UTAMUU WA MABOSS ??????9
Linda aliona kukubaliana na lile hitaji la alex kutamfanya alex aache kuulizia maswala ya makeup ????????
Alex aliwasha gari wakaondoka kuelekea shopping muda wote alikuwa anawaza nini kimefanya Linda akubali ombi lake haraka vile??
Wakati Alex anawaza ya kwake linda nae alikuwa anawaza ya kwake kichwani...alikuwa anajiuliza ni kwanini Alex anataka niwe mpnz wake na bado anilipe????????
Itabidi nimuulize???????? hello aliita Linda huku akimwangalia Alex aliekuwa bize kuendesha gari.. Alex alijifanya hajisikii huku akiona raha vile Linda anavyomuita na kumtizama usoni kwake????????
"Kwanini unataka niwe mpnz wako" Linda alimuuliza Alex..
"Nilidhani hautaniuliza kwa sababu nakulipa ," alisema Alex..
"Ila Sawa, leo ni siku ya kumbukumbu ya wazazi wangu na wanataka nimlete mpnz wangu na kwa vile sina ndo maana nimekuomba??..
"Seriously?? Vipi kuhusu yule bibi niliyekuona ukimbs , Kwan hawez kufaa kuwa mwanamke wako? " Akaulzia Linda
"Lazima uingie kwenye mambo ya watu wengine" Alisema Alex kwa hasira..
"Nilijua nimesema kile ambacho sitakiwi kusema.
"Samahani bwana" Linda alisema
Hii ni kama mara ya tatu Linda akiomba msamaha MAANA bado anahofu kwa kitu alichomfanyia Alex na Alex mpaka muda huo hakuonesha reaction yoyote ile.
walifika kwenye maduka ya fashion ambayo ni maarufu kwa jina la FM na hapo ndipo kunakouzwa vitu vya bei ghali ZAIDI.
"Anafanya hivi kweli???? Linda alijiuliza
"Je, UPO tayar tufanye manunuzi" Alisema Alex na kumshika mkono Linda.
"Mbona anajali sana akajiuliza Linda????
Waliingia ndani na Alex akasema kuwa Linda achukue nguo yoyote apendayo.
"kila kitu hapa ni ghali sana, Linda akawaza
Alichukua nguo tofauti za chapa tofauti.
"Nimemaliza" Linda alisema mara moja
.
"Unadhan umetosheka" Alex aliuliza na Linda akaitikia kwa kichwa.
Basi Alex alilipa na wakaondoka na kwenda sehemu nyingine ambazo wangeweza kununua vitu nyingine kama vile begi, viatu na vipodozi. Walienda hata kutengeneza nywele za Linda na muda wote Alex alikuwa akisubiri kama mtu mpole..
Linda alimaliza kutengeneza nywele zake na wakaingia kwenye gari wakaanza kuondoka..wakiwa njiani Alex alimuita Linda..
"Linda alimuitikia akisubilia kusikia kile alichotaka kumwambia..Alex alisema
"Adhabu yako ni kwamba utakaa nami, nyumbani kwangu chmbn kwangu kwa wiki moja au ufukuzwe kazi
" Nini???" Aliuliza Linda kwa mshtuko .
"Ndio hivyo,"
"Yani mimi?? Nyumbani kwako?? Chmbn kwako?? Ktndn kwako?? Alafu iweje??
Mimi nilifikir hili dili ni la masaa machache kumbe ni la wiki nzima?
"Ndio ni wiki nzima, hebu acha kunihoji Kwan Una mpnz?" Alex aliuliza
"Hapana sijui" Linda Alisema na Alex akahema kwa furaha????????.
"Nashukuru Mungu sitakuwa nikipokea ngumi kutoka kwa mvulana yeyote kwa sababu niko na mpnz wake????????, akasema Alex
" naomba nikupeleke kwenye jumba langu la kifahari" Alex alisema ..
Walifika kwenye jumba la Alex la kifahari na walinzi wakawafungulia gari.
kijakazi alikuja kumsaidia Linda mabegi ya ununuzi na wakaingia ndani ya jumba hilo la kifahari. Wajakazi zaidi waliwasalimia huku Linda akiendelea kushangaa kila kitu????..
Walifika chmbn kwa Alex na linda akajilaza ktndni kwa uchovu.
"Wow, chumba chako ni kikubwa sana," akasema Linda
.
"Asante"
"Hata kitnd ni kikubwa pia" alisema Linda akitabasamu
"Ndio ni hivyo na kumbuka ni kwa watu wawili TU kwa MAANA watu wawili pekee ndio wanatakiwa kull hapo"
"Samahani nini??. Siwezi kull kitnd kimoja na kijana mwenye kbur kama wewe Alinong'ona Linda.
"Kumbuka ninakulipa kwa hili na sio kama nitakugusa, zaidi ya hayo wazazi wangu wana akili sana na wanaweza kutushuku" Alisema Alex na Linda akapumua tu..
"Nenda ujisafishe" akasema Alex
na kusimama kabla ya kutoka nje ya chumba.
Sihitaji kueleza mahali bafu lilipo naamin utaliona.
Alex alishuka na kuwaona wazazi wake wakitazama sinema
"Halo mama, habari baba," alisema Alex na kumnyanyua mama yake Kisha kukaa kando yake.
"Oh kpnz changu" alisema Mama yake Alex huku baba akitabasamu tu
"Kwahiyo yule binti yuko wapi" aliuliza mama yake Alex na Alex akatoa macho MAANA aliamin kuwa hakuna ambae aliwaona..
"yuko chumbani kwangu anaoga" alisema Alex na mama yake akatabasamu
"Ngoja niende nikamchunguze" Alisema mama yake Alex na kusimama.
"Mama tafadhali usimsumbue kwa maswali" akasema Alex kwa sauti ya uoga maana anakijua kichwa Cha Linda asije akaharibu mambo????????
"Sawa" alisema mama na kuelekea chumbani kwa Alex .
"Hatimaye umemleta msichana wako nyumbani. I'm proud of you son" Alisema baba yake Alex na yeye akaachia tabasamu????????
Mambo gani haya jamani.
, wananipelekesha sana Hawa wazaz wangu, Alex aliwaza...
Linda alimaliza kuoga na na kuingia chumbani akakutana na mwanamke pale amekaa????????
"Habari za mchana mama, nawez kukusaidia, akasema Linda
Na mama yake Alex akatabasamu????????
"Mungu wangu, mwanangu kweli ameleta msichana mzuri nyumbani," alisema na Linda akamtazama akiwa na hofu ????????
.
"Mwanao? Alex ni mwanao" Linda alimuuliza na akaitikia kwa kichwa kama mtoto.
"Oh Mungu wangu, samahani mama" Linda alisema haraka na mama yake Alex akacheka na kumfanya Linda atabasamu..
"Nimekpnda, wewe ni mrembo, unajali,na mcheshi. Alisema mama na Linda akatabasamu.
"Jina lako nani" aliuliza mama
"Naitwa Linda, nina umri wa miaka 22 na nimpnz wa mwanao Linda alisema .
"Natumai sijasema kile ambacho sitakiwi kusema, akawaza linda????????
"Wow, una akili sana Vipi kuhusu wazazi wako?" Aliuliza mama
"Wamek????fa mama"
"Oh..samahani sana kwa kufiwa na wazaz" Alisema na kumkumbatia Linda..
"Linda alichanganyikiwa Nini hiki Mungu wangu! Mke wa top ten ya matajiri hapa nchini na mwenye mvuto zaidi ananikumbatia mimi Ahh!! Bahat gani hii????????????
"Tutaongea baadae sweetheart" Alisema mama na kumshika Linda shavuni kisha akatoka nje.
Linda alichukua gauni jepesi na kulivaa, akafunga nywele zake na kibanio. Alichukua simu yake na kuanza kuperuzi kwenye mtandao na ndipo Alex alipoingia.
"Nini jamani?????? unakujaje bila kubisha hodi, ningekuwa bado navaa je, Kwann unaingia bila kubisha hodi" Linda alisema.
"Nilijua utakuwa umemaliza ," alisema Alex n Linda akamkazia macho.
Alex Alikuwa karibu kuongea jambo mara mtu akabisha hodi
"Ingia" Alisema Alex na mwanamke aliyevaa sare akaingia..
"Mheshimiwa, chakula cha mchana kipo tayari," alisema na Alex akampa ishara ya kuondoka na akaondoka zake..
"Lunch is ready, lets go" Alisema na wote wakashuka.
Meza ilikuwa tayari imewekwa na wazazi wa Alex walikuwa tayari wameketi
"Habari za mchana baba" Linda alimsalimia baba yake Alex, na yeye akatabasamu na kusema
"Habari za mchana binti yangu, habari yako"
"Sijambo baba"
"Wow mwanangu kweli umeleta msichana mzuri" Alisema na Linda akatabasamu
"Asante baba" Linda alisema na baba akaitikia kwa kichwa kisha wakaanza kula
macho ya Linda na Alex yaliendelea kugongana na Bi Shaws ambae ni mama yake Alex akaendelea kutabasamu ..
"Baada ya chakula cha mchana nyie mnapaswa kwenda kufurahia chmbn kwenu maana sherehe bado ni usiku," Bi Shaws alisema na Linda akaitikia kwa kichwa..
Mungu wangu nikafurahie na huyu chizi mimi???? asije akafanya kweli maana hapa tunaigiza tu..
Itaendeleaaaaaa
Full 1000
WhatsApp 0742133100.