Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS ??????11
Gonga94 · Stories

UTAMUU WA MABOSS ??????11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMUU WA MABOSS ??????11

Baada ya chakula cha mchana Linda na Alex waliongozana kwenda chumbani ????????wazazi wa Alex walibaki wanatabasamu????????

Aah wanaendana sana hakika wanapendeza????????waliongea hivyo wazazi huku wakiwasindikiza wawili wale kwa macho mpaka walipoingia chumbani..

Alex alikaa ktndn kwake huku Linda akibadilisha nguo kwenye chumba cha kubadilishia nguo, Linda alitoka akiwa amevalia gauni fupi jekundu ambalo lilimchonga vyema mwili wake na Alex akatabasamu ????????

"Kwanini amevaa gauni jekundu na fupi ? Hajui kuwa nguo nyekundu inatamanisha? , akawaza Alex Kisha akamsogelea Linda ????????

"Oh mpnz wangu, mimi nimekuta man tayari aliwaza Alex kabla ya kumshika Linda ooh No no no si wakati huu ????????..ila mbona kapendeza sana natamani kumshika

Alex alianza kumsogelea Linda huku akimuangalia kwa jicho la mata manio Linda naye Alirudi nyuma kana kwamba anajua anachotaka kufanya Alex.

"Nini.....unafanya nini...unafanya nini" aliuliza Linda akionekana kuogopa...

"Unatakiwa kulipa kwa ulichonifanyia Jana..

"Nini" aliuliza tena linda.

"Gosh ???????? aliunguruma hivo Alex baada ya linda kuigusa ikulu yake ????????????ana midmo midogo ya waridi, nataman kui????????, aliwaza hivo Alex
Akamsogelea Linda kwa ukaribu sana na kuinamisha kichwa chake mpaka usawa wa naniliu zake..

Linda alifumba macho yake kwa nguvu.

Alex alitoa kibanio ambacho Linda alitumia kufunga nywele zake na nywele zake zilianguka kwa uhuru mgongoni kwa Linda ????

Alex alisimama wima na Linda alianza kufumbua macho yake kwa uangalifu na Hatimaye aliyafungua yote na Alex akamwangalia machoni huku akionekana mwenye ham nying sana..

"Ulikuwa unawaza nini? unafikiri nitakubs" Alex alimuuliza Linda huku akiwa anacheka.

"Kwanini ... kwanini nifikirie hivyo" akasema Linda huku akiona aibu kidogo..

"kwanini ulifumba macho niliposogeza uso wangu kwako"

"Kuna Kitu kilianguka machoni mwangu, ndiyo sababu nikafumba macho mxieeew????????"

"Acha uongo baby" Alisema Alex huku akiendelea kusogea mbele na Linda akawa anarudi nyuma hadi mgongo wake ukakutana na ukuta...

Alex Aliweka mikono yake miwili ukutani, akimtazama Linda na hapohapo akakumbuka kitu alichomfanyia Linda ofisini juzi na akajikuta amepatwa na hasira,

zile makeup alizomfanyia zilimfanya aonekane kama mdoli.

"Kubali kwamba mimi ni handsome na nitakuacha peke yako," alisem Alex hii ni kwa sababu Linda hajawahi kumsifia kabisa mwnaume huyu..

Alex anaamini muonekano wake una uwezo wa kumvutia kila mwanamke alishangaa sana baada ya kuona siku zinazidi kwenda na linda hamshobokei wala kuusifia muonekano wake..

Siku hiyo aliamua kumlazimisha Linda amuite handsome laa sivyo atamfanya kitu mbya..

"Mmhhh Hapana, hata nyani ni mzuri kuliko wewe" akajibu Linda kwa kiburi

"Haya baby, maneno yako hayanikeri hata kidogo, kubali tu kuwa mimi ni handsome maana najua kabisa mimi ni handsome, akasema Alex "

"Wewe ni mbaya" akajibu Linda
"Ukiniambia hivyo, nitakubs" akasema Alex

"Ngoja nikuone ukijaribu kukataa kuwa mm ni mzuri basi lazima nikupg bus langu mdmon"

Huyu jamaa vipi?? Nimeshakwambia wewe ni mbaya????????okay Alex alimsogelea akajiweka tayari kumbus Linda hakuonesha kuogopa na alikuwa tyr kwa lolote????????????

Wakati wanataka kunaniliu Mara ghafla wakasikia mlango ukigongwa
"Sht nani anagonga, Alex alifika mlangoni" akiwa na hasira

Mjakazi aliingia na kuinama kidogo kisha akamwambia Alex
"Wazazi wako walisema nikwambie wewe na mkeo kuwa wao wameshaondaka"

Alex alijikuta anaanza kutabasamu baada ya kusikia neno mke na kutikisa kichwa kisha mfanyakazi akaondoka..

Alienda hadi ilipo simu yake na kuchukua simu yake kitndan kabla ya kugeuka ili aondoke alisimama na kumgeukia Linda Kisha akatabasamu na kusema..

"Unapaswa kubadilisha gauni lako,"

"Samahani? Ninaweza kuvaa chochote ninachochagua" kumbuka mimi siyo mkeo usijishaue mr akasema Linda

"Si unajua kuwa rangi nyekundu inavutia kwa hio unataka ukatngzwe huko?" akasema Alex

Kwani nikitngzwa kuna shida????????hutaki nipate mme?? Na ninavotamani kuopoa jibaba lenye mihela huko kwenye party inabidi nipendeze na kuvutia ili nipate mtu leo..

Alex alishikwa na wivu sana aliondoka bila kujibu chochote akaenda kusimama nje akimsubilia Linda abadili gauni lake..

"Huyu mjnga ana shida gani?? alitaka kunibus na sasa ananiambia kuw nilichovaa kinatega wnaum,Je, nibadilishe au nisibadilishe?

Itabidi nivae hii hii maana ilinichukua muda sana kufunga zipu ya nguo hii, akawa anajisemea linda.

Alishuka kujumuika na Alex maana Alex alikuwa anamsubiri abadili lile gauni ili waende zao kwenye party

"Unasubiri nini kubadili hiyo nguo?" Aliuliza Alex mara baada ya kumuona Linda akija.

Hakumjibu kitu kwa sababu hakutaka kugombana na Alex .

Linda aliingia kwenye gari na Alex pia akaungana nae kisha Sam akaondoa gari..

Walifika huko kwenye party na wazazi wa Alex wakaanza kumtambulisha Linda kwa mabilionea fulani huko Chicago.

Linda alipendeza kupita kiasi kila alikopita watu wote waligeuka kumwangalia????????????Alex alishikwa na wasiwasi sana aliona ile Party inaweza kumuondoa Linda kwenye maisha yake..

Eh mungu wageuze wanaume wote humu ndani Linda awaone kama kondoo mimi tu ndo anitamani ???????? Alex aliwaza hivo huku akizidisha umakini wa kumlinda Linda asimponyoke..

Baada ya utambulisho Linda alitaman kushangilia MAANA hakuwah kufikiria kama anaweza kukutana na watu wakubwa na wenye pesa hata Siku Moja katika maisha yake.

Alipiga kelele mara moja lakin akakumbuka kuwa yuko kwenye mishen hivyo anatakiwa kutulia.

Nisije nikaonekana mshamba nikatia aibu wacha nijiweke matawi ili niendane nao????????????
.
Alex alimchukua Linda wakaketi sehemu moja alimtambulisha kwa marafiki zake akiwemo Angela..

Angela alimsifia sana Alex na kumwambia umepata mwanamke mzuri sana???????????? Linda Aliwaza eh mungu lait wangejua mimi ni mpnz bandia hata wasingetusifia kiasi hiki????????

Linda aliwaza hivo kisha akamkonyeza Alex na kutaka kusema kitu????????..

Alex aliogopa akawaza huyu mwanamke ni chizi hachelewi kuharibu mipango yetu eh mungu wangu tuliza kichaa chake mpaka tuondoke hii sehemu ????????

Nini kitafuata,?

Itaendeleaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS ??????11

UTAMUU WA MABOSS ??????11

Baada ya chakula cha mchana Linda na Alex waliongozana kwenda chumbani ????????wazazi wa Alex walibaki wanatabasamu????????

Aah wanaendana sana hakika wanapendeza????????waliongea hivyo wazazi huku wakiwasindikiza wawili wale kwa macho mpaka walipoingia chumbani..

Alex alikaa ktndn kwake huku Linda akibadilisha nguo kwenye chumba cha kubadilishia nguo, Linda alitoka akiwa amevalia gauni fupi jekundu ambalo lilimchonga vyema mwili wake na Alex akatabasamu ????????

"Kwanini amevaa gauni jekundu na fupi ? Hajui kuwa nguo nyekundu inatamanisha? , akawaza Alex Kisha akamsogelea Linda ????????

"Oh mpnz wangu, mimi nimekuta man tayari aliwaza Alex kabla ya kumshika Linda ooh No no no si...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss
UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS ??????12
UTAMUU WA MABOSS ??????12
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9  Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9 Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

897
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

684
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

669
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

452
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

322
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

212
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

103
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

64
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest