💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁.
part 19
"Fika Mama Lucy hospital, Brianna is not feeling well. According to the letter she left, you are the reason for her unwellnes 😱😱"
Whaaat 😱. Noh😭, am the reason?? How?
Kumbe Mom alikuwa nyuma yangu🙆. Nilidial namba ya Madam kuenda kumkol ndo nikamuona mathe 😲.
HER: Sky, ni nini mbaya unashinda ukisema no?? Niambie mm ni mamako❣️. Ukifanya ivo hata mm pia naanza kuwa na wasiwasi 😭.
"That girl😭😭"
"That girl mgani sasa? Ninini kimemfanyikia?" She implored
ME: Brianna Queen has poisoned herself, na amesema et ni mm ndo nmefanya ajiue😭.
MOM: Jesus Christ 😱😱. Unasema yule msichana nilikuja shule kumjuwa😲😲.
ME: Eeh mwenye ulikuja shule hadi ukafanya sahi tuko home hatusomi😭😭.
MOM: 🙆🙆, where's she now, is she alive??
ME: Yes mah, she has been rushed to Mama Lucy hospital 🙏🙏.
MOM: Take care of everything Sky,,, am going there now😲😲.
Mathe aliprepare na kutoka hiyo tym yenyewe🙏. Hata hakufika mbali, madam akanipigia simu tena😲.
HER: Sky, please you have to forget what she did to you and come😭😭. You have to save my sister's life, she wants to see you please 😭😭.
ME: I can't make it Madam,, I have so many things to do here at home.
MADAM: How heartless are you sky?? Many things yan zinashinda maisha ya Sistangu 😭. Come please??
ME: Kata kidogo mam ananikol madam🙏🙏. Akiwa anaongea mm nikarecieve simu ya mathe🙏.
VOICE: Which room Sky, nmefika huko🙏.
ME: Ulizia tu ukitumia majina yake kamili mam, hadi mm sijaambiwa💖💖.
Mam alipohang up, kumbe madam hakukata.
Madam Stacy: Are you done talking to your mom now you heartless boy😭😭😭. So umeamua akufe sindio?? Eh?
ME: I said I have some stuffs to handle Madam,, I can't make it there🙏. Am sorry 🙆🙆.
MADAM: Waaah, sikujuwa kama unakaa ivi Sky, sikujuwa kama una roho ya shetani hivo, good Bye 😭😭.
Nilimkol Mam akaniambia amempata, na sasa hayuko mbaya sana ila anainsist tu niende et ana kitu cha kuniambia😪😪.
ME: mam just tell her akipona mkam nayeye home kwetu🙏. Si unajuwa siwezi wacha boma 🙏.
MOM: Okay hata anaskiza ndo huyu❣️.
HER: Hello Beb 😭😭.
"Hello to you Brianna,, how are you now??"
"Am happy kumuona mama ako❣️❣️,"
ME: And if I may ask, do you think Killing yourself is the solution for our differences??
HER: To me it's Yes Sky,, I can't bear it seeing you there ignoring me as if I killed your mother 😭😭. All I did was totally nonsense 😭, ND I had apologized to you and to her🙏🙏. Sikujuwa full story 😭.
ME: So ukaamua kusema et mm na yeye tulikuwa tunakiss, hadi nikapewa suspension 😪😪.
MOM: Sky, sky?? My daughter ebu leta hiyo simu😪😪. Wee ni nini mbaya na wewe, mtoto wa mtu anaumia na bado unamuuliza maswali ya ujinga ka hayo😪. Kama huna kitu poa ya kumwambia kata simu😓😓.
Nilianza kuskia sauti nyngi kwa room yao😲😲. Kwan ni nini kinaendelea🤔🤔. Hakuna aliyenijibu🙏.
Nilikata then nikakol tena🙏. "Hello Mom, kuna nini naskia makelele ivo??
HER: Oh kwan hukua umekata?? Ni mwalimu mkuu na wanafunzi kadha wamekuja kumwona Brianna Queen ❣️❣️.
ME: Hadi mwalimu mkuu😲😲. (Nikaskia wakicheka, kumbe mathe hakuwa ametoa kwa loud)
MKUU: Sky, I want to talk to you 🙏🙏.
ME: Talk to me Sir.
HIM: It's a private issue,, I have your gift❣️❣️. Nancy is now fine💖.
ME: Okay Sir, anytime any day, you are welcome home...
HIM: Then concerning Brianna, please make sure you have solved your problems,, I know you are still kids❣️❣️. Imgn an Angel like Brianna et anaamua kujiua ju yako 😲
ME: Mwalimu gredit imeisha🙏🙏.
Siku zilisonga Brianna akafutwa hospitalini na kama nilivyotaka, mama alikuja na yeye hadi kwetu💪💪. She was fully recovered
MOM: No love in my house✌️✌️. Nyinyi sasa mmekuwa dada na ndugu❣️. Pendaneni kama familia moja💖💖. Wee Queen, hiyo smile mm siitaki kwa hii nyumba. Na wewe Trevor ujuwe mm pia niliwahi kuwa msichana, wacha kumkanyaga QUEEN kwa mguu hapo chin ya meza😲😲.
QUEEN: 😱😱,
MOM: Basi someni kwa bidii itakuwa furaha yangu mkipita mtihani nyny nyote❣️❣️. Goodnight my children ❣️.
ME: Are you happy now??
Brianna: Happy for what??
ME: Kuitwa mtoto wetu😂😂.
BRIANNA: Ona huyu, tumeambiwa tusome si kuulizana maswali 🙈.
Me: 1+1??
HER: Two
ME: Two plus two?
Her: 4
Me: 4+4?
BRIANNA: Hiyo ni bhangi gani unatumia😪😪.
MOM: Ngài wuuuwih😱. Mtoto wangu anatumia bhangi na huwezi niambia, (alitoka kwa yake room mbio)
Niliambia Brianna mam hapa akitupata ni mazishi🙏. Sote 🏃🏃♀️ hadi kwa room yangu na kisha kujifungia huko💪.
MOM: Fungua huu mlango🤔.(hatukufungua) Haya basi laleni huko, mtu asikanyake nje😓.
BRIANNA: Waah huyu mamako si ni dramatic aki 😂😂. Kwan alikuwa anaskia tukiongea😂.
ME: Hiyo ndo inakuwanga tu kazi yako kwa maisha yangu Brianna. Kila mara nikiwa na wewe lazma nijipate kwa ngori😪.
HER: Lakn sasa hata na wewe ulikuwa unaniuliza maswali gani hayo jamani😪. What is 1+1??
ME: 😂😂😂, wacha me nilale mwenyewe ujipange venye utatoka ndo uingie room yako😂✌️.(nilijirusha kwa bed kulala nikiangalia juu💪)
HER: 🤔🤔, ama mamako ataniekelea ngoto🙆. (Alienda akashika kwa mlango akaona mathe aliwasha TV akaanza kuwatch😱) SKY she's watching TV 🙆🙆.
ME: Oh wow, huo ni mtego Brianna,, ile kuundwa utaundwa leo😂😂. Hiyo haga yako tamu hutawahi iona tena🙈.
HER: (alifungua mlango polepole et ndo atoke mbio, before mama aamke atakuwa ameingia kwa room yake🏃♀️🏃♀️)
MOM: Bhangi? Sky anavuta bhangi?? Tangu lini??
Brianna alirudi mbio bila kuulizwa kitu. "Sky am scared, it seems amekasirika sana😭, si tusome tusome hadi alale kwanza alfu niende? Please 🙏"
ME: Eti tusome,, mm nataka kulala😂. Chukuwa kitabu kwa hiyo bag usome❣️❣️. Akienda kulala pia utaenda sawa💪.
Mom akaenda miayo😲😲. "Nyny watoto kwan hamsomi leo?? Pitine huku msome" huyu akaona amepoa🙏. Zile slippers aliwekelewa😂, " wewe unajuwa (akipigwa) mtoto wangu anavuta bhangi na husemi, " teke moja la haga then akarudi kwa room yangu mbio 🏃♀️😂😂.
BRIANNA: 😂😭😂😭😂😂😭😭😂.
ME: Unacheka ama unalia wewe?? Nmekwambia huskii, huyo akijam hadi supper huwezi kula, anyway kaa hapa tusome tusome basi🙈🙈.
HER: Kesho narud kwetu walahi,, these dramas are now too much😂😂. What a mom😂. Karibu niuliwe bure tu😂.
ME: Na bado😂, kama hautabehave normally, my Mom will treat you abnormally 😂😂.
HER: Sasa wewe ni kunicheka tu😭. Ujuwe mm sitoki kwa hii room, leo ni wewe utaenda kulala huko😪😪.
ME: Okay haina shida🙈🙈. Tusome sasa❣️❣️. Si usonge huku tusome, mm sichapangi wasee🙈.
Kalisonga, kwenda kufungua kitabu, stima nayo kumbe ilikuwa imejam😂. Ilipotea mara that, tulianza kusikia mama akitembea kuingia kwake kwa bedroom ❣️❣️.
BRIANNA:(whispering) She's going to sleep❣️.
MOM: Going to sleep where?? Sitoki hapa,, et anavuta bhangi?? SKY fungua huu mlango😪😪.
Brianna mara hiyo akajitupa kwa blanket na kujifunika🙆.
MOM: Sky?? Wewe mtoto hunijui mm😪. Nalipa fees ili uende uvute bhangi huko shuleni🙆🙆.
ME:. Mom she was just kidding,, she didn't mean it 😪😪. Mbna leo uko na kisirani hivi, kwan hatutasoma et ju ya hiyo tu😪. Mam mm haunibambi ak😭.
MOM: Ni sawa, goodnight tukutane asubuhi😱.
BRIANNA: sky mbna unajibu mamako ivo??
ME: Sasa for sure ni nini inamfanya akasirike hivo?? Wewe nawe uliniona wap nikivuta bhangi😭.
HER: I was just joking, hadi wewe unajuwa ivo, sijui mbna Mom amejam ivo, ama kulikuwa na issue ingne??
ME: ❣️❣️, those thighs please 🥺 💖. Hivi ndo wewe huwa mhot😲😲.
HER: What are you talking about??
ME: I mean, eeish❣️.
HER: wee ni nini unanisongea hivo??
ME: ulisema ulinipa nini nikague nikashindwa??
MOM: Athe?? Kukupea nini ukague sky?? Toka toka toka,,, toooka nje😭😭.
After kufungua mlango. Nilitolewa nikaenda kulala kwa room ya Brianna 😭😭.
MOM: kuwapea dakika mbili tu already mnataka kufanya😱.
Huyu Mom ni nini mbaya na yeye😭😭😭.
To be continued...
Part 20 LOADING. ..(wach alama❣️(like)).