Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NI WANGU PEKEANGU epsd 14.
Gonga94 · Stories

NI WANGU PEKEANGU epsd 14.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Muda ulifika Franco alienda kumpitia mpenzi Vanessa na kumpeleka sehemu kuenjoy kidogo ili asiboreke naile msg aliotumiwa na Fred hivyo alimjua Vanessa kuliko Fred anavyomjua anajua kuwa anahitaji nini ili afurahi anahitaji nini ili aweze kujihisi kama anavyojihisi sasa baada ya yoote akamludisha nyumbani kwao na kisha akaondoka nayeye nyumbani alipofika nyumbani alimuomba Fred watoke nje kwenye Garden wakatoka na kukaa huku waliagiza vinywaji na kuanza mazungumzo huku wanakunywa
Franco alianza Fred wewe ni nduguyangu ila kilichotokea kimetokea
Fred akauliza kulikoni kunakitu ganitena
Franco akasema nakuomba radhi mdogoangu kwakile kilichotokea
Fred akauliza nini mmefanya mpaka uombe radhi mimi ni mdogoako bwana
Franco akamwambia kuwa nilimpenda Vanessa mapema tangu nimuone nisamehe sana kaka
Fred aliuliza kaka unasema nini acha matani yako hujuitu nijinsi gani navyompenda
Franco akamwambia nikweli na wala sio utani ndio maana nilianza na samahani na nimezama kabisaa kama mtu aliezama kwenye tope
Fred alikasilika na kusimama unataka kuniambi umeshaanza na uhusiano kweli kaka
Franco alijibu nikweli niweza kumsumbu muda mwingi sana usije mlaumu yeye hatakidogo hata sikuile tulipokuwa tunakunywa chai nilimfanya apoteze kujiamini hadi akakimbia nilimwambia ukweli sikumficha na alipoenda zanzibar nilimfuuata tena na alinikimbia pia najua aliogopa kukujulisha kwani alijua tutagombana
Fred kumbe ndio ulichofanya kwangu kwanini kaka eeh siamini kama niwewe huyo umenifanyia haya
Franco akaendelea na pia nilipewa na babaake niendenae mombasa huko ndipo mapenzi yalipozaliwa katiyetu mimi na Vanessa hivyo nilikuwa wakwanza naomba umsamehe na wewe nakuomba unielewe
Fred akamwambia sijui wewe nindugu waaina gani umenizurumu nduguyako kweli hujui nimeumia kiasigani nakuchukia sana kaka na kuanzia leo wewe sio nduguyangu sitaki kukuona,
Fred aliinuka na kuwasha gari kisha alienda kunywa pombe nyingi sana wakatihuo Franco aliamua kumguatilia alivyoona kalewa sana akamchukua na kumludisha nyumbani alipofika akamuingiza chumbani kwake kumlaza nae alikwenda kulala asubuhi ilipofika aliamka na kumfuata muuhudumu wa nyumbani kumpa maagizo kuwa amtengenezee maji ya lmao ili aweze kuwa sawa maana alilewa sana usiku wa jana kisha akaondoka kuelekea kazini
Kuendelea na majukumu alipofika kazini alienda moja kwa moja ofisini kwa Vanessa akamkumbatia kwa nguvu na kisha alimbusu na kumtakia asubuhi njema tataonana kwenye chakula chamchana
Vanessa alimuuliza vipi mfalme wangu umeonga na Fred anasemaje
Franco alimjibu hilo nimesha limaliza kuwa na amani amekasilika ila hasila zitaisha sio muda sawa kuwa na amani
Baada ya kazi walitoka kama kawaida yao mapenzi yao kilasiku nikama mapya yalikuwa moto moto wakati walipofika getini kwa kina Vanessa walimkuta Fred nje anamgoja Vanessa walipo muonatu Vanessa alianza kuogopa Franco alimwambia usiogope kabisa mimi niliongea nae akashuka na Franco wote Fred alimwambia ahitaji kuongea na Vanessa pekeake wewe nenda........je unavyodhani atamfanya nini Fred je unataka kujua tafadhari endelea kufuatilia story
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NI WANGU PEKEANGU epsd 14.



Muda ulifika Franco alienda kumpitia mpenzi Vanessa na kumpeleka sehemu kuenjoy kidogo ili asiboreke naile msg aliotumiwa na Fred hivyo alimjua Vanessa kuliko Fred anavyomjua anajua kuwa anahitaji nini ili afurahi anahitaji nini ili aweze kujihisi kama anavyojihisi sasa baada ya yoote akamludisha nyumbani kwao na kisha akaondoka nayeye nyumbani alipofika nyumbani alimuomba Fred watoke nje kwenye Garden wakatoka na kukaa huku waliagiza vinywaji na kuanza mazungumzo huku wanakunywa
Franco alianza Fred wewe ni nduguyangu ila kilichotokea kimetokea
Fred akauliza kulikoni kunakitu ganitena
Franco akasema nakuomba radhi mdogoangu kwakile kilichotokea
Fred akauliza nini mmefanya mpaka uombe radhi mimi ni mdogoako bwana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ni-wangu-pekeangu-epsd-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ni-wangu-pekeangu-epsd
NI WANGU PEKEANGU epsd   16.
NI WANGU PEKEANGU epsd 16.
 NI WANGU PEKEANGU epsd  5.  Alipoingia Franco akaubana mlango na kumwambia Vanessa
NI WANGU PEKEANGU epsd 5. Alipoingia Franco akaubana mlango na kumwambia Vanessa
NI WANGU PEKEANGU epsd 3.  Franco alipomtupia Vanessa kitandani akataka aje kwa juu
NI WANGU PEKEANGU epsd 3. Franco alipomtupia Vanessa kitandani akataka aje kwa juu
NI WANGU PEKEANGU epsd  15
NI WANGU PEKEANGU epsd 15
NI WANGU PEKEANGU epsd  4.  Fred aliwapeleka Erica na Vanessa
NI WANGU PEKEANGU epsd 4. Fred aliwapeleka Erica na Vanessa
NI WANGU PEKEANGU epsd  11.
NI WANGU PEKEANGU epsd 11.
NI WANGU PEKEANGU epsd 20
NI WANGU PEKEANGU epsd 20
NI WANGU PEKEANGU epsd   6.  Akataja jina Vanessa hadi Vanessa alishtuka na kuangusha grass
NI WANGU PEKEANGU epsd 6. Akataja jina Vanessa hadi Vanessa alishtuka na kuangusha grass
NI WANGU PEKEANGU epsd  17.
NI WANGU PEKEANGU epsd 17.
NI WANGU PEKEANGU epsd 18.
NI WANGU PEKEANGU epsd 18.
NI WANGU PEKEANGU epsd  7.  Franco akapiga goti chini kisha akaanza kumwambia
NI WANGU PEKEANGU epsd 7. Franco akapiga goti chini kisha akaanza kumwambia
NI WANGU PEKEANGU epsd   6.  Akataja jina Vanessa hadi Vanessa alishtuka na kuangusha grass
NI WANGU PEKEANGU epsd 6. Akataja jina Vanessa hadi Vanessa alishtuka na kuangusha grass
NI WANGU PEKEANGU epsd  8.
NI WANGU PEKEANGU epsd 8.
NI WANGU PEKEANGU epsd   12.
NI WANGU PEKEANGU epsd 12.
NI WANGU PEKEANGU epsd 13.
NI WANGU PEKEANGU epsd 13.
NI WANGU PEKEANGU epsd  10
NI WANGU PEKEANGU epsd 10
NI WANGU PEKEANGU epsd 19.
NI WANGU PEKEANGU epsd 19.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

642
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

495
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

283
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

212
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

90
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest