sawa kama leo umeamua kunukia na staili hii.

Kilikuwa ni kitendo cha haraka sana Romex alimuingilia salsa Salsa alikuwa anatetemeka huku jasho likimtoka kuna muda aling'ara neno yake kama vile anahisi maumivu, alimsukuma Romex lakini haikuwa rahisi kumtoa juu ya kifua.

chake. Baada ya kumaliza salsa alinyanyuka na kutoka

haraka Wewe unaenda wapi sasa? Romex aliuliza huku aliwasha taa za pembeni ya kitanda lakini

hakufanikiwa kumuona. Alinyanyuka kitandani na kuwasha taa yenye mwanga mkali.

Huyu vipi? Akiwa bado anajiuliza Merry aliingia huku akiwa na tabasamu.

Romex alishangaa na kuuliza

'Wewe umekuja saa ngapi?

Ndio nimeingia sasa hivi. Akili ya Romex ilianza kuzunguka alijua yule mwanamke hakuwa Merry.

Akienda kukaa kitandani na kujisimamia.

Kuna nini boss wangu? Merry aliuliza huku akimfuata pale kitandani Merry alipoangalia kitandani aliona doa la damu kwenye shuka pamoja na nguo ya ndani ya kike.

Merry alicheka na kumfanya Romex anyanyue kichwa kumuangalia.

"Unacheka nini?

Naona bikra hakufikishwa popote amekimbia na kuacha chup "Unaongea nini wewe?

Merry alimuonyesha kwa macho hapo ndipo Romex akageuka kuangalia akaona damu na

Huyu mwanamke alikuwa ni nani?

Romex aliuliza kwa sauti.

Hujui hata mwanaume ukielala nae? Merry aliuliza lakini Romex hakujibu.

nguo ya ndani.

Uhuni umekuzidi mpaka unalala na majini. Wewe Merry angalia kauli yako, chunga huo

mdomo wako. Romex aliongea kwa ukali. Merry alichukua pochi yake na kuamua kuondoka akamuacha Romex kwenye mshangao na5:45

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ONE NIGHT ONE MISTAKE*❤ *1---2* *_____________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Kulikuwa na maandalizi ya ukumbi ambao kulikuwa na maonyesho ya kibiashara. Salsabil msichana mrembo

alikuwa akishuhurika na wenzake kufanya maandalizi kwaajili ya kumpokea ceo wa hiyo kampuni kuja kuangalia kampuni yake mpya ilifunguliwa miezi mitatu iliyopita.

Baada ya maandalizi watu wote walikaal pembeni kumsubiri mgeni rasmi ambae watu wengi hawakuwa wakimjua.

Jamani kila mtu akae kwenye nafasi mgeni mgeni rasmi amefika magari yameanza

kuingizana huko. Alisema msichana mmoja anayeitwa Amina na kila mmoja alienda kukaa kwenye nafasi yake. Salsa alipokuwa anaenda kwenye sehemu yake

aliitwa.

"Salsa hebu katoe kile kikopo cha rangi pale. Salsa alienda kuchukua bakuri ya rangi ambayo ilikuwa inatumika kucholea michoro na maandishi ya kumkaribisha mgeni. Wakati anarudi kwa haraka alijikuta anavamiana na mtu na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/one-night-one-mistake-1-2-_____________________________________-sehemu-ya-kwanza-kulikuwa-na-maandal

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi one-night-one-mistake
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni.  Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni. Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
 ONE NIGHT ONE MISTAKE 17&18* Romex hakuwa sawa kabisa alimkagua mama yake  *Vipi wewe na baba hajajeruhiwa?
ONE NIGHT ONE MISTAKE 17&18* Romex hakuwa sawa kabisa alimkagua mama yake *Vipi wewe na baba hajajeruhiwa?
ONE NIGHT ONE MISTAKE _____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Siku ya pili yake Saisa na Romex walikuwa madukani wakifanya manunuzi ya vitu vya mtoto wao ikiwemo nguo, midoli...
ONE NIGHT ONE MISTAKE _____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Siku ya pili yake Saisa na Romex walikuwa madukani wakifanya manunuzi ya vitu vya mtoto wao ikiwemo nguo, midoli...
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13  Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13 Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
 ONE NIGHT ONE MISTAKE 07****08 Rose alienda kununua vitu vyote akivyoagiziwa na kupeleka ofisini kwa Boss.
ONE NIGHT ONE MISTAKE 07****08 Rose alienda kununua vitu vyote akivyoagiziwa na kupeleka ofisini kwa Boss.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake.  *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake. *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15  Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15 Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa  Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE ____________________________________*  *SEHEMU YA SITA*  Siku Iliyofuata Salsa alienda kazini akiwa na shauku ya kusema
ONE NIGHT ONE MISTAKE ____________________________________* *SEHEMU YA SITA* Siku Iliyofuata Salsa alienda kazini akiwa na shauku ya kusema
 ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3   Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3 Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE* *11 *_______________________________________*  Meena aliwapigia simu wazazi wake na kuwaelezea hali ya Salsa hizo habari
ONE NIGHT ONE MISTAKE* *11 *_______________________________________* Meena aliwapigia simu wazazi wake na kuwaelezea hali ya Salsa hizo habari
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

869
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

731
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

525
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

181
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

108
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

78
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest