Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPISHI ANA UTAMU WAKE 9 na 10
Gonga94 · Stories

MPISHI ANA UTAMU WAKE 9 na 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SEHEMU YA 9
Wacha nitoe macho moyo ukitaka kunitoka kila nikitazama namna panga lilivyo kali kupitiliza.

" Ni nimemaanisha unavutia mtukufu malkia " nikaona nijitetee sikutaka mambo mengi.

" Mpe uhuru malkia wangu, nahitaji kuonja chakula chake siku ya leo " alizungumza mfalme huku akinitazama, sikukawia niliinama chini kuomba rehema.

Namna bahati ilikuwa upande wangu, ombi la mfalme lilitimizwa.

" Nifuate nahitaji kukupeleka jikoni haraka " alizungumza malkia huyo, ni binti wa rika langu si ajabu nimemzidi urembo ni vile tu sina matunzo, sikuacha kujisemea kila jicho langu la kushoto lilipomtazama malkia huyo, nilipohisi atanigundua niliagaza pembeni na kuinamisha uso chini.

" Zama ndani "
" Sawa mtukufu "

" Ni jiko huru na la kisasa la ajabu, lina kila kitu utakachokihitaji kupikia, kuna tanuru na kila kitu anza kazi " alizungumza malkia huyo huku akikaa pembeni na kunitazama.

" Siamini kama makaa ya mawe ni jiko la kisasa, sioni oven wala microwave sidhani kama kuna umeme mahala hapa " nilisema kichinichini.

Nilipokumbuka nipo chini ya uangalizi nikaongeza umakini kisha nikaanza kazi.

" Wali nyama,nitaandaa " nilizungumza huku nikianz kupika.

Ilichukua saa tu kumaliza mapishi hayo.

Japo sikumuita, malkia alinyanyuka kuja kuangalia chakula changu.

Sikuelewa ni dharau au nini, binti huyo mrembo kiasi alionekana kusikitika.

" Beba nifuate " kwa haraka nilibeba msosi na kunfuata.

Tulipofika chumbani kwa mfalme niliomba rehema ya kumuangalia usoni, aliponiruhusu nilinyanyuka na kuingia sambamba na malkia.

" Mmmmh makubwa mbona haya " nilijikuta nikizungumza.

Nyie sawa ni mapenzi, siamini kama wawili hawa wanaweza kunyanduana mbele yangu ilihali nimeleta chakula mahala hapa.

Basi nikaanza kujikoholesha lengo wakumbuke uwepo wangu.

" Ni kitamu hatari sijawahi onja pishi hili " alizungumza malkia... mfalme mpuuzi alibaki akitikisa kichwa tu bila kusema neno lolote.

haikuchukua muda, lango la mfalme liligongwa.

“Mtukufu malkia, mama mfalme anaomba kukuona " alizungumza kijakazi huyo.

Huenda malkia huyo anaogopwa, kwa namna malkia huyu alivyokurupuka punde alipisikia jina hilo lilinifanya nicheke, japo nilijikaza nisitambulike.

" Chakula chako ni kitamu mno japo hakijafikia utamu wako " alinena mfalme punde malkia alipoondoka.

Sikuwa na jibu nilibaki nikiduwaa.

Endelea kufuatilia.
SEHEMU YA 10
Waweza kunieleza nini uliiweka kwenye nunu yako ewe mlimbwende ? Aliuliza mfalme huyo mpuuzi.

Huwa namuita hivyo kwani siamini kama anastahili cheo hiko kabisa, ni kama mvulana asiyejielewa wala nini anaendeshwa na mihemko tu.

" nNona una yako unayoniwazia, usihofu nitakuwa na wewe usiku wa leo " nikiwa naduwaa sauti ya mfalme ilisikika.

Upande wa malkia na mama wa mfalme sauti ya kufoka inasikika.

" Ina maana nimekosea kukuchagua sio ? Ni binti gani usiyeweza kumshawishi mwanaume kwa kiasi hiki ? Si ajabu umeshindwa kumvuta akulale kwenye siku za hatari ni salama tu " alizungumza malkia huyo mama wa mfalme aliyejulikana kama Dorica.

" Nisamehe mama nitajitahidi " alijibu malkia.

" Si mara ya kwanza kuomba hilo, hakuna mabadiliko ya maombi yako, usiku wa leo ni nafasi yako ya mwisho kumtega mfalme, nimezungumza na mganga mkuu wa ikulu kanieleza leo upo kwenye siku ya hatari, ni rahisi kunasa mimba usiku wa leo hivyo usiniangushe " alizungumza malkia huyo...ni mzuri sana wa sura ila mgumu wa roho kama vandame.

" Sawa mama " malkia huyo aliitikia kisha akaondoka.

" Waita wewe ! !! " Aliita malkia docas.

" Abee mama "

" Usiniangushe sawa ? "

" Sawa mama " akajibu waita kisha akaondoka mahala hapo.

Sasa sijui itakuwaje wajameni..... huyu mfalme huyu sijui atajigawaje aiseee.....aje kwangu aninyandue au alale kwa mkewe..... mimi na wewe hatujui wadau wangu.

Endelea nakuja

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPISHI ANA UTAMU WAKE 9 na 10


SEHEMU YA 9
Wacha nitoe macho moyo ukitaka kunitoka kila nikitazama namna panga lilivyo kali kupitiliza.

" Ni nimemaanisha unavutia mtukufu malkia " nikaona nijitetee sikutaka mambo mengi.

" Mpe uhuru malkia wangu, nahitaji kuonja chakula chake siku ya leo " alizungumza mfalme huku akinitazama, sikukawia niliinama chini kuomba rehema.

Namna bahati ilikuwa upande wangu, ombi la mfalme lilitimizwa.

" Nifuate nahitaji kukupeleka jikoni haraka " alizungumza malkia huyo, ni binti wa rika langu si ajabu nimemzidi urembo ni vile tu sina matunzo, sikuacha kujisemea kila jicho langu la kushoto lilipomtazama malkia huyo, nilipohisi atanigundua niliagaza pembeni na kuinamisha uso chini.

" Zama ndani "
" Sawa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-9-na-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18
MPISHI ANA UTAMU WAKE 13&14
MPISHI ANA UTAMU WAKE 13&14
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE 1 - - - - 5
MPISHI ANA UTAMU WAKE 1 - - - - 5
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE 13&14
MPISHI ANA UTAMU WAKE 13&14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.36K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

517
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

342
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

166
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

157
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

100
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

33
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

22
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

22

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest