Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ???? 01&02

29th Apr, 2025 Views 104

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????

01&02

Naitwa Mamujee ni mzaliwa wa Musoma, sijabahatika kusoma sana niliishia f2 sababu ya kukosa mtu wa kunisomesha pindi tu nilipofiwa na Baba yangu, Mama yangu alifariki kitambo sanaa tangu nilipokuwa darasa la nne, Baba yangu alipofariki tu mm nikachukuliwa na shangazi yangu anaeishi Dar,. Kaka yangu alipelekwa kwa shangazi yangu mwingine anaishi Arusha, tumezaliwa wawili tu mm na Kaka yangu!!
Nilifika Dar kwa shangazi nilipokelewa vzr, shangazi yangu alikuwa Mwalimu wa shule ya msingi, pale nyumbani tulikuwa tunaishi na mjomba pamoja na watoto wa shangazi watatu,. Kiufupi pale nilikuwa kama house girl, kazi zote za nyumbani ni zangu, watoto wa shangazi walilelewa kama mayai hawawezi kufanya kazi yeyote, tuliishi vzr na shangazi huku nikiendelea kuwa mfanyakazi pale nyumbani ila sikujari sababu nilikuwa najua mm ni yatima sina pa kwenda bc nilivumilia,, ilikuwa imepita kama mwaka ivi tangu nije dar, nikawa mwenyeji nikazoea jiji vzr japo sikuwa mtu wa kujichanganya sana,, siku moja nimeamka zangu nyumbani nafanya zangu usafi shangazi na wanae walikuwa wametoka kama kawaida yao, nilikuwa bize sana na kazi zangu sikujua kama mjomba yupo ndani, nilifanya kazi zangu zote nilivyomaliza nikaingia bafuni kuoga ili nijiandae niende Solomon, nikiwa chumbani kwetu navaa nikaona mlango umesukumwa kwa nguvu, akaingia mjomba chumbani,, akanikamata kwa nguvu huku ameniziba mdomo, mjomba akanibaka nililia sanaa, sikuwahi kukutana na mwanaume tangu nimezaliwa mjomba ndio alikuwa wa kwanza, niliumia sana, mjomba akanitishia sana ole wangu niseme au nihadisie kwa mtu yeyote yule ataniua, nililala chumbani huku nikiwa na maumivu makali hadi shangazi aliporudi alinikuta nipo chumbani na sijapika chakula,, akaniuliza mbona Mamujee hujapika chochote na umelala kulikoni?? Nikamjibu naumwa huku nalia, bc akaniambia inuka ukanunue dawa umeze, nilinyanyuka kwenda kuchukua hela kwa shangazi ili nikanunue dawa, huku nachechemea, shangazi alivyoona nashindwa kutembea vzr bc akahisi kitu, akaniuliza umefanya nn huko chini hadi unashindwa kutembea?? Nilipigwa sana na shangazi akinituhumu nimeanza umalaya nimtaje huyo mwanaume aliyenifanya kitendo hiko,, nilipigwa sana niliomba msamaha kwa shangazi nikamwambia mm sio malaya ila hakunielewa kabisa, kipigo kilipo nizidia ndipo nikamwambia shangazi ukweli kuwa mjomba amenibaka bc shangazi hakunielewa kabisa akasema mm muongo namsingizia mumewe, mm ni Malaya tangu utoto, nimerithi umalaya wa Mama yangu,, shangazi hakutaka kunielewa wala hakutaka kumsubiri mjomba ili amuulize aliamua kunifukuza nyumbani kwake aliingia chumbani kwetu akabeba begi langu akaniuliza nje akanipa na elfu 60 ili nitumie nauli ya kunifikisha Musoma
Ukiikubari bc like na comment ndio zitanishawishi kurudi!!!

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????

02

Shangazi kanifukuza bila hata kuniulumia hakujali kuwa nimebakwa na mumewe nilitoka pale huku nachechemea cjui pakwenda, giza lilikuwa limeingia tyr,, nikatoka hadi stendi ya basi tulikuwa tunaishi bunju, nikapanda gari hadi ubungo ili nilale stendi asbh nipande gari za kwetu,, nilifika ubungo vzr huku nalia, nikiwa natembea kuelekea geti la kuingilia nikamsukuma Mama mmoja iv nilikuwa sijamuona nilimsukuma kwa bahati mbaya, yule Mama alinirudishia alinisukuma kwa nguvu hadi nikadondoka chini nikamwambia Mama mbona umenisukuma kiasi hiki?? Akaniambia tena ukome unavyotembea uwe unaangalia mbele sio macho chini kama mwizi bc nikajiinua ili niondoke zangu wakati nanyanyuka pale kumbe nilipoteza hela niliyopewa na shangazi kama nauli ya kwetu sikujua kama sina hela niliingia stendi nikasogea hadi kwenye gari za Musoma, ile nataka kutoa hela nikate ticket nikajikuta sina hela, nikapekua kila sehemu lkn wapi nikaanza kulia pale tena kwa nguvu, watu waliniuliza nalia nn niliwabia nimepoteza nauli ila hakuna hata aliye nijari, nilitoka pale stendi hadi yale maeneo Niliondoka nikaanza kutafuta hela ila wapi,, nikatoka nikaanza kutembea hata sijui naenda wapi,, nilifika mahari nikakaa chini huku nalia, hapo sijakula chochote tangu asbh, nikatamani nimpigie shangazi wa Arusha anapokaa Kaka yangu ila sikuwa na namba zao, nilikaa pale hadi ucku mwingi ukaanza kuingia niliogopa nikasema hapa nitabakwa tena Mamujee mm alipita Dada mmoja amevaa vzr tu nikamfata nikamsalimia vzr nikaanza kumuomba msaada,, nikamfata naomba unisaidie japo pa kulala tu kwa cku iyo,, yule Dada aliniangalia juu mpaka chini, akaniambia nitafute mtu mwingine yeye hana msaada,, yule Dada alivyoondoka akaja Kaka akaniuliza binti vp? Mbona unaangaika ucku wote huu? Nikamwambia sina pa kwenda nimetoka mkoani nimekuja kufanya kazi za ndani Sasa mtu niliyeambiwa atakuja kunipokea simuoni, ilibidi nidanganye,, bc aliniangalia vzr akaniambia twende nikakutafutie pa kulala kesho nimtafute bosi wangu, bc nilimfata yule Kaka, tulipanda basi hadi kwake, tumefika kwake vzr tukaingia ndani alikuwa kapanga chumba na sebule,, akaniambia nenda kaoge mm naenda kukutafutia chakula,, akanionyesha choo kilipo nikavua nguo nikaenda kuoga nikavaa nguo zangu vzr huku nina wasiwasi sijui hatima yangu, Kaka akarudi kabeba chips mbili na soda akanipa nikala na yeye akaenda kuoga, akaniuliza jina langu nikamwambia naitwa Mamujee, basi akaniambia Sasa ingia chumbani ukalale, niliogopa nikasema hapana nitalala hapa hapa panatosha,, akaniambia Jee noo ingia chumbani ulale na mm nitalala hapa sebuleni,, bc nikanyanyuka japo kwa uoga nikaingia chumbani,, wakati nashusha neti nilale Kaka akagonga mlango, nikainuka kufungua huku natetemeka akaniomba achukue shuka, alivyotoka nikafunga mlango kwa ndani nikalala
Asbh palivyokucha nikaamka zangu nikatoka sebleni ila sikumkuta Kaka, nikaanza kufanya usafi ndani kuanzia chumbani hadi sebleni nikapanga kila kitu vzr, nikaoga nikachukua begi langu nikakaa kwenye sofa nimsubiri Kaka aje nimuage niondoke zangu,, bc Kaka alikuja akaniita Jee vp umeamka salama? Nikajibu ndio shikamoo Kaka, aliitika vzr, alibeba soda mbili na chapati, akaniambia Jee njoo tunywe chai, mm ni msera sina hata jiko,, tunaanza kula huku ananiuliza maswali kwetu ni Musoma sehemu gn nikawa namjibu, vp kuhusu wazazi wako nikamwambia mm ni yatima,, bc Kaka aliumia sana akaniambia Jee kaa hapa na mm nitakutafutia nauli urudi nyumbani maana hata ukirudi pale ubungo nina uhakika uwezi kumpata huyo bosi wako Zaid tu utafanyiwa vitu vibaya maana hii Dar es salaam sio kabisa, bc aliniuliza nauli ya kwenu sh ngapi nikamwambia akasema nisubiri apate mshahara,, tulikaa pale huku tukiangalia Tv ilikuwa sio siku ya kazi kaka hakwenda kazini,, mchana ilipofika alitoka alivyorudi akarudi kabeba jiko la gesi na sefuria tatu na hotpot mbili ila havikuwa vipya akaniambia amechukua kwa rafiki yake tuvitumie kwa muda hadi nikiondoka hatamrudishia maana sio vzr kula mgahawani,, bc niliinuka nikaviosha vzr akanielekeza magenge akanipa na hela nikaenda kununua vitu vya kupika
Nilinunua vitu vyangu nikarudi nikaanza kupika zangu, nakumbuka nilipika pilau nikaweka kwa hotpot ili tule hadi ucku,, Kaka alifurahi akaniambia Jee kumbe unajua kupika vzr iv?? Bc cku ikaisha kesho yake Kaka alikuwa anaenda kazini akamwita mpangaji mwenzie ni mdada, akamwambia huyu ni ndugu yangu anaitwa Mamujee naomba ushinde nae vzr,, Kaka akaondoka zake nikabaki na huyo jirani ,, ilivyofika jion nikaanza kupika chakula ili Kaka akija tule.......Itaendelea.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

mjukuu rewards 100
 

SHANGA TISA EP: 20

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

mjukuu rewards 100
 

KISURA WA DAMPO SEHEMU 2

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 21

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 20

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 19

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 18

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 17

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 16

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 15

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 14

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 13

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 12

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 11 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 10 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 09

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 08

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 07

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 06

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 05

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 04

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 03

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 02

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 01

mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 11——15 )

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 6——10 )

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

WIFI AKE KHAA Sehemu ya tatu

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest