Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS ??????12
Gonga94 · Stories

UTAMUU WA MABOSS ??????12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMUU WA MABOSS ??????12

Sherehe iliendelea hadi mida fulani ikahitimishwa????Hatimaye Linda na Alex walirudi nyumbani
Walifika nyumbani na moja kwa moja Linda akaenda chumbani..

"Kesho ni Jumamosi na hatuendi kazini. Ninahisi uchovu sana Linda aliwaza."

Alienda bafuni na kuoga. Alitoka na kuvaa night dress yake. Alijilaza kitndn akifikiria cha kufanya na aliamua kukigawanya kitanda vipande viwili kwa kuweka blanket kubwa katikati kisha akalala.

Alex alikaa sebuleni akitazama sinema alipohisi usingizi akazima TV na kuelekea chumbani kwake..

Aliingia na kumkuta Linda akiwa amelala huku kakigawanya kitanda, Alex alicheka????????chizi kweli huyu mwanamke

Alienda bafuni akaoga. Alitoka na kuvaa nguo yake ya kulalia..alitoa ile mito na blanket lililogawa kitanda chake alaf akajilaza pembeni ya linda????????

Linda alihisi uwepo wa mtu pembeni yake akashtuka na kuamka????????alishangaa kumuona Alex akiwa amelala pale pembeni yake"

Oh Alex ???????? kumbe ndo anasinziaga hivi????????ana midmo mizuri jamani????????Linda alitamani kuigusa midm ya Alex badae akasita..

Alimtazama tena na hapo ndipo alipogundua jinsi Alex alivyo handsome????????.

Aliendelea kumtazama na akaelekeza macho yake kwenye kif????ua Cha Alex .
"Subiri.....Vipi mbona hana shat? Iinda alijiuliza na kuanza kukikagua kif ua kitm Cha mazoez alichojaaliwa Alex .

Alex alishtuka usingizini Linda ikabidi ajilaze haraka..Alex alimfunika vizuri kisha akam????????Linda alitamani Alex aendelee maana midm yake ilishaanza kumvutia????????

Alissmka huyooo hata hivo usingizi ulimpitia akalala mpaka asubuhi???? asubuhi linda aliamka na kujishangaa????????alikuta hali haielewi????????mbona niko hivi??

Aliamka haraka na kwenda kujisafisha akamuacha Alex amelala..

Alitoka bafuni na kukuta Alex hayupo tena kitndni na shuka limebadilishwa.
Alivaa haraka na akashuka chini lakini bado Alex hakumuona..

Mama yangu nini kilinikuta usiku??????????sa na huyu Alex kaenda wapi et????????

"Aah Kwa nini ninajali hata hivyo...mbona kama vile nimeanza kumfikiria huyu mwanaume..

Alienda jikoni na mpishi alikuwa ndani hivyo akamuomba apike yeye.
"Samahan ila naomba nikusaidie kupika leo.mpishi alimruhusu..

Alichukua sufuria na kuanza kupika.
Dakika 30 baadaye, alimaliza kupika na alitoa chakula na kwenda kutenga mezani.

Anatazama huku na kule kumtafuta Alex lakini hakumuona..
"Linda aliwaza huyu mwanaume kaenda wapi?? Yani sijui hata alinifny nini nahisi Alex alininaniliu nikiwa usingizini????????..

Wakati Linda anawaza kilichotokea usiku

Mara akamuona kijakazi akija upande wake na kumsimamisha.
"Unajua mume wangu... yupo wapi" Linda alisema huku akijishuku kwa kumuita Alex mume wake.

"Ndiyo mama, yuko kwenye balcony," alisema kijakazi na Linda akaitikia kwa kutikisa kichwa.

Alikwenda kwenye
balcony na kumtazama na alishangaa kumuona bado hana shat????????

Alisafisha koo lake na akageuka
"Habari za asubuhi" alimsalimia
"Salama????????Alijibu Alex huku akitabasamu .

"Wow unaonekana mzuri unapotabasamu, unapaswa kutabasamu mara nyingi sio kukunja uso wako kama kichwa cha nanilii????" Linda alimwambia na Alex akakunja uso wake..

"Sasa unaonekana mbaya," Linda alisema mara baada ya kuona Alex ameacha kutabasamu..

"Vipi sasa" aliuliza huku akitabasamu.
"Hmm vizuri" akajibu Linda
"Kwa nini upo hapa" akauliza
"Nimekuja kukuambia kifungua kinywa kiko tayari" akajibu Linda

"Sawa nitafika baada ya dakika 20" alisema na Linda akaondoka.

Wakati Linda alipokuwa karibu kumaliza chakula chake Alex alifika mezani
Akaketi na kufungua chakula
"Natumai ladha hii ni tamu kama inavyoonekana" akasema Alex ..

"Alionja na kisha akasema Hmm this is gooood" alitabasamu na Linda akatabasamu kimoyomoyo
Walimaliza kula na mpishi akaja kusafisha meza

"Wow ladha hii ni nzuri. Umetumia mapishi gani na nataka uendelee kutumia mapishi uliyotumia leo" Alisema Alex na kusimama lakini alichokisema mpishi kilimshtua..

"Mpishi alimwambia Alex Samahan Boss si mimi niliyepika, ni mkeo."Alex alishangaa huyu chizi ndo anajua kupika chakula kitamu hivi??

"Alimgeukia na kumuuliza Umepika wewe " Linda akaitikia kwa kichwa huku akitizama pembeni??bado alikuwa anafikiria kuhusu kilichomkuta usiku na aliwaza ataanzaje kumuuliza Alex kama alimnaniliu akiwa usingizini ????????

Itaendeleaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

NAKUJA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS ??????12

UTAMUU WA MABOSS ??????12

Sherehe iliendelea hadi mida fulani ikahitimishwa????Hatimaye Linda na Alex walirudi nyumbani
Walifika nyumbani na moja kwa moja Linda akaenda chumbani..

"Kesho ni Jumamosi na hatuendi kazini. Ninahisi uchovu sana Linda aliwaza."

Alienda bafuni na kuoga. Alitoka na kuvaa night dress yake. Alijilaza kitndn akifikiria cha kufanya na aliamua kukigawanya kitanda vipande viwili kwa kuweka blanket kubwa katikati kisha akalala.

Alex alikaa sebuleni akitazama sinema alipohisi usingizi akazima TV na kuelekea chumbani kwake..

Aliingia na kumkuta Linda akiwa amelala huku kakigawanya kitanda, Alex alicheka????????chizi kweli huyu mwanamke

Alienda bafuni akaoga. Alitoka na kuvaa nguo yake ya kulalia..alitoa ile mito na blanket...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss
UTAMUU WA MABOSS ??????11
UTAMUU WA MABOSS ??????11
UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9  Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9 Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40

1.17K
AFANDE MILLAN😎 41 to 42

AFANDE MILLAN😎 41 to 42

677
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18

495
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

249

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.65K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.87K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.62K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo😳. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN😎 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 41 to 42
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

“Dad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamani” Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest