SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
Aliondoka Valentino nikabaki mimi na shemeji ndani wawili tu🙈🔥
Nilipomaliza kuandaa chakula mezani nilienda mpaka kwenye mlango wa chumba cha shemeji nakisha nilimuita
Akaitika nikamuambia shemeji chakula tayari kipo mezani
Aliitikia sawa na kuniuliza Valentino ameshaenda shuleni??
Nilimjibu ndio kaenda
Akaniambia sawa nakuja
Niliondoka nikaenda dining kumsubiri aje nimnawishe mikono niishie zangu..
Baada ya muda alikuja na kuvuta kiti alikaa na kuniambia kaa nawewe ule
Nilimjibu usijali kwa sasa niko sawa ila nitakula badae wewe endelea
Akaniambia nawezaje kula mwenyewe wakati wewe upo hebu njoo tule wote bwana..
Niliona sawa tu nilikaa na kumwagilia maji mkono akanawa kisha nilijinawisha namimi tukaanza kula
Chaajabu shemeji alikuwa muda mwingi ananitizama mimi tuu 😩
Nikimtizama anajifanya kupotezea hivyo nilikuwa simuelewi kabisa namimi nilizarau na kuachana nayo
Nilipomaliza kula nilitoa vyombo na kupeleka jikoni kisha nilitoka na kuenda chumbani kwangu kupumzika
Nikiwa nimepumzika nilihisi kunamtu alikuwa anachungulia mlangoni kwangu
Nikainuka na kutizama ila sikumuona mtu hivyo niliufunga mlango na kurudi kitandani kupumzika
Nilipumzika mpaka ilipofika saa kumi na moja niliamka na kuoga kisha nilienda jikoni kuandaa chakula cha usiku
Nilipika wali na rost ya maini kisha niliandaa juice yamatunda
Mtoto wakatihuo alikuwa tayari kaisharudi nilipika fasta nikamaliza nikamtuma mtoto akamuite baba yake chumbani aje kula..
Tulikula kwa pamoja nakisha niliondoa vyombo na baada ya hapo nilisafisha meza then nikaelekea jikoni kuosha vyombo..
Shughuli zote huwa napenda kuzifanya usiku maana asubuhi huwa ninaenda kazini..
Nilimaliza shughuli zote nikaelekea chumbani kwangu kujipumzisha muda huo wanafamilia wengine walikuwa tyr wameshalala..
Nikiwa nimelala nilihisi kunamtu ananipapasa mgongoni akawa anatelemsha mkono mpaka kwenye kiu no na kusogea maka lion
Nilishituka na kuinuka kulikuwa na giza kwa ile hofu nilianza kupiga kelele ghafla nikazibwa mdomo
Huyo mtu alinishika na kuniambia tulia acha usipige kelele Sasha nimimi shemeji yako..
Nilijikunyata ukutani huku nikitetemeka aliinuka na kuwasha taa
Wakati huo anawasha taa Valentino alikuja na kufungua mlango huku akiita mamdogo kunanini kimetokea??
Shemeji nae akajifanya tuambie utakuwa umeota ndoto mbaya sana shemeji au kuna mapepo??
Nilishindwa kujibu na kumuambia Valentino kuwa huwezi amini kulikuwa namjusi mkubwa ulinitambalia mgongoni nimeulusha huko ndio maana nilipiga kelele
Siunajua ninavo waogopa mijusi??
Shemeji akajibu basi sasa kuwa na amani kwani tumesha kuja wanaume wawili huyo mjusi tutamponda ponda
Valentino nae alijibu kweli mamdogo kuwa na amani sasa lala ila usizime taa ili asije tena
Nilimjibu sawa mwanangu ngoja sasa nilale mnaweza kwenda nisameheni kwa kuwakatisha usingizi wenu
Shemeji alijibu hapana usiogope sawa shemeji yangu kisha alinitizama na kunibinyia kijicho
Kisha akaondoka Valentino akaniambia chochote niite mala moja nakuja mamdogo sawa
Nilimjibu sawa nakuamini sana mwanangu haya kalale sasa aliondoka namimi niliinuka nikafunga mlango wangu
Nilibaki na maswali mengi sana hivi huyu shemeji anamaanisha nini kuja na kuanza kunipapasa vile unajua simuelewi kabisa
Niliwaza sana kwakweli yaani sikupata majibu kisha nililala tuu
Hatimae kulikucha tena siku mpya niliamka na kujiandaa nilimsaidia na Valentino kisha tulitoka na shemeji wote kwenye gari lake
Tukiwa kwenye gari na shemeji pamoja na Valentino nilikuwa nimekaa nyuma shemeji na Valentino walikuwa wamekaa mbele
Wakati tunatembea shemeji alikuwa ananitizama kupitia kwenye kioo cha pale mbele
Nilipoinua uso tulikutana wote kwenye kioo uso kwa uso
Alinitizama na kisha aliniminyia kijicho huku akionyesha jicho furani hivi la mahaba
Nilishindwa kumuangalia niliinamisha usowangu chini nikawa naibia kumtizama kwenye kioo still alikuwa bado ananitizama kupitia kwenye kioo
Alikuwa ananitizama kwa mahaba sana tulifika shuleni kwa Valentino akashuka nasisi tuliendelea na safari
Nilikuwa natamani nishuke kwani nilikuwa namuogopa sana shemeji pia nilikuwa sina amani
Tukiwa tunaendelea na safari shemeji alilock milango ya gari akaniuliza sasha kwanini huwezi kunitizama usoni??
Niliinama na kumjibu hapana shemeji niko sawa tuu
Akaniambia nitizame usione aibu sogea unishike sasha kwani cha ajabu nini..
Nilimjibu hapana
Akaniambia sasa shida ni nini niambie
Nilimjibu wala hakuna tatizo
Aliniambia tafadhari ukiwa namimi jiachie ujue napenda sana jicho lako Sasha
Nilimjibu mmh sawa ila nilikuwa natetemeka sana
Gari ilikuwa inaenda taratibu kama inataka kusimama na vitu anavyoviongea shemeji mmmhhhh 😩
Itaendeleaaaaaa
Full 1000
WhatsApp 0742133100.