Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????  01&02
Gonga94 ยท Stories

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ???? 01&02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????

01&02

Naitwa Mamujee ni mzaliwa wa Musoma, sijabahatika kusoma sana niliishia f2 sababu ya kukosa mtu wa kunisomesha pindi tu nilipofiwa na Baba yangu, Mama yangu alifariki kitambo sanaa tangu nilipokuwa darasa la nne, Baba yangu alipofariki tu mm nikachukuliwa na shangazi yangu anaeishi Dar,. Kaka yangu alipelekwa kwa shangazi yangu mwingine anaishi Arusha, tumezaliwa wawili tu mm na Kaka yangu!!
Nilifika Dar kwa shangazi nilipokelewa vzr, shangazi yangu alikuwa Mwalimu wa shule ya msingi, pale nyumbani tulikuwa tunaishi na mjomba pamoja na watoto wa shangazi watatu,. Kiufupi pale nilikuwa kama house girl, kazi zote za nyumbani ni zangu, watoto wa shangazi walilelewa kama mayai hawawezi kufanya kazi yeyote, tuliishi vzr na shangazi huku nikiendelea kuwa mfanyakazi pale nyumbani ila sikujari sababu nilikuwa najua mm ni yatima sina pa kwenda bc nilivumilia,, ilikuwa imepita kama mwaka ivi tangu nije dar, nikawa mwenyeji nikazoea jiji vzr japo sikuwa mtu wa kujichanganya sana,, siku moja nimeamka zangu nyumbani nafanya zangu usafi shangazi na wanae walikuwa wametoka kama kawaida yao, nilikuwa bize sana na kazi zangu sikujua kama mjomba yupo ndani, nilifanya kazi zangu zote nilivyomaliza nikaingia bafuni kuoga ili nijiandae niende Solomon, nikiwa chumbani kwetu navaa nikaona mlango umesukumwa kwa nguvu, akaingia mjomba chumbani,, akanikamata kwa nguvu huku ameniziba mdomo, mjomba akanibaka nililia sanaa, sikuwahi kukutana na mwanaume tangu nimezaliwa mjomba ndio alikuwa wa kwanza, niliumia sana, mjomba akanitishia sana ole wangu niseme au nihadisie kwa mtu yeyote yule ataniua, nililala chumbani huku nikiwa na maumivu makali hadi shangazi aliporudi alinikuta nipo chumbani na sijapika chakula,, akaniuliza mbona Mamujee hujapika chochote na umelala kulikoni?? Nikamjibu naumwa huku nalia, bc akaniambia inuka ukanunue dawa umeze, nilinyanyuka kwenda kuchukua hela kwa shangazi ili nikanunue dawa, huku nachechemea, shangazi alivyoona nashindwa kutembea vzr bc akahisi kitu, akaniuliza umefanya nn huko chini hadi unashindwa kutembea?? Nilipigwa sana na shangazi akinituhumu nimeanza umalaya nimtaje huyo mwanaume aliyenifanya kitendo hiko,, nilipigwa sana niliomba msamaha kwa shangazi nikamwambia mm sio malaya ila hakunielewa kabisa, kipigo kilipo nizidia ndipo nikamwambia shangazi ukweli kuwa mjomba amenibaka bc shangazi hakunielewa kabisa akasema mm muongo namsingizia mumewe, mm ni Malaya tangu utoto, nimerithi umalaya wa Mama yangu,, shangazi hakutaka kunielewa wala hakutaka kumsubiri mjomba ili amuulize aliamua kunifukuza nyumbani kwake aliingia chumbani kwetu akabeba begi langu akaniuliza nje akanipa na elfu 60 ili nitumie nauli ya kunifikisha Musoma
Ukiikubari bc like na comment ndio zitanishawishi kurudi!!!

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????

02

Shangazi kanifukuza bila hata kuniulumia hakujali kuwa nimebakwa na mumewe nilitoka pale huku nachechemea cjui pakwenda, giza lilikuwa limeingia tyr,, nikatoka hadi stendi ya basi tulikuwa tunaishi bunju, nikapanda gari hadi ubungo ili nilale stendi asbh nipande gari za kwetu,, nilifika ubungo vzr huku nalia, nikiwa natembea kuelekea geti la kuingilia nikamsukuma Mama mmoja iv nilikuwa sijamuona nilimsukuma kwa bahati mbaya, yule Mama alinirudishia alinisukuma kwa nguvu hadi nikadondoka chini nikamwambia Mama mbona umenisukuma kiasi hiki?? Akaniambia tena ukome unavyotembea uwe unaangalia mbele sio macho chini kama mwizi bc nikajiinua ili niondoke zangu wakati nanyanyuka pale kumbe nilipoteza hela niliyopewa na shangazi kama nauli ya kwetu sikujua kama sina hela niliingia stendi nikasogea hadi kwenye gari za Musoma, ile nataka kutoa hela nikate ticket nikajikuta sina hela, nikapekua kila sehemu lkn wapi nikaanza kulia pale tena kwa nguvu, watu waliniuliza nalia nn niliwabia nimepoteza nauli ila hakuna hata aliye nijari, nilitoka pale stendi hadi yale maeneo Niliondoka nikaanza kutafuta hela ila wapi,, nikatoka nikaanza kutembea hata sijui naenda wapi,, nilifika mahari nikakaa chini huku nalia, hapo sijakula chochote tangu asbh, nikatamani nimpigie shangazi wa Arusha anapokaa Kaka yangu ila sikuwa na namba zao, nilikaa pale hadi ucku mwingi ukaanza kuingia niliogopa nikasema hapa nitabakwa tena Mamujee mm alipita Dada mmoja amevaa vzr tu nikamfata nikamsalimia vzr nikaanza kumuomba msaada,, nikamfata naomba unisaidie japo pa kulala tu kwa cku iyo,, yule Dada aliniangalia juu mpaka chini, akaniambia nitafute mtu mwingine yeye hana msaada,, yule Dada alivyoondoka akaja Kaka akaniuliza binti vp? Mbona unaangaika ucku wote huu? Nikamwambia sina pa kwenda nimetoka mkoani nimekuja kufanya kazi za ndani Sasa mtu niliyeambiwa atakuja kunipokea simuoni, ilibidi nidanganye,, bc aliniangalia vzr akaniambia twende nikakutafutie pa kulala kesho nimtafute bosi wangu, bc nilimfata yule Kaka, tulipanda basi hadi kwake, tumefika kwake vzr tukaingia ndani alikuwa kapanga chumba na sebule,, akaniambia nenda kaoge mm naenda kukutafutia chakula,, akanionyesha choo kilipo nikavua nguo nikaenda kuoga nikavaa nguo zangu vzr huku nina wasiwasi sijui hatima yangu, Kaka akarudi kabeba chips mbili na soda akanipa nikala na yeye akaenda kuoga, akaniuliza jina langu nikamwambia naitwa Mamujee, basi akaniambia Sasa ingia chumbani ukalale, niliogopa nikasema hapana nitalala hapa hapa panatosha,, akaniambia Jee noo ingia chumbani ulale na mm nitalala hapa sebuleni,, bc nikanyanyuka japo kwa uoga nikaingia chumbani,, wakati nashusha neti nilale Kaka akagonga mlango, nikainuka kufungua huku natetemeka akaniomba achukue shuka, alivyotoka nikafunga mlango kwa ndani nikalala
Asbh palivyokucha nikaamka zangu nikatoka sebleni ila sikumkuta Kaka, nikaanza kufanya usafi ndani kuanzia chumbani hadi sebleni nikapanga kila kitu vzr, nikaoga nikachukua begi langu nikakaa kwenye sofa nimsubiri Kaka aje nimuage niondoke zangu,, bc Kaka alikuja akaniita Jee vp umeamka salama? Nikajibu ndio shikamoo Kaka, aliitika vzr, alibeba soda mbili na chapati, akaniambia Jee njoo tunywe chai, mm ni msera sina hata jiko,, tunaanza kula huku ananiuliza maswali kwetu ni Musoma sehemu gn nikawa namjibu, vp kuhusu wazazi wako nikamwambia mm ni yatima,, bc Kaka aliumia sana akaniambia Jee kaa hapa na mm nitakutafutia nauli urudi nyumbani maana hata ukirudi pale ubungo nina uhakika uwezi kumpata huyo bosi wako Zaid tu utafanyiwa vitu vibaya maana hii Dar es salaam sio kabisa, bc aliniuliza nauli ya kwenu sh ngapi nikamwambia akasema nisubiri apate mshahara,, tulikaa pale huku tukiangalia Tv ilikuwa sio siku ya kazi kaka hakwenda kazini,, mchana ilipofika alitoka alivyorudi akarudi kabeba jiko la gesi na sefuria tatu na hotpot mbili ila havikuwa vipya akaniambia amechukua kwa rafiki yake tuvitumie kwa muda hadi nikiondoka hatamrudishia maana sio vzr kula mgahawani,, bc niliinuka nikaviosha vzr akanielekeza magenge akanipa na hela nikaenda kununua vitu vya kupika
Nilinunua vitu vyangu nikarudi nikaanza kupika zangu, nakumbuka nilipika pilau nikaweka kwa hotpot ili tule hadi ucku,, Kaka alifurahi akaniambia Jee kumbe unajua kupika vzr iv?? Bc cku ikaisha kesho yake Kaka alikuwa anaenda kazini akamwita mpangaji mwenzie ni mdada, akamwambia huyu ni ndugu yangu anaitwa Mamujee naomba ushinde nae vzr,, Kaka akaondoka zake nikabaki na huyo jirani ,, ilivyofika jion nikaanza kupika chakula ili Kaka akija tule.......Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ???? 01&02

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????

01&02

Naitwa Mamujee ni mzaliwa wa Musoma, sijabahatika kusoma sana niliishia f2 sababu ya kukosa mtu wa kunisomesha pindi tu nilipofiwa na Baba yangu, Mama yangu alifariki kitambo sanaa tangu nilipokuwa darasa la nne, Baba yangu alipofariki tu mm nikachukuliwa na shangazi yangu anaeishi Dar,. Kaka yangu alipelekwa kwa shangazi yangu mwingine anaishi Arusha, tumezaliwa wawili tu mm na Kaka yangu!!
Nilifika Dar kwa shangazi nilipokelewa vzr, shangazi yangu alikuwa Mwalimu wa shule ya msingi, pale nyumbani tulikuwa tunaishi na mjomba pamoja na watoto wa shangazi watatu,. Kiufupi pale nilikuwa kama house girl, kazi zote za nyumbani ni...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/maumbile-yangu-ya-nyuma-01-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi maumbile-yangu-ya-nyuma
MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????  03&04
MAUMBILE YANGU YA NYUMA ???? 03&04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59

972
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

926
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61

866
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58

750
SHAMIRA 52 to 53

SHAMIRA 52 to 53

206
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55

SHAMIRA Sehemu ya 54&55

177
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6

138
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8

136
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 9 na 10

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 9 na 10

79
SHAMIRA Sehemu ya 56&57

SHAMIRA Sehemu ya 56&57

46

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.74K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.45K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.82K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.93K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.87K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.71K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.65K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.59K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA Sehemu ya58&59 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya58&59
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa...

SHAMIRA Sehemu ya 56&57 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; 0742443214 Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 9 na 10 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 9 na 10
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 9. Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 60 & 61
@majario LIVE

Ibraa akanmbia kwanzaaa , wewe kaa na mkeo kama siku 3 kwa heshima kabisaa, na kubali tu kuwa ni mkeo na kuwa normal kwake, na uzuri mzigo si unakula basi...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mrembo๐Ÿ˜‹,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu ๐Ÿ”ฅ) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

SHAMIRA Sehemu ya 51 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 51
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi na aisha hakuchelewa sna akaleta vifaa vyangu na kadi langi la clinic pale.mimi sielewi nikawa nasema jamani nipelekeni nikazae naumwa sana. Manurse...

SHAMIRA 49 to 50 Post Mpya
SHAMIRA 49 to 50
@majario LIVE

Sehemu ya 49 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto Uyu mtotot akizaliwa .mimi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest