Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
Gonga94 ยท Stories

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
________________________________________*

*SEHEMU YA KWANZA*

Ilikuwa majira ya saa kumi jioni msichana mrembo (Jasmine) aliye kuwa amevalia gauni lake zuri la rangi ya gold na kikoti cheupe alikuwa anatembea kando ya barabara huku akibinyeza simu yake ni wazi alikuwa akichati na mtu.
Ghafla lilopita gari na kumwagiwa maji ya mvua yaliyokuwa yametuama kwenye dimbwi.
Jasmine alishituka akasimana na kuanza kutoa maneno.
" Hivi nyie wenye magari mna nini lakini ? Anajiona nimemaliza kila kitu kwenye hii dunia ... Aliongea maneno mengi sana lakini ile gari haikusimama.
" Huyu mtu jeuri sana na hawa watu nawapenda mno ipo siku tutaonana tu .
Wakati Jasmine anasema hivyo kumbe alikuwa ameshika namba za ile gari.

Baada ya wiki mbili kupita akiwa kwenye mizunguko yake alipita sehemu akalikuta ile gari imesimama mbele ya super market moja.
Alisoma namba na kuhakikisha ndio ile gari iliyomwagika maji.
Alitabasamu kidogo kisha akasema.
Dawa ya jeuri ni jeuri sasa ngoja nilipize. Aliangalia kila upande akaona watu wapo Bize na mambo yao.
Aliangalia chini akaokota kipande cha chupa alafu akasogea karibu na gari na kuanza kukwambia rangi ya gari huku akiandika.
" Acha ulimbukeni hata sisi tunayo magari ila tuna nidhamu .
Alipomaliza kuandika akasimama na kusoma kwa sauti alafu akasema.
" Pumbavu ujumbe utamfikia.
ile anageuka anakutana na kijana mtanashati ambae alikuwa akimuangalia huku akiwa kakunja uso wake mpaka matuta yakajichora usoni kwake.

kijana huyo hakuwa mwingine ni Leon Maxwell tajiri mwenye sura ya kuvutia na jeuri isiyoelezeka. Alijulikana mjini kama Mr. Arrogant mtu asiyejali hisia za wengine, mwenye dharau na anayeamini kila mtu yuko chini yake.
Leo alimsogelea karibu
" Kwanini umeharibu gari yangu?
" Sijaharibu nilikuwa najaribu kufikisha ujumbe.
" Ujumbe gani wa kipuuzi?
" Upuuzi uliuanza wewe juzi, kwani ilinimwagia maji machafu na ukaisha kuchungulia , ukiniangalia kama takataka kisha ukaendelea na safari yako.
" Unajua hii gari yangu ina thamani gani?
Jasmine alitabasamu kwa jeuri, mikono yake ikiwa kifuani kwake.
โ€œSijui, na sitaki kujua Lakini najua kitu kimoja thamani ya gari lako haiwezi kulipa heshima unayopaswa kuwapa binadamu wengine. Ndio maana niliandika ili nikufundishe nidhamu kila ukisoma hapo utakuwa unakumbuka unatakiwa kuwa na heshima pamoja na utu.

Watu waliokuwa karibu na supermarket wakawa wamesimama, wakifuatilia mrumbano yao kama sinema ya bure.
Leon alicheka kwa dharau, akamuangalia Jasmine juu,chini kisha akasema kwa sauti ya kudharau:
โ€œKwa mara ya kwanza nimekutana na mwanamke mwenye ulimi mrefu kuliko akili yake.
Umejiingiza kwenye matatizo makubwa bila kujua.
Jasmine akamkaribia kwa hatua moja zaidi, macho yake yakimwangalia bila woga.
โ€œNa wewe kwa mara ya kwanza umekutana na mwanamke ambaye hakubali kuonewa hata kidogo. Umenimwagia maji, sasa nimekulipiza. Ni rahisi tu, haki sawa.

Leon hakupenda aliona kama anadhalilishwa. Kwa mara ya kwanza alihisi kuvunjiwa heshima Hakuna aliyewahi kumsimamia kwa ujasiri namna ile, tena mbele za watu.
Aliinama karibu na sikio la Jasmine, akasema kwa sauti ya chini lakini kwa ukali:
โ€œUmeamua kucheza na moto, na moto wangu unachoma vibaya. Nitaona utavumiliaje.
Jasmine akasogea nyuma hatua mbili, lakini tabasamu lake halikupotea usoni mwake
โ€œNami nataka kuona moto wako unachoma kiasi gani, Mr. Arrogant.

Walitazamana kwa sekunde chache, kukawa kimya .
Leon akapanda gari lake, akawasha gari na kuondoka huku vumbi kidogo likitimka
Jasmine alibaki akitabasamu, akipiga makofi kwa kujipongeza.
โ€œLeo nimekutana na jeuri mwenzangu. Huu mchezo utakua tamu sana.โ€
Hapo ndipo mchezo wa jeuri dhidi ya jeuri ulipoanza rasm.

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 2

Siku zilisogea Jasmine akiwa kwenye duka la shangazi yake wakiwa wanaongea.
" Shangazi sasa inakuwaje kuhusu kupata kazi bado haujaongea na huyo rafiki yako.
" Amesema mpaka mwezi wa sita ndio kutakuwa na nafasi za kazi .
" Kwahiyo nitakaa miezi yote hii bila kazi. Sasa nini maana ya elimu yangu nimesoma kwa bidii changamoto kwenye ajira , daaaah inakatisha tamaa sana.
"Haifai kukata tamaa kabla haujafanikiwa.

Jasmine aliondoka na kwenda kupanga nguo mpya ambazo zilikuwa zimeingia muda sio mrefu na wateja walianza kuja kununua mali mpya maana shangazi yake aliwapigia simu wateja wake.

Muda uleule, akiwa anapanga mizigo ya dukani, ghafla gari jeupe likasimama mbele ya duka, mlango ukafunguliwa na mtu akashuka taratibu.
Hakuwa mwingine, bali ni Leon Maxwell. Aliekuwa amevalia Suruali yake nyeusi iliyokaa fit, shati la kifahari lililofunguliwa kifua, na miwani ya nyeusi iliyositiri macho yake makali. Alitembea kwa kujiamini, kila hatua ikionekana kama inatetemesha dunia.
Jasmine alishika kiuno, akamwangalia moja kwa moja.
Leon alienda kukutana na Nadia shangazi yake Jasmine.
" Habari.
" Salama Leon karibu.
" Nimeshakaribia nataka kuona mali mpya.
" Kuna binti yangu yupo huko unaweza kwenda kuangalia.
Leon alianza kuangalia nguo kabla hajamuona Jasmine .
Alivyozidi kusogea ndio wakitaja uso kwa uso. Leon alivua miwani yake na kumuangalia .
" Wewe kivuruge tumekusanya tena leo?
โ€œLeo umekuja kununua nini? Au umekuja kuomba msamaha?โ€ aliuliza kwa dhihaka.

Leon akatoa macho yake makali yakimkodolea.
โ€œMsamaha? Mimi? Kukuomba msamaha wewe?โ€ alicheka kidogo, sauti kwa dharau alafu akaendelea kusema
โ€œHapana, nimekuja kukuonya. Mara ya pili ukigusana na gari yangu au mali yangu, utajuta kuishi kukifahamu.
Jasmine alicheka kwa sauti, wateja waliokuwa dukani wakageuka.
โ€œJeuri zako hazinitishi Nimeshakuambia mimi sio wa kuonewa. Sasa ukitaka vita, vita tutapigana. Nani ashindwe ni hadithi ya baadaye.โ€
Kwa mara ya kwanza, Leon alibaki kimya sekunde mbili, akimtazama tu. Ndani yake moyo ulianza kushtuka kulikuwa na kitu cha ajabu kwa msichana huyu. Ujasiri wake, namna anavyoongea bila woga .

Baada ya Nadia kuona kuna kitu hakipo sawa alisogea karibu.
" Jasmine kuna shida gani na mteja wangu?
Kabla Jasmine hajajibu Leon alijibu.
" Usijali dada Nadia mimi na Jasmine tunakutana na tupo kibiashara nenda kaendelee na wateja wengine.
" Sawa.
Nadia aliondoka akawa acha .
Jasmine alimuangalia usoni na kuachia tabasamu .
Leon nae alitabasamu kwa jeuri, akamsogelea karibu kabisa.
โ€œBasi Jasmine kuanzia leo mimi na wewe utakuwa na mchezo wa paka na panya. Tuone nani atashindwa.
Jasmine naye hakurudi nyuma.
โ€œNaona unaona kuwa wewe ni paka. Mimi si panya, mimi ni simba.โ€

Kuna wateja wawili walikuwa walishindwa kujizuia, wakaanza kucheka kimnya kimnya
โ€œHawa watu wawili wakioana lazima nyumba iwake moto.

Leon a akaondoka taratibu huku tabasamu la kijanja likibaki usoni mwake aliendelea kuchagua nguo huku Jasmine akabaki akitetemeka kwa hasira, lakini ndani ya moyo wake kulikuwa na kitu kipya mapigo yake ya moyo yalikuwa yanadunda haraka mno.

Alijisemea kimoyomoyo:
โ€œHuyu Mr. Arrogant atanitesa lakini sitakubali hata kidogo.

Leon alichagua nguo anazitaja alipomaliza alipitia alipokuwa anapanga nguo Jasmine akasimama na kusema.
" Jasmine binti mwenye jina tamu lisiloendana na matendo yake. Nadhani tuna safari ndefu na huu ni mwanzo .
" Sawa mr arrogant. Safari ndefu niya kwenda mbinguni bila shaka tutaenda pamoja huku tukiwa tumeshikana mikono.
Leon alitoa tabasamu dogo kisha akaenda kulipia nguo zake na kuondoka.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


profile
majario 19 Aug 2025 23:00
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ*
*1----2*
*
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *

________________________________________*

*SEHEMU YA KWANZA*

Ilikuwa majira ya saa kumi jioni msichana mrembo (Jasmine) aliye kuwa amevalia gauni lake zuri la rangi ya gold na kikoti cheupe alikuwa anatembea kando ya barabara huku akibinyeza simu yake ni wazi alikuwa akichati na mtu.
Ghafla lilopita gari na kumwagiwa maji ya mvua yaliyokuwa yametuama kwenye dimbwi.
Jasmine alishituka akasimana na kuanza kutoa maneno.
" Hivi nyie wenye magari mna nini lakini ? Anajiona nimemaliza kila kitu kwenye hii dunia ... Aliongea maneno mengi sana lakini ile gari haikusimama.
" Huyu mtu jeuri sana na hawa watu nawapenda mno ipo siku tutaonana tu .
Wakati Jasmine anasema hivyo kumbe alikuwa ameshika...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mr-arrogant-1-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mr-arrogant
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest