Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2

23rd Jun, 2025 Views 121

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2

Aliondoka Valentino nikabaki mimi na shemeji ndani wawili tu🙈🔥

Nilipomaliza kuandaa chakula mezani nilienda mpaka kwenye mlango wa chumba cha shemeji nakisha nilimuita

Akaitika nikamuambia shemeji chakula tayari kipo mezani

Aliitikia sawa na kuniuliza Valentino ameshaenda shuleni??

Nilimjibu ndio kaenda

Akaniambia sawa nakuja

Niliondoka nikaenda dining kumsubiri aje nimnawishe mikono niishie zangu..

Baada ya muda alikuja na kuvuta kiti alikaa na kuniambia kaa nawewe ule

Nilimjibu usijali kwa sasa niko sawa ila nitakula badae wewe endelea

Akaniambia nawezaje kula mwenyewe wakati wewe upo hebu njoo tule wote bwana..

Niliona sawa tu nilikaa na kumwagilia maji mkono akanawa kisha nilijinawisha namimi tukaanza kula

Chaajabu shemeji alikuwa muda mwingi ananitizama mimi tuu 😩

Nikimtizama anajifanya kupotezea hivyo nilikuwa simuelewi kabisa namimi nilizarau na kuachana nayo

Nilipomaliza kula nilitoa vyombo na kupeleka jikoni kisha nilitoka na kuenda chumbani kwangu kupumzika

Nikiwa nimepumzika nilihisi kunamtu alikuwa anachungulia mlangoni kwangu

Nikainuka na kutizama ila sikumuona mtu hivyo niliufunga mlango na kurudi kitandani kupumzika

Nilipumzika mpaka ilipofika saa kumi na moja niliamka na kuoga kisha nilienda jikoni kuandaa chakula cha usiku

Nilipika wali na rost ya maini kisha niliandaa juice yamatunda

Mtoto wakatihuo alikuwa tayari kaisharudi nilipika fasta nikamaliza nikamtuma mtoto akamuite baba yake chumbani aje kula..

Tulikula kwa pamoja nakisha niliondoa vyombo na baada ya hapo nilisafisha meza then nikaelekea jikoni kuosha vyombo..

Shughuli zote huwa napenda kuzifanya usiku maana asubuhi huwa ninaenda kazini..

Nilimaliza shughuli zote nikaelekea chumbani kwangu kujipumzisha muda huo wanafamilia wengine walikuwa tyr wameshalala..

Nikiwa nimelala nilihisi kunamtu ananipapasa mgongoni akawa anatelemsha mkono mpaka kwenye kiu no na kusogea maka lion

Nilishituka na kuinuka kulikuwa na giza kwa ile hofu nilianza kupiga kelele ghafla nikazibwa mdomo

Huyo mtu alinishika na kuniambia tulia acha usipige kelele Sasha nimimi shemeji yako..

Nilijikunyata ukutani huku nikitetemeka aliinuka na kuwasha taa

Wakati huo anawasha taa Valentino alikuja na kufungua mlango huku akiita mamdogo kunanini kimetokea??

Shemeji nae akajifanya tuambie utakuwa umeota ndoto mbaya sana shemeji au kuna mapepo??

Nilishindwa kujibu na kumuambia Valentino kuwa huwezi amini kulikuwa namjusi mkubwa ulinitambalia mgongoni nimeulusha huko ndio maana nilipiga kelele

Siunajua ninavo waogopa mijusi??

Shemeji akajibu basi sasa kuwa na amani kwani tumesha kuja wanaume wawili huyo mjusi tutamponda ponda

Valentino nae alijibu kweli mamdogo kuwa na amani sasa lala ila usizime taa ili asije tena

Nilimjibu sawa mwanangu ngoja sasa nilale mnaweza kwenda nisameheni kwa kuwakatisha usingizi wenu

Shemeji alijibu hapana usiogope sawa shemeji yangu kisha alinitizama na kunibinyia kijicho

Kisha akaondoka Valentino akaniambia chochote niite mala moja nakuja mamdogo sawa

Nilimjibu sawa nakuamini sana mwanangu haya kalale sasa aliondoka namimi niliinuka nikafunga mlango wangu

Nilibaki na maswali mengi sana hivi huyu shemeji anamaanisha nini kuja na kuanza kunipapasa vile unajua simuelewi kabisa

Niliwaza sana kwakweli yaani sikupata majibu kisha nililala tuu

Hatimae kulikucha tena siku mpya niliamka na kujiandaa nilimsaidia na Valentino kisha tulitoka na shemeji wote kwenye gari lake

Tukiwa kwenye gari na shemeji pamoja na Valentino nilikuwa nimekaa nyuma shemeji na Valentino walikuwa wamekaa mbele

Wakati tunatembea shemeji alikuwa ananitizama kupitia kwenye kioo cha pale mbele

Nilipoinua uso tulikutana wote kwenye kioo uso kwa uso

Alinitizama na kisha aliniminyia kijicho huku akionyesha jicho furani hivi la mahaba

Nilishindwa kumuangalia niliinamisha usowangu chini nikawa naibia kumtizama kwenye kioo still alikuwa bado ananitizama kupitia kwenye kioo

Alikuwa ananitizama kwa mahaba sana tulifika shuleni kwa Valentino akashuka nasisi tuliendelea na safari

Nilikuwa natamani nishuke kwani nilikuwa namuogopa sana shemeji pia nilikuwa sina amani

Tukiwa tunaendelea na safari shemeji alilock milango ya gari akaniuliza sasha kwanini huwezi kunitizama usoni??

Niliinama na kumjibu hapana shemeji niko sawa tuu

Akaniambia nitizame usione aibu sogea unishike sasha kwani cha ajabu nini..

Nilimjibu hapana

Akaniambia sasa shida ni nini niambie

Nilimjibu wala hakuna tatizo

Aliniambia tafadhari ukiwa namimi jiachie ujue napenda sana jicho lako Sasha

Nilimjibu mmh sawa ila nilikuwa natetemeka sana

Gari ilikuwa inaenda taratibu kama inataka kusimama na vitu anavyoviongea shemeji mmmhhhh 😩

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2  >>> https://gonga94.com/semajambo/shemu-wangu-mtamuu-2
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 34

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA 33

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_32

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA_31

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _26 & 27

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_25

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA_24

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_23

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_22

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _20 & 21

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_18 & 19

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _16 & 17

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA 14 & 15

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 13

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 12

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 11

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 10

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 9

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 8

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 07.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 06.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 05.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 04.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 03.

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈19

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 38

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 37

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 36

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest