Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1

23rd Jun, 2025 Views 17

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1

wakati najiandaa kwenda sokoni nikiwa chumbani nabadili nguo nilikuwa sijajua kama mlango wa chumbani kwangu ulikuwa umejifungua

Nilikuwa na pich tuu nilivua zote siunajua tena mtu ukiwa chumbani kwako unakuwa huru

Navile ninakaumbo furani hivii kauchokozi chch konzi kijishpu mashallah

Nilikuwa nimeu mbika kiukweli na karangi mungu kanijalia

Kumbe wakati nabadili nguo nilikuwa nimejisahau mlango nilijua nimeubana kumbe sikuwa nimeubana

Wakati huo shemeji alikuwa anatoka chumbani kwake anaenda sebreni alipita mlangoni kwangu aligeuka na kunitizama

Alivutiwa sana na mimi hivyo alijikuta anaganda karibu na mlango

Nilikuwa nimempa mgongo hivyo sikujua kama kunamtu alikuwa ananitizama

Nilipo geuka niliona kama kunamtu kapita lakini nilihisi ni shemeji maana alikuwa yeye na Valentino na Valentino wangu alikuwa anajisomea chumbani kwake

Shemeji alipoona nimegeuka na vile nilisha muona aliamua kwenda sebreni

Na kujifanya kama hakuna kitu kilichotokea yaani ni kama hakuwa ameona kitu kabisaa

Nilipomaliza kuvaa tuu nikatoka na kupita sebreni nilivaa kigauni changu cha mpila kifupi kinacho nichonga shepyangu nilipomuona shemeji nilimsalimia kisha niliondoka

Alinitizama sana ila sikumuelewa kwanini kwani huwa sina mazoea nae kifupi huwa namuogopa na kumuheshimu yeye ni mkubwa kidogo

Nilienda kufanya manunuzi ya vitu vya jikoni kisha nililudi na kuanza kuvipanga kwenye frig

Dadaangu wakati huwo hayupo nyumbani yeye nimfanya biashara mara nyingi huwa anasafili kibiashara

Na hupenda kunikabizi majukumu yoote ya nyumbani pamoja nakuwa namajukumu ya nyumba pia nafanya kazi za ofisini

Nilimaliza kupanga vitu kwenye frij na kisha kuweka kwenye makontena nafaka nilihakikisha kila kitu kipo mahali pake ndipo nilielekea chumbani kwangu

Wakati mimi nipo chumbani shemeji aliinuka na kutoka nje

Nilibadili nguo tena huwa napenda kushinda na dera nyumbani huwa najiona na kuwa huru sibanwi banwi nilipo maliza nilitoka na kuelekea jikoni

Nikiwa napika nilisikia simu yangu inaita nikaichukua na kuitazama alikuwa dada nikaipokea

Niliitikia haloo dada

Alijibu haloo hujambo

Nilijibu sijambo sijui wewe huko

Alijibu mimi sijambo kabisa vipi wazima wote

Nilimjibu wote huku tuwazima kabisaa

Aliniuliza vipi shemeji yako yupo nyumbani

Nilimjibu hata sijui nilipotoka sokoni nilimuona sebreni mimi baada ya kumaliza kupanga vitu jikoni nilienda zangu chumbani

Nakuja kutoka sijamuona sijui atakuwa chumbani kwake au nje sijui au mpigie kwenye simu yake

Alijibu ok usijali nitamtafuta Valentino je

Nilimjibu alikuwa chumbani kwakenilikuwa namalizia kupika ili nikamuamshe aje kula

Dada akaniambia basi sawa ila leo si utakuwepo tuu nyumbni

Nilimjibu leo siondoki nisiku yangu yamapumziko hivyo nitakuwepo tuu nyumbani dada

dada alijibu vizuri haya nitakupigia baadae sawa

Nilimjibu ok sawa kisha tulikata sim

Nilimalizia kupika chakula na kwenda chumbani kwa mtoto wa dada alikuwa kakaa kwenye meza yake anajisomea

Nilipoingia nilimwambia hakika wewe ni msomi haswaa hujaoga umeamkia vitabu tuu mwanangu

Alinisalimia na kisha alijibu mamdogo leo naenda kwenye dibeit hivyo najiandaa nikifika hapo niwe na poit kibao

Kisha tulicheka kwa pamoja nikamuambia nakuaminia wewe utawanyoosha wewe ndio kiboko yao

Alicheka na kisha akanikumbatia na kuniambia asante mamdogo

Nilimjibu karibu kipenzi changu alafu nikamuambia nenda uoge kisha uje nimepika kitu kitamu sana unachopendaga

Alifurahi na kuniambia ndio maana nakupendaga sana unanijulia mamdogo haya naenda bafuni sasa nakuja sio muda

Nilitabasam na kisha niliondoka na yeye alikuwa tayari kaenda bafuni kwake

Baada ya muda nikiwa chumbani kwangu nilimsikia Valentino akiniita mamdogo nipo tayari sasa

Niliinuka na kwenda kumuandalia chakula huwa anapenda sana makange ya nyama ya ng'ombe na ndizi za kukaanga

Alipoona alifurahi sana na kukaa kuanza kula nilimuacha na kwenda kumalizia kazi zangu jikoni

Nilikuwa nasafisha vyombo na kupanga panga vitu sawa

Nilimaliza kila kitu nikaenda zangu chumbani kwangu kuweka sawa maana muda ulikuwa umeenda

Wakati niko chumbani mara nilisikia gari inaingia kwenye geti nikachungulia niliona ilikuwa nigari ya shemeji

Hivyo niliona nitoke ilinikampokee nilienda hadi mpaka nje nikampokea mfuko huku nikimsalimia

Shemeji aliitikia na kisha aliingia ndani alielekea chumbani kwake

Nikauweka ule mfuko alikuwa kaleta maziwa yaani yogati kisha nilielekea sebreni sikumuona nikamuita Valentino na kumuagiza

Nenda chumbani kwa baba umuulize kuwa nimuandalie chakula atakula

Valentino alienda na kisha aliludi na kuniambia kasema muandalie kwani ananjaa sana

Nilimuitikia sawa kisha nilienda jikoni kuanza kuandaa chakula cha shemeji

Valentino alitoka na kunikuta naandaa mezani chakula akaniambia kuwa yeye anaenda kwenye dibeit atarudi baadae

Nilimuambia ok sawa mwambie tuu dereva atakupeleka kipenzi changu

Aliondoka Valentino nikabaki mimi na shemeji ndani wawili tu nyieeeee🫦🔥🔥

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1  >>> https://gonga94.com/semajambo/shemu-wangu-mtamuu-1
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 34

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA 33

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_32

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA_31

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _26 & 27

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_25

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA_24

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_23

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_22

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _20 & 21

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA_18 & 19

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA _16 & 17

majario rewards 100 Comments 0
 

SAKINA 14 & 15

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 13

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 12

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 11

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 10

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 9

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 8

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 07.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 06.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 05.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 04.

majario rewards 100 Comments 0
 

TAMU YA SAKINA 03.

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈19

majario rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 38

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈18

majario rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH 💋🙈16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈15

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NIPE YOTE DADY 34

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈14

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈13

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DAAAAAAAH💋🙈10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

TUWASHUKURU KINA BABA

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MARIA Sehemu ya 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 37

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA sehemu ya 36

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest