UTAMUU WA MABOSS ??????12
Sherehe iliendelea hadi mida fulani ikahitimishwa????Hatimaye Linda na Alex walirudi nyumbani
Walifika nyumbani na moja kwa moja Linda akaenda chumbani..
"Kesho ni Jumamosi na hatuendi kazini. Ninahisi uchovu sana Linda aliwaza."
Alienda bafuni na kuoga. Alitoka na kuvaa night dress yake. Alijilaza kitndn akifikiria cha kufanya na aliamua kukigawanya kitanda vipande viwili kwa kuweka blanket kubwa katikati kisha akalala.
Alex alikaa sebuleni akitazama sinema alipohisi usingizi akazima TV na kuelekea chumbani kwake..
Aliingia na kumkuta Linda akiwa amelala huku kakigawanya kitanda, Alex alicheka????????chizi kweli huyu mwanamke
Alienda bafuni akaoga. Alitoka na kuvaa nguo yake ya kulalia..alitoa ile mito na blanket lililogawa kitanda chake alaf akajilaza pembeni ya linda????????
Linda alihisi uwepo wa mtu pembeni yake akashtuka na kuamka????????alishangaa kumuona Alex akiwa amelala pale pembeni yake"
Oh Alex ???????? kumbe ndo anasinziaga hivi????????ana midmo mizuri jamani????????Linda alitamani kuigusa midm ya Alex badae akasita..
Alimtazama tena na hapo ndipo alipogundua jinsi Alex alivyo handsome????????.
Aliendelea kumtazama na akaelekeza macho yake kwenye kif????ua Cha Alex .
"Subiri.....Vipi mbona hana shat? Iinda alijiuliza na kuanza kukikagua kif ua kitm Cha mazoez alichojaaliwa Alex .
Alex alishtuka usingizini Linda ikabidi ajilaze haraka..Alex alimfunika vizuri kisha akam????????Linda alitamani Alex aendelee maana midm yake ilishaanza kumvutia????????
Alissmka huyooo hata hivo usingizi ulimpitia akalala mpaka asubuhi???? asubuhi linda aliamka na kujishangaa????????alikuta hali haielewi????????mbona niko hivi??
Aliamka haraka na kwenda kujisafisha akamuacha Alex amelala..
Alitoka bafuni na kukuta Alex hayupo tena kitndni na shuka limebadilishwa.
Alivaa haraka na akashuka chini lakini bado Alex hakumuona..
Mama yangu nini kilinikuta usiku??????????sa na huyu Alex kaenda wapi et????????
"Aah Kwa nini ninajali hata hivyo...mbona kama vile nimeanza kumfikiria huyu mwanaume..
Alienda jikoni na mpishi alikuwa ndani hivyo akamuomba apike yeye.
"Samahan ila naomba nikusaidie kupika leo.mpishi alimruhusu..
Alichukua sufuria na kuanza kupika.
Dakika 30 baadaye, alimaliza kupika na alitoa chakula na kwenda kutenga mezani.
Anatazama huku na kule kumtafuta Alex lakini hakumuona..
"Linda aliwaza huyu mwanaume kaenda wapi?? Yani sijui hata alinifny nini nahisi Alex alininaniliu nikiwa usingizini????????..
Wakati Linda anawaza kilichotokea usiku
Mara akamuona kijakazi akija upande wake na kumsimamisha.
"Unajua mume wangu... yupo wapi" Linda alisema huku akijishuku kwa kumuita Alex mume wake.
"Ndiyo mama, yuko kwenye balcony," alisema kijakazi na Linda akaitikia kwa kutikisa kichwa.
Alikwenda kwenye
balcony na kumtazama na alishangaa kumuona bado hana shat????????
Alisafisha koo lake na akageuka
"Habari za asubuhi" alimsalimia
"Salama????????Alijibu Alex huku akitabasamu .
"Wow unaonekana mzuri unapotabasamu, unapaswa kutabasamu mara nyingi sio kukunja uso wako kama kichwa cha nanilii????" Linda alimwambia na Alex akakunja uso wake..
"Sasa unaonekana mbaya," Linda alisema mara baada ya kuona Alex ameacha kutabasamu..
"Vipi sasa" aliuliza huku akitabasamu.
"Hmm vizuri" akajibu Linda
"Kwa nini upo hapa" akauliza
"Nimekuja kukuambia kifungua kinywa kiko tayari" akajibu Linda
"Sawa nitafika baada ya dakika 20" alisema na Linda akaondoka.
Wakati Linda alipokuwa karibu kumaliza chakula chake Alex alifika mezani
Akaketi na kufungua chakula
"Natumai ladha hii ni tamu kama inavyoonekana" akasema Alex ..
"Alionja na kisha akasema Hmm this is gooood" alitabasamu na Linda akatabasamu kimoyomoyo
Walimaliza kula na mpishi akaja kusafisha meza
"Wow ladha hii ni nzuri. Umetumia mapishi gani na nataka uendelee kutumia mapishi uliyotumia leo" Alisema Alex na kusimama lakini alichokisema mpishi kilimshtua..
"Mpishi alimwambia Alex Samahan Boss si mimi niliyepika, ni mkeo."Alex alishangaa huyu chizi ndo anajua kupika chakula kitamu hivi??
"Alimgeukia na kumuuliza Umepika wewe " Linda akaitikia kwa kichwa huku akitizama pembeni??bado alikuwa anafikiria kuhusu kilichomkuta usiku na aliwaza ataanzaje kumuuliza Alex kama alimnaniliu akiwa usingizini ????????
Itaendeleaaaa
Full 1000
WhatsApp 0742133100
NAKUJA.