Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
Gonga94 ยท Stories

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 22.

OCS: mnasema kuhusu kupeana mimba?? Wee NJERI kuja hapa๐Ÿ˜ช, una ujauzito??

Swali la OCS lilikuwa ndo jibu. Njeri alimwangalia Mom kwa huruma, hajui akisema mm kutatokea nini๐Ÿค”, already she heard Mom would kill herself ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Kisha akanigeuka hakujuwa aseme nini, lakn kimia chake cha muda mrefu kilikuwa kishasema yote๐Ÿ˜ญ. She was pregnant ๐Ÿ˜ญ.

Principal: Whaat?? How can you Njeri?? Who's responsible for the pregnancy,, that idiรตt must rot in jail๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

NJERI: ๐Ÿ™†๐Ÿ™†(looking at me)

MOM: Please my daughter,, don't tell me that my son Sky is the one responsible for it๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

OCS: Nan alikupa mimba๐Ÿ˜ช. Ama ni huyu sky wako??

ME: ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

NJERI: No he's not the one๐Ÿ™๐Ÿ™.

PRINCIPAL: Oookay, this case is not mine,,, mm nmekuwachia wewe OCS ๐Ÿ™. Kama ni barua ya kudhibitisha kwamba Njeri ni msomi na amepachikwa ujauzito naiandika sasa hivi, nataka hii iwe funzo kwa wengine๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

MOM: Hapo Ni kweli mwalimu ๐Ÿ™. Watoto wa shule si wa kuchezewa,,, hii ni kumdhulumu mtoto kingono,,, huyo jambazi ashikwe na ufungwe jela maisha.. mtoto msichana siku hizi sio factory ya watoto, watuwachie watoto wetu wasome nao wawe na mafanikio makubwa kama wanaumeโฃ๏ธโฃ๏ธโฃ๏ธ. My daughter, usifiche mtu amekuharibia maisha,, mtaje haraka ili sheria ichukue mkondo wake๐Ÿ™๐Ÿ™. Haya ni maisha yako๐Ÿ’–๐Ÿ’–.

NJERI: Mom you don't know ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Hii bol (woih nilimkanyaga kwa mguu ndo asinitaje ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ) . Ama wacha tu๐Ÿ˜ฑ.

Ile kofi aliwekelewa na mwalimu MKUU ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ญ, walahi hata ningekuwa mm ningesema mara hiyo๐Ÿ˜ญ. NJERI alipita hadi chini na kunyamaza zii! ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ. Umewahi ombea mtu afe ndo shida zako ziishe hapo hapo๐Ÿ™๐Ÿ™. Nilianza kumuomba mungu amchukuwe Njeri ajifie pale chini๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Hata kabla sijamaliza maombi, jitu liliamka tena๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ญ.

NJERI: Wow โฃ๏ธ Sir your slap was so sweet and romantic,, please can you give me more, koz ni kama umejuwa mwenye hii bol.. . You never know hata maybe ni wewe๐Ÿ’–๐Ÿ’–.

OCS: Wait et ni ya Who?? Mwalimu??

HER: Relax Sister,, wacha pupa,, unashangaa kwani huyu mwalimu MKUU hawezi peana mimba au๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

ME: Hey please Njeri,, don't say that ๐Ÿ˜ฑ he's our principal ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Wote walibaki kimia, hata OCS alingoja usemi wa njeri ndo ajuwe cha kufanya๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: Mkuu, can we go to class hii case iendelee baadae๐Ÿ™.

PRINCIPAL: Please go go go๐Ÿ˜ญ.

MKUU alikuwa ameshtuka ajabu๐Ÿ˜ฑ. On the way to class,,

ME: Beb, mbna umeongea ivo๐Ÿ˜ฑ.

NJERI: unajuwa huyu mwalimu anakuwanga na kiherehere sana๐Ÿ˜ญ. Sasa amenichapa mbna?? Then sky we've to look for another way round of getting you out of this pregnancy,, mamako already ako depressed ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Ak sijui mbna nilijiweka kwa huu ujinga๐Ÿ˜ญ. Nitamwambia Nini kamau wangu๐Ÿ’”๐Ÿ’”. That man will kill himself ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ’”. I know him๐Ÿ™†

ME: Have you ever slept with him??

HER: How can I do that.. I mean I have no reason to sleep with Him ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

ME: But now you have it...

HER: Sky ivo ndo unataka rafiki yako aumie wewe ukiwa huru๐Ÿ’”. What kind of friendship is that?? Which reason ๐Ÿค”

ME: It's not like that dear,,, mm niko ready hata kuhukumiwa kifo, but my Mom ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. That woman believes in me too much๐Ÿ˜ญ. She might end up being paralysed ๐Ÿ’”๐Ÿ˜ญ.

NJERI: So ulitaka nifanye aje??

ME: Romance Him tonight,, have sex with him. The pregnancy will all be his,, in the mean time hamtawachana๐Ÿ™๐Ÿ™. Si unampenda??

HER: I love kamau so muchโฃ๏ธโฃ๏ธ. But your idea is so selfish Sky.. sasa akifungwa maisha nitamuona wap??

ME: Please this is for my only Mom,,, ama ulikuwa amepanga aje๐Ÿค”๐Ÿค”.

HER: sikuwa na any plan kwa kichwa changu๐Ÿ™๐Ÿ™. But waah๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

ME: Stop imgning dear,,, before tuitwe tena kwa staff kesho, make sure umefanya ivo๐Ÿ™. Sawa??

HER: Okay ๐Ÿ™.

A week later, we hadn't been called again in our Principal's office. I think he was still thinking about Njeri's shocking words๐Ÿ˜ญ. Nikiwa nyuma ya daro my best friend kamau came to me,, his face was full smiles and sorrows at the same time ๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

ME: My guy,, I can read everything that is in your heart by just looking at your smiling face๐Ÿ™๐Ÿ™. Now tell me,, what is it ๐Ÿ’–, Kwan NJERI leo amekupa nini broโฃ๏ธโฃ๏ธ.

Kamaa: Guess what??

ME: Come on bro,, you know very very well that am not a good guesser ๐Ÿ™๐Ÿ™. Break it down โฃ๏ธ.

KAMA: Unajuwa the other day ile day nilikushow nilikuwa msick hadi sikuja preps??

ME: Of course I remember very well ๐Ÿ˜ฒ. What happened??

HIM: Manze mtoy alitaka kuniona huo usikuโฃ๏ธ. So we went to teachers latrines

ME: wait bro,, wacha kunipeleka mbio๐Ÿ˜‚๐Ÿ’ช. Don't tell me ulilima mali for the first time man๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช.

HIM: I tried to resist but mwana akakataa eti alikuwa horny man,,, mm nae ni nan?? Nilifungulia missile imuume๐Ÿ’ช๐Ÿ†๐Ÿ‘. Nilipiga kitu hadi saa tano usiku bro,, this girl is so sweet ๐ŸŒน๐ŸŒน. I think siwezi ishi bila yeye Sky ๐Ÿ’–๐Ÿ’–.

ME: WOW ๐Ÿ˜‹, finally bro,, but am sure ulitumia protection ndo mzuie bol man,, unajuwa nao days huwezi juwa. Unaweza mpa bol na uharibu kila kitu bro๐Ÿ™๐Ÿ™.

KAMAU: Sasa hapo ndo shida inaingilia bana๐Ÿ˜ญ. We didn't use protection,, and now she's telling me about missing her monthly period man๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Manze yan karibu nataka kurukwa na kichwa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

ME: Oh my God, that is very risky ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Mbna hukutumia kinga lakn??

HIM: So unataka kuniruka bro,, hapa shule unaonanga wap condoms ๐Ÿ˜ช. Nipe mawazo bana, am down ak๐Ÿ˜ฒ. You are my best friend โค๏ธ

ME: Sasa mtoy anasema aje mwenyewe??

HIM: Nimeongea something like abortion weeh,,, karibu niumwe maskio I say๐Ÿ˜ญ. Sasa hiyo sio shida,, naambiwa et mwalimu mkuu amejuwa pia๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Manze bro mm naona masomo yakiishia hapa๐Ÿ˜ญ.

Me: Stop saying that man,,,, it's too early to give up๐Ÿ™๐Ÿ™. Sasa kuhusu hii bol, umepanga aje bwanaโฃ๏ธโฃ๏ธ.

KAMAU: Yakimwagika maji huwa hayasoleki bro,,, am ready to be jailed, hata nikihukukiwa kifo, niko ready koz mtoy ni wangu man ๐Ÿ™๐Ÿ™. Am ready for anything โฃ๏ธโฃ๏ธ.

Me: Usiseme kifo bro,,, things will be better with timeโฃ๏ธโฃ๏ธ.

Kidogo Njeri akaitwa na Mwalimu mkuu,, Kamau akajuwa baasi, yeye kwisha๐Ÿ’”๐Ÿ’”. After kitu 15mins ivi, mtoto alifika tena na kumuita kamau,, sema kutoka nje๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ
Niliona Land cruiser ya polisi mbele ya office ya Principal ๐Ÿ’”๐Ÿ˜ฑ.

Kamau alitolewa ndani ya ofisi na kuingizwa kwa gari๐Ÿ˜ฑ. Kidogo tena akashuka na kukimbia akija darasani kwetu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.
Nilienda mbio kukutana nayeye

KAMAU: Bro ni kunoma I say,, nmekamatwa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Nakuomba kaka, usiwahi jiingiza kwa ujinga kama huu please.. a very small mistake, now Principal has told me to kiss my education Bye ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Nikifia huko jela nakuomba unilindie mtoy wangu jamaa... ๐Ÿ˜ญ. Mm sina baba wala mama๐Ÿ˜ญ. Ambia Njeri nampenda sana akiwa na mtoy wangu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Alipigwa cheky na kubebwa hopelahopela hadi garini wakaishia๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ.

To be continued......

Catch up with part 23 in the morning.. don't forget to like ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 22.

OCS: mnasema kuhusu kupeana mimba?? Wee NJERI kuja hapa๐Ÿ˜ช, una ujauzito??

Swali la OCS lilikuwa ndo jibu. Njeri alimwangalia Mom kwa huruma, hajui akisema mm kutatokea nini๐Ÿค”, already she heard Mom would kill herself ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Kisha akanigeuka hakujuwa aseme nini, lakn kimia chake cha muda mrefu kilikuwa kishasema yote๐Ÿ˜ญ. She was pregnant ๐Ÿ˜ญ.

Principal: Whaat?? How can you Njeri?? Who's responsible for the pregnancy,, that idiรตt must rot in jail๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

NJERI: ๐Ÿ™†๐Ÿ™†(looking at me)

MOM: Please my daughter,, don't tell me that my son Sky is the one responsible for it๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

OCS: Nan alikupa mimba๐Ÿ˜ช. Ama ni huyu sky wako??

ME:...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.  part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28  No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28 No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

100
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest