Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
Gonga94 ยท Stories

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Sasha alicheka kwa sauti ya kebehi, akaweka karata mezani kwa nguvu. Alimuangalia tena usoni Jasmine na kuangua kicheko kikubwa.
" Sasa unacheka nini?
โ€œJasmine, hivi kweli unajua unachokisema? Yule Leon siyo mwanaume wa mchezo. Ukicheza na moyo wake unaweza kuumia vibaya.
Jasmine akakunja midomo yake kwa jeuri na kumuangalia rafiki yake.
โ€œSasha, mimi sijawahi kushindwa kwenye mchezo yangu, nakuhakikishia Leon atanibeba kama mtoto mdogo, ni suala la muda tu.
โ€œUsijiamini sana, Jasmine. Wanaume kama Leon mara nyingi ni hatari. Ana pesa, ana sura, na ana jeuri ya kutosha. Ukijaribu kumteka, unaweza kujikuta wewe ndiyo unayejikuta mteka.
Jasmine akatabasamu huku akiinua kikombe cha maziwa na kunywa kidogo.
โ€œSasha, nashukuru kwa tahadhari yako. Lakini moyo wa Leon tayari nimeuona unavunjika taratibu. Ni lazima atakubali kuwa na mimi.
" Sawa na mimi huku najiandaa kubembeleza mtu ambae atatumika na kuachwa vibaya .
" Maneno yako hayatanikatisha tamaa.
" Sawa nipo hapa.
" Wewe jiandae kuwa na shemeji.
" Mimi na ujeuri wake wala sitaweza kumuita shemeji.
" Kwangu mimi atabadilika tu.
" Atabadilika vipi wakati wewe mwenyewe ni jeuri?
" Tulia mama angalia mchezo utakavyoenda.

Kesho yake ofisini, hali ilikuwa tofauti. Leon aliingia akiwa amevalia suti ya navy blue iliyokaa mwilini mwake kwa ukamilifu. Uso wake ulikuwa mkali kama kawaida, lakini kulikuwa na kitu tofauti machoni mwake. Wafanyakazi wote walihisi hali ya hofu ikiwazunguka walipoona Leon akipita.

Jasmine, aliyekaa mezani kwake, alinyanyua macho kwa makusudi na kutabasamu.
โ€œ habari za asubuhi Boss. alisema kwa sauti ya kuvutia.

Leon hakujibu alimuanga kwa sekunde chache, kana kwamba anatafuta maneno ya kumwambia, kisha akasema kwa sauti thabiti:
โ€œ hakutaka Ofisini kwangu sasa hivi.
Jasmine alinyanyuka taratibu, akipiga hatua za kujiamini kuelekea ofisini kwa Leon.

Alipoingia, Leon alimwangalia moja kwa moja, macho yake yakiwa hasira na kitu kingine kisichoweza kufichika.
โ€œJasmine, nataka tuweke mipaka. Hii michezo yako ya utani lazima iishe. Hapa ni kazini, na mimi ni boss wako. Sio mtu wa mchezo wako wa mapenzi.
Jasmine akasogea karibu, akiinamisha kichwa kidogo huku tabasamu la kuvutia.
โ€œBoss, unajua tatizo lako? Unajifanya mkali, lakini ndani yako unaniacha niishi Kila ukiniangalia macho yako yananiambia ukweli tofauti na maneno yako.

Leon alijaribu kugeuka, lakini Jasmine akamsogelea zaidi,
โ€œJasmine, rudi nyuma,โ€ alisema kwa sauti ya chini .
โ€œKwa nini?โ€ Jasmine alijibu kwa sauti laini. โ€œAu unaogopa kwamba utanibusu, utakuwa mfungwa wangu rasmi?โ€

Kimya kizito kikatawala. Leon alibaki, Miguu yake kana kwamba imeganda sakafuni. Hali ile ilikuwa ya hatari zaidi.
Kwa mara ya kwanza, Leon hakuwa na majibu ya haraka.
Alitaka kuongea kitu lakini alisita.
" Niambie Boss unataka nini kwenye maisha yangu? Kunileta hapa ilikuwa ni kunikomesha au kulikuwa na jambo lingine?
" Tafadhali Jasmine hebu songea huko sitaki kuongelea hayo unavyotaka najua akili yako inachofikiria lakini kusema kweli mimi siwezi kuwa na wewe, sijawahi hata kukutama....
Kabla hajamaliza kuongea alishitukia midomo ya Jasmine imekutana na midomo yake .
Leon alitulia kwa muda , Jasmine alimbusu kisha akarudi nyuma kidogo.
Akatengeneza vizuri suti yake alafu akaongeza kwa sauti ya chini.
" Uwe na kazi njema boss.
Jasmine aligeuka taratibu akapiga hatua ndogo kuelekea mlangoni , alifungua mlango na kutoka bila hata kugeuka nyuma. Baada ya kufunga mlango Leon akijisemea.
" Ni nini hiki anafanya huyu binti ? Anamaanisha nini? Au anachofanya ni moja ya kisasi chake cha kijinga?
Leon alibaki akiwa amesimama huku akiwa anafikiria kile alichofanyiwa na Jasmine.
" Hapana sitakiwi kuamini akili za huyu msichana Mjanja anaweza kucheza na akili yangu ili aje kunidhalilisha .

Leon alianza kuwa na tahadhali kubwa kwa Jasmine aliamua kuacha mazoea kabisa na kuweka utani pembeni alikuwa Bize na mambo yake hata Jasmine alipokuwa akimchokoza na maneno yake ya chokochoko hakumjibu .
Lakini licha ya kufanya yote hayo na kujiepusha na Jasmine hisia za kumtaka bado zilikuwa zinamsumbua.

Siku moja leon alikuwa anataka kutoka kwenda kwenye mkutano alitakiwa kwenda na jasmine.ilimbidi amuite Jasmine na kuongea nae.
" Jasmine leo nitatoka na wewe tunaenda sehemu muhimu yani namaanisha tunaenda kwenye mkutano wenye heshima huo ujinga na kichaa chako naomba uuache hapa hapa.
Aliongea Leon huku akiwa kamtolea macho na Jasmine alikuwa anatabasamu tu.
" Wewe nirembulie macho kama mdoli alafu ukafanye Madudu huko utaona nitakachofanya. Chukua hilo begi langu nifuate.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9



Sasha alicheka kwa sauti ya kebehi, akaweka karata mezani kwa nguvu. Alimuangalia tena usoni Jasmine na kuangua kicheko kikubwa.
" Sasa unacheka nini?
โ€œJasmine, hivi kweli unajua unachokisema? Yule Leon siyo mwanaume wa mchezo. Ukicheza na moyo wake unaweza kuumia vibaya.
Jasmine akakunja midomo yake kwa jeuri na kumuangalia rafiki yake.
โ€œSasha, mimi sijawahi kushindwa kwenye mchezo yangu, nakuhakikishia Leon atanibeba kama mtoto mdogo, ni suala la muda tu.
โ€œUsijiamini sana, Jasmine. Wanaume kama Leon mara nyingi ni hatari. Ana pesa, ana sura, na ana jeuri ya kutosha. Ukijaribu kumteka, unaweza kujikuta wewe ndiyo unayejikuta mteka.
Jasmine akatabasamu huku akiinua kikombe cha maziwa na kunywa kidogo.
โ€œSasha,...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mr-arrogant-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mr-arrogant
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest