Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
01 Jan 2026
74 views
VYOTE NDANI GONGA94
NI WANGU PEKEANGU epsd 20
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Waliingia maharusi kisha walifunga ndoa na kuelekea kupiga picha baada ya picha walienda ukumbini watu walifurahi sana harusi ilikuwa kubwa yenyekufana nakupendeza Franco na Vanessa walipendeza sana Vanessa alikuwa anadeka sana kwa Franco hakika na Franco pia alimdekeza kimahaba Vanessa
Harusi ilipoisha Franco alimchukuwa mkewe na kuenda nae hanimun zanziba walikaahuko siku saba na kisha waliludi nyumbani kwa kina Franco kwa muda wajiandae wakatafute nyumba yawao wawili walikuwa na mahaba pale ndani kanakwamba nimgeni huyo Vanessa alikuwa muda woote yupo begani mwa Franco hakutaka kuwapa nafasi watu wakae nae hivyo alimkip bize sana nakazini wanaenda wote walifanikiwa kupata nyumba na walihama nyumbani pale na kuhamia kwao walikuwa na furaha baada ya muda mchache Vanessa alikuwa mjamzito hakika mapenzi yaliongezeka kwa Franco alikuwa Vanessa akohoi Franco anamkimbilia mbio jamani nyinyi raha ya mapenzi umpate yule anayekupenda utajua mapenzi nimatamu au rah
Hakika wawili hawa jamani walipendana muda wa kukalibia kujifungua walienda Canada huko ndipo alipojifungulia Vanessa na mtoto wake alikuwa na ulaia wa nchi mbili kalikuwa kazuri sana kakiume familia ilikuwa yenyefuraha sana mamaake Vanessa na babaake Vanessa walifurahisana mtotowao alikuwa na furaha na muda ulipofika walikabiziwa ofisi ya baba kuwa ya Vanessa ashilikiane na Franco
Pia wazazi wa Franco walielewa mapenzi waliokuwa nayo Vanessa na Franco hivyo waliamua kuwapa radhi zao kumkubali Vanessa na tayari wamepata mjukuu
Fred alikuwa hana budi aliamua kuwaalika siku moja nyumbani akakaanao nakuongea nao kisha aliwaambia hana tena kinyongo nao hivyo wawena amani kisha alimbeba mtoto nakuwaomba naweza kutoka na mwanangu walimwambia wewetuu walicheka na kufurahi kwakweli ilikuwa familia yenyeupendo na yakubutia maana wanapenda sana kilasiku kama ndio wapenzi wapya hakika Franco nimwanaume mwenye haba zito hata mama wa Vanessa alifurahi sana kuona mwanae yuko nafuraha na mwanaume mwenye mapenzi walikuwa wanawavutia watuwoote Franco alikuwa anawaambia kuwa Vanessa niwake pekeake.......mwisho wa hadithi hiii ila ndio mwanzo wa hadithi nyingine endelea kututuatilia
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
Waliingia maharusi kisha walifunga ndoa na kuelekea kupiga picha baada ya picha walienda ukumbini watu walifurahi sana harusi ilikuwa kubwa yenyekufana nakupendeza Franco na Vanessa walipendeza sana Vanessa alikuwa anadeka sana kwa Franco hakika na Franco pia alimdekeza kimahaba Vanessa
Harusi ilipoisha Franco alimchukuwa mkewe na kuenda nae hanimun zanziba walikaahuko siku saba na kisha waliludi nyumbani kwa kina Franco kwa muda wajiandae wakatafute nyumba yawao wawili walikuwa na mahaba pale ndani kanakwamba nimgeni huyo Vanessa alikuwa muda woote yupo begani mwa Franco hakutaka kuwapa nafasi watu wakae nae hivyo alimkip bize sana nakazini wanaenda wote walifanikiwa kupata nyumba...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ni-wangu-pekeangu-epsd-20