Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS ??????12
Gonga94 · Stories

UTAMUU WA MABOSS ??????12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMUU WA MABOSS ??????12

Sherehe iliendelea hadi mida fulani ikahitimishwa????Hatimaye Linda na Alex walirudi nyumbani
Walifika nyumbani na moja kwa moja Linda akaenda chumbani..

"Kesho ni Jumamosi na hatuendi kazini. Ninahisi uchovu sana Linda aliwaza."

Alienda bafuni na kuoga. Alitoka na kuvaa night dress yake. Alijilaza kitndn akifikiria cha kufanya na aliamua kukigawanya kitanda vipande viwili kwa kuweka blanket kubwa katikati kisha akalala.

Alex alikaa sebuleni akitazama sinema alipohisi usingizi akazima TV na kuelekea chumbani kwake..

Aliingia na kumkuta Linda akiwa amelala huku kakigawanya kitanda, Alex alicheka????????chizi kweli huyu mwanamke

Alienda bafuni akaoga. Alitoka na kuvaa nguo yake ya kulalia..alitoa ile mito na blanket lililogawa kitanda chake alaf akajilaza pembeni ya linda????????

Linda alihisi uwepo wa mtu pembeni yake akashtuka na kuamka????????alishangaa kumuona Alex akiwa amelala pale pembeni yake"

Oh Alex ???????? kumbe ndo anasinziaga hivi????????ana midmo mizuri jamani????????Linda alitamani kuigusa midm ya Alex badae akasita..

Alimtazama tena na hapo ndipo alipogundua jinsi Alex alivyo handsome????????.

Aliendelea kumtazama na akaelekeza macho yake kwenye kif????ua Cha Alex .
"Subiri.....Vipi mbona hana shat? Iinda alijiuliza na kuanza kukikagua kif ua kitm Cha mazoez alichojaaliwa Alex .

Alex alishtuka usingizini Linda ikabidi ajilaze haraka..Alex alimfunika vizuri kisha akam????????Linda alitamani Alex aendelee maana midm yake ilishaanza kumvutia????????

Alissmka huyooo hata hivo usingizi ulimpitia akalala mpaka asubuhi???? asubuhi linda aliamka na kujishangaa????????alikuta hali haielewi????????mbona niko hivi??

Aliamka haraka na kwenda kujisafisha akamuacha Alex amelala..

Alitoka bafuni na kukuta Alex hayupo tena kitndni na shuka limebadilishwa.
Alivaa haraka na akashuka chini lakini bado Alex hakumuona..

Mama yangu nini kilinikuta usiku??????????sa na huyu Alex kaenda wapi et????????

"Aah Kwa nini ninajali hata hivyo...mbona kama vile nimeanza kumfikiria huyu mwanaume..

Alienda jikoni na mpishi alikuwa ndani hivyo akamuomba apike yeye.
"Samahan ila naomba nikusaidie kupika leo.mpishi alimruhusu..

Alichukua sufuria na kuanza kupika.
Dakika 30 baadaye, alimaliza kupika na alitoa chakula na kwenda kutenga mezani.

Anatazama huku na kule kumtafuta Alex lakini hakumuona..
"Linda aliwaza huyu mwanaume kaenda wapi?? Yani sijui hata alinifny nini nahisi Alex alininaniliu nikiwa usingizini????????..

Wakati Linda anawaza kilichotokea usiku

Mara akamuona kijakazi akija upande wake na kumsimamisha.
"Unajua mume wangu... yupo wapi" Linda alisema huku akijishuku kwa kumuita Alex mume wake.

"Ndiyo mama, yuko kwenye balcony," alisema kijakazi na Linda akaitikia kwa kutikisa kichwa.

Alikwenda kwenye
balcony na kumtazama na alishangaa kumuona bado hana shat????????

Alisafisha koo lake na akageuka
"Habari za asubuhi" alimsalimia
"Salama????????Alijibu Alex huku akitabasamu .

"Wow unaonekana mzuri unapotabasamu, unapaswa kutabasamu mara nyingi sio kukunja uso wako kama kichwa cha nanilii????" Linda alimwambia na Alex akakunja uso wake..

"Sasa unaonekana mbaya," Linda alisema mara baada ya kuona Alex ameacha kutabasamu..

"Vipi sasa" aliuliza huku akitabasamu.
"Hmm vizuri" akajibu Linda
"Kwa nini upo hapa" akauliza
"Nimekuja kukuambia kifungua kinywa kiko tayari" akajibu Linda

"Sawa nitafika baada ya dakika 20" alisema na Linda akaondoka.

Wakati Linda alipokuwa karibu kumaliza chakula chake Alex alifika mezani
Akaketi na kufungua chakula
"Natumai ladha hii ni tamu kama inavyoonekana" akasema Alex ..

"Alionja na kisha akasema Hmm this is gooood" alitabasamu na Linda akatabasamu kimoyomoyo
Walimaliza kula na mpishi akaja kusafisha meza

"Wow ladha hii ni nzuri. Umetumia mapishi gani na nataka uendelee kutumia mapishi uliyotumia leo" Alisema Alex na kusimama lakini alichokisema mpishi kilimshtua..

"Mpishi alimwambia Alex Samahan Boss si mimi niliyepika, ni mkeo."Alex alishangaa huyu chizi ndo anajua kupika chakula kitamu hivi??

"Alimgeukia na kumuuliza Umepika wewe " Linda akaitikia kwa kichwa huku akitizama pembeni??bado alikuwa anafikiria kuhusu kilichomkuta usiku na aliwaza ataanzaje kumuuliza Alex kama alimnaniliu akiwa usingizini ????????

Itaendeleaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

NAKUJA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS ??????12

UTAMUU WA MABOSS ??????12

Sherehe iliendelea hadi mida fulani ikahitimishwa????Hatimaye Linda na Alex walirudi nyumbani
Walifika nyumbani na moja kwa moja Linda akaenda chumbani..

"Kesho ni Jumamosi na hatuendi kazini. Ninahisi uchovu sana Linda aliwaza."

Alienda bafuni na kuoga. Alitoka na kuvaa night dress yake. Alijilaza kitndn akifikiria cha kufanya na aliamua kukigawanya kitanda vipande viwili kwa kuweka blanket kubwa katikati kisha akalala.

Alex alikaa sebuleni akitazama sinema alipohisi usingizi akazima TV na kuelekea chumbani kwake..

Aliingia na kumkuta Linda akiwa amelala huku kakigawanya kitanda, Alex alicheka????????chizi kweli huyu mwanamke

Alienda bafuni akaoga. Alitoka na kuvaa nguo yake ya kulalia..alitoa ile mito na blanket...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss
UTAMUU WA MABOSS ??????11
UTAMUU WA MABOSS ??????11
UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9  Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9 Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

880
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

676
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

607
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

389
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

226
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

171
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

157
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

102
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

41
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.62K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest