MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
WhatsApp 0627949520
Nilikuwa nalifikilia lile busu la mdomoni kutoka kwa Chris lilikuwa lakipekee sana
Nilikaa pekeangu nikiwaza alikuja najma hata sikumuona maana nilizama kwenye hisia tam sana nikawa natabasam???? pekeangu
Najma akaniuliza kipenzi umekuja tuu lakini tayari unaonekana unakitu kichwani kwako
Nikastuka nikamwambia hapana sinakitu kipenzi
Najma akaniambia upo nami ila kihisia haupo hapa niambie ukweli
Nilicheka tuu nikamwambia najma nahisia tam sana ambayo imeniingia inanifanya nitabasam pekeangu
Najma akaniuliza inahusiana na Chris sio
Nilitabasam tuu nikamwambia najma hakika sinahaja yakukuficha kipenz
Nahisi ninampenda tena sana
Najma alifurahi na kuniambia sasa huko ndio kupenda shogaangu
Jiachie kwa Chris deka muonyeshe haswa uta enjoy mwenyewe
Nilimkumbatia najma na baada ya hapo tulielekea kantini kula chakula muda wa chakula cha mchana ulifika
Tulipo maliza kula tuliludi bwenini nilichukua sim nikamtumia msg moja Chris
Nikamwambia kuwa Chris hisia hizi sijawa kutana nazo tangu nazaliwa hivyo nahisi nakupenda kupitiliza
Nakuomba usije niumiza maana ukiniumiza utakuwa umeumiza hisia nzuri tam kama hizi zikibadilika zitakuwa mbaya mnoo
Chris alinijibu sipo tayari kuona zinakuwa mbaya mno nitazilinda kama mboni ya macho yangu sawa kipenzi changu
Nilimjibu asante baby
Chris alifurahi kuitwa baby akaniuliza upo wapi Irene
Nilimjibu nipo bwenini akaniambia tukutane getini tayari nimesha ongea na mlinzi vaa nguo za kawaida
Nilivaa suluali ya jinz na tishet nilibeba kibegi mgongoni
Nilienda mpaka getini nikaruhusiwa nilivyotoka nilikuta tax ina nisubili nikaingia
Alikuwepo na Chris nikamuuliza tunaenda wapi akaniambia sehem tulia
Tulienda mpaka sehem moja ilikuwa tulivu alishuka dereva akaingia ndani na baada ya muda alikuja na kutuambia mnaweza kuingia
Tulishuka ila Chris alimuambia ampe namba atamstua ili atufuate tena
Tuliingia hadi ndani kulikuwa na vyumba vyumba
Nikamuuliza wapi humu
Alinijibu tulia nataka tukae pekeetu mpenzi
Nilitulia maana nilikuwa tayari namuamini kutokana na ninavyo mpenda
Tuliingia kwenye chumba kimoja kilikuwa kizuri kina full kipupwe
Endelea kufuatilia................
FULL 1000
HALOPESA 0627949520 bahati.