Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS ??????11
Gonga94 · Stories

UTAMUU WA MABOSS ??????11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMUU WA MABOSS ??????11

Baada ya chakula cha mchana Linda na Alex waliongozana kwenda chumbani ????????wazazi wa Alex walibaki wanatabasamu????????

Aah wanaendana sana hakika wanapendeza????????waliongea hivyo wazazi huku wakiwasindikiza wawili wale kwa macho mpaka walipoingia chumbani..

Alex alikaa ktndn kwake huku Linda akibadilisha nguo kwenye chumba cha kubadilishia nguo, Linda alitoka akiwa amevalia gauni fupi jekundu ambalo lilimchonga vyema mwili wake na Alex akatabasamu ????????

"Kwanini amevaa gauni jekundu na fupi ? Hajui kuwa nguo nyekundu inatamanisha? , akawaza Alex Kisha akamsogelea Linda ????????

"Oh mpnz wangu, mimi nimekuta man tayari aliwaza Alex kabla ya kumshika Linda ooh No no no si wakati huu ????????..ila mbona kapendeza sana natamani kumshika

Alex alianza kumsogelea Linda huku akimuangalia kwa jicho la mata manio Linda naye Alirudi nyuma kana kwamba anajua anachotaka kufanya Alex.

"Nini.....unafanya nini...unafanya nini" aliuliza Linda akionekana kuogopa...

"Unatakiwa kulipa kwa ulichonifanyia Jana..

"Nini" aliuliza tena linda.

"Gosh ???????? aliunguruma hivo Alex baada ya linda kuigusa ikulu yake ????????????ana midmo midogo ya waridi, nataman kui????????, aliwaza hivo Alex
Akamsogelea Linda kwa ukaribu sana na kuinamisha kichwa chake mpaka usawa wa naniliu zake..

Linda alifumba macho yake kwa nguvu.

Alex alitoa kibanio ambacho Linda alitumia kufunga nywele zake na nywele zake zilianguka kwa uhuru mgongoni kwa Linda ????

Alex alisimama wima na Linda alianza kufumbua macho yake kwa uangalifu na Hatimaye aliyafungua yote na Alex akamwangalia machoni huku akionekana mwenye ham nying sana..

"Ulikuwa unawaza nini? unafikiri nitakubs" Alex alimuuliza Linda huku akiwa anacheka.

"Kwanini ... kwanini nifikirie hivyo" akasema Linda huku akiona aibu kidogo..

"kwanini ulifumba macho niliposogeza uso wangu kwako"

"Kuna Kitu kilianguka machoni mwangu, ndiyo sababu nikafumba macho mxieeew????????"

"Acha uongo baby" Alisema Alex huku akiendelea kusogea mbele na Linda akawa anarudi nyuma hadi mgongo wake ukakutana na ukuta...

Alex Aliweka mikono yake miwili ukutani, akimtazama Linda na hapohapo akakumbuka kitu alichomfanyia Linda ofisini juzi na akajikuta amepatwa na hasira,

zile makeup alizomfanyia zilimfanya aonekane kama mdoli.

"Kubali kwamba mimi ni handsome na nitakuacha peke yako," alisem Alex hii ni kwa sababu Linda hajawahi kumsifia kabisa mwnaume huyu..

Alex anaamini muonekano wake una uwezo wa kumvutia kila mwanamke alishangaa sana baada ya kuona siku zinazidi kwenda na linda hamshobokei wala kuusifia muonekano wake..

Siku hiyo aliamua kumlazimisha Linda amuite handsome laa sivyo atamfanya kitu mbya..

"Mmhhh Hapana, hata nyani ni mzuri kuliko wewe" akajibu Linda kwa kiburi

"Haya baby, maneno yako hayanikeri hata kidogo, kubali tu kuwa mimi ni handsome maana najua kabisa mimi ni handsome, akasema Alex "

"Wewe ni mbaya" akajibu Linda
"Ukiniambia hivyo, nitakubs" akasema Alex

"Ngoja nikuone ukijaribu kukataa kuwa mm ni mzuri basi lazima nikupg bus langu mdmon"

Huyu jamaa vipi?? Nimeshakwambia wewe ni mbaya????????okay Alex alimsogelea akajiweka tayari kumbus Linda hakuonesha kuogopa na alikuwa tyr kwa lolote????????????

Wakati wanataka kunaniliu Mara ghafla wakasikia mlango ukigongwa
"Sht nani anagonga, Alex alifika mlangoni" akiwa na hasira

Mjakazi aliingia na kuinama kidogo kisha akamwambia Alex
"Wazazi wako walisema nikwambie wewe na mkeo kuwa wao wameshaondaka"

Alex alijikuta anaanza kutabasamu baada ya kusikia neno mke na kutikisa kichwa kisha mfanyakazi akaondoka..

Alienda hadi ilipo simu yake na kuchukua simu yake kitndan kabla ya kugeuka ili aondoke alisimama na kumgeukia Linda Kisha akatabasamu na kusema..

"Unapaswa kubadilisha gauni lako,"

"Samahani? Ninaweza kuvaa chochote ninachochagua" kumbuka mimi siyo mkeo usijishaue mr akasema Linda

"Si unajua kuwa rangi nyekundu inavutia kwa hio unataka ukatngzwe huko?" akasema Alex

Kwani nikitngzwa kuna shida????????hutaki nipate mme?? Na ninavotamani kuopoa jibaba lenye mihela huko kwenye party inabidi nipendeze na kuvutia ili nipate mtu leo..

Alex alishikwa na wivu sana aliondoka bila kujibu chochote akaenda kusimama nje akimsubilia Linda abadili gauni lake..

"Huyu mjnga ana shida gani?? alitaka kunibus na sasa ananiambia kuw nilichovaa kinatega wnaum,Je, nibadilishe au nisibadilishe?

Itabidi nivae hii hii maana ilinichukua muda sana kufunga zipu ya nguo hii, akawa anajisemea linda.

Alishuka kujumuika na Alex maana Alex alikuwa anamsubiri abadili lile gauni ili waende zao kwenye party

"Unasubiri nini kubadili hiyo nguo?" Aliuliza Alex mara baada ya kumuona Linda akija.

Hakumjibu kitu kwa sababu hakutaka kugombana na Alex .

Linda aliingia kwenye gari na Alex pia akaungana nae kisha Sam akaondoa gari..

Walifika huko kwenye party na wazazi wa Alex wakaanza kumtambulisha Linda kwa mabilionea fulani huko Chicago.

Linda alipendeza kupita kiasi kila alikopita watu wote waligeuka kumwangalia????????????Alex alishikwa na wasiwasi sana aliona ile Party inaweza kumuondoa Linda kwenye maisha yake..

Eh mungu wageuze wanaume wote humu ndani Linda awaone kama kondoo mimi tu ndo anitamani ???????? Alex aliwaza hivo huku akizidisha umakini wa kumlinda Linda asimponyoke..

Baada ya utambulisho Linda alitaman kushangilia MAANA hakuwah kufikiria kama anaweza kukutana na watu wakubwa na wenye pesa hata Siku Moja katika maisha yake.

Alipiga kelele mara moja lakin akakumbuka kuwa yuko kwenye mishen hivyo anatakiwa kutulia.

Nisije nikaonekana mshamba nikatia aibu wacha nijiweke matawi ili niendane nao????????????
.
Alex alimchukua Linda wakaketi sehemu moja alimtambulisha kwa marafiki zake akiwemo Angela..

Angela alimsifia sana Alex na kumwambia umepata mwanamke mzuri sana???????????? Linda Aliwaza eh mungu lait wangejua mimi ni mpnz bandia hata wasingetusifia kiasi hiki????????

Linda aliwaza hivo kisha akamkonyeza Alex na kutaka kusema kitu????????..

Alex aliogopa akawaza huyu mwanamke ni chizi hachelewi kuharibu mipango yetu eh mungu wangu tuliza kichaa chake mpaka tuondoke hii sehemu ????????

Nini kitafuata,?

Itaendeleaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS ??????11

UTAMUU WA MABOSS ??????11

Baada ya chakula cha mchana Linda na Alex waliongozana kwenda chumbani ????????wazazi wa Alex walibaki wanatabasamu????????

Aah wanaendana sana hakika wanapendeza????????waliongea hivyo wazazi huku wakiwasindikiza wawili wale kwa macho mpaka walipoingia chumbani..

Alex alikaa ktndn kwake huku Linda akibadilisha nguo kwenye chumba cha kubadilishia nguo, Linda alitoka akiwa amevalia gauni fupi jekundu ambalo lilimchonga vyema mwili wake na Alex akatabasamu ????????

"Kwanini amevaa gauni jekundu na fupi ? Hajui kuwa nguo nyekundu inatamanisha? , akawaza Alex Kisha akamsogelea Linda ????????

"Oh mpnz wangu, mimi nimekuta man tayari aliwaza Alex kabla ya kumshika Linda ooh No no no si...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss
UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS ??????12
UTAMUU WA MABOSS ??????12
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9  Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9 Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

589
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

543
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

366
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

349
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

316
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

28
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

27

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest