Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS ??????12
Gonga94 · Stories

UTAMUU WA MABOSS ??????12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMUU WA MABOSS ??????12

Sherehe iliendelea hadi mida fulani ikahitimishwa????Hatimaye Linda na Alex walirudi nyumbani
Walifika nyumbani na moja kwa moja Linda akaenda chumbani..

"Kesho ni Jumamosi na hatuendi kazini. Ninahisi uchovu sana Linda aliwaza."

Alienda bafuni na kuoga. Alitoka na kuvaa night dress yake. Alijilaza kitndn akifikiria cha kufanya na aliamua kukigawanya kitanda vipande viwili kwa kuweka blanket kubwa katikati kisha akalala.

Alex alikaa sebuleni akitazama sinema alipohisi usingizi akazima TV na kuelekea chumbani kwake..

Aliingia na kumkuta Linda akiwa amelala huku kakigawanya kitanda, Alex alicheka????????chizi kweli huyu mwanamke

Alienda bafuni akaoga. Alitoka na kuvaa nguo yake ya kulalia..alitoa ile mito na blanket lililogawa kitanda chake alaf akajilaza pembeni ya linda????????

Linda alihisi uwepo wa mtu pembeni yake akashtuka na kuamka????????alishangaa kumuona Alex akiwa amelala pale pembeni yake"

Oh Alex ???????? kumbe ndo anasinziaga hivi????????ana midmo mizuri jamani????????Linda alitamani kuigusa midm ya Alex badae akasita..

Alimtazama tena na hapo ndipo alipogundua jinsi Alex alivyo handsome????????.

Aliendelea kumtazama na akaelekeza macho yake kwenye kif????ua Cha Alex .
"Subiri.....Vipi mbona hana shat? Iinda alijiuliza na kuanza kukikagua kif ua kitm Cha mazoez alichojaaliwa Alex .

Alex alishtuka usingizini Linda ikabidi ajilaze haraka..Alex alimfunika vizuri kisha akam????????Linda alitamani Alex aendelee maana midm yake ilishaanza kumvutia????????

Alissmka huyooo hata hivo usingizi ulimpitia akalala mpaka asubuhi???? asubuhi linda aliamka na kujishangaa????????alikuta hali haielewi????????mbona niko hivi??

Aliamka haraka na kwenda kujisafisha akamuacha Alex amelala..

Alitoka bafuni na kukuta Alex hayupo tena kitndni na shuka limebadilishwa.
Alivaa haraka na akashuka chini lakini bado Alex hakumuona..

Mama yangu nini kilinikuta usiku??????????sa na huyu Alex kaenda wapi et????????

"Aah Kwa nini ninajali hata hivyo...mbona kama vile nimeanza kumfikiria huyu mwanaume..

Alienda jikoni na mpishi alikuwa ndani hivyo akamuomba apike yeye.
"Samahan ila naomba nikusaidie kupika leo.mpishi alimruhusu..

Alichukua sufuria na kuanza kupika.
Dakika 30 baadaye, alimaliza kupika na alitoa chakula na kwenda kutenga mezani.

Anatazama huku na kule kumtafuta Alex lakini hakumuona..
"Linda aliwaza huyu mwanaume kaenda wapi?? Yani sijui hata alinifny nini nahisi Alex alininaniliu nikiwa usingizini????????..

Wakati Linda anawaza kilichotokea usiku

Mara akamuona kijakazi akija upande wake na kumsimamisha.
"Unajua mume wangu... yupo wapi" Linda alisema huku akijishuku kwa kumuita Alex mume wake.

"Ndiyo mama, yuko kwenye balcony," alisema kijakazi na Linda akaitikia kwa kutikisa kichwa.

Alikwenda kwenye
balcony na kumtazama na alishangaa kumuona bado hana shat????????

Alisafisha koo lake na akageuka
"Habari za asubuhi" alimsalimia
"Salama????????Alijibu Alex huku akitabasamu .

"Wow unaonekana mzuri unapotabasamu, unapaswa kutabasamu mara nyingi sio kukunja uso wako kama kichwa cha nanilii????" Linda alimwambia na Alex akakunja uso wake..

"Sasa unaonekana mbaya," Linda alisema mara baada ya kuona Alex ameacha kutabasamu..

"Vipi sasa" aliuliza huku akitabasamu.
"Hmm vizuri" akajibu Linda
"Kwa nini upo hapa" akauliza
"Nimekuja kukuambia kifungua kinywa kiko tayari" akajibu Linda

"Sawa nitafika baada ya dakika 20" alisema na Linda akaondoka.

Wakati Linda alipokuwa karibu kumaliza chakula chake Alex alifika mezani
Akaketi na kufungua chakula
"Natumai ladha hii ni tamu kama inavyoonekana" akasema Alex ..

"Alionja na kisha akasema Hmm this is gooood" alitabasamu na Linda akatabasamu kimoyomoyo
Walimaliza kula na mpishi akaja kusafisha meza

"Wow ladha hii ni nzuri. Umetumia mapishi gani na nataka uendelee kutumia mapishi uliyotumia leo" Alisema Alex na kusimama lakini alichokisema mpishi kilimshtua..

"Mpishi alimwambia Alex Samahan Boss si mimi niliyepika, ni mkeo."Alex alishangaa huyu chizi ndo anajua kupika chakula kitamu hivi??

"Alimgeukia na kumuuliza Umepika wewe " Linda akaitikia kwa kichwa huku akitizama pembeni??bado alikuwa anafikiria kuhusu kilichomkuta usiku na aliwaza ataanzaje kumuuliza Alex kama alimnaniliu akiwa usingizini ????????

Itaendeleaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

NAKUJA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS ??????12

UTAMUU WA MABOSS ??????12

Sherehe iliendelea hadi mida fulani ikahitimishwa????Hatimaye Linda na Alex walirudi nyumbani
Walifika nyumbani na moja kwa moja Linda akaenda chumbani..

"Kesho ni Jumamosi na hatuendi kazini. Ninahisi uchovu sana Linda aliwaza."

Alienda bafuni na kuoga. Alitoka na kuvaa night dress yake. Alijilaza kitndn akifikiria cha kufanya na aliamua kukigawanya kitanda vipande viwili kwa kuweka blanket kubwa katikati kisha akalala.

Alex alikaa sebuleni akitazama sinema alipohisi usingizi akazima TV na kuelekea chumbani kwake..

Aliingia na kumkuta Linda akiwa amelala huku kakigawanya kitanda, Alex alicheka????????chizi kweli huyu mwanamke

Alienda bafuni akaoga. Alitoka na kuvaa nguo yake ya kulalia..alitoa ile mito na blanket...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss
UTAMUU WA MABOSS ??????11
UTAMUU WA MABOSS ??????11
UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS ??????9
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9  Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
UTAMUU WA MABOSS 🥵❤️9 Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup 😁😁
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

363
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

331
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

316
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

172
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

50
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

30
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

29
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

28
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

28
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

25

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.69K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan. Post Mpya
mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi hao ni Muhtasham na mkewe, Ihsan.
@majario LIVE

💥Kamera zilikuwa zikiwanasa mara nyingi wakiishangilia kwa pamoja katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahçe, na wakawa kama moja ya kielelezo cha mapenzi ya kweli ndani ya mchezo wa soka, Wapenzi...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 16 -- 17
@majario LIVE

SEHEMU YA 16 Denis hakujibu kitu alikata simu 📱 hapo hapo nilishikwa na machungu 😔 sana nilifuta namba yake kwa hasira😡nikaanza kulia 😭 kilichokuwa kinaniumiza zaidi ni kuachwa bila kutarajiwa halafu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest