Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
20 Dec 2025
59 views
VYOTE NDANI GONGA94
NI WANGU PEKEANGU epsd 7. Franco akapiga goti chini kisha akaanza kumwambia
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
samahani kama ninakuudhi Vanessa ukweli huuoni huku akiwa anatokwa na machozi na kusema kuwa unajua nakupenda sana sana kwanini hunielewi Vanessa
Vanessa akamwambia hivi Franco unani jamani mbona unanifanyia hivi mimi sasa hivi ni nini sasa
Akamiinua na kumwambia naomba kaa na nikuulize
Akamuuliza utamwambia nini Fred ikiwa akijua kuwa unanipenda
Franco akajibu huyo niachie mimi kwanza naomba unikubale hakika hutojuta kuwa namimi nitakufanya uwe mwenye furaha sana
Vanessa akamwambia Franco usiwe hivyo sasa nitafanyaje mbona unanifanyia hivyo naomba niende ndani nikafikili nitakujibu
Franco alimluhusu Vanessa na kuondoka kwenda chumbani kwake
Kisha aliinuka nakuingia chumbani kwake na yeye
Asubuhi ilipo fika Franco alitoka nakuelekea kupata chai alisubili Vanessa hakumuona akaona aende kumhongea chumbani kwake aligonga nakugonga lakini kimya alitokea muhudumu akamwambia huyu dada alisha ondoka alfajili ya leo ameenda zake
Alitoka mbio kuelekea bandalini huenda angemkuta ila hakumuona aliludi hotelini kuchukua vitu vyake na kuanza safari nayeye yakuludi dar
Alipofika dar alimpigia sim Vanessa na kumuuliza mbona umenikimbia upowapi Vanessa akamwambia sijakimbia nipo huku hukuzazibar nimehama tu hotel
Franco alichukia mbona nimeambiwa umeondoka akamjibu ndio niliondoka ila nilihama hotel tuu naludi kesho kutwa
Franco aliludi nyumbani kwao na kumwacha
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
NI WANGU PEKEANGU epsd 7. Franco akapiga goti chini kisha akaanza kumwambia
samahani kama ninakuudhi Vanessa ukweli huuoni huku akiwa anatokwa na machozi na kusema kuwa unajua nakupenda sana sana kwanini hunielewi Vanessa
Vanessa akamwambia hivi Franco unani jamani mbona unanifanyia hivi mimi sasa hivi ni nini sasa
Akamiinua na kumwambia naomba kaa na nikuulize
Akamuuliza utamwambia nini Fred ikiwa akijua kuwa unanipenda
Franco akajibu huyo niachie mimi kwanza naomba unikubale hakika hutojuta kuwa namimi nitakufanya uwe mwenye furaha sana
Vanessa akamwambia Franco usiwe hivyo sasa nitafanyaje mbona unanifanyia hivyo naomba niende ndani nikafikili nitakujibu
Franco alimluhusu Vanessa na kuondoka kwenda chumbani kwake
Kisha aliinuka nakuingia chumbani kwake na yeye
Asubuhi ilipo fika Franco...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ni-wangu-pekeangu-epsd-7-franco-akapiga-goti-chini-kisha-akaanza-kumwambia