Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8  Shem Alex alipoingi
Gonga94 · Stories

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8 Shem Alex alipoingi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
a tuu chumbani alikuta dada kaenda chooni akaanza kupatwa na wasi wasi kuwa huyu atakuwa kaenda kunitafuta nini

Aliita kwa wasiwasi ndipo dada aliitikia nipo chooni kisha alitoka na kumuuliza

Vipi umeogopa ulijua nimeenda wapi kwani

Mimi pia nilipoamka nilijiuliza umeenda wapi ila nilijua tuu umeenda kunywa maji duh nilipumua baada ya kusikia hivo lakini mmmhhh itabidi tuwe makini humu ndani..

Basi ilibidi nielekee chooni maana nilibanwa na mkojo wa ghafla

Shem alivuta pumzi baada ya dada kumwambia vile kisha akamshika mkono dada na kumkumbatia akamuambia uliniogopesha kweli haya tulale

Walipanda kitandani wakalala dada alihisi kumuhitaji shemeji kwa muda huo hivyo alianza kumuandaa lakini it's too late tyr nishakula chakula chake haikuwa na nguvu tena..

Shem Alex alikuwa hoi hivyo alimwambia dada usihofu mke wangu nitakupa asubuhi kwasasa tupumzike ninauchovu sana siunajua jana nimepiga sana kazi ofisini

Dada alimuelewa akamjibu ok sawa walilala hadi palipokucha asubuhi

Dada Alipokuja jikoni alinikuta tayari nimesha andaa chai na naenda kuiandaa mezani

Akabaki kushangaa tuu

Nilimsalimia kisha nikamuambia nimeona nikusaidie dada unachoka sana ujue

Alijibu asante ila usijali lakini kilakitu kimesha andaliwa sio

Nilimjibu ndio tayari wewe muite tuu shemeji na Valentino

Dada aliondoka kisha nilitabasam kwa mbali nikisema leo nimekuwahi lazima Shem ale chakula nilichokipika mimi sio wewe..

Baada ya muda niliwaona wanatoka wote dada akiwa anajidekesha kamuegemea shemeji begani kwake mxiiuu nilichukia

Nilijikuta naona wivu huwezi amini niliumia sana kisha nilitoka haraka kwenda washing room nikafunguria maji kwenye sink huku nikijituliza na kujiambia

Tulia sasha tulia hutakiwi kuwa hivi hapana hapana tulizana

Nilijituliza kisha nilitoka nikavaa kujiandaa kabisa maana nilipokuwa naandaa chai sikuwa nimevaa nguo za kwendea kazini nilikuwa na nguo ya kulalia tuu

Nlimaliza nikatoka kwenda mezani dada akaniuliza vipi mbona uliondoka vile mbio hadi tuliogopa

Nilijibu nilikumbuka kunakazi zangu za kazini hivyo napaswa kuwahi kwenda ndio nikaenda kuvaa haraka

Shemeji Alex akaniambia kaa kwanza ule nitakuwahisha sawa

Nilijibu msijali kuleni tuu mimi niacheni niwahi kuweni na amani tuu jamani

Valentino alinishika mkono na kuniambia basi mamdogo utakula huko ofisini kwako sasa

Nilimjibu asante mwanangu nilichukuwa soseji mbili na chapati moja kisha niliweka na yai la kukaanga nikaondoka

Niliondoka nika waacha lakini shemeji alikuwa hajapenda hivyo hakuonyesha ila alichukia kwanini nimeondoka hivyo

Alikaa na kuanza kupata kifungua kinywa kisha walipo maliza Alex alimchukua Valentino na kuingia kwenye gali kuondoka

Namimi nilikuwa tayari nimefika kazini nipo bize na shuguri zangu

Shem alimshusha Valentino shuleni kisha alikuja moja kwa moja ofisini kwangu akapaki gari na kuja hadi ofisini

Alikuja kunishika mkono na kunivuta alinitoa hadi alipopaki gari

Akaniambia mbona umekuwa hivi kwanini lakini

Nilimjibu nashindwa kujizuia nashindwa kujizuia Alex nikamfuata na kumkumbatia huku nalia

Alex alikuja na hasira lakini alijikuta anaishiwa pozi akanikumbatia tuu huku akinituliza basi basii najua wewe bado nimdogo ninakupa majaribu sana

Nilimjibu nasikia wivu sana hadi nashindwa kujizuia kwani nakpnda sana mwenzio Alex

Shemeji Alex alinionea huruma na kuniambia ok basi sawa jitulize kwanza acha kulia tulia na omba tuongee baadae tukitoka kazini sawa

Nilimjibu sawa ila sitamani kuwa karibu tena na dada kukuona upo nae naumia mno

Shemeji alinijibu basi basii tulia kwanza niachie mimi hilo nalifikilia sawa

Nilimjibu ok sawa

Kisha Alex alinishika usoni na kuni😘 huku akiniambia machozi yako yana thamani sana kwangu usiyaangushe hivii sawa mamy

Nilimjibu sawa

Kisha akaniafuta vizuri na henka chifu yake na kuniruhusu niludi ofisini nilipokuwa naenda ofisini aliniambia nakpnda sana

Nilimjibu nakupenda pia

Kisha niliingia ofisini kwangu naye aliondoka zake ofisini kwake

Tulifanya kazi hadi muda wa kutoka ulipofika Alex kama kawaida yake alikuja na kunichukua tulienda sehem ya ufukweni ndio sehem kuu yetu ya kufanyia mazungumzo

Hatukutaka kukutana na watu wanaotujua au wanao mjua dada ndio maana tulipenda kwenda ufukweni sehemu ya pekeetu

Tulishuka kwenye gari na kusongea karibu na maji Alex alinivuta mkono na kuniweka kif wani kwake kisha aliniambia

Sasha unataka nifanye nini ili uwe na amani niambie nitafanya chochote kile unataka

Nilimjibu kiukweli Alex mimi nataka kuwa acha na nyumba yenu nikae mbali kabisa sitaki kutafuta matatizo maana nakosa uvumilivu hata kidogo

Shem Alex alijibu nikutafutie nyumba

Nilimjibu ndio nitafutie nyumba siwezi mimi Alex

Alex aliniambia usijali limeisha hilo nitafanya hivyo weekend ijayo sawa

Nilimjibu sawa asante

Aliniambia hujui tuu unapokuwa huna raha naokosa raha marangapi mimi yaani naumia mnoo sasha

Aliendelea kuniambia sitaki uumie hata kidogo niambie chochote mimi nitafanya kwaajili yako tuu kwani nakupenda sana

Nilimkumbatia na kumuambia hakika kikubwa nakutaka wewetuu na kukupata uwe wangu pekeangu ningumu sana sijui nitafanyaje

Basi nikakae mbali na dada ili nisije nikasababisha hatari

Nakupenda sana kuliko unavyofikilia naumia muda mwingine najutia kuonja pnz hili maana limeniingiza kwenye mateso sasa namuonea wivu dadaangu mwenye mali yake halali

Shemeji Alex alinishika kichwa na kukiinua kisha akaniambia hunakosa mimi ndio nastahili kulaumiwa kwani nimekpnda sana

Na sio mimi nimoyo moyo ukipenda unapenda hauchagui wapi pakutua popote tuu iwe porini au mjini

Iwe kwa mkubwa au mtoto mapnz hayaeleweki wala hayachagui

Wewe amini tayari nimesha tua kwako nawewe umenipokea tujue tutalienzi vipi hili pnz

Nilimjibu sawa basi hembu tuludi nyumbani sasa maana sitaki dada ashitukie chochote

Shem alijibu hakika mpnz wangu tulinaniliu kidogo pale na kisha tulishikana mikono na kuingia ndani ya gari tayari kwa kuondoka

Tuliianza safari ya kurudi nyumbani baada ya muda mfupi tulifika nyumbani kisha tulishuka

Tukawa tunaingia ndani alikuja dada na kumpokea shemeji alimkumbatia kisha akampokea begi lake

Nilimsalimia na kwenda moja kwa moja chumbani kwangu nikaingia na kuvua nguo kisha nilienda bafuni kuoga

Dada alimpokea shemeji na kwenda chumbani kwao

Nikiwa chumbani kwangu navaa nguo ghafla nilisikia sauti za kufokeana chumbani kwa dada na shemeji 😳😳mungu wangu kimenuka...

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8 Shem Alex alipoingi

a tuu chumbani alikuta dada kaenda chooni akaanza kupatwa na wasi wasi kuwa huyu atakuwa kaenda kunitafuta nini

Aliita kwa wasiwasi ndipo dada aliitikia nipo chooni kisha alitoka na kumuuliza

Vipi umeogopa ulijua nimeenda wapi kwani

Mimi pia nilipoamka nilijiuliza umeenda wapi ila nilijua tuu umeenda kunywa maji duh nilipumua baada ya kusikia hivo lakini mmmhhh itabidi tuwe makini humu ndani..

Basi ilibidi nielekee chooni maana nilibanwa na mkojo wa ghafla

Shem alivuta pumzi baada ya dada kumwambia vile kisha akamshika mkono dada na kumkumbatia akamuambia uliniogopesha kweli haya tulale

Walipanda kitandani wakalala dada alihisi kumuhitaji shemeji kwa muda huo hivyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shemu-wangu-mtamuu-8-shem-alex-alipoingi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shemu-wangu-mtamuu
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

1.05K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

645
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

608
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

574
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

526
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

353
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

331
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

117
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

98
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

7

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest