SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
wakati najiandaa kwenda sokoni nikiwa chumbani nabadili nguo nilikuwa sijajua kama mlango wa chumbani kwangu ulikuwa umejifungua
Nilikuwa na pich tuu nilivua zote siunajua tena mtu ukiwa chumbani kwako unakuwa huru
Navile ninakaumbo furani hivii kauchokozi chch konzi kijishpu mashallah
Nilikuwa nimeu mbika kiukweli na karangi mungu kanijalia
Kumbe wakati nabadili nguo nilikuwa nimejisahau mlango nilijua nimeubana kumbe sikuwa nimeubana
Wakati huo shemeji alikuwa anatoka chumbani kwake anaenda sebreni alipita mlangoni kwangu aligeuka na kunitizama
Alivutiwa sana na mimi hivyo alijikuta anaganda karibu na mlango
Nilikuwa nimempa mgongo hivyo sikujua kama kunamtu alikuwa ananitizama
Nilipo geuka niliona kama kunamtu kapita lakini nilihisi ni shemeji maana alikuwa yeye na Valentino na Valentino wangu alikuwa anajisomea chumbani kwake
Shemeji alipoona nimegeuka na vile nilisha muona aliamua kwenda sebreni
Na kujifanya kama hakuna kitu kilichotokea yaani ni kama hakuwa ameona kitu kabisaa
Nilipomaliza kuvaa tuu nikatoka na kupita sebreni nilivaa kigauni changu cha mpila kifupi kinacho nichonga shepyangu nilipomuona shemeji nilimsalimia kisha niliondoka
Alinitizama sana ila sikumuelewa kwanini kwani huwa sina mazoea nae kifupi huwa namuogopa na kumuheshimu yeye ni mkubwa kidogo
Nilienda kufanya manunuzi ya vitu vya jikoni kisha nililudi na kuanza kuvipanga kwenye frig
Dadaangu wakati huwo hayupo nyumbani yeye nimfanya biashara mara nyingi huwa anasafili kibiashara
Na hupenda kunikabizi majukumu yoote ya nyumbani pamoja nakuwa namajukumu ya nyumba pia nafanya kazi za ofisini
Nilimaliza kupanga vitu kwenye frij na kisha kuweka kwenye makontena nafaka nilihakikisha kila kitu kipo mahali pake ndipo nilielekea chumbani kwangu
Wakati mimi nipo chumbani shemeji aliinuka na kutoka nje
Nilibadili nguo tena huwa napenda kushinda na dera nyumbani huwa najiona na kuwa huru sibanwi banwi nilipo maliza nilitoka na kuelekea jikoni
Nikiwa napika nilisikia simu yangu inaita nikaichukua na kuitazama alikuwa dada nikaipokea
Niliitikia haloo dada
Alijibu haloo hujambo
Nilijibu sijambo sijui wewe huko
Alijibu mimi sijambo kabisa vipi wazima wote
Nilimjibu wote huku tuwazima kabisaa
Aliniuliza vipi shemeji yako yupo nyumbani
Nilimjibu hata sijui nilipotoka sokoni nilimuona sebreni mimi baada ya kumaliza kupanga vitu jikoni nilienda zangu chumbani
Nakuja kutoka sijamuona sijui atakuwa chumbani kwake au nje sijui au mpigie kwenye simu yake
Alijibu ok usijali nitamtafuta Valentino je
Nilimjibu alikuwa chumbani kwakenilikuwa namalizia kupika ili nikamuamshe aje kula
Dada akaniambia basi sawa ila leo si utakuwepo tuu nyumbni
Nilimjibu leo siondoki nisiku yangu yamapumziko hivyo nitakuwepo tuu nyumbani dada
dada alijibu vizuri haya nitakupigia baadae sawa
Nilimjibu ok sawa kisha tulikata sim
Nilimalizia kupika chakula na kwenda chumbani kwa mtoto wa dada alikuwa kakaa kwenye meza yake anajisomea
Nilipoingia nilimwambia hakika wewe ni msomi haswaa hujaoga umeamkia vitabu tuu mwanangu
Alinisalimia na kisha alijibu mamdogo leo naenda kwenye dibeit hivyo najiandaa nikifika hapo niwe na poit kibao
Kisha tulicheka kwa pamoja nikamuambia nakuaminia wewe utawanyoosha wewe ndio kiboko yao
Alicheka na kisha akanikumbatia na kuniambia asante mamdogo
Nilimjibu karibu kipenzi changu alafu nikamuambia nenda uoge kisha uje nimepika kitu kitamu sana unachopendaga
Alifurahi na kuniambia ndio maana nakupendaga sana unanijulia mamdogo haya naenda bafuni sasa nakuja sio muda
Nilitabasam na kisha niliondoka na yeye alikuwa tayari kaenda bafuni kwake
Baada ya muda nikiwa chumbani kwangu nilimsikia Valentino akiniita mamdogo nipo tayari sasa
Niliinuka na kwenda kumuandalia chakula huwa anapenda sana makange ya nyama ya ng'ombe na ndizi za kukaanga
Alipoona alifurahi sana na kukaa kuanza kula nilimuacha na kwenda kumalizia kazi zangu jikoni
Nilikuwa nasafisha vyombo na kupanga panga vitu sawa
Nilimaliza kila kitu nikaenda zangu chumbani kwangu kuweka sawa maana muda ulikuwa umeenda
Wakati niko chumbani mara nilisikia gari inaingia kwenye geti nikachungulia niliona ilikuwa nigari ya shemeji
Hivyo niliona nitoke ilinikampokee nilienda hadi mpaka nje nikampokea mfuko huku nikimsalimia
Shemeji aliitikia na kisha aliingia ndani alielekea chumbani kwake
Nikauweka ule mfuko alikuwa kaleta maziwa yaani yogati kisha nilielekea sebreni sikumuona nikamuita Valentino na kumuagiza
Nenda chumbani kwa baba umuulize kuwa nimuandalie chakula atakula
Valentino alienda na kisha aliludi na kuniambia kasema muandalie kwani ananjaa sana
Nilimuitikia sawa kisha nilienda jikoni kuanza kuandaa chakula cha shemeji
Valentino alitoka na kunikuta naandaa mezani chakula akaniambia kuwa yeye anaenda kwenye dibeit atarudi baadae
Nilimuambia ok sawa mwambie tuu dereva atakupeleka kipenzi changu
Aliondoka Valentino nikabaki mimi na shemeji ndani wawili tu nyieeeee🫦🔥🔥
Itaendeleaaaaaa
Full 1000
WhatsApp 0742133100.