MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
Akaniambia Irene nimefurahi sana huwezi amini najihisi kunakitu kizuri sana mwilini mwangu kimeingia
Naomba niambie nini kupe chochote utakachosema nitakupa
Nikamwambia kuwa usijali Asante wala usinipe chochote
Kwasasa niachetu nijisomee maana kunamitihani kesho
Chris akamwambia sawa nakuacha ila wacha niende mpenzi
Aliondoka akiwa na furaha sana nilibaki nikimshangaa
Nikaona niajabu sijui alifurahia nini kwakuwa sijui kitu chochote kuhusu mapenzi hivyo sikuona cha maana
Niliendelea na kusoma kwangu
Baada nilipomaliza kusoma nilienda bwenini kujipumzisha nilikuta kwenye kutanda changu kuna zawadi nyingi
Nikawauliza wenzangu nivitu gani hivi na vyanani mbona vipo kitandani kwangu
Alikuja Najma na kuniambia kuwa vitu hivi nivyako kutoka kwa Chris
Nilijiskia vibaya nikavikusanya na kuviweka pembeni
Ilikuwa vitu vizuri vya thamani
Kulikuwa na duvet na shuka zake sleeps viatu vizuri sana saa ya mkononi pajama na cheni ya gold
Najma alinifuata na kuniambia nakuona hauko sawa kabisa hembu jitulize
Nilimjibu kuwa nahofu watu watanitafsili nini sasa Najma
Najma akamjibu usiwaone hivyo kilamtu anamajanga yake shukulu mungu wewe mwanaume anae kutaka kila mtu anamtolea macho
Kwanza anahela anauwezo anaogopeka shule nzima hadi walim wanasujudu kwake kuwa na amani
Nikajituliza kidogo nikaanza kuelewa kisha nilivichukuwa vile vitu na kuvihifadhi vizuri
Niliingia kitandani nikalala hatimaye siku nyingine ilifika
Niliamka na kuoga na kujianda kwenda kwenye mtihani
Tulifanya mitihani na baada ya hapo nilikuwa nikiwaza matokeo tuu
Hivyo nilikuwa niko bize na vitu vya masomi ila Chris alikuwa ananiwazia mimituu
Majibu yalikuja kutoka nilitoboa kama kawa
Hivyo Chris aliniangalizi zawadi
Aliniomba tukale pamoja chajioni
Yaani tukae meza moja nayeye niogopa ila nilijikaza kama alivyoniambia najma
Nilikaa meza moja na Chris na alkkuwa ana special dayati
Tulikula kuku wakienyeji na chips
Alikuwa akiongea Irene kipenzi changu nimefurahi kuwa wako wamoyo hivyo hakika hutojutia kwa uamuzi ulio uchukua kwangu
Nilimwitikia na baada ya hapo nilimwambia likizo imefika mimi kwetu ni morogoro wewe wapi
Chris akajibu mimi ni Dar-es-Salaam ila sio mbali na morogoro usihofu kuhusu hilo nitajua namna yakulizingatia
Nilimwitikia sawa ila naogopa sana nyumbani hawapaswi kujua kitu
Akaitikia sawa wala sitoluhusu wajue
Baada ya chakula nilienda bwenini kulala kesho tufunga shule
Endelea kufuatilia.....
FULL 1000
HALOPESA 0627949520 bahati
WhatsApp 0627949520.