Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
Gonga94 ยท Stories

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 8.

I was trending everywhere ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, kumbe kulikuwa na wanahabari hapo town๐Ÿ˜ญ. Nilijitazama venye Brianna alikuwa ananiomba msamaha watu wakituwatch๐Ÿ˜ญ. Kabla hata mam hajasema kitu. Kamau alinikol.

Him: Bro hii ni blunder gan tena man๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Kwa street na Brianna mlikuwa mnafanya nini sasa,, si ilikuwa uende kwao๐Ÿค”๐Ÿค”. I just pray and hope principal hajaona hii taarifa bro๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

I started feeling likes everything was falling apart๐Ÿ˜ญ, nikiimgn how our principal was tough and harsh when it comes to disciplining ๐Ÿ˜ญ. That man can even expell you from his school just because you came late๐Ÿ˜ช, I knew he wouldn't give us time to explain ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

"Wee nimekuuliza kama unataka kuniua๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช, wewe ni mtoto mzuri mwenye kila mara napata ripoti nzuri nzuri kutoka kwa wanaokujua, ilikuwaje ukajiingiza kwa mambo ambayo hayawezi kukuongezea chochote kwa masomo๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, wewe ndiye taa yangu kwa sasa,,, nan anakuharibu Sky??" Mam aliuliza

Nilibaki kama nadondokwa na chozi nisijue nini cha kumjibu mamangu,,, lakn yeye kutokana na upendo aliokuwa nao kwangu, she just gave some words of advice, hakuna kitu huuma kama kuona mama akitoa machozi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Should I put Brianna aside ๐Ÿค”๐Ÿค”, my mam is my priority, I don't think if I would allow LOVE to destroy my mom's happiness ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

I was served supper,, hata hiyo day sikusoma wala kuwatch,, my mind was just thinking about how it would be at school ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

After looking into the issue well, niliona ni vyema mm na Brianna tukae kando kwanza,,, we were only in form two,, nilikuwa nikimkol kila usku saa nne after kusoma๐Ÿ™๐Ÿ™. That day niliassume tu๐Ÿ™†๐Ÿ™†, 10:30pm I received a please Call me message from her๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

At that point alikuwa out of my mind kabisa,, what I was thinking is how I would get out of the mess I caused๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Ilibidi nikadelete number yake kisha nikamblock.. it wasn't easy for me๐Ÿ˜ญ. I loved Brianna so much,, but for the sake of my mom's happiness ๐Ÿ™๐Ÿ™, I had no other option ๐Ÿ˜ญ.

At 11pm, new number ikakol๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Who could be that??

VOICE: Hello Beb,,, mbna umeniblock๐Ÿ˜ญ. Sina gredo nikol ni p.....

I hanged up even before she finished talking,,, nikiimgn kukaa mbali na huyo mtoto, my mind could go crazy ๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

Finally week ya kufungua shule iliwadia,,, hiyo siku asubuhi ndo niligundua hata sikuwa nmefanya assignment nilopewa na mode wa maths ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Who's our math teacher,,, guess ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. The principal.. sijawahi fikiria kuwacha shule but that day sijui hizo fikra zilitokea wap๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

Anyway, mamangu hangeniruhusu nikae home tena๐Ÿ™๐Ÿ™, nilifika chuo mapema kuliko borders wengine,,, coincidentally I found kumbe hata Brianna pia alifika mapemaโœŒ๏ธโœŒ๏ธ.

Her: Beb, why did you choose to block me??

Me: Am really sorry please. But just call me Sky From today ๐Ÿ˜ญ.

Her: What is it ak.. have I wronged you again??

Me: Nooh not at all,,, but please, just go to where you sit,,,

Her: Beeb??, come on dear,, we need to talk, what is all this about ๐Ÿ˜ญ. We need to discuss something,, ama wewe umejuwa venye utamjibu Prinz koz alimkol siz and am telling you ๐Ÿ˜ญ, walichoma hata zaidi๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

Me: What are we gonna do now๐Ÿค”๐Ÿค” . Am so scared, huyu teacher anaweza tupea ex๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Her: Okay I got an idea, wewe tukifika huko niwache niongee kila kitu,,, then utajua venye utaingiza uongo yako sawaโœŒ๏ธโœŒ๏ธ.

That day mkuu hakutokea๐Ÿคฉ, so we got enough time tym to plan everything ๐Ÿ™๐Ÿ™. Kamau pia alikuja the following day,,,

BRIANNA: Beb, I will say Kuna rafiki yangu anafanya harusi, so alikuwa ameniambia niende niact kamovie ka Love kwa wedding yake, so nikakuita wewe.. kwa hiyo chenye aliona tukifanya kwa street ilikuwa practice tuโœŒ๏ธโœŒ๏ธ.

Me: Wow Miss planner, I think that will work . Then please,, tukitoka kwa hii ngori, kila mtu akae kivyake kwanza๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. I still love you but hiyo ni ya baadae ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

Her: Lakn mbna umechange haraka ivo Beb.. watu hukaa chini wakaongea mambo๐Ÿ˜ญ. Why?? Ama wewe uko tu sawa ukikaa mbali na mm๐Ÿ˜ญ

Me: Brianna you won't understand ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Am also feeling the same, but my mom's happiness comes first ๐Ÿ™. Haven't seen her crying before ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Please dear,, you have to stay away from me

Her: Just like that,,, so we're breaking up ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Me: You are getting everything wrong dear... I love you but at this time, our education first ๐Ÿ’–๐Ÿ’–. Kwanza nisaidie assignment yako ya math nicopy๐Ÿ™.

HER: Ngร i, si hiyo ndo nmekuja kukuomba Sky ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

Me: So pia wewe hujafanya๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Sisi kwisha๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Siku iliyofwata๐Ÿ˜ญ, kamau alifika asubuhi, sikutaka kujua assignment alifanya correctly ama hapana, nilicopy kila kitu hadi fullstop๐Ÿ™๐Ÿ™. Jamaa hakuamin๐Ÿ˜ฒ.

Him: Bro man,,, kwan hukufanya kitu ukiwa home?? (Brianna akafika kumuomba pia acopy).... Hey guys stop kidding me please. Hata wewe hujafanya assignment??

Brianna: KAMAu wacha maswali mob ak. Time is not on our side๐Ÿ™๐Ÿ™.

Kamau: It's okay then,, thanks for believing and trusting my answers ๐Ÿ™๐Ÿ™. Am humbled ๐Ÿ’–.

Me: I believe in you โฃ๏ธโฃ๏ธ.

Kamau: So tell me you two... Hiyo ni blunder gan mlimake manze hamgefanyia hayo yote kwa nyumba๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Sasa nyny mkipewa ex watu kama sisi tutafanya aje bro๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Kwanza wewe Sky.

Brianna: Don't worry kamau,, we have planned something ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Kamau: mmediscuss vizuri??, Huyu Prinz wetu ni wazimu kivyake๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Kwanza mmeplan nini??

Me: Kwamba tulikuwa tuna practice ndo twende tuact kwa harusi ya peshte ya peshโœŒ๏ธโœŒ๏ธ.

Kamau: ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”, inaweza work but bado nafeel mnawezachomeana huko mbele,,, lazma muwe na specific place, Church na vitu mob..

Brianna: Don't worry kamau,,, tumejiamin๐Ÿ™.

Kamau: I hope mtajitoa kwa hii ngori wasee,,, I can't afford to loose you in class, principal wetu hananga huruma๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Alipomaliza hivi, kwa mlango akaaingia madam Stacy ๐Ÿ˜ญ. "Hellooooo, how was your week??" She asked. "Please collect your books Hellen anipelekee staff๐Ÿ™. Then ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”(akituangalia mm na Brianna ๐Ÿ™†๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ) You two,, please our principal wants to see you in his office now ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Everyone one in our class alikuwa amejuwa everything between Brianna and I ๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

Tulifika kwa office, mm nilikuwa mbele ๐Ÿ™. Ile kofi niliwekelewa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, hadi chini,, nilianza kuskia mtu akiongea naskia sauti nyingi kwa maskio๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Principal: Wewe Sky,, you are brave in class but nmekuwa nikikufwatilia kwa ukaribu sana๐Ÿ˜ญ. Unataka kuoa??

Me: Nooh Sir it's not what you are thinking ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Prinz: What am I thinking??

Me: ๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

Him: Brianna?? Tell me the truth, nyny wawili ni wanafunzi wazuri sana darasani๐Ÿ™๐Ÿ™. Sitaki niwape ex, na hilo litatokea tu kama utaniambia ukweli๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

BRIANNA: sure Sir, I'll speak nothing but the truth ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Him: okay go ahead, am listening ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Her: So mm nina rafiki yangu ambaye anafanya harusi next week but one,,, kwa hiyo alitaka wedding yake ikuwe A bit more interesting, alinishow tupractise the Love action ambayo tutaact kwa harusi yake๐Ÿ™๐Ÿ™. So venye Sky alitutembelea home,, nikamsindikiza, tukiwa kwa njia nikaanza kumwambia hiyo story na akasema pia anaweza penda kunijoin,, that is how we decided try it tukiwa tu hapo kwa njia,, tulikuwa tunajaribu tu yan just for fun hata si hiyo yenye tungeact๐Ÿ™๐Ÿ™.

Prinz: sky do you know jina ya hiyo rafiki yake๐Ÿค”๐Ÿค”.

Me: Yes Sir I know her๐Ÿ™๐Ÿ™.

Prinz: Ooh but hiyo kitu mlifanya ilikuwa serious sana,,, karibu ugongwe na gari๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Are you sure you are telling me the truth,, koz nikijuwa mmechukuwa huo muda wote mje hapa kunidanganya,, mtakuwa mmeniforce kuwatoa kwa hii shule,, ju nyny bado ni watoto wachanga sana,, kuanza mambo ya mapenzi itawaharibia tu performance yenu๐Ÿ™๐Ÿ™.

Brianna: We're saying the truth Sir..

Me: Yes that is the whole truth teacher ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Principal: Oookay,, (huku akitoa fullscaps mbili). Sky take this,, nawe Brianna hii ni yako๐Ÿ™๐Ÿ™. Haya nifwate nifwate๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ,

Brianna alipelekwa kwa unfinished building na mm nikapelekwa kwa reception room...

Principal: kwa hizo fullscaps nmewapa. Nataka mjibu haya maswali hapo๐Ÿ™๐Ÿ™ Majibu lazima yafanane๐Ÿ™

1: Andika jina moja tu la mtu anafanya harusi

2: Jina ya kanisa penye harusi itafanyika.

Ngร i ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

To be continued..... Niombee wakuu

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 8.

I was trending everywhere ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, kumbe kulikuwa na wanahabari hapo town๐Ÿ˜ญ. Nilijitazama venye Brianna alikuwa ananiomba msamaha watu wakituwatch๐Ÿ˜ญ. Kabla hata mam hajasema kitu. Kamau alinikol.

Him: Bro hii ni blunder gan tena man๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Kwa street na Brianna mlikuwa mnafanya nini sasa,, si ilikuwa uende kwao๐Ÿค”๐Ÿค”. I just pray and hope principal hajaona hii taarifa bro๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

I started feeling likes everything was falling apart๐Ÿ˜ญ, nikiimgn how our principal was tough and harsh when it comes to disciplining ๐Ÿ˜ญ. That man can even expell you from his school just because you came late๐Ÿ˜ช, I knew he wouldn't give us time...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.  part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28  No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28 No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

100
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest