Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
15 Dec 2025
145 views
VYOTE NDANI GONGA94
NI WANGU PEKEANGU epsd 3. Franco alipomtupia Vanessa kitandani akataka aje kwa juu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ya Vanessa mala mlango ulifunguliwa na akaingia Erica Franco alibaki kaduwaa kisha Vanessa aliinuka na kumkimbilia Erica
Na Erica akauliza Franco unafanya nini humu kwa Fred kwani hujui kuwa ameshaanza chumbia tayari na mchumbaake huwa anakuja hapa
Franco akajibu kuwa nilikuwa nakitu nimefuata bahati mbaya nimemkuta bi mrembo yupo humu kisha akajifanya samahani Vanessa kwa kuingia bila hodi
Vanessa akamwambia kuwa hamna shida kwa uwoga kisha akamwambia vipi nikienda chumbani kwako Erica
Erica alimwambia kuwa nisawa kipenzi
Walichukuana nakwenda chumbani kwa Erica na kulala pamoja
Asubuhi ilipofika Vanessa akaenda kukutana na Franco baada ya chai akamwambia aikuogopi nakuomba kaa mbali na mimi, kwani mimi ni mchumba wakakaako na ukiendelea hivyo nitamwambia Fred
Franco akamwambia hata ufanyeje wewe niwangu wangu pekeangu weka akilini hilo na ondoka hapa
Vanessa akachanganyikiwa nakukimbia mbio na kwendazake nyumbani kwao
Baada ya aku mbili Fred aliludi na alipofika alimuuliza Erica Vanessa hajaja nyumbani muda sikungapi
Erica akamwambia kaka kwanini usimuulize yeye mamaana nimpenzi wako
Fred akamwambia kuwa nataka nimfanyie mshangao
Fred akaingia ndani nakumpigia sim Vanessa aje nyumbani
Vanessa alimwambia sawa ila sitolala hapo
Fred aliuliza kwanini mpenzi hujanimis kwani
Vanessa akamjibu nimekumis sana kisha wakacheka wote na kumwambia nakuja nitalala hapo nawewe mpenzi,
Vanessa aliona akimuelezea kilichotokea atawagombanisha ndugu na wengine hawatampenda hivyo akaona aache kumweleza atapambana na Franco mwenyewe
Basi aliamua kwenda Fred alifurahi kumuuona na kumkumbatia akaomba wakale pamoja chakula cha jioni walitoka nakwenda kula chakula cha jioni walifurahi pamoja na kuja wote nyumbani kwa kina Fred kisha waliingia ndani wakenda kuoga pamoja na kulala wakiwa na furaha
Asubuhi ilifika Erica alifurahi kumuona rafikiyake Vanessa kaja
Franco alipomuona Vanessa akamminyia kijicho nakutoka nnje...... je nini kitatokea endelea kufuatilia story
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
NI WANGU PEKEANGU epsd 3. Franco alipomtupia Vanessa kitandani akataka aje kwa juu
ya Vanessa mala mlango ulifunguliwa na akaingia Erica Franco alibaki kaduwaa kisha Vanessa aliinuka na kumkimbilia Erica
Na Erica akauliza Franco unafanya nini humu kwa Fred kwani hujui kuwa ameshaanza chumbia tayari na mchumbaake huwa anakuja hapa
Franco akajibu kuwa nilikuwa nakitu nimefuata bahati mbaya nimemkuta bi mrembo yupo humu kisha akajifanya samahani Vanessa kwa kuingia bila hodi
Vanessa akamwambia kuwa hamna shida kwa uwoga kisha akamwambia vipi nikienda chumbani kwako Erica
Erica alimwambia kuwa nisawa kipenzi
Walichukuana nakwenda chumbani kwa Erica na kulala pamoja
Asubuhi ilipofika Vanessa akaenda kukutana na Franco baada ya chai akamwambia ...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ni-wangu-pekeangu-epsd-3-franco-alipomtupia-vanessa-kitandani-akataka-aje-kwa-juu