Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.

1st Jun, 2025 Views 13

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.

WhatsApp 0627949520

Nilikuwa nalifikilia lile busu la mdomoni kutoka kwa Chris lilikuwa lakipekee sana

Nilikaa pekeangu nikiwaza alikuja najma hata sikumuona maana nilizama kwenye hisia tam sana nikawa natabasam???? pekeangu

Najma akaniuliza kipenzi umekuja tuu lakini tayari unaonekana unakitu kichwani kwako

Nikastuka nikamwambia hapana sinakitu kipenzi

Najma akaniambia upo nami ila kihisia haupo hapa niambie ukweli

Nilicheka tuu nikamwambia najma nahisia tam sana ambayo imeniingia inanifanya nitabasam pekeangu

Najma akaniuliza inahusiana na Chris sio

Nilitabasam tuu nikamwambia najma hakika sinahaja yakukuficha kipenz

Nahisi ninampenda tena sana

Najma alifurahi na kuniambia sasa huko ndio kupenda shogaangu

Jiachie kwa Chris deka muonyeshe haswa uta enjoy mwenyewe

Nilimkumbatia najma na baada ya hapo tulielekea kantini kula chakula muda wa chakula cha mchana ulifika

Tulipo maliza kula tuliludi bwenini nilichukua sim nikamtumia msg moja Chris

Nikamwambia kuwa Chris hisia hizi sijawa kutana nazo tangu nazaliwa hivyo nahisi nakupenda kupitiliza

Nakuomba usije niumiza maana ukiniumiza utakuwa umeumiza hisia nzuri tam kama hizi zikibadilika zitakuwa mbaya mnoo

Chris alinijibu sipo tayari kuona zinakuwa mbaya mno nitazilinda kama mboni ya macho yangu sawa kipenzi changu

Nilimjibu asante baby

Chris alifurahi kuitwa baby akaniuliza upo wapi Irene

Nilimjibu nipo bwenini akaniambia tukutane getini tayari nimesha ongea na mlinzi vaa nguo za kawaida

Nilivaa suluali ya jinz na tishet nilibeba kibegi mgongoni

Nilienda mpaka getini nikaruhusiwa nilivyotoka nilikuta tax ina nisubili nikaingia

Alikuwepo na Chris nikamuuliza tunaenda wapi akaniambia sehem tulia

Tulienda mpaka sehem moja ilikuwa tulivu alishuka dereva akaingia ndani na baada ya muda alikuja na kutuambia mnaweza kuingia

Tulishuka ila Chris alimuambia ampe namba atamstua ili atufuate tena

Tuliingia hadi ndani kulikuwa na vyumba vyumba

Nikamuuliza wapi humu

Alinijibu tulia nataka tukae pekeetu mpenzi

Nilitulia maana nilikuwa tayari namuamini kutokana na ninavyo mpenda

Tuliingia kwenye chumba kimoja kilikuwa kizuri kina full kipupwe

Endelea kufuatilia................

FULL 1000

HALOPESA 0627949520 bahati.
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MY HEART 03--04

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

*MY HEART* *1---2 *

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

ANIPHA 6--7.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 05

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY???15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA? Sehemu 13.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY ???11

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest