Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 ONE NIGHT ONE MISTAKE 07****08 Rose alienda kununua vitu vyote akivyoagiziwa na kupeleka ofisini kwa Boss.
Gonga94 · Stories

ONE NIGHT ONE MISTAKE 07****08 Rose alienda kununua vitu vyote akivyoagiziwa na kupeleka ofisini kwa Boss.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Boss vitu vyako hivi hapa. Alisema Rose huku anamuangalia boss usoni bila kummaliza.

"Vipi mbona unaniangalia sana ? Umeleta viti vyangu si uende unataka kushuhudia nini?

Rose aliondoka lakini alipofika kwa wenzake

akaanza kusimulia alichoagizwa na boss.

"Jamani huko sasa mkae mkao wa kula nahisi boss kashafsnya yake, nianze kuandaa na baby

show nahisi Romex junior anakuja.

"Wewe Rose wewe hebu achaga umbea basi.

Sio umbea jamani ninachokiongea ni ukweli mtupu. Boss katika kujitafutia vitu vya udambu udambu na udongo juu.

Wenzake waliangaliana kwa mshangao.

Kwahiyo huo udambu udambu na udongo anakula nani?

Sijui huenda tabia za mimba na dalili

zimehamia kwa baba kijacho.

"Mmmh haya makubwa sasa.

"Jamani tusitumie kichwa kama hilo kipo basi tutajua tu kinachotakiwa ni subira tu.

Kadiri siku zilivyozudi kwenda habari ziliaanza kusambaa ofisini kwa kasi kuwa boss Romex anafanya mambo ya ajabu.

Wafanyakazi walikuwa wakishangaa tabia yake mpya lakini hakuna alimnyanyua mdomo kuuliza. Walikuwa wanasngaliatu.

Siku ziliendelea kwenda salsa hakuishia vituko na hiyo mimba yake na Romex alijikuta akivutiwa na vitabua vya ajabu ajabu mpaka kuna wakati wa siku za weekend akawa anajikuta anammisi sana Salsa.

Siku moja jioni, Romex alikuwa amekaa peke yake bustani ya nyumbani kwake akiounga upepo huku akipata kinywaji, Ghafla alijikuta akimkumbuka Salsa na vituko vyake, alijikuta anaanza kucheka mwenyewe kwa sauti ya chini. Mlinzi wake, aliyekuwa akimlinda alikuwa amesimama pembeni, akamshangaa. "Vipi boss wangu kwema?

"Kwema

"Mbona unacheka mwenyewe?

Romex alitabasamu, macho yake yakiwa kwenye screen ya simu yake.

"Unajua, mambo ya Salsa yananifurahusha sana. Kuna muda natamani sana kuwa karibu nae na

kuna muda natamani na mimi niwe baba kijacho, alisema, huku akicheka kidogo, lakini macho yake yalikuwa na hisia zilizojaza upendo. * Ukiamua unaweza boss wangu, mbona kila

kitu kipo sawa kwako? * Domi sio kama unavyofikiria kuna jambo moja

linaniumiza sana kichwa changu, niliweza mambo sawa naweza kutafuta mwanamke wa kuanza nae safari ya kuanza familia.

Siku moja jioni Romex alimfuata Salsa kwaajili ya matembezi, walikaa sehemu wakawa wanakula ice cream huku wakiwa wanaongea "Salsa naweza kuuliza jambo?

"Uliza tu. Alijibu Salsa huku akiwa anaendelea kula ice cream.

"Huwezi kuchukia?

"Kwani unania ya kutaka nikasirike? "Natoa tahadhali.

"Ongea tu.

Nilikuwa nataka kujua kuhusu hatma ya ujauzito wake na pia kuhusu muhusika wa hiyo mimba yako.

Salsaaluacha kula ice cream, moyo wake ukawa unadunda kwa kasi. Romex alikuwa akimuangalia usoni huku akimsomba hisia zake. Vipi kama nikisema hii mimba muhusika ni wewe ndio maana inajitoa na kujali sana?

Romex alimuangalia, machoni kisha taratibu na kuachia tabasamu, alijua jibu la Salsa ilikuwa kama utani tu lakini kwa upande wa Salsa alikuwa akimaanisha.

Kwahiyo huyo mtoto wa tumboni kwako ni mtoto wangu?

"Ndio.

Sawa kama umeamua kunipa zawadi nizampikea.

Maongezi yao yaliishia hapo. Baada ya hapo walinyanyuka na kuanza kutembea tembea huku wakinunua vitu vidogo vidogo ambavyo Salsa alikuwa akivuta nani.

Siku zilienda Romex aliendelea kujali zaidi maana hata clinic alimpeleka na kutaka kujua maendeleo ya mtoto, mambo ya Romex taratibu yalianza kumvutia Salsa.

Salsa alianza kujenga upendo kwa Romex, akiona jinsi anavyomjali, jinsi anavyomlinda na kuonyesha huruma. Hii ilimfanya moyo wake kufungua mlango wa hisia zake, akaanza

kuelewa kuwa Romex sio boss lakini ni mwanaume sahihi sana kwake na mtoto wake amepata baba mwenye kila sifa ya kuwa baba.

Chapter 8

Siku zilizidi kusonga mbele na tumbo la Salsa lilianza kuonekana haikuwa siri tena watu walijua Romex ndio anamuhudumia kwa huruma tu na wengine walijua ni mimba yake ndio maana anajitoa kuhudumia. Salsa alianza kuonyesha vituko vya kweli vya mimba kwanza alikuwa na wivu hatari alikuwa hapendi kuona Romex akiwa amesimama na mwanamke kwa muda mrefu, akicheka nae yani alikuwa anamuona haswa

Siku moja Romex alikuwa na mgeni wa kike ofisini kwake walikuwa wakiongea huku wakicheka, wakati huo Salsa alikuwa mlangoni akisikilizia, vicheko vilivyozidi alifungua mlango. na kuwavamia.

*Vipi Salsa? Romex aliuliza

* Nimekuja kuchukua koti lako, ni ulle haraka.

Alijibu salsa akiwa kakasirika tena huku kashika kiuno, yule mwanamke alimuangalia kwa mshangao maana Romex sio mtu wallamrishwa hivyo. Taratibu Romex alivua kiti na kumpatia. Salsa

alichukua koti akawa anaondoka lakini alipofika mbele kidogo wakasimama

*Boss utanipeleka nikale Ice cream?

*Ndio.

Salsa aliondoka lakini bado alikuwa analalamika. Yule mwanamke sijui anafanya nini pale si aondoke

Ndani ya ofisi yule mwanamke alimuangalia Romex na kuuliza. *Romex huyu ni nani?

Mfanyakazi wangu.

Hahahaha Romex umeanza lini kutembea na wafanyakazi wako mpaka kuwatia mimba? Mmmmm Melinda usifanyike gari kwa mbele litakugonga. Huyu binti katoka kuniziea tu na

hiyo mimba yake yani kuna muda huwa ananichukulia kama mimi ni mwanaume niliempa hiyo mimba.

* Mmmmh sijui maana ninavyojua mimi mtu anadhaniwa hivi ni yule mwenye mzigo wake

hebu tufikirie vizuri Rome.

Hakuna kitu kama hicho, haijawahi kutokea, tuendelee na maongezi yetu.

Salsa alikuwa na mambo ya ajabu mpaka Romex akaanza kuchoka, salsa alikuwa akiagiza chakula alichokipenda jana, leo akiletewa anasema kinanuka kama tairi ya baiskeli Illyochomwa.

Siku moja ilikuwa siku ya jumamosi majira ya saa tatu asubuhi alimkuta Salsa akiwa amelala kujifunika blanketi. Alikaa pembeni yake na kuuliza

*Vipi upo sawa?

Kidogo

Kwanini kidogo. Tangia jana usiku kuna kitu nimejikuta

nakitamani ila ndio sikuwa najua hakupata wapi. Mmm sema tu, mimi nipo hapa kwaajili yako mama kijacho.

*Romex leo nataka kula maboga yaliyo

chemshwa na chumvi tu

Romex alimuangalia kwa mshangao, "Sasa hayo maboga mimi nitapata wapi? Sijui ila wewe jitahidi uyapate maana sijui kama naweza kuvumilia bila kuyala. Alijibu salsa huku

akinyanyuka na kupiga miayo.

Romex alichukua simu yake na kupiga sehemu "Make sure tunapata maboga. Sijali utapata wapi, ninachotaka mimi mama kijacho afurahi. Kisha akamtazama Salsa kwa upendo. "Nitafanya kila kitu kwaajili yako na huyo mtoto akiwa tumboni kwako.

Salsa alimwangalia Romex kisha akatabasamu. Hakujua kama anampenda kwa dhati au kwa

sababu ya kutimiza matakwa ya mimba tu

Lakini kwa sasa hakuwa na muda wa kujiuliza

maswali mengi alikuwa anahitaji attention.

*Basi nenda kaoge maboga yako yakiha ule.

Sawa

Salsa alinyanyuka kitandani kwa kujikuta, Romex akaona ampe msaada, alimshika mkono na kunyanyua pale kitandani.

Siku nyingine walikuwa wamekaa salsa akamwambia.

Boss Romex unajua natamani kunywa maji ya

mvua tena yale yaliyowekwa kwenye mtungi.

*Khaaaa wewe hayo maji utapata wapi hapa mjini? Na maswala ya mitungi mimi ndio sijui

kabisa huwa naingia kuangalia kwenye movie za kihindi.

*Basi fanya hivi twende sehemu yenye vumbi alafu tumwambie maji mimi ile harufu yake tu nikaridhika.

Jamani, jamani huu ni mtihani gani? *Kwahiyo imechukua hutaki au? Salsa alisahau kama yupo na boss wake akajikuta anaongea

kwa sauti ya juu. *Wewe hili sio jukumu langu mimi najitolea tu.

*Eti unajitolea, hili unatakiwa ukifanye kwa moyo mmoja sababu linakuhusu yani kama ingekuwa Inawezekana ningekupavhili tumbo isingeweza kukaa nalo hata kwa dakika tano ungenirudishia mwenyewe tumbo langu alafu inajikuta wewe. ndio unapata tabu kuliko mimi.

*Khaaaa.... Romex alishangaa.

*Huyo khaaaa unaisoma au unaiandika? Kwanza hebu nipishe huko nisije nikazaa mtoto mwenye

komwe kama lako. Salsa aliondoka na kumuacha Romex mdomo

wazi.

*Hivi hizi ni akili za mimba au anamaanisha anachokiongea?

Kesho yake walipokutana hasira ziliisha sasa alikuwa kama sio yule alimuongelea Romex kwa ukali lakini Romex bado alikuwa na kitu kichwani kwake.

Siku moja Romex alipigiwa simu na baba yake. *Romex uko wapi muda huu? *Nipo mtaani.

Unaweza kufika nyumbani mara moja. *Bila shaka baba. Basi nina kumsubiri hapa kijana wangu. Sawa.

Baada ya kukata simu Romex alimuangalia

Salsa ambae alikuwa amekaa pembeni ya siri ya dereva

Salsa acha mikuwahushe nyumbani kwako...... Kabla Romex hajamaliza kuongea Salsa alimkatisha.

Nyumbani tena kwahiyo hunipeleki kula ice cream? *Ndio nimeitwa na wazazi nyumbani.

Sawa

Romex alimtisha nyumbani kisha nae akaenda nyumbani kwao.

Alipofika alikuta kuna ugeni, binti mmoja akiwa na wazazi wake. Alisalimia na kwenda kukaa kwenye kochi.

Mr Ferix huyu ndio kijana wangu ninae mtegemea sana anaitwa Romex. *Safi sana na hongera sana mzee mwenzangu.

*Romex

*Naam baba.

*Huyu ni mr Ferix, yule ni mke wake na yule pale ni binti yao Lilian. Nashukuru kuwafahamu, karibuni sana.

"Asante.

Baada ya maongezi kidogo Romex na baba yake walienda kuongea pembeni.

Romex nia ya kumuita hapa ni kutaka kukukutanisha na Lilian, tunataka wewe na Lilian mfungwa ndoa.

Romex alishitika.

Baba unamaana mnanitafutia mtu wa

kumuowa?

Hapana ila tumeona Lilian ni binti mwenye

vigezo, anasifa za kuwa mke, anatoka kwenye familia inayojitambua. Romex alitulia kidogo huku akiwa kajiinamia kisha akasema.

Sawa baba ila nipeni muda wa mimi kuzoeana nae.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ONE NIGHT ONE MISTAKE 07****08 Rose alienda kununua vitu vyote akivyoagiziwa na kupeleka ofisini kwa Boss.



"Boss vitu vyako hivi hapa. Alisema Rose huku anamuangalia boss usoni bila kummaliza.

"Vipi mbona unaniangalia sana ? Umeleta viti vyangu si uende unataka kushuhudia nini?

Rose aliondoka lakini alipofika kwa wenzake

akaanza kusimulia alichoagizwa na boss.

"Jamani huko sasa mkae mkao wa kula nahisi boss kashafsnya yake, nianze kuandaa na baby

show nahisi Romex junior anakuja.

"Wewe Rose wewe hebu achaga umbea basi.

Sio umbea jamani ninachokiongea ni ukweli mtupu. Boss katika kujitafutia vitu vya udambu udambu na udongo juu.

Wenzake waliangaliana kwa mshangao.

Kwahiyo huo udambu udambu na udongo anakula nani?

Sijui huenda tabia za mimba na dalili

zimehamia kwa baba kijacho.

"Mmmh haya makubwa sasa.

"Jamani tusitumie kichwa kama hilo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/one-night-one-mistake-07-08-rose-alienda-kununua-vitu-vyote-akivyoagiziwa-na-kupeleka-ofisini-kwa-bo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi one-night-one-mistake
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni.  Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni. Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
 ONE NIGHT ONE MISTAKE 17&18* Romex hakuwa sawa kabisa alimkagua mama yake  *Vipi wewe na baba hajajeruhiwa?
ONE NIGHT ONE MISTAKE 17&18* Romex hakuwa sawa kabisa alimkagua mama yake *Vipi wewe na baba hajajeruhiwa?
ONE NIGHT ONE MISTAKE _____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Siku ya pili yake Saisa na Romex walikuwa madukani wakifanya manunuzi ya vitu vya mtoto wao ikiwemo nguo, midoli...
ONE NIGHT ONE MISTAKE _____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Siku ya pili yake Saisa na Romex walikuwa madukani wakifanya manunuzi ya vitu vya mtoto wao ikiwemo nguo, midoli...
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13  Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13 Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake.  *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake. *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15  Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15 Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa  Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE ____________________________________*  *SEHEMU YA SITA*  Siku Iliyofuata Salsa alienda kazini akiwa na shauku ya kusema
ONE NIGHT ONE MISTAKE ____________________________________* *SEHEMU YA SITA* Siku Iliyofuata Salsa alienda kazini akiwa na shauku ya kusema
 ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3   Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3 Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE* *11 *_______________________________________*  Meena aliwapigia simu wazazi wake na kuwaelezea hali ya Salsa hizo habari
ONE NIGHT ONE MISTAKE* *11 *_______________________________________* Meena aliwapigia simu wazazi wake na kuwaelezea hali ya Salsa hizo habari
ONE NIGHT ONE MISTAKE*❤ *1---2* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  Kulikuwa na maandalizi ya ukumbi ambao kulikuwa na maonyesho ya kibiashara. Salsabil msichana mrembo
ONE NIGHT ONE MISTAKE*❤ *1---2* *_____________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Kulikuwa na maandalizi ya ukumbi ambao kulikuwa na maonyesho ya kibiashara. Salsabil msichana mrembo
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

868
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

731
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

525
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

180
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

142
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

107
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

76
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest