Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ???? 03&04

12th May, 2025 Views 59

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????

03&04

Bc nikaandaa zangu chakula ili Kaka akija tule, Kaka akarudi ila hakuwa na raha kabisa, akaniambia Jee hii Dunia ni ya ajabu sana, cjui watu wapoje? Wanapenda kuwaza Negative kwa kila jambo? Nikamuuliza kivip Kaka? Akaniambia watu wamempigia cm mpenzi wake kuwa yeye amereta mwanamke ndani na kesho anakuja kujua mbivu na mbichi,, akaniambia nisijali ataniombea kwa yule jirani ili nilale nae,, bc nikawa mpole nikakosa cha kusema, asbh Kaka aliongea na yule jirani akakubali mm kukaa kwake,, bc kama kawaida nikafanya usafi ndani nikatoa begi langu kupeleka kwa jirani ili akija mwenyewe asinikute mule, bc tulikaa na yule Dada jirani huku tukipiga story mbali mbali, mara yule mpenzi wa Kaka akaja alikuwa na funguo zake akaingia hadi ndani, mie nilikuwa kimya na yule Dada jirani aliniambia nisiende kule maana yule Dada anajisikia sana asije akanionyesha ovyo,, Kaka akarudi akaja huku kwa jirani akanipa hela ya kula yeye akaenda ndani kwake,, nilikaa pale kwa jirani wa Kaka hadi wiki iliisha sikuingia ndani kwa Kaka ila Kaka alikuwa ananipa hela ya matumizi kama kawaida,, nakumbuka siku moja Kaka arirudi kazini akaja huku kwa jirani, akaniuliza Jee unapajua Kariakoo?? Nikamwambia hapana maana niliona kama mtego ananipa,, akanipa hela elfu 50 akaniambia nenda ununue vitu vyako muhimu kesho kutwa nakuletea ticket ya kwenda nyumbani,, bc yule Dada jirani akaniambia kunisindikiza kkoo,, bc nirifurahi sana kwa wema wa Kaka ila nilipata mawazo sana kuwa narudi Musoma naenda kukaa kwa nani? Nikasema bc kama shangazi yangu wa damu kanifukuza bc acha nirudi nyumbani
Asbh tulijiandaa na Dada jirani kwenda kkoo, tulifika vzr nikanunua chupi na sidiria na losheni tu nikabakisha hela kidogo ili nikifika Musoma niuze hata maandazi, bc tukawa tunarudi njiani tukielekea stendi gafra Dada jirani akapigiwa cm na mpenzi wake, akaniambia Jee ww nenda nyumbani mm nitakuja baadae, akanielekeza vzr na funguo alipo iweka, bc akaondoka na mm nikaenda stendi, nimesimama zangu stendi gafra ikaja gari mbele yangu nashangaa anaanza kuniita, nikawa sijamuelewa ni nani? Niliosimama nao stendi wakaniambia Dada unaitwa ww,, nikaenda yule Baba akaanza kutabasamu akaniambia panda twende nikupeleke hapo utakesha usafiri ni shida,, bc na ushamba wangu hata bila kuuliza unanipeleka wp nikapanda gari, nikamuelekeza ninapo enda akasema sawa,, Mara tukafika sehemu akapaki gari akashuka akaingia ndani, akanifata akaniambia haya njoo mara moja,, alikuwa mbaba mrefu kama muarabu IV, nikashuka akanipeleka hadi chumbani ilikuwa hotel, tukaingia ndani akaenda kuchukua vinywaji akaleta,, alinipa soda ila yeye alikuwa anakunywa pombe, niliogopa nikamwambia naomba niondoke, akasema subiri nitakupeleka, akaniuliza una CM? Nikamwambia hapana, akaniambia yeye kesho anasafiri kwenda Dubai ila anataka niwe mpenzi wake maana ameona Nyota yangu ni kali sana na itamfaa sana kwenye biashara zake kwa hiyo tuwe wapenzi,,, sikumuelewa chochote nilikaa kimya tu, nilienda chooni kukojoa nikaacha soda yangu ikiwa wazi, nilivyorudi akanilazimisha ninywe soda yngu, bc nikainywa mara nikaanza kupata kizungu zungu, na sikujua kinacho endelea, nilikuja kushtuka nipo uchi wa mnyama na nguo zangu zimekunjwa vzr zipo kwenye meza,, nikanyanyuka nikaanza kupata maumivu sehemu ya haja kubwa, nikasogea mezani ili nivae nikakuta vipimo vya ukimwi viwili vimegandamizwa na karatasi yenye maandishi"NIMEKUPENDA SANA MTOTO MZURI, HAYO HAPO NI MAJIBU YA UKIMWI YANGU NA YAKO TUPO VZR KUANZIA SASA MM NA WW NI WAPENZI,, HAPO CHINI YA NGUO ZAKO NIMEKUWEKEA CM PAMOJA NA HELA MILIONI TATU ZITAKUSAIDIA HADI NIRUDI SAFARI,, NIMEKUWEKEA LAIN KWENYE CM PLEASE USIBADILISHE,,,," niliogopa sana nikajikagua nikakuta nimeingiliwa kinyume na maumbile nikavaa nikachukua zile hela kweli zilikuwa milion tatu na CM ya smartphone pamoja na chaji cm ilikuwa mpyaa
Itaendelea

MAUMBILE YANGU YA NYUMA ????

04

Nilivaa nguo zangu vzr huku nalia, nikasema ee Mungu nimekukosea nn mm? Mbona matatizo kwangu yamekuwa mengi? Kila cku nimekuww mtu wa kubakwa tuu?? Nililia sanaa hadi macho yakawa mekunduu, nikachukua zile hela nikaweka kwenye chupi na ile CM nikaweka kwenye kitopu, nikatoka njee, nikakutana na muhudumu wa ile hotel, akaniambia Binti kuna usafiri wa bajaji hapo nje imelipiwa na Boss amesema ikupeleke nyumbani, nilitaka kukataa ila nikasema ngoja nipande tu, nikapanda ile bajaji nikamuelekeza dereva hadi ninapo kwenda, nilifika nyumbani bahati nzuri sikumkuta Dada jirani wala Kaka hakuwepo, nilifungua mlango maana funguo nilielekezwa na Dada ilipo, nikaoga nikavaa pensi zile hela na cm nikazificha kwenye pensi nje nikavaa sketi nikalala
Niliamshwa na Dada jirani akaniambia Jee mbona umelala mapema ivo? Amka tule alikuwa kabeba chips niliamka nikala mara Kaka akaja tukasalimiana vzr akanipa ticket ya safari, akaniambia amepata gari ya kesho kutwa kwhyo nijiandae kwa safari,, moyoni nilishukuru nikasema ngoja nirudi nyumbani maana huku mjini naishia kubakwa tuu najua sina wazazi ila sina jinsi nyumbani ni nyumbani,, bc Kaka aliniita nje tuongee, akaniambia Jee mdogo wng sio kama nakurudisha nyumbani ctaki ufanye kazi hapa Dar hapana, ila hii Dar sio sehemu salama ww ni mdogo sana ila nitakupa laki moja ya mtaji ukifika nyumbani ufanye biashara na ukiona umekwama kwa chochote bc utanipigia cm ili tujue cha kufanya, ww umekuwa ndugu yangu Sasa nililia mnooo nikasema sijawahi kupata upendo wa namna ile tangu Baba yangu alipofariki nimekuwa mtu wa kusukumwa sukumwa na kupigwa tuu ,, nilimshukuru Kaka mnoo akanipa hela laki na ishirini, ile ishirini nile njiani then laki nikafanye biashara, akanipa na namba yake ya cm tukaagana akaingia ndani kwake mie nikarudi kwa Dada jirani,, hapo sikutaka kumuambia Dada yaliyonikuta kabisa niliogopa asinione Malaya
Cku ya safari iliwadia Kaka alinifata saa kumi alfajiri kunipeleka ubungo, tuliagana pale nilimshukuru Dada jirani kwa msaada wake kwangu pia nilichukua namba yake,,, nilipanda basi safari ya Musoma ikaanza rasmi,, hapo nina hela zangu pamoja na cm nimeweka kwenye pensi
Nilifika nyumbani salama kabisa, nikachukua pikipiki hadi nyumbani kwetu, Marehemu Baba yangu alikuwa na mji wake ambapo ndipo kwetu, alijenga tu nyumba za msonge wakazi wa Mara mtakuwa mnazifahamu, bc nilifika hadi nyumbani nikagonga hodi maana kulikuwa kunaonekana tu kuna watu wanaishi hapo,, nikakaribishwa na sauti ya mwanamke, alivyotoka nikamuona Mama mdogo ni mke wa Baba yangu mdogo ndugu yake Baba,, bc tukasalimiana vzr ila nikamuona kama hakufurahi iv, nikaenda hadi kwenye chumba changu nikaweka begi langu nikalala maana nilichoka sana tulilala njiani na basi, nilishutuliwa na sauti ya Baba mdogo aliniita kwa sauti kali sana Amamu!! Kijijini wananiita Amamu! Nilitoka nikamsalimia aliitika ila kakunja sura yake,, Ww dar ulitoka lini?? Mbona shangazi yako alituambia umetoka mda mrefu sana na huku ndio unafika leo ulikuwa wapi?? Kumbe kweli ww ni Malaya na umembaka mjomba wako huko dar?? Kwann unatupa aibu ww mtoto?? Kabla sijanyanyua mdomo kujibu, baba mdogo akaanza kunipiga, nilipigwa sana,. Nililia kuomba msaada lkn wapi hakunisikia wala kunionea huruma hadi nilipoteza fahamu
Itaendelea.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

Xabi Alonso tayari

mjukuu rewards 100
 

Rs Berkane imetwaa Ubingwa

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA FUNDI NGUO 01

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1

mjukuu rewards 100
 

Fanya mambo yako kimya kimya.

mjukuu rewards 100
 

Cristiano Ronaldo, Cristiano Jr

mjukuu rewards 100
 

Visit South Africa

mjukuu rewards 100
 

MORICE MICHAEL ABRAHAM

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS 14

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI WEKAA... Sehemu Ya 01

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -06

mjukuu rewards 100
 

MFANYAKAZI WETU SEHEMU YA 1

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -05

mjukuu rewards 100
 

?SHEMU KAUTAKA ?Sehemu-04

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS???13

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????12

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 02

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 01

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 14

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 13

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKAN SEHEMUN-02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA 09 AGE ????

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 06

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 05

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu ya 03

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Episode (1)

mjukuu rewards 100
 

CHAKULA CHA MUME

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKA Sehemu -01

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????11

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????9

mjukuu rewards 100
 

BALAA LA NYUMBA ZA KUPANGA--10

mjukuu rewards 100
 

CHAKA LANGU Episode 1

mjukuu rewards 100
 

Shangazi Kodogo tu ?EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

SHANGAZI KIDOGO TU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 3.

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 8

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 6~7

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 5

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 4

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??????3

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ? EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 11

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 10

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 9

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ,,,,, 3

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

We Kula Tu Binamu Sehemu 1

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

mjukuu rewards 100
 

SHANGA TISA EP: 20

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest