Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

UTAMUU WA MABOSS ??????11

31st May, 2025 Views 79

UTAMUU WA MABOSS ??????11

Baada ya chakula cha mchana Linda na Alex waliongozana kwenda chumbani ????????wazazi wa Alex walibaki wanatabasamu????????

Aah wanaendana sana hakika wanapendeza????????waliongea hivyo wazazi huku wakiwasindikiza wawili wale kwa macho mpaka walipoingia chumbani..

Alex alikaa ktndn kwake huku Linda akibadilisha nguo kwenye chumba cha kubadilishia nguo, Linda alitoka akiwa amevalia gauni fupi jekundu ambalo lilimchonga vyema mwili wake na Alex akatabasamu ????????

"Kwanini amevaa gauni jekundu na fupi ? Hajui kuwa nguo nyekundu inatamanisha? , akawaza Alex Kisha akamsogelea Linda ????????

"Oh mpnz wangu, mimi nimekuta man tayari aliwaza Alex kabla ya kumshika Linda ooh No no no si wakati huu ????????..ila mbona kapendeza sana natamani kumshika

Alex alianza kumsogelea Linda huku akimuangalia kwa jicho la mata manio Linda naye Alirudi nyuma kana kwamba anajua anachotaka kufanya Alex.

"Nini.....unafanya nini...unafanya nini" aliuliza Linda akionekana kuogopa...

"Unatakiwa kulipa kwa ulichonifanyia Jana..

"Nini" aliuliza tena linda.

"Gosh ???????? aliunguruma hivo Alex baada ya linda kuigusa ikulu yake ????????????ana midmo midogo ya waridi, nataman kui????????, aliwaza hivo Alex
Akamsogelea Linda kwa ukaribu sana na kuinamisha kichwa chake mpaka usawa wa naniliu zake..

Linda alifumba macho yake kwa nguvu.

Alex alitoa kibanio ambacho Linda alitumia kufunga nywele zake na nywele zake zilianguka kwa uhuru mgongoni kwa Linda ????

Alex alisimama wima na Linda alianza kufumbua macho yake kwa uangalifu na Hatimaye aliyafungua yote na Alex akamwangalia machoni huku akionekana mwenye ham nying sana..

"Ulikuwa unawaza nini? unafikiri nitakubs" Alex alimuuliza Linda huku akiwa anacheka.

"Kwanini ... kwanini nifikirie hivyo" akasema Linda huku akiona aibu kidogo..

"kwanini ulifumba macho niliposogeza uso wangu kwako"

"Kuna Kitu kilianguka machoni mwangu, ndiyo sababu nikafumba macho mxieeew????????"

"Acha uongo baby" Alisema Alex huku akiendelea kusogea mbele na Linda akawa anarudi nyuma hadi mgongo wake ukakutana na ukuta...

Alex Aliweka mikono yake miwili ukutani, akimtazama Linda na hapohapo akakumbuka kitu alichomfanyia Linda ofisini juzi na akajikuta amepatwa na hasira,

zile makeup alizomfanyia zilimfanya aonekane kama mdoli.

"Kubali kwamba mimi ni handsome na nitakuacha peke yako," alisem Alex hii ni kwa sababu Linda hajawahi kumsifia kabisa mwnaume huyu..

Alex anaamini muonekano wake una uwezo wa kumvutia kila mwanamke alishangaa sana baada ya kuona siku zinazidi kwenda na linda hamshobokei wala kuusifia muonekano wake..

Siku hiyo aliamua kumlazimisha Linda amuite handsome laa sivyo atamfanya kitu mbya..

"Mmhhh Hapana, hata nyani ni mzuri kuliko wewe" akajibu Linda kwa kiburi

"Haya baby, maneno yako hayanikeri hata kidogo, kubali tu kuwa mimi ni handsome maana najua kabisa mimi ni handsome, akasema Alex "

"Wewe ni mbaya" akajibu Linda
"Ukiniambia hivyo, nitakubs" akasema Alex

"Ngoja nikuone ukijaribu kukataa kuwa mm ni mzuri basi lazima nikupg bus langu mdmon"

Huyu jamaa vipi?? Nimeshakwambia wewe ni mbaya????????okay Alex alimsogelea akajiweka tayari kumbus Linda hakuonesha kuogopa na alikuwa tyr kwa lolote????????????

Wakati wanataka kunaniliu Mara ghafla wakasikia mlango ukigongwa
"Sht nani anagonga, Alex alifika mlangoni" akiwa na hasira

Mjakazi aliingia na kuinama kidogo kisha akamwambia Alex
"Wazazi wako walisema nikwambie wewe na mkeo kuwa wao wameshaondaka"

Alex alijikuta anaanza kutabasamu baada ya kusikia neno mke na kutikisa kichwa kisha mfanyakazi akaondoka..

Alienda hadi ilipo simu yake na kuchukua simu yake kitndan kabla ya kugeuka ili aondoke alisimama na kumgeukia Linda Kisha akatabasamu na kusema..

"Unapaswa kubadilisha gauni lako,"

"Samahani? Ninaweza kuvaa chochote ninachochagua" kumbuka mimi siyo mkeo usijishaue mr akasema Linda

"Si unajua kuwa rangi nyekundu inavutia kwa hio unataka ukatngzwe huko?" akasema Alex

Kwani nikitngzwa kuna shida????????hutaki nipate mme?? Na ninavotamani kuopoa jibaba lenye mihela huko kwenye party inabidi nipendeze na kuvutia ili nipate mtu leo..

Alex alishikwa na wivu sana aliondoka bila kujibu chochote akaenda kusimama nje akimsubilia Linda abadili gauni lake..

"Huyu mjnga ana shida gani?? alitaka kunibus na sasa ananiambia kuw nilichovaa kinatega wnaum,Je, nibadilishe au nisibadilishe?

Itabidi nivae hii hii maana ilinichukua muda sana kufunga zipu ya nguo hii, akawa anajisemea linda.

Alishuka kujumuika na Alex maana Alex alikuwa anamsubiri abadili lile gauni ili waende zao kwenye party

"Unasubiri nini kubadili hiyo nguo?" Aliuliza Alex mara baada ya kumuona Linda akija.

Hakumjibu kitu kwa sababu hakutaka kugombana na Alex .

Linda aliingia kwenye gari na Alex pia akaungana nae kisha Sam akaondoa gari..

Walifika huko kwenye party na wazazi wa Alex wakaanza kumtambulisha Linda kwa mabilionea fulani huko Chicago.

Linda alipendeza kupita kiasi kila alikopita watu wote waligeuka kumwangalia????????????Alex alishikwa na wasiwasi sana aliona ile Party inaweza kumuondoa Linda kwenye maisha yake..

Eh mungu wageuze wanaume wote humu ndani Linda awaone kama kondoo mimi tu ndo anitamani ???????? Alex aliwaza hivo huku akizidisha umakini wa kumlinda Linda asimponyoke..

Baada ya utambulisho Linda alitaman kushangilia MAANA hakuwah kufikiria kama anaweza kukutana na watu wakubwa na wenye pesa hata Siku Moja katika maisha yake.

Alipiga kelele mara moja lakin akakumbuka kuwa yuko kwenye mishen hivyo anatakiwa kutulia.

Nisije nikaonekana mshamba nikatia aibu wacha nijiweke matawi ili niendane nao????????????
.
Alex alimchukua Linda wakaketi sehemu moja alimtambulisha kwa marafiki zake akiwemo Angela..

Angela alimsifia sana Alex na kumwambia umepata mwanamke mzuri sana???????????? Linda Aliwaza eh mungu lait wangejua mimi ni mpnz bandia hata wasingetusifia kiasi hiki????????

Linda aliwaza hivo kisha akamkonyeza Alex na kutaka kusema kitu????????..

Alex aliogopa akawaza huyu mwanamke ni chizi hachelewi kuharibu mipango yetu eh mungu wangu tuliza kichaa chake mpaka tuondoke hii sehemu ????????

Nini kitafuata,?

Itaendeleaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100.
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest