Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
Gonga94 ยท Stories

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 9

Principal: Oookay,, (huku akitoa fullscaps mbili). Sky take this,, nawe Brianna hii ni yako๐Ÿ™๐Ÿ™. Haya nifwate๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ,

Alipelekwa kwa unfinished building na mm nikapelekwa kwa reception room...

Principal: kwa hizo fullscaps nmewapa. Nataka mjibu haya maswali hapo๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

1: Andika jina moja tu la mtu anafanya harusi

2: Jina ya kanisa penye harusi itafanyika.

Ngร i ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. My mind kicked back to what kamau had told us๐Ÿ˜ญ, I wish I could have listened to him, I wish I had a chance to get to kamau's advise again, but It was too late,, fikra zangu zilianza kuona nikiwa kwa new school ๐Ÿ˜ญ, Wait,,,, sasa Briannaameandika nini๐Ÿ˜ญ, oh my God, how will I explain to ma mam if nitapewa suspension๐Ÿ˜ญ.

We were given only 10mins and at that time ilikuwa imebaki dakika tatu pekee๐Ÿ™†๐Ÿ™†, kweli uongo haudumu๐Ÿ˜ญ, walisema wahenga,, aliyekando siku sote huwa haangukiwi na mti๐Ÿ˜ญ, sasa hata nilienda Nini kwa Madam ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, nilianza kugive up na masomo sasa๐Ÿ™†, blunder here blunder there,, nikiwa kwenye ndimbwi la mawazo,, nilishtukia mbele yangu amesimama mwalimu mkuu,, sura ya kazi, hacheki hatabasamu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Him: sky,, you better admit early before it's out of your hands๐Ÿ™๐Ÿ™. You are such a brilliant student,, hata mm mwenyewe sitaki nikutoe kwa shule yanguโฃ๏ธโฃ๏ธ. But wanasema akililia wembe mtoto,, basi mpe๐Ÿ™๐Ÿ™. Kama unaona ni vyema kuendelea kunidanganya basi hiyo ni sawa na kunilazimisha nifanye nisichokipanga๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. For one more chance,, tell me the truth,

Me: ๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†,tcha ilikuw.....,. (Kuangalia kwa dirisha nikamuona kamau ananikanya nisiseme chochote๐Ÿ˜ฒ)

Principal: Hey ilikuwa nini??,, Mbona ukakimia tena,, ama unakataa kuongea kama Brianna ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Sawa basi 2mins to go.. nikirudi hapa uwe tayari kunipa majibu๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

Principal alipoondoka, kamau alinyemelea dirisha aste asteโœŒ๏ธโœŒ๏ธ. Alikaribia na kunirushia kakaratasi ambako kalikuwa kameandwa jina la bibi harusi, place na kanisa๐Ÿ™๐Ÿ™.

Him: Hurry up bro,, he's coming ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ.

Immediately after kumaliza kuandika, mwalimu naye akatua๐Ÿ™†๐Ÿ™†,

"Haya leta,," aliongea kwa hasira kweli kweli,, heri simba jike ambaye kajifungua jana๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

Baada ya muda mchache, niliitwa ofisini,, kufika nikamkuta Brianna pia kashaitwa๐Ÿ™๐Ÿ™.

Principal: Ooh sasa nmeamini,, alfu sijui mbna mlikuwa mmetense sana na mlijuwa mnasema ukweli๐Ÿค”๐Ÿค”. Naona mliandika majibu sawa๐Ÿ™๐Ÿ™. Kwa sasa mko huru๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ.

BRIANNA: thanks so much sir

Me: ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ˜ฒ.

Principal: one more thing,, you are still children,, pia sikuwa natarajia niwapate na hatia ya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi๐Ÿ™๐Ÿ™. Isitoshe nyie wote ni wanafunzi hodari ikija kwa masomo,, sioni sababu ya kuwafanya muanze ujinga wa mapenzi sahi๐Ÿ™๐Ÿ™. (Brianna aliniangalia tu). Yes Brianna mbna unamwamgalia sky,, yeye hawezi kusaidia na chochote sahi koz pia ni mtoto tu๐Ÿ™†, focus on your academics first sawa๐Ÿ™.

Sisi: Yes Sir ๐Ÿ™.

Him: Haya nendeni darasani.

Sema kamau kufurahi alipotuona๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ.

Kamau: WOW,, thank God oo , nilikuwa nawaombea the whole day๐Ÿ™.

Me: Thanks bro,, you have really saved my destiny โฃ๏ธโฃ๏ธ.

BRIANNA: Kamau you are a such good hearted person,,, I never knew you will one day save my education ๐Ÿ˜ญ. (She hugged her)

Me: Hey that's enough ,,, yan hug pekee mnachukuwa almost 2min bana๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

Kamau: Hahaa okay Mr jealous๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. But please you have to be careful ak.. in this school kila mtu ni spy wa prinz๐Ÿ™๐Ÿ™. Kama ni lazma mpendane basi make sure iko chini ya maji๐Ÿ™๐Ÿ™.

2 months later,,

our class had become so cooperative โœŒ๏ธโœŒ๏ธ, performance ikawa higher than other classes,,, it's only 5 to 10 students ndo bado walikuwa nyuma,, so wakafanya mean grade pia ikawa constant,,

Principal alikaa chini akawaza na kuwazua๐Ÿค”๐Ÿค”. Koz he had done everything to make those students improve but all his efforts went in vain๐Ÿค”๐Ÿค”. Ndipo one day on the closing date, alikuja daro na simu yake kubwa ivi..

Principal: Am happy this class has become my favorite one๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ. Please clap for Kamau for emerging the 3rd student this round,, my son, nmeamin wewe unaweza hata kuwa number one๐Ÿค๐Ÿค. Continue working extra harder ๐Ÿ’–๐Ÿ’–.

Kamau: Thanks Sir,, sure I'll ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Principal: That's my boy โฃ๏ธ. Then kwa wale wameitwa kwa bottom ten, please, what exactly is the problem ๐Ÿค”๐Ÿค”. You daily come to school, your parents have cleared all fee arrears ๐Ÿ™๐Ÿ™. Ni nini mbaya??

Sisi: ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”.

Him: I need your suggestions guysโฃ๏ธโฃ๏ธ. Kamau what pushed you into top 3๐Ÿค”.

Kamau: It's God Sir,, when you believe in Him and work hard, he never disappoint I swear ๐Ÿ™๐Ÿ™. Then kama kuna mtu ana personal problems yenye hataki kushare na mwalimu๐Ÿ™. Please talk to that guy sitting around the corner ๐Ÿ’–๐Ÿ’–. Sky has changed my mind completely Sir.. he's a God sent student in this school ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Principal: Nimeambiwa na madam Stacy kuhusu hiloโฃ๏ธ. Sky, thank You for that ๐Ÿ’“๐Ÿ™. Then as kamau has just said,, Please my students wenye wako nyuma kimasomo, you can talk to him๐Ÿ™,..

Hellen: Yes we'll Sir ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Principal: Ama unasemaje sky??

Me: Haina shida Sir.. ila hata ili mgonjwa apone, lazma aamin kwa akili yake kwamba atapona๐Ÿ™๐Ÿ™. Namaanisha ukitaka kufanya vyema, bidii inaanza na wewe mwenyewe โฃ๏ธโฃ๏ธ. Kwanza jiambie unaweza๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช. Passing exam always starts with your mind๐Ÿ™. Ukijiona huwezi juwa tu hutawezaโœŒ๏ธ. Hayo tu mwalimu..

Principal: WOW ๐Ÿ˜‹.. sasa I wish ungeedelea jamani... (Akashika kidefu๐Ÿค”๐Ÿค”,anaonekana kufikiria kitu) Ahaa jamani ee, si kila mtu ana simu humu ndani,,

Wote tukakana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Principal: Hapana simaanishi hapa shuleni๐Ÿคญ๐Ÿคญ. Wacha kuniogopa wanafunzi,, nimekuja hapa tusaidiane,, najuwa kama huna simu basi lazma mzazi wako anayo๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ. Leo natengeneza group ya WhatsApp ๐Ÿค. Hii group itakuwa tu na lengo moja,, na ni masomo๐Ÿ™๐Ÿ™. Mkifika home wote nitumieni namba zenu ama za wazazi wenu niwaadd.. nataka tukifungua shule kila mtu awe choppy sawa๐Ÿค๐Ÿค.

Kila mtu alisema ako na simu kwanza smartphone ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sema Hellen kuruka ju kama Masai ๐Ÿ˜‚. Briannanaye haachi kusmile ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ. Kamau alikuwa na kabambe so hakufurahia hilo wazo๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Principal alimnunulia papo hapoโฃ๏ธโฃ๏ธ.

Shule zilifungwa na nilipofika home,, first thing ilikuwa kumkol mkuu kutumia line ya Airtel๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Me: Hello morio?? Uko aje hapo hivo??

Principal: Who's this and what does the word morio mean??

Me: Oya wacha uyoyo bro,, nitakufinya, hilo swali uliza morio hukud....๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Principal: Wee ni nani,, unajuwa naweza kutrack sahiโœŒ๏ธโœŒ๏ธ.

Me: Buda utaacha ufala,,, wee ni msee mbladf*ck*** sana.. sahi nikieza kupata naezakurarua mbaya sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช.

Nikaskia woi,, mama Deizy sijui nini kilinifanya nikawapa wanafunzi namba yangu๐Ÿ˜‚. Huyu lazma awe mwanafunzi wangu๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Kisha akahang upโœŒ๏ธ.

Alfu nikamkol na line ya safaricom๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

Me: Hello Sir. Am sky, this is my number please add me to that Whatsapp group ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Him: Ooh WOW how are Sky.

Me: Am good Sir thank you ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Him: Mama Deizy?? Hii sauti mbona inafanana na hiyo ya mwenye amenitusi๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

Me: Helo he,,,,helo,,,, helo Sir. Network

Hapo ndo nilikata๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Huo usiku group ililala saa saba โœŒ๏ธโœŒ๏ธ. Mkuu alifurahi sana venye tulikuwa tunachambua maswala tata,,, ilipofika saa tano prinz akachoka๐Ÿ˜‚.

Discussion iliendelea smoothly untill Steve came home๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Steve is my uncle Mike's only son ๐Ÿ™๐Ÿ™. Hakupenda kusoma kabisa,, everywhere penye alikuwa yeye alikuwa tu anapractise kuimba na kurap๐Ÿ™†. Aliniomba simu et atumie kudownload the trending songs๐Ÿ™๐Ÿ™.

Huo usku nilipata muda mchache sana kuingia kwa group ๐Ÿ™, class ilikuwa ianze saa mbili uskuโœŒ๏ธ. But Steve hakutaka kabisa,, hadi nikashndwa aaih, kwan anafanya nini na phone yangu๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

Me: Hey bro,, it's time for class, ukitaka ungoja hadi saa tano usiku kwanza,,,

Kuangalia kumbe alikuwa amedownload p0rnรธgraphic videos,,, hizo ndo alikuwa anawatch kila mara๐Ÿ˜ช.

Me: Wee cuzo,, my phone is not for those shits sawa,,, bring my phone,, ak Mom akikupata hutalalia kwa hii nyumba,, you are only 16 bro,, mbna hizi vitu??

Steve: Wait nidelete kwanza bro,,, bundles zimekuwa zangu๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Ooh hadi naona watu wako washaanza kuchart,,, let me forward these videos to my device nitawatch baadae ๐Ÿ™†.

Me: Harakisha man,,, then after that ka hizi ndo vitu huwa unafanya, usiniombe simu tena๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

Kidogo hivi nikaona kamau ananikol๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

Him: Hey bro,, what are you doing ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. What is this now?? Sky are you mad??

Me: Ni nini bro,,, what have I done again,,??

Him: Whaaat, hata haujashtuka,,, eti what have I done na umetuma videos za porno kwa group ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Bro you are finished ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Me: Nooh, mm hata sijaingia online bro,, ndo nakula kwanza,, what are you talking about??

Kuingia nikapata kumbe Steve alimess akaforwad kwa group badala ajiforwadie๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Kidogo simu ya principal ikaingia๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

To be continued......... Am dropping 3parts today.. just finya LIKE tufike 500 niangushe next.โฃ๏ธโฃ๏ธ.

Mm kwisha๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 9

Principal: Oookay,, (huku akitoa fullscaps mbili). Sky take this,, nawe Brianna hii ni yako๐Ÿ™๐Ÿ™. Haya nifwate๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ,

Alipelekwa kwa unfinished building na mm nikapelekwa kwa reception room...

Principal: kwa hizo fullscaps nmewapa. Nataka mjibu haya maswali hapo๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

1: Andika jina moja tu la mtu anafanya harusi

2: Jina ya kanisa penye harusi itafanyika.

Ngร i ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. My mind kicked back to what kamau had told us๐Ÿ˜ญ, I wish I could have listened to him, I wish I had a chance to get to kamau's advise again, but It was too late,, fikra zangu zilianza kuona nikiwa kwa new school ๐Ÿ˜ญ, Wait,,,, sasa Briannaameandika...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.  part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28  No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28 No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

100
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest