Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
Gonga94 · Stories

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Tulikaribia ofisini kwetu nilimwambia shemeji nishushe hapa hapa nitatembea

Shemeji aliniambia Sasha naomba jioni ya leo kuzungumza nawewe

Nilimuitikia sawa haya naomba nitolee lock ya mlango nishuke

Shemeji alinitolea lock na kisha akaniambia kazi njema kuwa makini

Nilimuitikia asante nawewe pia kisha nilitoka na kufunga mlango nilianza kutembea pembeni mwa barabara

Akawa anaendesha gari taratibu akiwa sambamba na mimi akaniambia nitakutumia pesa ya kula mchana

Nilimjibu sawa ila nilishindwa kumuelewa kwakweli alikuwa kama sio shemeji yule niliemzoea

Aliniaga kisha aliongeza spidi na kuondoka zake namimi nilikuwa bado natembea huku nikijiuliza

Hakika ameshakuwa waajabu sana sijui nini hiki nikimwambia dada jee atanielewa ila mmmh

Niligunatuu nilikuwa tayari nimefika ofisini kwetu niliingia na kuanza kufanya kazi zangu

Nikiwa hapo nafanya kazi nilihisi simu imeingia msg

Nikaifungua kutizama ilikuwa ni msg ya hela ilikuwa ni shilingi laki moja na nusu

Nilibaki nashangaa mbona laki na nusu zanini zote hizi niliona nimpigie simu nilimpigia shemeji

Kisha alipokea na kuniuliza umepokea mzigo wako

Nilimjibu nimeupata ila mbona hela nyingi hivi yanini nyingine

Alinijibu wewe ni binti utakua unamahitaji yako yamuhimu utanunua

Nilimuambia hapana shemeji sina uhitaji wapesa mimi kwani nina mshahara wangu mwenyewe tafadhari sihitaji hii pesa nairudisha

Shemeji alijibu usiwe hivyo Sasha tumia hiyo hela kwani kunaubaya gani shemeji yako nikikuhudumia

Nilijibu sawa lakini sio kwa sasa tafadhari shemeji naomba uache hiyo tabia

Nakisha niliikatasimu na kuelekea washing room maana nilikuwa najiuliza mengi sana nakosa majibu

Niliirudisha hela yoote kwa shemeji haraka sana kwani niliona sasa shemeji ni kama anataka kuvuka mipaka yake

Na nilipoirudisha niliizima simu yangu na kujiambia kuwa hivi huu ujinga kweli dadaangu akiujua itakuwaje

Na jee taarifa zitakapo wafikia ndugu mjomba na shangazi kuwa mimi nimevuruga ndoa ya binti yao watanielewaje

Watanichukia sana hapana hapanaa sitaki napenda amani muda wote hivyo sitomuambia dada na nitajitahidi kukaa mbali na shemeji ili kujiepusha na haya matatizo

Nilinawa uso nakisha nikajifuta nikaludi kwenye meza yangu yakazi nikaendelea na kazi zangu

Muda wa chakula cha mchana ulipofika nilikuwa sina pesa hata ya chakula sikuhiyo hivyo niliamua kukaa na kuendelea na kazi zangu

Lakini cha ajabu nililetewa chakula na kuambiwa hii nioda yako

Niliuliza nani kanipa yule alieniletea akajibu mimi nimeagizwa tuu na bosi

Niliposikia nioda kutoka kwa bosi nilivuta pumzi na kusema asante mungu kama nibosi wacha nile maana namjua bosi wangu

Nimtu mwenye huruma sana na anaupendo na wafanyakazi wake hivyo nilinawa na kuanza kula chakula

Baada ya chakula niliendelea na majukumu yangu ya kiofisi hadi muda wa kutoka ulifika tulitoka nilielekea kupanda daladala na kuondoka hadi nyumbani

Nilipofika nilimkuta Valentino alikuwa tayari kaludi niliingia ndani na kwenda kuoga kisha nilibadili nguo na kutoka nikaenda jikoni kuandaa mapishi

Valentino aliposikia nimeingia jikoni alikuja na kunisalimia kisha aliniuliza vipi mama atakuja lini naona siku zinaenda

Nilicheka na kumtania mtoto wa mama huyo umemkumbuka kudeka kwa mama sindio eeh

Valentino alinijibu hamna mamdogo bwana mimi nimemzoea tuu bwana mama naona kama akikaa mbali muda nahisi upweke

Nilicheka tena na kumuambia kwani mimi hunipendi mpaka umkumbuke yeye tuu mimi pia nimamaako tena ninae kupenda sana

Valentino alijibu haya basi mamdogo nakupenda pia nakupenda sana

Nikamuambia ok sawa haya utakula nini leo mwanangu kipenzi

Valentino akajibu unajua mamdogo napenda vitu gani wewe fanya mpango wakueleweka

Nilicheka kisha nikamuambia sawa nenda nisubilie nitakuita uje ule sawa kipenzi

Valentino alijibu ok sawa nipo chumbani kwangu najisomea tuu

Niliendelea na kuandaa andaa chakupika jioni hiyo wakatihuo naanda andaa nilisikia gari inaingia katika geti

Nilitoka na kwenda kutizama ninani karudi kutizama lilikuwa ni gari la shemeji nililudi zangu jikoni na kuendelea na mapishi yangu

Shemeji alipaki gari na kisha akashuka na kuja ndani alikuja moja kwa moja jikoni nilipokuwa mimi

Akaniita Sasha

Niliitikia naam shemeji

Akaniuliza umeshindaje na kazi

Nilimjibu salama

Akaniuliza jee ulikula chakula chako

Nikamuuliza chakula gani hicho

Alijibu hukuletewa leo mchana chakula

Nilijibu ndio nililetewa ila sio chakula kutoka kwako kimetoka kwa bosi wangu

Shemeji alitabasam nakisha akaniambia nilimuagiza mimi akuletee

Niliposikia nilielewa na kumuambia kwanini lakini huelewi shemeji

Alinijibu nataka utambue kuwa mimi nakupenda tena sana tuu kuliko unavyo dhania

Na nakuahidi penzi hili hakuna wakulizima nakupenda mno naomba sana kuwa wangu utafurahia

Shemeji alielekea chumbani kwake na kwenda kuoga

Nilitoka na kwenda zangu jikoni kuendelea kupika chakula

Nilimaliza kupika na kuandaa mezani kisha nilienda kumuambia Valentino aje kula nilimuambia aende kumuita na babaake

Tulikaa na kula chakula cha jioni pamoja na baada ya chakula niliweka sawa meza na kusafisha vyombo na jiko

Nilipomaliza nilienda kumtakia usiku mwema Valentino kisha nilienda chumbani kwangu kulala

Shemeji alikuwa bado kabaki sebreni pekeake hivyo alinitumia msg kwenye sim na kuniambia Sasha naomba njoo sebreni tuongee au nije huko chumbani??

Utamu utamuuuuuuuuuuu😋💋😍😋💞😘🫦

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Tulikaribia ofisini kwetu nilimwambia shemeji nishushe hapa hapa nitatembea

Shemeji aliniambia Sasha naomba jioni ya leo kuzungumza nawewe

Nilimuitikia sawa haya naomba nitolee lock ya mlango nishuke

Shemeji alinitolea lock na kisha akaniambia kazi njema kuwa makini

Nilimuitikia asante nawewe pia kisha nilitoka na kufunga mlango nilianza kutembea pembeni mwa barabara

Akawa anaendesha gari taratibu akiwa sambamba na mimi akaniambia nitakutumia pesa ya kula mchana

Nilimjibu sawa ila nilishindwa kumuelewa kwakweli alikuwa kama sio shemeji yule niliemzoea

Aliniaga kisha aliongeza spidi na kuondoka zake namimi nilikuwa bado natembea huku nikijiuliza

Hakika ameshakuwa waajabu sana sijui nini hiki nikimwambia dada...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shemu-wangu-mtamuu-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shemu-wangu-mtamuu
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8  Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8 Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

664
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

626
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

587
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

535
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

510
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

385
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

119
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest