NI WANGU PEKEANGU epsd 11.
Baada ya kumzui mdomo Vanessa na kumwambia kuhusu Fred niachie mimi mwenyewe kisha alimwachia mdomo huku akimtizama kwa matamanio makali na kumsogelea kalibu kisha akamwambia wacha nikuonyeshe jinsigani unastahili kupendwa
Vanessa alibaki akitizama huku akiwa kachoka kimahaba
Franco alimsogelea na kuanza kumbusu mdomoni kisha alikula denda wakarom muda mrefu na baada ya hapo wakamaliza na haba zito walifanya walipomaliza walilala hapo chumbani kwa Vanessa wakiwa wamechoka hoi na walikumbatiana mpaka asubuhi
Waliamka asubuhi wakatizamana walikuwa nafuraha wakiwa pamoja waliingia kuoga pamoja Franco alimuosha Vanessa kimahaba na kumnyanyua kumpeleka kitandani akamfuta maji vizuri kisha akampaka mafuta na kumbusu
Baada ya hapo alienda kuchukua nguo na yeye akawa anajipaka mafuta alitokea Vanessa akamzuia na kuanza kumpaka yeye na kisha akamwandalia nguo zakuvaa alimsaidia kuvaa kwa mahaba uku wakipigana mabusu hakika walijikuta kama dunianzima wapo pekeao yaani huwezi amini mapenzi waliokuwanayo kama niwapenzi wamuda wanaojuana kila mala nikukisitu yaani ukweli hadi raha Vanessa alideka akasahau kabisa kama alikuwa na Fred muda wote alienjoy sana kuwa karibu na Franco
Walitoka wakaenda kutembea wakiwa na furaha sana baada ya muda waliludi hotelini wakaingia chumbani na kujiandaa kwenda kupata chakula chajioni wakiwa pamoja Vanessa na Franco walikula kimahaba Franco alikuwa mwanaume mwenye mahaba sana alikuwa anamlisha chakula na kumfuta kwa mdomo chakula kikibaki pembeni ya mdomo yaani Vanessa alikuwa mrembo mwenye bahati kasahau kabisa kuwa aliwahi kuwa na uhusiano na Fred walipomaliza wakaingia chumbani wakati wapo chumbani Vanessa akamwambia sitaki kukukosa hata dakika tafadhari lala hapa unikumbatie hadi asubuhi nikiamkatu nikuone upe pembeni yangu ndio tuanze safari yakuludi wote nyumbani
Franco alikubali na kulala kalibu na mrembo Vanessa mpaka asubuhi ilipofika aliagiza chai iletwe chumbani kwao ilipoletwa akainuka taratibu kuichukua na kuiadaa vizuri kisha alimwamsha mrembo Vanessa kwa busu kisha akamkaribisha chai aliamka na kumbusu pia alifurahi sana na kuinuka kukaa akawa analishwa mpaka kamaliza akainuka na kumwambia twende nikakuogeshe akampeleka chooni kumuogesha kimahaba na kisha walizidiwa na hisia wakafanya tena tendo kwa mtindo wa kimahaba huku wakiwa wanaoga na walipomaliza walikuwa na furaha sana kisha alimbebatena nakumpeleka chumbani wakiwa romantic sana Franco hakika alikuwa namahaba sana akamfuta maji kisha akampaka mafutana baada yahapo alimsaidia kuvaa chupi na sidilia baada yahapo akamvisha skin jenz na tishet na kisha akavaa na yeye baada ya hapo akamwambia nikuvishe raba kisha tuondoke alimvisha nakumbebea mabegi kwenda kwenye gari kwa safari yakuludi dara.......je wataweza kuongea na Fred atawaelewa endelea kufuatilia
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
