Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
20 Dec 2025
58 views
VYOTE NDANI GONGA94
NI WANGU PEKEANGU epsd 7. Franco akapiga goti chini kisha akaanza kumwambia
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
samahani kama ninakuudhi Vanessa ukweli huuoni huku akiwa anatokwa na machozi na kusema kuwa unajua nakupenda sana sana kwanini hunielewi Vanessa
Vanessa akamwambia hivi Franco unani jamani mbona unanifanyia hivi mimi sasa hivi ni nini sasa
Akamiinua na kumwambia naomba kaa na nikuulize
Akamuuliza utamwambia nini Fred ikiwa akijua kuwa unanipenda
Franco akajibu huyo niachie mimi kwanza naomba unikubale hakika hutojuta kuwa namimi nitakufanya uwe mwenye furaha sana
Vanessa akamwambia Franco usiwe hivyo sasa nitafanyaje mbona unanifanyia hivyo naomba niende ndani nikafikili nitakujibu
Franco alimluhusu Vanessa na kuondoka kwenda chumbani kwake
Kisha aliinuka nakuingia chumbani kwake na yeye
Asubuhi ilipo fika Franco alitoka nakuelekea kupata chai alisubili Vanessa hakumuona akaona aende kumhongea chumbani kwake aligonga nakugonga lakini kimya alitokea muhudumu akamwambia huyu dada alisha ondoka alfajili ya leo ameenda zake
Alitoka mbio kuelekea bandalini huenda angemkuta ila hakumuona aliludi hotelini kuchukua vitu vyake na kuanza safari nayeye yakuludi dar
Alipofika dar alimpigia sim Vanessa na kumuuliza mbona umenikimbia upowapi Vanessa akamwambia sijakimbia nipo huku hukuzazibar nimehama tu hotel
Franco alichukia mbona nimeambiwa umeondoka akamjibu ndio niliondoka ila nilihama hotel tuu naludi kesho kutwa
Franco aliludi nyumbani kwao na kumwacha
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Wanangu hakuna jambo la muhimu kwenye malezi ya mtoto kama uwepo na sauti ya Baba
. Tofauti ni kubwa kati ya mtoto anayekuzwa na wazazi wote na yule anayelelewa na Mama pekee. Sauti ya Baba hujenga nidh...
Bila ya msimamo ule leo watu wangeshasahau kama Afcon ilichezwa Morocco, bila ya huyu Mwanaume muda huu Morocco wangekuwa wanashangilia Kombe la dhulma.
Bila ya jamaa kutoa vijana wake leo Mutsepe angekiri kuwa Senegal walionewa lakini isingesaidia kitu tayari Morocco Bin...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tum
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, teg...
BOSS ANAMPENDA MKE WANGU 02 β€ Umriβ¦β¦β¦β¦β¦β¦...18+ ENDELEA...... Makosa yalikuwa yangu mwenyewe maana kama nisingeenda na Mary kwenye sherehe
basi asingekutana na Robert, nilikubali kumsamehe mke wangu na maisha yaliendelea. Siku mbili zilipita na siku hiyo iki...
NI WANGU PEKEANGU epsd 7. Franco akapiga goti chini kisha akaanza kumwambia
samahani kama ninakuudhi Vanessa ukweli huuoni huku akiwa anatokwa na machozi na kusema kuwa unajua nakupenda sana sana kwanini hunielewi Vanessa
Vanessa akamwambia hivi Franco unani jamani mbona unanifanyia hivi mimi sasa hivi ni nini sasa
Akamiinua na kumwambia naomba kaa na nikuulize
Akamuuliza utamwambia nini Fred ikiwa akijua kuwa unanipenda
Franco akajibu huyo niachie mimi kwanza naomba unikubale hakika hutojuta kuwa namimi nitakufanya uwe mwenye furaha sana
Vanessa akamwambia Franco usiwe hivyo sasa nitafanyaje mbona unanifanyia hivyo naomba niende ndani nikafikili nitakujibu
Franco alimluhusu Vanessa na kuondoka kwenda chumbani kwake
Kisha aliinuka nakuingia chumbani kwake na yeye
Asubuhi ilipo fika Franco...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ni-wangu-pekeangu-epsd-7-franco-akapiga-goti-chini-kisha-akaanza-kumwambia