Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *1-5* *__________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  "Siwezi kaa ndani kila siku itabidi nitoroke nikatafute marafiki nje" alisema Saraah Alianza kunyatia nyatia huku
Gonga94 · Stories

*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *1-5* *__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* "Siwezi kaa ndani kila siku itabidi nitoroke nikatafute marafiki nje" alisema Saraah Alianza kunyatia nyatia huku

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
akichungulia huku na kule bila kuona mtu Na kufanikiwa kutoroka ndani ya nyumba yao kubwa yakifahari. baada ya Saraah kutoka njee ya fensi yao alikimbia kwa watoto wa mtaani ili kucheza nao lakini watoto wale walimshangaa sana na kutamaani mdoli wake mdogo aliokuwa nao mkononi Sarah aligundua kwamba watoto wale wangecheza nae kwasababu aliona wakivutiwa na mdoli wake lakini haikuwa hivo wale watoto walimsukuma Sarah chini na kukimbia na mdoli yule

Sarah alianguka na kuumia kiwiko, chake kwa maaumivu yale alianza kulia Ndipo mtoto mdogo wa lika kama lake la miaka minane 8 anaoekana mbele ake na kumtuliza. "Naitwa Abdulh usilie ntakuwa rafiki yako na sitakubali uumie tena alisema Abdulh Sarah akiwa na tabasamu kubwa huku akifuta

machozi

alisema "naitwa Sarah asant kwa kunisaidia" Hapo ndipo walipo fahamiana na kuwa marafiki wa karibu sana huku wakitaniana kuwa wao ni baba na mama

Abdulh anaonekana kuishi na mamaake mwenye cancer ya ubongo katika familia yao ya kimaskini

lakini Sarah anaonekana kuishi na wazazi wake wote wawili wenye maisha ya kitajiri sana Tarehe 8/5/2008 babaake na saraah anapokea taarifa kuamishwa kikazi kwenda nchini

Marekani

anamtaarifu mkewe na wote wanaanza kufurahi lakini taarifa inapokuja kwa Saraaah anaonekanaa kuhuzunika sanaa na kukoswa amani na kuamua kujifungia chumbani kwake na kulia "naondoka namuacha Abdul wangu mwenyewe 'saraaah aliisema huku akitingisha kichwa akiwaza kitu flani

"Itabidi nikamuage sasahivi "Saraah alisema lakini sauti ya mamaake ilisikika ikimwia tokaa njee tuundoke hatuna mda ticket ziko tayari Saraah ajakaa sawa anamuona babaake parking akiwasha gari

"ni saa 7 kasoro na ndege yetu inaondoka saa

nane kamili babaake alisema huku akimpa maelekezo mlinzi ya kufungua geti na kumpa taratibu za hiyo nyumba mpk watakapo rudi Saraah kwa uchungu zaidi inambidi ashuke tu kutoka chumbani had chini ilikuondoka kwaa maan kilakitu kilikuwa tayari kabisa geti lina funguliwa na gari lao linaanza kutoka kwa karibu sana Saraah anabahatika kumuona Abdulh akiwa amekaa chini akimsubiri aje wacheze lakini haikuwa ivo

Saraah Kwa Maaumivu Makali Anaamua Kufungua Kioo Na Kumuuagaa Kwa ishara Ya Kwaheri

Abudih Anaomuona Saraah Akifanya Vile Yeye Piaa Anarudisha Mkono Akiamini Saraah Atawah Kurudi Wa Cheze Tena Familia Ya Saraah Wanasafiri Kutoka Jijini Dar al Salaam Kwenda Marekani. Baada Ya Siku Chache Wanafikaa Na Kuanzishaa Maishaa Yao

Mapyaa

Uku upande wa pili Abdulh hamuoni tenaa sana kwa muda mrefu naakuuzunika sana lakini bado anapitia maumivu makali ya kifo cha mamaake ambaye alizidiwa na pasipo pesa za matibabu alifariki. Abdulh anaamua kupelekwa kwenye kituo cha watoto yatimaa lakini anatokea mama mmoja tajiri aitwae Linda asiyekuwa na uwezo wa kupata mtoto apendezwa na kijana Abdul na kumsomesha na kukaa nae kama mwanae wa kumzaa.

Kuanzia hapo maishaa ya Abdul yanabadilika na kuwa mapya mazuri na yenye furaha tele Miss Linda ni Manager Wa bodi Ya Utalii (Tourism) East Africa. Kwa upande mwingine Saraah anaamua kuanza kusoma uko na kuahidi kwamba ipo siku atarud kumtafuta mtu wake upande wa pili pia Abdulh anaahidi ivo ivo pia

miss Linda anaamua kumbadilisha Abdulh jina na kumwita Jordan.

Miaka Inasonga Sasa Ni 2020

Jijini Marekani anaonekana binti mrembo akihitimu masomo yake ya udaktari bigwa na akiwa na mawazo kwamba kesho lazima aende Tanzania kwa ajiri ya kumtafuta rafiki yake wa

zamani

"Dad mom kesho nitarudi tanzania kwa ajiri ya kumtafuta rafiki angu wa zamani saraah alisema

"Ivi kumbe ulikuwa serious kwamba unarafiki ako uliempoteza "babaake alisema

basi kwasababu Saraah alikuwa binti mkubwa tayari aliruhusiwa kuandaa safari yake ili aondoke

Chumbani Saraaah akipangaa nguo zake na vitu vyake babake aligonga mlango wa Saraah "ingia pako wazi 'Saraah alisemaa.

"Mwanangu naona safari imewaka moto sawa then kwasasa najuaa hauna mahali pa kufikia Tanzania basi chukua hii home address na utafikia hapo ni kwa rafiki angu wa kitambo anaitwa madam Linda ishi nae kama mamaako mpaka pale utakapo rejea huku

"sawaa baba asante sana

Safari ilianzaa na saraah alifika salama na kupokelewa na madam Linda mwenyewe na kumpeleka kweny jumba lake kubwa sana.

Wanafika na kuingia ndani

"Welcome lady jisikle kama upo nyumbani "Linda alisemaa huku akilta

"Hey Jordan where are you?"

Baada ya dakika kama mbili Jordan anashuka kwenye ngazi kwenda resting room alipokuwa Linda na Sarah umbo la Jordan lilimshtua Sarah sanaa maana Jordan alikuwa kafunga towel kiunoni na nyingne shingoni akijikausha maji. Jordan alikuwa kijana handsome aliyechukua cheti cha uzuri katika shule yake ya fedha International School.

Packs zake zionekana vyema kabisaa Saraaah alijikuta akimuangaliaa sanaa na Jordarn Alimwangalia sana pia walionekana kama wanafahamianaa...

Itaendelea.

Chapter 2


Saraah alijikuta akimuangaliaa sana Jordan na Jordan pia alimwangalia sana saraah Jordan alitaka kusema kitu lakin ghafla mlango ulifinguliwa na wakaingia watu wawili mmoja kike mwingne wa kiume. wa kike aliitwa Narsha na kiume aliitwa Jay

kwa kuangalia ndani walimuona Jordan kwanza. "Oa inakuwaje tupo nje ya muda kapige code

chap tusepe Jay alisemaa huku akimsogelea madam Linda (mama mlezi wa Jordan) Good Afternoon Madam Linda Alisemaa Jay huku akitabasamu sana kumuona mgeni yule aliyekuwa pembeni ya madam Linda Hahahaha, za wewe naona unasalimia lakini mawazo yako hayapo apa yapo kwa Saraaah

alisemaa Madam Linda,

Pembeni upande wa jordan anaonekana Narsha akimsogelea Jordan huku akimkumbatia na kumpiga kiss.

"Hellow darlle how are you kavae basi wahi

tunachelewaa ujue" Narsha anasemaa. "Usijali nishaandaa code so ni dakika tano ntakuwa tayari tuondoke Jordan anamjibu Narsha huku akimchezea mashavu yake malaini.

Jordan anaamua kupandaa juu ili kuvaa waondoke maana leo walikuwa wanaenda kwenye tamasha kubwa la msanii mkubwa Diamond Platnum na ticket zao tatu za VIP zilikuwa tayar

Madam Linda anatoaa tabasamu la chini na kusema "karibuni sana anaanza kumtambulisha Saraah kwa Narsha na Jay Jay anaonekana kufurahi sanaa baada ya kumuonaa Saraah. Lakini Narsha anaonekana kuonyesha dharau

sana kwa Saraah.

"Karibu sana Saraah mimi naitwa jay nipo tayari kukutembezaa maeneo mbali mbali kama hutojali alisema Jay

Narsha kwa jicho la dharau alisema "karibu bana Jina langu nikama ulivyo lisikia ukipenda niite queen Jordan."

madam Linda na Jay hawakushanganzwa sana

na majibu ya Narsha coz wamemzoea maana

wamefamiana kwa muda sana

Jay akaanza kwa utani huku akimsogelea Saraaah akisema "Narsha na Jordan niwapenzi vp mm na ww tuweje" Saraah kwa tabasamu la chini alisema 'acha

utani etykwa sauti ya chini.

Kwa mbali marashi mazuri ya karafuu yananukia na Jordan anaonekan kushuka akiwa amependeza sana kuzidi mavazi ya Jay mazuri

na hata Narsha aliyekuwa amevaa nguo inayoonesha tumbo na mapaja yake pla "Am done let's go mom ntachelewa kurudi pia mgeni badae naharaka tutaongea nikirudi alisema Jordan Kwa Furaha Madam Linda alimuaga jordan kwa

busu la pajani mwa uso nakumuaga. Jay, Narshi Na Jordan waliwasha gari lao la bei sana lenye mdundo wa juu na kuondoka.

Nyumbani hapo Madam Linda alimkaribishaa hapo nymbn na kumuonesha chumba chake kikubwa na kizuri sana saraah anashukuru na kupanga nguo zake na kuweka chumba chake

sawa

"Saraah kipenzi chakula kipo tyr kule dinning so kula ushibe wafanya kazi wapo wengi watasafisha na kukufanyia kila kitu mimi na kazi muhim naenda kufanya uko chumbani Jordan akija mwambie tutaonana kesho "Madam Linda

alisema

Saraah Alijibu Kwa tabasamu asante mama kwa ukarimu wako" madam Linda alitabasamu na kuelekea chumbani mwake.

Ilikuwa mida ya saa nne usiku saraa alikula na kuoga na kwenda kujilazaa kitandani mwake.

Upande wa pili Jordan na wenzake wanaenjoy.

na kucheza sanaa na kunywa piaa huku wakifurahi Jay alisemaa "ase Narsha anayakataa kama hana kiuno ase

Jordan akajibu huku akitabasamu yaaan vibe sanaa ase nazidi kumpenda mrembo wangu"

Muda unazidi kwenda na ni usiku sana "Nimechoka sanaa tuondokeni "Jordan akiwaa amelewa kwa kiasi lakini Jay na Narsha wakiwa wamelewa chakari

Jordan anaamua kuwapakiza kweny gari

nakufanikiwa kuwa fikisha mahali wanapo kaa wote. Na kuanza safari yake ya kurudi nyumbani anapoishi anafika na kufunguliwa na mlinzi na

kisha anaingia ndani

Ghafla seblen anakutana na Saraah aliye shuka chini ili kunywa maji naakalalee maana chumbani kwake maji ya kunywa hakuwekewa

na wafanyakazi.

"Hey katoto mbn hujalala mpk now aya nipe maj ya kunywa hapo Jordan alisema

Kwa sura ya mshangao Saraah alijibu "sawaa nakupa lakini subiri nimalize kunywa mimi" Jordan alimwangalia Saraah kwa jicho la dharau uku akitabasamu nakusemaa "basi kama ndo

hivyo ni heri tusinywe wote." Moyoni Saraah aliwaza akisemaa ivi uyu chizzy ananipimaa eeeh ngi fuone "

Sikupi Saraah alisema Utanipa kwa lazima Jordan alisema kisha alinza kumsogelea Saraah. Saraah aliamua kupiga hatua mbele lakini Jordan alikuwa

ameshamfikia na kumvuta Saraah kora lake la night dress kwa nyuma Ikin Saraah alikazana kutembea mbele huku akinywa maji. Huwezi kunikimbia mtoto mdogo wewe"

Jordan alisema

"Hahaha siwezi lakini naweza kuwin nikiwa mikononi mwako Saraah alisemaa uku akigeuka nyuma na kumuonyesha glass ambayo haina maji tena akiwa ameshakunywa.

Kwa jicho kali ta jeuri huku akipiga makofi Jordan "alisemaa umeshindaa kwa leo tukutane kesho Jordan alipanda ghorfan ili kwendaa chumbani mwake. Saraah kwa kushangaa alitikisa kichwa na

kwenda kulala

Asubuhi nzuri Jua likiwa linang'aa kwa uzuri. Saraah anapokea simu ya mama yake mzazi ( video call)

Saraah Morning Mom How are u?

Mom & Dad We are Good, umeamkaje mrembo

wetu.

Saraah Nipo sawaa kabisa msijali kabisa. Huku wakitabasamu na kuongea machache na kumwambia Saraah kunajambo tunataka tukushinkashe

Saraah What is That mom and Dad namby ety Mom & Day Mmh Unaonaje kuapply kazi uko maana haujui ni mdaa gan utause kukaa uko so boraa uapply kazi katika hospital yyt najua

huwez kataliwa maana ww ni Daktar mkubwa. Saraah: Hahaha mom usiji nampango uwo pia Walikubaliana na simu ilikatwa Saraah anaamka na kutengeneza chumba chake

huku anapiga mswaki na kuoga ili akapate breakfast anapofika chini anakutana Na Madam Linda akiwa amepaki mizigo michache. Nahis anasafari "Saraah alisema moyoni.

Madam Linda alimsogerea Saraah nakumwambia kipenz nimepata dharura ya haraka ya kikazi kwenda Zanzibar Ntalejea

baada ya siku tatu Saraah alikubali na kumsalimia na kumuaga pia Madam Linda.

Saraah kupiga jicho pemben anamuona Jordan. Saraah anawaza moyoni kumbe aliwahi kuamkaa kichaa huyuu anapotezeas na wotw wanamuagaa madam Linda na wanarud ndni for

breakfast

Wakiwa wote mezni Jordan anaoneka kuwa busy na Sim yake uku akitabasamu sana "Mmmh uyu kaka ni chizzy kweli "Saraah

alisema moyoni na kuendela kula kwa speed maake alitakaa awahi ili atafute omna ya kuapply kazi yake huku pla akipangaa njia za kwenda kumtafuta rafiki yake wa utotoni.

wawill hawa wanamaliza kula breakfast Saraah Samahani naweza tumia laptop yako kuapply kitu flani

Jordan: hahaha hatimaye umejiletaa mwenyew katoto Saraah Hapana samahani nipo serious naomba

unisaidie kwa hili

Jordan: Haha kilaa kitu kinamalipo yakee ayaa laptoo ipo chumbani mwangu nenda ukachukue Saraah Seriuos niende ??

Jordan: Hahaha twende wote unasemaje. Wallangallaana kwa macho makali wote Kwa sekunde chache nakisha Jordan akampa ishara ya kwenda chumbni wote

Wakiwa wanapanda ngazi Jordan akawa anatabasamu sana moyoni "Na nyenyekea tu maake na shida ila kama sim

yangu ingekuwa chap nisingefanya hivi ilaa twende nikakufunze adabu huko juu Saraah alisemaa moyoni mwake. "Ntaakikishaa nakutesaa mpka unaombaa

msamahaa kwa kosa lako la jana alisema

Jordan

Wakafikaa chumbani Sarah akakaa kitandani ili

apewe laptop atumie ghafla Jordan anatengwa na nguo iliyokuwa chini na kujikuta anamuangukia Saraah juu yake na wanaanza kuangaliana Jordan uvumilivu unamkata

anaanza kusogeza lips zake karbu na za Saraah. Saraah pia anaishiwa nguvu kabisa na kukoswa cha kufanyaa...

Itaendelea

Chapter 3

Wakafika chumbani Saraah Akakaa kitandani apewe Loptop atumie ghafla Jordan Anategwa Na Nguo yikuwa chini na kukuna anamuangukia Saraah juu yake na wanaanza kuangalia Jordan Uvumilivu Unakata Anaanza Kusogeza Lips zake karibu Na za Saraah, Saraah Anaishiwa nguvu na kukosiwa cha kufanya Wakiwa katika hiyo hal Saraah anakumbuka kuwaa lengo lake la yeye kuja uku Tanzania sio kupata mpenzi mpya Au kufanya Kitu Na mtu mwingine zaidi ya Abdulh Rafiki yake via zamani. Anajikutaa Anapata nguvu na kumsukumaa Jordan Nyumba Na Wote Wanajikuta Wakisema Kwa Pamoja kuwa ni bahati Mbaya tu

Jordan anavunga uku akijikunaa kichwa chalke

Sarsah pisa anavunga uku akichukua laptop no kuomba password Naomba Password Saraah Allsema Jordan Alimsogelea Na kuandika Jina La Sin Ambalo Hakutaka kahsa Saraah Aone Na jina hilo kuwa Grever J Sarahy

Basi Kweli Saraah hakuona.

Sarsach hokutaka mambo mengi Maake kwake haya muuhusu kbsa kwahiy allendelea na Application yake katika hospitali kubwa Ya Muhumbiri uko dar Sarasah alifanikisha na kumalizaa. Lakini mutta Si Punde Sauti il sikika. "Hey Jordan Where Are You Upo wapi Belb

Alisema Narshaa huka akifungua Mlango Wa

Chumba Cha Jordan Na kukutanishaa Macho Na

Saraah

Ni wewe Tena Unafanyaa nn katika Chumba

Cha mpenzi Wangu Wewe Dada Vep Narsha

Alisema

Jordan Baada Ya kisikia hayo i bidi Anyanyuke

Kitandani Na kumfata Narsha il Aepushe Ugomvi Maake Narsha Alikuwa Mgomvi Sana "Hey Darlie Shida nn Tena Hebu Usijali Huyu Allikuwa Anatumia Tu Laptop Kufanya Kazi zake Kwa hiyo Usijali Kabsa Jordan Alisema Huku Akimpapasa Narshaa mwilini. Saraah anawaangalia nakusema moyoni Mmmh kazi nimayo laa kwann uyu mdade anakuwas ivo ataivo hayanihusu ngi nipambane na yangu

Saraah Anaamua kutoka lakmi jicho la hasira

Saraah Anashuka Zake Chini Anakutanaa na Jay

akiwaa busy Na simu yake

"Niaje Jay Alisema Saraah

"Aah Pos Mrembo wangu" Alisema Jay

"Hahah Achaa Zako Allisena Saraah

Saraah anaoneka kuangaliaa muda

kunasehemu Alitamani kwenda Jay aligundua Na kumwambia "Kama unataka kwenda sehemu ntakupelekaa kbsaa sawaa usjali kose Sarach Anachekaa kwe mbali na kumuoneshaa

Isharaa ya kujiunga nae ill waendee

Jay na Saraah wanaondoka na kupanda gari

aliloachiwa Saraah Na Madam Linda kwa

matumizi Yake Madogo madogo. Saraah

alimtaka Jay sendeshe gori Maake yeye alikuwa

hana uzoefu vizuri Na kumuelekeza kuendesha

Gari hadi mtaa mmoja Ullioko Mbezii

Sarea Anafika Palee kwao Nyumbe Yao Ya

Zamani Na Anagongaa Na kufunguliwa na Mlirizi

Mzee ("Huyu ni miinzi wao yule wa zamamn/")

"Karibu Sana Sarash. Umekuaa Sana Mlinzi

Patrick Alisemaa

Hahaha bado unansikumbuka jaman Sarah

Alisema.

Waliongea mambo machache huku Jay Akiwasikilizaa na kutabasamu kwa story zao. "Baba ako alinitafuta na kunamby upo uku tena Mlinzi Patrick Aliserna.

Na kumkaribishaa kwamba hapa ni kwenu

kwahiyo karb muda wwt na unaweza kuamia

ataa hapa

Saraah alifurahi na walimuagaa kwa

walikuwaa wanaelekea kweny ile nyumba ya

kina Abdulh ya zamni

imeshabomolewaa zamani,

Wanafika mitaa hiyoo nakukuta nyumbaa

Saraaah Anaumia Sana Jay Anatambua ilo

maana tyr Alikuwaa kashaambiwa na Saraah

kitu Kilicho Mietao uku Tanzania.

"Unijl Saraah Kuna majirani Wengi Tunaweza

Uliza Jay Anasema

Saraah na Jay wanaanza kutembea nyumba kwa

nyumba kuulizaa kuhusu mtoto aliyeitwa

Abdulh Lakini Hawefanikiwaa.

Huku Nyumbani Jordan Na Narsha wanaoneknaa wakaenjoy sanaa ("Romantic moments) Lakini Jordan Mawazo Yake Yanaonekana Kuwa

Mbali Akimuwaza Saraah.

Kumbukaa kwamba mpaka sasa hivi Jordan

Hafahamu Kuwa mgeni Wao Anaitwa Saraah

"Uyu Mdoli Kilaa nikiwa karibu nae najisikie

namna fulani ambayo sielewi sijui nikachawi

laa ngoja takachezes haka kamdoli mpk

kachoke michezo yangu Jordan Alipwazia

Moyoni nakutabasamu.

Mda Uliencia Na masaa yaliendaa pia

Nimajiraa ya Saa nne ucku Jay Na Sarash

Wanarudi Nyumbni

Jordan anaonekana kuwa chungulis dirishani na

Aufurahi kumuona Saraah na anaoneka kuwa na

plan ya kumfanyia Saraah

"Ngoja aingie atakutana na zawadi yangu kweny

mlango wa chumba chake

Saraah Na Jay wanaingia ndani wote wawili

lakini Saraah anaonekana kupoteza furaha yake

Jordan Anamuangalia na kugundua ilo anasema

"We Mooli Umeuruta

Saraaah anamuangalia kwa jicho la huruma na

anaendelea kutembea aende chumbani

lovake

Jordan anaonekana Akitabasamu sana

kujiserica Moyoni "Ayaa Mooli Jeuri Nenda

Saraah Anapandaa mpk juu Anapofika mlangoni

Anaanza Kusikia Harufu Ya Unga Anapotazama

Juu Anakuta ni Mtego ambao kama angefungua

mlango bas unge ungemmwagikla Saraah

Anajikuta Akitabasamu sana Hahahah Vil uyo

mbuzi mweupe ananichukuliaje hahaha ayaa

ngoj namjibu kwa mtego wake Alljiserneis

Sarasah Moyoni

Saraah Anaamua kwenda chumbni mwa Jordan

Na kukumkuta Narsha Akiwa busy na uso wake

akipaka make up na vipodoz vingne Saraah

Anaamia Kumsogelea

Narsha

na

Kusema Sarnahani Queen Jordan kwa

Kukusumbus Jordan Anakulta kule chumbani

kivangu

Narshe kwa akili zake ndo anatabasamu

nakuserna

"Hahahah nimependa iyoo yeah mimi ndo Queen

Jordan Mwenyew Naenda Ucil kbsa

Narshe anatabasamu huku akiondoka kwelekea

chumbni mwa Sarasah

Hahahaha pole Jordan Saraaah anasema huku

akitabasamu na kutoka kuelekea Alipo Narshaa.

Narshan Akiwa Mlangoni kwany Kitana

Akifungua Jordan Na Jay wanaonekana nao

kuelekea chumbani kwa Jordan kwa mbali

kidogo wanamuona Saraah Aliye Karibu Na

Narsha Ambaye anafungua kitasa.

"Ases nimekwisha Jordan Anasemaa

"Kwan kuna nini? Jay anauliza

Narsha Anapindisha kitasa na kufungua mlango

na hapo hapo

unamwangukia Narsha

ule Unga Wa mtego

"Aash Aaah Nan Kafanya hivi Narsha anasema

kwa sauti kubwa ya ukali na hasiraa sanaa

Anaingia chumbani mwa Saraah akimtafutaa

Jordan

Jordan uko wapi anaonekana kujaribu

kucontrol hasiraa zake maana Jordan Ni Mpenz

woke Kwahiyo kama kafanyaa vile bas kun

jambu

Sarasah Anatabasam Sana uku akimwangalia

Jordan

Na kumpa isharaa ya salute

Jordan anaonekana kuishiwa pose

mfanyakazi Kwaajiri ya usafi

kultaa

Jay Anajikutaa anaanza kuelewa shoo nam ya

michezo kati ya Jordan Na Saraah.

Narsha anatoka chumbni na kumuona Jordan.

Narsha Beib mbn ivil

Jordanmmh Ni surprise tu atausijali mrembo

wangu

Jordan Anamchukua Narsha Na kwenda nae

chumbani kwa ajin ya usafi.

Wote watakutana mezani wanakulaa na kunywa

pa

Nausingiz sana Kiweni na usiku mwema

Saraah alisema huku akiendas kulaalaa

Wote wale waliobaki pale Jay na Narsha piaa

walienda kulala katika vyumba vya wageni. Na

Jordan piaa Allendaa chumbn mwake.

Saraah Anakoswa Usingzi kbs kwasababu yo

mawazo yake ya kumpata rafiki yake.

Baada siku mbill

Jay na Saraah wanaonekana kurudi katika ule

mtaaa ili kuintafuta Abduth.

Leo wanaelekezwa kwa mmama mmojaa

allyekuwa anakaaa jirani na pale.

Sarauh

Jay baada ya sulamu wanaanza

kumueleza yule mmama shida yao.

Saraahh Kwahly ndo hivyo tunaltafuta iyo familia.

Yule mwanamke anaonesha sura ya huruma

nakusema

Marma: Polen ile familia toweka baada ya

mama mzazi kale katoto kufario maana

alikuwa na cancer. Kwahiyo sijui yule kijana

mdogo aliendaa wapi au ibda na yeye alikufa

maana nyumba yao ilivamiwa baada ya siku

chache na kubomolewas.

Sarasb anaishiwa ngumu nakuanza kutoa

machozi

Jay anaonekama akimbembeleza sanaa kwa

hanuma

wote hawa wanaelekea katika Gari

fool waondoke

Wanapowashaa garil kakammoja anawakimbilla

kwa speed sanaa anawataka kusubiri

Jay anapock tena garl kwa ajiri ya uyo mkaka.

Mkaka Samahanini nimesikia mnachokitafutaa

Ilaa naweza kuwasaidia kidgo kamaa mtanipa

pesa kidogo.

Jay anaonekama kutomuamini yule mikoka lakını

Saraah anapata shauku anazama pochini na

kumpa

elfu 30 yule kakaa Saraah anaamus

Kushuka kabisa ill amsikilize kwa makini

Saraah Nimby tafadhari Unafahamu nini.

Mkaka Baada ya kifo cha mamaaka Abdulh

Abdulh alichukuliwa kbisa na kupelekwa katika

kituo cha watoto kiitwacho kadogoo

Jay anaonekana kukifahamu na kumuomba

Sataah Arad kweny gari ili waende

Saraah anamshukuruuu sana mkaka yulee

Ni midaa ya jioni sanae unaonaje kama

tukiendaa nyumbn kesho tutaanza tena Gafari

Sataah anaoneshaa kuelewa na kishaa wanarud

Nyumbr

Huku Nyumbani wanakutana

allyerudi kutoka safarini

Madam Linda

Saraaah anafika na kumkumbatia na

kumsalimias pies Joy plea anamsalimias na

wote hao watatu wanafurahi sanaan.

Jay Madam karibu Sana lakn Jordan Yuko wap?

Madarn Naona Kamsindikizaa Zero Brain wake

Wote hao wanaaanza kuchekaa sanaa

Jay pia anaonekan kulala kwa kina Jordan Tena

maana pale ni karna kwao pia.

Ikiwa Ni Asubhi Njernaa Sane Saraaah Anaamka

Alows Na furahaa Sana Maana Leo Arnategemea

Kufika Mwisho Na kumpata Abdulh

Kama kawaidaa Jay Na Saraah Wanawahi

Kujandaa Nakuondokaa wakielekea katika

Jengo la Kulea Watoto Yatima liitwalo Kadogo.

Warnafika Palee Na Kuingia Ofsin wakiongean na

Mkuu wa Pale. Mkuu wa Palee anaonekanaa

kushtuka baada ya kuambiwa kuhus mtoto yule

Na anaonekana Kukasinkaa Sanaa

Mkuu Mzee Lonja Hapa Sina Habari Hizo

Naombeni Muondoke sasa hivi Na muharakishe

Jay na Barsaah Wanashidwa kuelewa Ni kwann

Uyu Yuiko ivo

Saraah ananong'ona kwa chini hapana Jay Hapa

kunakitu Usiondoke Subiri Tuone.

Saraah lakn Mzee tumeongeaa kwa upolee

mbnaa waja juu tenaa kwann??

Mzee Lunja Anazidi kuwa mkali na kuambia

kwambaa hawana adabu na kuwatusi sana

Lakini Kwa Sarash.

Jay haikuwapa shidaa

maana walikuwa wameshafahamu Kunakitu

hapa

Kwa mball anaonekana mfanyakazi mwingne

mtu mamaa sana anaewapa ishara ya kukutana

nae njee ya maeneo hayo huku yeye pia

akitembea huku akitoka eneo lile.

Wanafanikiwa

kutoka na kwendaa sehemu tulvu

wapate kujua kunanini

"Mimi naitwa Mzee Kobo nimekaa hapa kwa

mda mrefu na ninafahamu ukwell kuhusu

mtachotaka kupua" Alisemaa Mtu yule.

Je atwaambiaa kipi. Maan kunaonekana kuna

siri nzito sana ambayo ipo iliyofanyaa atawao

kufukuzwa kule ofsins

Upande Wa Pili Uku Nyumbani

Jordan anapokea taarifaa ya katika laptop yake

ya kuona kama Muomba Amekubaliwa katika

hospital ya Muhimbirt

Jordan hazingati hata kutaka kusoma jina au

Taarifa Anapotezea na kuondoka kushuka Chani

kwa Madam Linda Anapofika Chini

Madam Linda Anaonekana kumpa Taarifa

Jordan ya kwenda kuanza kusimamia Company

Yake kubwa Ya Utalii iliopo Arusha na kumtaka

Atafute msaidizi ili siku moja ijayo aanze kazi

hako

Sasa itakuwaje

Hahahah sifahamu Tukutane Katika sehemu ya

Nne illtujue kipi kijacho Kwa Upande Wa Sorsah

Na Upande Wa Jordan Pia

Karibu sana

Chapter 4

Tunanzia Pale Mzee Kobo Anajitambulisha na kusemaa yeye kakaa kwa muda mrefu sana kwahiyo anawezaa kuwaambiaa ukweli wa jambo hili.

Upande wa pili uku Madam Lindaa Anaonekana kumpa maandalizi Jordan ya kwenda kuanza kusimamia company yao ya Utalii uko Jijini Arusha. Na Saraaah Anaonekana kukubaliwaa katika Hospital ile kama dactari mkubwa sanaa.

Saraah na Jay Wanaonekanaa kuwaa na hamu sanaa ya kusikia kipi ambacho mzee Kobo anafahamu kuhusu swala la mtoto Abdulh kwa maana kule ofisin hawakupataa taarifaa kamili waliishia kufukuzwaa tu

Mzee Kobo Anasema Mimi nmeanzaa kazi hil

kwa muda sanaa Nakumbuka Mwaka ule baada

Ya Mtoto Yule Kuchukuliwaa Madam yule

alinunua taarifaa zote kwa Million 60 bel

ambayo hamna aliyedhani kbsaa na aliombaa

Ushahidi wote ufutwe na historia yote ya mtot

yule Ifutwe kabisaa maan allakilishaa hamn mtu

atakae fahamu swala hilo na hi ilifanywa kuwa

sirii maan serikali haikutambuaa wala mtu yyt

zaid ya wahusikaa

Sarah kwa shauku alionekanaa kuwaa na swall lakin Jay Alimtuliza kwa isharaa ya kichwaa. Jay Aliuliza Sasa kwanini Mwanamke huyo alifanyaa ivo."

Mzee kobo kwa suraa ya huzuni alijibu Kila mtu hajui hatima yake hii ndo Mwanamke Yule alikuwa hana uwezo wa kupata mimbaa yaan Alikuwa Tasaa"

Saraah ilibidi aulizee kama kuna kitu kingne anachofahamu Ibdaa sehm walipoenda Lakini mzee kobo alitikisa kichwaa akimaanishaa hamna taarifaa yyt juu yao.

Mda ulienda na maongezi yao yalilshaa. Saarah na Jay walipanda gar lao na kurudi nyumbn pale. Wanapofikaa Nyumbn masaa ya jioni wanamkuta Jordan akiandaa nguo zakee na mgeni wake akimaliziaa kuanda safari yake ya kesho. "Kesho nmepataa taarifa kutoka kwa mamaa.

kwamb natakiwaa kwendaa Arush kwa ajiri ya kazi ya kusimamiaa yaan kuwaa kamaa Director na nmechaguaa kwenda Na Narsha kama msaidizi wangu Jay alioneshaa tabasamu na Saraaah pla alifurahi baada ya kuambiwa amekubaliwa katika hospitali ilee.

Lakin Jordan alionekana kupataa was was na

uwogaa wa kumuacha mdoli wake (Saraah)

lakin alipotezeaa kwa kuwa walikuwa hawana ukaribu kiasi hicho. Mdaa uliendaa na hatimaye palikuchaa Safarii iliwakaa Motoo Jordan Na Narshaa walianza Safari yao kuelekea Arusha kutumiaa ndege Mida ya saa mbili asubhi walianzaa safari yao kwendaa Arusha na walifika baada ya muda

mchachee.

"Narshaa tumefikaa 'Jordan alisema Wakiwa Airport walipokelewa Vizur sanaa na watu wa madam Lindaa na kupelekwa sehem ya kupumzika maana iyoo siku ilikuwa siku ya mapumziko kwa wote kwahiy walipaswa kuanza kesh yake kazi.

Usiku Ulipita Na palikucha.

Asubhi wakiwa wanaingia katika kampuni hiy wadada wengi walichanganyw na uzuri wa Director Jordan kilaa mtu alitamn hata amshikee au kumsalimia lakin haikuwezekana kutokana na

Jicho kali la Madam Narsha.

Walifika Oficin na kukabiziwa kila kitu mafiles na

meng mengn Narshaaa akiwa amesimama alianzaa kupitiiaa baadhi ya tarifa za muhazini.

"Jordan nashangaa faidaaa kubwa iliyopo kweny hii company nimependaa sanaa Alisema. Narsha.

"Yeah zote hizi ni juhudi za madam Linda katuamini ndo maana kataka tuje tuongeze faidaa kweny company hil 'Alisemaa Jordan Uku akitabasamu.

Upande wa pili uku Saraaah anaonekana kureport kazini na kujikuta akipendwa na watu sana juu ya ukarimu wake tabia zake busara zake na nmn alivyokuwa. "

Daaah Uyu Daktari mpya nmempenda bure Madactan na Wagonjwa walisemaa huku

wanatabasamu sanaa na kumuangaliaa kwa furahaa sanaa "Nimevutiwa na watu hawaa Saraah Alisema.

Siku ya pili ya kazi. Upande Wa Jordan huku Narshaa anaonekana kukaliptaa wafanyakazi kuhus kumuangaliaa. sanaa Jordan.

"Nimesemaa hivii sitaki kuona mnamzoeaaa Jordan sawaa tumeelewana nikimuonaa kondoo yyt anamsogelea ata nijuaa mm nan Narsha

Alisemaa Lakin Narsha anaoneknaa kuwa na tamaa ya mali katika company hiyo

Kadri siku zinavyoenda Narshaa Anazidi kupata makundi mabayaa na kuazishaa group lake kubwaa aliloliita The Killers Tabiaa ya Narshaa. inazidi kuwaa mbayaa kabisaa na anaanza kutumiaa madawaa ya kulevyaa sanaa.

Wakiwaa Oficine Jordan uvumilivu unaishaa anaanzaa kusema "Narsha umebadilikaa sanaa asee mali unatumiaa vibayaa badoo umeanzaa kutumiaaa madawa ya kulevya kweli ww ni kiongozi gani ase Narshaa mbn Ivoo

Narshaa kwa jicho lake la dharau "Umemalizaa

sasa sikias naombaa tusifatilianee maisha na mm hapa ndo mwish wa mm na ww khs kazi ntakuwaa najifikiriaa kujaa sawaa Narsha.

Alisema.

"Haha kumbee bas sawaaa na leo ndo mwisho wa kazi yako kesho ntatafuta mtu mwingne na nisije kukuonaa "Jordan Alisema. Narshaa kwa kicheko kikubwaa akisemaa

"hahaha dont care byee" Daaaaah ichoo kitu kilimumaa sanaa Jordan na alishidwaa cha kufanyaa ilaa alibidi ampigie Jay

Ili kuomb ushauri.

"Hellow Jay" Jordan alisema.

"Vip Bloody inakuwaje nmekumiss sanaa ujuee Ikizo lin uje na uyo Mrembo Narsha Jay alisema

Jordan kwa saut ya chini alimuelezeaa kilaa kitu Jordan na kumuombaa ushaurii maake kwasasa hana secretary wala mtu yyt wa kumliwazaaa. "Daah pole sanaa ilaa kwann usimuombe Mdoli

wako (Saraah) Aje uko kwa mda maana mm nipo busy sanaa kwsasa ase fanya kuongeaa na Mdoli (Saraah) na umpe taarifaaa madam Linda pla

Waliongea kwa mda mrefu Ikn mada kuu ilikuwaa ya Narsha nmn aliivyobadilika sanaa

ase.

Mda uliendaa na Jordan alipewa nmba za Saraah. Kumbuka mpka saa hii Jorda hajui kuwa yule mdoli ndio anaitwa Saraah. Jordan aliamua kumpigia Saraah.

"We Mdoll Wangu Alisema Jordan.

"Haha yaan atabilaa kujitambulishaa najua ni ww chizzie Jordan Saraah Alisema. "Hahah daah leo nmekukumbukaa kweny shidaa ase so nisikilize tuu Mdoli wangu bn "Jordan. alisema na kumpaa story nzima na kumuomb

aje ili kuwa secreatary kwa mdaa.

"Mmh pole sanaa ntakujaa Ikni kama

utanisumbua fahamu kwamba ntakufanyaa kitu.

mbaya Saraah alisema waliongeaa kwa mdaa

mrefu sanaaa Na saraah Aliamua kukataa Ticket

ya ndegee kutokaa Dar mpm uko Arusha. Kweli mdaa ulipofikaa Saraah alifika Arusha na kupokelewaa na Jordan mwenyew na kumuombaa aweke mizigo kweny nyumb aliyokuwa akiishi Jordan na kisha waelekee Ofisin ili kusaini mikatabaaa yotee. Huku piaa wafanyaa kazi walimpendaa sanaa Saraah maan alikuwaa mtu mcheshi sanaa kwa watu tabasamu lake lilifanyaa kilaa mtu

amuulize anaitwa nan Saraah alivutiwa nao piaa. Jordan na Saraah waliingia Oficine "karbu sana"Jordan Alisemaa huku akimpa kiti

akae

"Banaa wewe chizzie mm ntainama na ntasine ucjl Saraah Alisemaa. Jordan kwa tabasamu la chini Alimuulizaa naombaa unitajie jina lako hili nijaze taarifa

muhimu kwanza zinazonihusu.

Saraaah bila kusitaa alisema "Naitwaa Saraah

Reymond Phillioser" Ghaflaa baada ya Jordan kusikia jinaa lile. alishangaa sanaa na kusemaa mmnh unaitwaa Sa sa sa raaah ??

Upande wa pili wa Narsha anazidi kupambaa vikali na ilo group lake yaan wanaoneaa watu na

kama ukimkoseaa Narshaa wewe fahamu utakufaa Kwahiy kikosi cha Narsha kinazid kuwaa na watu wengii sanaa Wakatili asee

Itaendelea...

Chapter 5

Tunaanza Pale Ofisini Jordan akishangaa sanaa kusikia Iñe jmaa la Sarasah Saraah na yeye anamuangallaa nakusema

Wewe Chizzie Vp kwan sikuzote hujui naitwaal

nani aandikaa. Besi mm na njaa nataka kwenda

kulaa Saraoh Alisema

Lakini Jordan

ule uwezo wa kushika Pen

ullmaishiaa kbsa na kumwambias "Najisikiaa

Vibayaa Sarauh naomba

niendee msalani

wewe endelea kujaza taarifaa sawaa Mdoli

"Jordan alisema

Kwa haraka sana aliendas chooni na kuwazaa

mengi kuhus rafiki yake wa zamni alivyoenda

Marekani na kumuachaa yeye upweke

anaunganishaa

Na tukio zimaa la Sarah kujaa kwake kutokaa

uko Marekani na anakumbuk harakt za Saarah kutafutaa rafiki ake alizopewaa Jay anapataa jibu kuwaa huyu ni Saraah Hatimaye nakutanaa Tena na Saraah daash nmemiss kweli lakn sitamwambias mm nan na ntazidi kuwa kerbu naee zaid Jordan alijisemea. mayani huku akijitengenezas na kutokaa msalani kurudi ofisine Jordan Anapofungua mlango kumbe ne Saraah kasimama mlangoni kwa bahati mbaya na nzuri ule mlango anafunguaa Jordan na kukutana na macho ya saraa kwa kushtukaa anajikutaa wanaangukaa na Sarash Saraah Anajikutaa upande wa Chini jou Uvumilivu unawashindaa wawili hawaa kbsaa hasa Jordan akiangaliaa uzuri wa Saraaoh na macho yake mazuri ya utotoni Awee Jordan anaamuaal kushushaa lips zake taratibu na kumpigaa busu kubwaa zitoo Sarasah kwa mdaa mrefu Saraah Jordan upande

nae hanaa naa analegesa na wote wanafall

deeply ikweny hill busu lạc

Lakını Saraab Anakumbukas achofanywa hakipo

sahihi maana alitakaa rafik ake yule wa zmn ndo

aje awe wa kwanza kufanyaa ivoo Wachaal

wee Saaraah anamsukumaa pembeni Jordan na

kumuwashaa kot mojaa zito sanaa,

Jordan anashidwaa afany on ilaa anajikuta

akimwaambia Saraah kuwaa Mda Ukifikaa

Utaelewa

Sarah otaki kuelewa anamwambiaa natkaa kuina njaa Wawil hawa wanaamua kwenda sehen na kupataa chakulaa lakin muda wote yanaendeleaa ni kwambus Narshaa Akatuma mtu ill amfatirile Jordan weweee hahah patamu

panas

Jordan na Saraah hawana wazo lolote kumbe

huku Narshan kashapewoa taarifaa na pichaa

zaoo na Narshas akafahamu kabsaa kuwaa

huyu ndo Saraah aliyekaliona kiti chokee cha

usaidizi pale kazini.

Ni siku nyingne Saraah anaonekana kuwahi

kufikaa kazini mapema kwa maana alikuwa

anawahi kuanzaa kazi zakee lakini akiwaal anaingiaa lango kuu anapishana na mtu aliyevaa Mask nyeusi na kofiaa iliyoziba suraa yake Saraaah anajarbu kumuitaa kn mtu huyu

hakujat kabisaa se sauti

"Mmh sikutegemea kukutana

mtu anubhi hi

mminh la so mbayaa haya nihusu Saraah

alisema huku akienda zake officine.

Anapofikaa ofisini anashangaa kuonaa

document nying zimezagaaa hasaa anazona re

za umiriki wa company

Mmh nimi ichi Sarah Anasemaa

Anaamua kuchukua sim yake

Jordan na kumpaa taanfaa zotee

kumpigia

Nakujaa sasa hivi usttake oficine Jordan

Anasemas

Baada ya dakikas kamaa mbili Jordan anaingiaa

Oficin na wanaanzaa kukagua na kibayaa zaid

wanakutana na document ambazo hazinaa

umutermu na wanagundua kuwa document kuu

haipi Ofisini

Saraah kwan hujakutaa mtu hapaa maana

allyekuwas hapaa maraa ya mwisho ndo

anaonekana kuondoka na hii document Jordan

Alisema

Saraah kwa kuwataa kwa uharaka alisema

"Kweli nakumbuka nmepishana na mtu aliyevaa

mask nyeus mdaa na ingiaa kweny lango kuu likn

nlimsemeshaa

Saraah Alisema

hakujibu na hisi ndo mwizi

Jordan kwa kubaha alinyanyukaa nakuondokaa

kwenda kwenye chumba cha Cameras (cctv

Camera) lakini anapofika mlangoni anamuaa

kurudi na kumshika mkono Saraah, Saraah

akaanza kuhisi kwamba Jordan Anamuhis yeye

ndo mwzi lkn alkaa kimyaa tu na wakaongoza

nae had kweny icho chumba lkn baada ya

kuangalias kilas kitu hawafanikiwi kuona sura ya

yule mtu aliyechukua Document lee.

Upande wa Dar er salaan nyumbn kwa madam

Linda Jay Amekas sebleni

ghaffa

aanamuona medam Linda akioneekana

kuharakishaa kwenda sehem lakini cha

kushaangaza anamuon Madam akitokea mlango

wa nyuma kwa siri sirii na kupanda gari na

kuondoka

"Mmh hapa kuna usalamaa kweli hapana ng

nimfatilie madam Linda anaenda wapi maana

hata salam hajanipaa mmh hor Jay alisemaa

na akaamua kuchukua gari lake na kumfataa

nyumas

Mdaa uliendaaa akimfatiliaa lakın Madam Linda.

alifika mwisho wa safari yake katika de centre ya

watoto yatimaa

Jay kwa mshangao na bumbuwazi anaona

madam akifika na kumzaba kofi yule Mkuu wa

Pale ambaye aliwafukuza Jay na Saraah

Jay Hee Nini Hichii Madam Linda kafataa nn

hapa sioni naota lkn hii sio ndoto madam

Linda kafikaa hapaa na tenaa anampigaa kibao

mwenyt hhaahha apa kuna jambo ase

Jay alamud kuendesha gari na kwendaa

sehemu ya ukimyaa na tulivu

"Duuh hapanaa mmh hii ni hatr Jay Alisemaa

huku akiwazaa kumpigiaaa Sarash Ili ampe full

story yote ikn Jay anapigaa simu kwa maras ya

kwanzao na ya pili Ikn Saraah apokel.

Tiaa sio mbaya wachaa niendele kukusanyaa

ushahidi mmh natss Lindaa yupo nyuma ya hill

Jay Alisemaa.

Mdaa uliendaa na masaa yalienda.

Saraah na Jordan wanaoneka Wamekaa meza

moja bilaa kuongereshana.

kushikas simu ya Sarsash

Jordan Anaoneka

Saraa kwa hasiraa Anasema ivi unahus mm ndo

mwizi mpk ukae na simu yangu eeh ofisini

uinivutaa ukataka twende wotee ukajuee

kamaa mm ndo maizi au laa jmn mm sio mwizi

Jordan

Jordan kwa jicho la hurumaa alimjibu kwa sauti

ya chini na kumwambiaa kwambaa Ni boraa

Akili yako ulwazisher kutafakali nani Mwizi

Kuliko Kunipigia kelele hapo"

Saraah Mpn usivunge asa mbn umechukua

simu yangu mm sio mwizi jimn

Jordan kwa hasiraa alinyanyukaa na kusogea

alipo Saraah nakumshika mabegaa yake

nakumwambian vi huwezi nyamazaa Saraah

nafanya ni kukukinda wewe velewe plz: mamy

Jordan alamua kumkumbatiaa kwa nguvu

Sarash na kumtak asiwe na hofu kbea

anamanda kwahiy asjar kikubwa tu amsaidie

kutafuta ushaidi wa uyo mwizi

Bas Saraah anatuliaa na kukubali kuwa yeye

hakuwa mwizi ni kujihisi tu kwake.

Saraah anashika simu yake na kukuta missed.

call za Jay anaamuaa kumpigiaa na ikn Jay

anapokeaa wanasalimianaa na kumwambiaa

Kwambaa swalaa la tafói Yake Abdul kuna mtu

tu ambaye anahis yupo nyumaa yakee

anamwambiaa kwambaa ushaid wake utakapo

kamilikaan ata mtaarifuu vyermaa kabsaa

Duuh Ase ilaa mefurahi kusikia ivo naombaa

tu uzingatiee kupata ushahidi uwo Saraah

alisema na mawasiliano yao yaliishas ivon

Usiku ulipites na ilikuwa saubhi nyingne ambayo

Jordan ndo aliwahi kufika Ofisin kabla ya Saraah

kufikaa

Hey umewahi sanaa leo za kwako lkn Saraah

Alisema.

Jordan aligeukaa na kumsogelea Saraah

kumwambias kiwa sauti ya chini sana ntakuwa

pos kama utaamisa lowangu

Sansah kwa mshtuko allisogea pembeni

kushikwa na kugugumizi kikubwaa

Mmhuu

spasikia

semaje kwani nha

Jordani akamwambio Fanya hivo kwanzaa

maana hiyo ndo na sahihi ya kukulindaa wewe.

Sarash kwa unga alijikuta akikubali na kusemao

neno Sawaa Ntaakujaa

Jordan moyoni alisemaa daah mbele yangu

Saraah ni mtu mdhaifu sanaa daaah

Vipi utaamiaa lini Jordan Aliukzaa huku

akimsogeleaa Sarash usoni mwaka

'Leo terisa sasahivii naenda Saraah alisemas na

kukimbiaa njen kwa uwoga

Ivi amesemaa nn mm jms kwambaa naamiaa

kwake leo hapana Saraah alisema

Masaa

ya jioni Saraah anaonekan kuamla kwa

Jordan maana sehm alipokuwan anaishi hapa

kuwaa mball sanaa

watu wengi walquaa

wanaishi pomojaa maana hatas nyumbaa ya

kuish walipewa mojaa Ikn Saraaah aliondoka

akidai Jordan ni Jinsiaa Nyingne lkn kwasasa

Saraah anarudi mwenyew bilaa ujanjaa kbea

wowote

Usiku unaingia Saraah na Jordan wanamalizaa

kula na kukaa sebleni Jordan anaonekanaa

kumuangaliaa sanaa Sarasah. Anahama hadi

sebem aliyokuwepo had sehm aliyopo Saraah

nakukaa kantu yake na anaamua kumlallaa.

begani. Saraah anashituka sanaa

"Wewe unafanya nini Saraah Alisema

Shi naombaa nilale hapaa mdoli wangu

Jordan alijibu usku unazidi kwendaa na Sarash

anaamuaa kumlaza vizuri Jordan kwenh kochi

na kumfunika

yey plaa anaamuaa kulala

kweny kochi ki kabla ya Saraah kulala

anaonekana akifatilisa sanaa zile document

zipo kwa kutumia cctv Cameras Record kwa

bahati Nzur sana Anabahatisha kuona kitu flani

ambacho ni kama yule mtu ile siku alangusha

karatasi ndogo sanaa na akiona anaonaa

mfagiaji alifagia na kutupa dustbin anaamua

kuamkaa haraka na kwenda mpik offisini ne

kuanza

kutafutaa

kale

kakaratasi

Anapokachukua anabahatika kuona nambaa

nambaa ? Mh hizi namba nizanani na min

zineseviwa boss minh huyu bos ni nani?"

Sarsah Alliserna Hakutaka kupotez mda

alwashaa gan lake na kwendaa nyumbn

anapoficaa tu anankuta Jordan anamtafuta

nana

Saraah ulikuwa wapi na mbn ivoo hujui na hofu

na ww na mbn hukuaga" Jordan Anasem.

Hapo ndipo Saraah Alipomweka

kila kitu

Jordan kuhus yeye kupata zile namba kwahiyo

Saraah anaamuaa kuzipiga naa baada ya kupiga

kinachoshitusha anagundua kuwaa ile namba

niya Narshan baod ya kumuita boss naa Narsha

kullikiaa. Sasa Saraah anashituka na kujua kuwa

kumbe adul ni Narsha na huo huo mda Narsha

anagundusa uyu ni Saraah.

Hahahaha Saraah nakukanyaa kwa mara ya

kwanza na ya mwisho achnas na hayaa mambo

utaumia Narsha Alisema

"Hipan na siwez ntapembnas vikali ww

Saraah Alijibu

Kwa uharaksa Jordan allchukua simu na kuanza

kuongeaa na Narsha

Narshaa

naombas sanaa usije fanyaa chicht

kwa Saraah, nilijua pisa ndo mtu uliyenyuma

ya hili jambo na sasa nakukanya uache Jordan

alisemaa huku akiwao amemkumbatiaa Saraah

kwa nguvu. Saraah alishangaa sanaa kwann uyu

huwae anafanya vil

Narshaa hakujall wanachoongee ilaa alijibu kwa

cheko la dharau kwa nguvuu sana

Jordan aliumiaa sanaa na kumuombea Saraah

Awe mwangalifu sanaaa

Upande

Narshaa anaonekana akiwazaa

mambo flani nakusemaa.

"Saraah wewe ni mioto kwangu sasa kwa kuwa

hutaki kumuachias Jordan na unajuaa kbsaa ni

mtu wangu na ninampendaa na bado hutak

kuachiaa kiti changu bas pokeaa zawu yangu.

Narshaa baada ya kusema hayo alimpigiaa simu

mtu allyevallaaa

mask na kumwambia "Anzisha

Game simu ilee ilikatwan.

Usiku ulipitaa na palikuchaa, Saraah na Jordan

wanaonekana wakiwaa wamekaa Ofisini

wakibadilishanaa

mawazo

Jonian Ivi kitu gani unatamn sanaa.

kukikamilisha.

Sarah Hah mm natamn sana kukutana na ríki

yangu wa utoto maana ndiye natamani aje avie

mtu wa maishaa yangu na atakae ninali na

kunipa upendo plaa..

Mazungumzo yao yanaendelea kwa mdaa sanaa

huku wakifurahi sanaa.

Hhha Jordan Ng nifate kahawaa apo njee

Samah alisem na kutoka njee allwa anavuka

barabarani ghflaa gari la ainaa ya cruzer

Inakujaa moja kwa moja na kumgonga

Lkn gall hilo lillendeleaa na masafaa yakee kwa

mbel Jordan anaonekan akija huku akikimbiaa

maana alishuhudiaa tukio Hall ya Saraah

naonekana kuwaa mbayaa zaidi maana

anavujaa damu nyingi sana upande wa kichwa

JE NINI KITAENDELEAAA!! "

Full 1000
𝑵𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒂𝒍𝒊𝒑𝒐 𝑽𝒐𝒅𝒂𝒄𝒐𝒎 𝑴 𝒑𝒆𝒔𝒂 0743433005 𝒋𝒊𝒏𝒂 𝑨𝑮𝑶𝑺𝑻𝑰𝑵𝑶
𝑼𝒌𝒊𝒍𝒊𝒑𝒂 𝒏𝒊𝒄𝒉𝒆𝒌𝒊 𝑾𝒉𝒂𝒕𝒔𝑨𝒑𝒑 𝒌𝒖𝒑𝒊𝒕𝒊𝒂 𝒏𝒂𝒎𝒃𝒂 +255743433005 𝒏𝒊𝒌𝒖𝒉𝒖𝒅𝒖𝒎𝒊𝒆
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *1-5* *__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* "Siwezi kaa ndani kila siku itabidi nitoroke nikatafute marafiki nje" alisema Saraah Alianza kunyatia nyatia huku

akichungulia huku na kule bila kuona mtu Na kufanikiwa kutoroka ndani ya nyumba yao kubwa yakifahari. baada ya Saraah kutoka njee ya fensi yao alikimbia kwa watoto wa mtaani ili kucheza nao lakini watoto wale walimshangaa sana na kutamaani mdoli wake mdogo aliokuwa nao mkononi Sarah aligundua kwamba watoto wale wangecheza nae kwasababu aliona wakivutiwa na mdoli wake lakini haikuwa hivo wale watoto walimsukuma Sarah chini na kukimbia na mdoli yule

Sarah alianguka na kuumia kiwiko, chake kwa maaumivu yale alianza kulia Ndipo mtoto mdogo wa lika kama lake la miaka minane 8 anaoekana mbele ake na kumtuliza. "Naitwa Abdulh...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamu-toka-utotoni-sikuachi-1-5-__________________________________-sehemu-ya-kwanza-siwezi-kaa-ndani

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamu-toka-utotoni-sikuachi
  MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 14&15  Wawili hawa walichukua Garii Lao na Kwenda Nyumbani Wanapofikaa Nyumbn wanaonekana wakipiga leo story
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 14&15 Wawili hawa walichukua Garii Lao na Kwenda Nyumbani Wanapofikaa Nyumbn wanaonekana wakipiga leo story
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 13  Mda unaenda Wine zinaanza kugawiwaa na Wine Ya Saraah Ipo pale Pale Saraah
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 13 Mda unaenda Wine zinaanza kugawiwaa na Wine Ya Saraah Ipo pale Pale Saraah
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 10  "Hahahaha Pambanaa Kaka pia huyo ndo mtamu wako tokaa utotoni. "Jay
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 10 "Hahahaha Pambanaa Kaka pia huyo ndo mtamu wako tokaa utotoni. "Jay
 *MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋    *19&20*  Narshaa akiwa kule chumbani anamalizaa kazi yake na kufunguaa mlango kutoka,mda anatika anawaonaa polisi na polisi pia wanamuona
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *19&20* Narshaa akiwa kule chumbani anamalizaa kazi yake na kufunguaa mlango kutoka,mda anatika anawaonaa polisi na polisi pia wanamuona
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 17  "Hahahaha kumbe sikujua kama hataa Madam Lindaa Na Wewe utanisalitii Sasa Naombaa
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 17 "Hahahaha kumbe sikujua kama hataa Madam Lindaa Na Wewe utanisalitii Sasa Naombaa
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋    Chapter 12  "Jina gani hilo nikutafutiee ?"Saraaah Alisemaa huku akimsogeleaa Jordan Na Laptop
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 12 "Jina gani hilo nikutafutiee ?"Saraaah Alisemaa huku akimsogeleaa Jordan Na Laptop
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 7  Baadaa ya Narshaa kukutanaa na kofii la Jordan, Jordan Anaondokaa na kumuachaa akiwaa
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 7 Baadaa ya Narshaa kukutanaa na kofii la Jordan, Jordan Anaondokaa na kumuachaa akiwaa
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Ghaflaa Hali Ya Saraah Inaonekana Kubadilika kabisaa, Mda huo huo Jay
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Ghaflaa Hali Ya Saraah Inaonekana Kubadilika kabisaa, Mda huo huo Jay
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋  Chapter 9  Baadaa ya Saraah kupewaa matibabu yale yaliyokuwa chini na usimamizi wa Dr Abdulh, Dr Abdulh Anaamuaa Kumfata Saraah Katika kile Chumbaa
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 9 Baadaa ya Saraah kupewaa matibabu yale yaliyokuwa chini na usimamizi wa Dr Abdulh, Dr Abdulh Anaamuaa Kumfata Saraah Katika kile Chumbaa
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 * sehemu ya Sita
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 * sehemu ya Sita
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋    Chapter 18  Mida Ya Asubuhi Mr Mask Anaonekana Kuwafatiliaa Kina Madam Linda Saraah Na Jordan. Leo.Mr Mask Anaonekanaa Kutembea
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 18 Mida Ya Asubuhi Mr Mask Anaonekana Kuwafatiliaa Kina Madam Linda Saraah Na Jordan. Leo.Mr Mask Anaonekanaa Kutembea
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Mask man Akiwaa anataka kutoka ghaflaa Anahisi kamaa kuna mtuu katika kilee chumbaa
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Mask man Akiwaa anataka kutoka ghaflaa Anahisi kamaa kuna mtuu katika kilee chumbaa
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋  Chapter 8  Jordan kwa maraa nyingn anamuonaa Saraah tena akiwa amefumbuaa macho
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 Chapter 8 Jordan kwa maraa nyingn anamuonaa Saraah tena akiwa amefumbuaa macho
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

621
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

561
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

472
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

413
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

345
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

83
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

71
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

69
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

54
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

29

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest