Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
Gonga94 ยท Stories

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Jasmine alinyanyua begi la Leon kwa utulivu, akitembea huku akimfuata .
Leon akatembea haraka kuelekea kwenye gari lake la kifahari. Akafungua mlango, kisha akamkodolea macho Jasmine ambae alikuwa kasimama.
โ€œIngilia haraka tunachelewa.
Jasmine alipanda akakaa kwenye kiti cha pembeni ya dereva, leon akafunga mlango kisha bar akaenda kupanda na kuwasha gari.

Safari yote ndani ya gari, kimya kilitawala. Leon alishika usukani kwa nguvu, macho yake yakiwa barabarani lakini akili yake ilikuwa ikisumbuliwa na kitu kimoja busu la Jasmine. Kila alipojaribu kulisahau alishindwa hasa alipokuwa akimuona yupo karibu yake.
Jasmine, kwa upande wake, alikaa akimuanga Leon taratibu, macho yake yakiwa na uhakika wa ushindi. Aliinua mdomo wake na kusema kwa sauti nyororo:
โ€œBossโ€ฆ unajua leo umependeza sana. Nikisema hujui kuvaa, nitakuwa mnafiki. Lakini nikisema hujui kupendaโ€ฆ nitakuwa sahihi kabisa.

Leon akamgeukia akimkazia macho kwa hasira.
โ€œJasmine, nakushauri uache huu mchezo wako. Kuna mambo ya kitoto na kuna maisha ya kweli. Mimi siyo mwanaume wa hiyo michezo yako.

Jasmine akatabasamu, akavuta pumzi kwa utulivu kisha akajisogeza kidogo karibu naye.
โ€œMimi pia sichezi, Boss. Nataka tu nikufanye ukubali kitu ambacho tayari moyo wako unaamini. Unaweza kunidanganya kwa maneno, lakini macho yako kila mara yananiambia ukweli.
Leon alijisikia damu zikimchemka. Alitaka kumfokea lakini badala yake, akajikuta akishika usukani kwa nguvu zaidi kana kwamba anapigana na nafsi yake.

Walipofika kwenye hoteli kubwa ya kifahari walishuka wote.
" Hii ndio sehemu ya mkutano?
" Ndio . Jasmine nakuomba kwa mara nyingine tena usije ukanifanya michezo yako ya ajabu huku kuna watu wa heshima.
" Kweli leo upo serious yani mpaka imetangulia neno samahani! Basi boss wangu wala usijali nitakulinda heshima yako kama boss wangu.

Walipoingia ukumbini, kulikuwa na watu wa heshima pia walionekana kwenda na masecretary wao, Jasmine akatembea pembeni yake kwa ujasiri, kana kwamba ana haki ya kuwa pale. Walifika sehemu kuna dada mmoja mrembo alimfuata leon wakakubaliana huku Leon aliachia tabasamu ambalo Jasmine hakuwahi kuliona .
" Jamani leon nilikumiss sana.
" Nilikumiss pia miss Leyna, vipi hali yako ipo sawa.
" Nipe imara sana hofu yangu ni kwako mr handsome.
Leon akicheka kidogo
" Niko poa sana , nimefurahi kukuona tena.
Walishikana mikono wakawa wanatembea kuelekea kwenye meza iliyoandaliwa kwaajili ya mkutano .
Kitendo kili kilimuumiza na kumvunja moyo Jasmine aliamini kuwa haba thamani ya kuwa na Leon kile alichokuwa anaongea kila siku ilikuwa anamaanisha.
Alibaki nyuma huku akiwa kabeba begi la pc .
Leyna aligeuka nyuma akamuangalia Jasmine alafu akauliza.
" Huyu ni nani?
" Secretary mpya anaitwa Jasmine.
" Ok.
Waliendelea kutembea mpaka walipofika kwenye meza kubwa ya duara Leon alivuta kiti akakaa na yule mwanamke akakaa pembeni yake huku akiwa inasimamiwa na binti mmoja ambae alionekana kama security wake
Na Jasmine alisimama kando ya Leon.
Alifungua mkoba na kutoa laptop ya Leon na kuiweka mezani.

Kikao kilianza watu walikuwa makini kufuatilia .
Jasmine alipokuwa kasimama kuna mwanaume mmoja alikuwa anamuangalia sana na walipokutana macho aliachia tabasamu na Jasmine hakuwa na hayana alimuonyesha tabasamu ndogo.

Baada ya mkutano kuisha huyo
Mwanaume aliyejulikana kama Mr. Gilbert mfanyabiashara kijana tajiri na anayejiamini alinyanyuka na kutembea moja kwa moja kwenye meza ya Leon. Akiwa na tabasamu la kujiamini, akampa Jasmine mkono.
" Habari mrembo.
" Salama.
" Naitwa Mr Girbet nitafurahi kama utapenda tufahamiane.
Jasmine akatabasamu alafu akajitambulisha.
" Naitwa Jasmine.
" Waoooo jina zuri sana kinaendana na jinsi ulivyo . Wewe ni mzuri Jasmine.
Jasmine alikuwa anatabasamu tu wakati huo leon alikuwa akimuangalia kwa hasira.
" Samahani Jasmine tunaweza kuungana pamoja kwenye chakula cha mchana?
" Sasha nipo na boss wangu Mr Leon.
Girbet alimuangalia Leon alafu akasema.
" Tafadhali mr Leon naomba ruhusa ya kupata chakula na secretary wako.
Kabla Leon hajajibu Leyna akamjibia.
" Kwakuwa hakuna kazi kwa sasa mruhusu aende naye na mimi nitakupa chakula cha mchana na wewe.
Jasmine hakuona haja ya kukataa aliona bora akabadilishane mawazo na watu wengine kuliko kukaa kuona Leon akitoa tabasamu la upendo kwa mwanamke mwingine.
Walipotaka kuondoka Leon alimshika mkono Jasmine.
โ€œHapana. Leon alisema kwa sauti ya chini l macho yake yakimkazia Gilbert kwa ukali wa simba.
โ€œHuyu ni secretary wangu. Yuko hapa kwa ajili ya kazi, siyo kwa ajili ya starehe au kwenda kula.

Jasmine akamkodolea macho Leon, moyo wake ukicheza kwa furaha ya siri. Tabasamu dogo likatokeza midomoni mwake

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10



Jasmine alinyanyua begi la Leon kwa utulivu, akitembea huku akimfuata .
Leon akatembea haraka kuelekea kwenye gari lake la kifahari. Akafungua mlango, kisha akamkodolea macho Jasmine ambae alikuwa kasimama.
โ€œIngilia haraka tunachelewa.
Jasmine alipanda akakaa kwenye kiti cha pembeni ya dereva, leon akafunga mlango kisha bar akaenda kupanda na kuwasha gari.

Safari yote ndani ya gari, kimya kilitawala. Leon alishika usukani kwa nguvu, macho yake yakiwa barabarani lakini akili yake ilikuwa ikisumbuliwa na kitu kimoja busu la Jasmine. Kila alipojaribu kulisahau alishindwa hasa alipokuwa akimuona yupo karibu yake.
Jasmine, kwa upande wake, alikaa akimuanga Leon taratibu, macho yake yakiwa na uhakika wa ushindi. Aliinua mdomo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mr-arrogant-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mr-arrogant
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

500
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

228
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

140
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

84

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest