Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.  part 19
Gonga94 ยท Stories

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 19

"Fika Mama Lucy hospital, Brianna is not feeling well. According to the letter she left, you are the reason for her unwellnes ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ"

Whaaat ๐Ÿ˜ฑ. Noh๐Ÿ˜ญ, am the reason?? How?

Kumbe Mom alikuwa nyuma yangu๐Ÿ™†. Nilidial namba ya Madam kuenda kumkol ndo nikamuona mathe ๐Ÿ˜ฒ.

HER: Sky, ni nini mbaya unashinda ukisema no?? Niambie mm ni mamakoโฃ๏ธ. Ukifanya ivo hata mm pia naanza kuwa na wasiwasi ๐Ÿ˜ญ.

"That girl๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ"

"That girl mgani sasa? Ninini kimemfanyikia?" She implored

ME: Brianna Queen has poisoned herself, na amesema et ni mm ndo nmefanya ajiue๐Ÿ˜ญ.

MOM: Jesus Christ ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ. Unasema yule msichana nilikuja shule kumjuwa๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

ME: Eeh mwenye ulikuja shule hadi ukafanya sahi tuko home hatusomi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

MOM: ๐Ÿ™†๐Ÿ™†, where's she now, is she alive??

ME: Yes mah, she has been rushed to Mama Lucy hospital ๐Ÿ™๐Ÿ™.

MOM: Take care of everything Sky,,, am going there now๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

Mathe aliprepare na kutoka hiyo tym yenyewe๐Ÿ™. Hata hakufika mbali, madam akanipigia simu tena๐Ÿ˜ฒ.

HER: Sky, please you have to forget what she did to you and come๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. You have to save my sister's life, she wants to see you please ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

ME: I can't make it Madam,, I have so many things to do here at home.

MADAM: How heartless are you sky?? Many things yan zinashinda maisha ya Sistangu ๐Ÿ˜ญ. Come please??

ME: Kata kidogo mam ananikol madam๐Ÿ™๐Ÿ™. Akiwa anaongea mm nikarecieve simu ya mathe๐Ÿ™.

VOICE: Which room Sky, nmefika huko๐Ÿ™.

ME: Ulizia tu ukitumia majina yake kamili mam, hadi mm sijaambiwa๐Ÿ’–๐Ÿ’–.

Mam alipohang up, kumbe madam hakukata.

Madam Stacy: Are you done talking to your mom now you heartless boy๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. So umeamua akufe sindio?? Eh?

ME: I said I have some stuffs to handle Madam,, I can't make it there๐Ÿ™. Am sorry ๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

MADAM: Waaah, sikujuwa kama unakaa ivi Sky, sikujuwa kama una roho ya shetani hivo, good Bye ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Nilimkol Mam akaniambia amempata, na sasa hayuko mbaya sana ila anainsist tu niende et ana kitu cha kuniambia๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

ME: mam just tell her akipona mkam nayeye home kwetu๐Ÿ™. Si unajuwa siwezi wacha boma ๐Ÿ™.

MOM: Okay hata anaskiza ndo huyuโฃ๏ธ.

HER: Hello Beb ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

"Hello to you Brianna,, how are you now??"

"Am happy kumuona mama akoโฃ๏ธโฃ๏ธ,"

ME: And if I may ask, do you think Killing yourself is the solution for our differences??

HER: To me it's Yes Sky,, I can't bear it seeing you there ignoring me as if I killed your mother ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. All I did was totally nonsense ๐Ÿ˜ญ, ND I had apologized to you and to her๐Ÿ™๐Ÿ™. Sikujuwa full story ๐Ÿ˜ญ.

ME: So ukaamua kusema et mm na yeye tulikuwa tunakiss, hadi nikapewa suspension ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

MOM: Sky, sky?? My daughter ebu leta hiyo simu๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Wee ni nini mbaya na wewe, mtoto wa mtu anaumia na bado unamuuliza maswali ya ujinga ka hayo๐Ÿ˜ช. Kama huna kitu poa ya kumwambia kata simu๐Ÿ˜“๐Ÿ˜“.

Nilianza kuskia sauti nyngi kwa room yao๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Kwan ni nini kinaendelea๐Ÿค”๐Ÿค”. Hakuna aliyenijibu๐Ÿ™.

Nilikata then nikakol tena๐Ÿ™. "Hello Mom, kuna nini naskia makelele ivo??

HER: Oh kwan hukua umekata?? Ni mwalimu mkuu na wanafunzi kadha wamekuja kumwona Brianna Queen โฃ๏ธโฃ๏ธ.

ME: Hadi mwalimu mkuu๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. (Nikaskia wakicheka, kumbe mathe hakuwa ametoa kwa loud)

MKUU: Sky, I want to talk to you ๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: Talk to me Sir.

HIM: It's a private issue,, I have your giftโฃ๏ธโฃ๏ธ. Nancy is now fine๐Ÿ’–.

ME: Okay Sir, anytime any day, you are welcome home...

HIM: Then concerning Brianna, please make sure you have solved your problems,, I know you are still kidsโฃ๏ธโฃ๏ธ. Imgn an Angel like Brianna et anaamua kujiua ju yako ๐Ÿ˜ฒ

ME: Mwalimu gredit imeisha๐Ÿ™๐Ÿ™.

Siku zilisonga Brianna akafutwa hospitalini na kama nilivyotaka, mama alikuja na yeye hadi kwetu๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช. She was fully recovered

MOM: No love in my houseโœŒ๏ธโœŒ๏ธ. Nyinyi sasa mmekuwa dada na nduguโฃ๏ธ. Pendaneni kama familia moja๐Ÿ’–๐Ÿ’–. Wee Queen, hiyo smile mm siitaki kwa hii nyumba. Na wewe Trevor ujuwe mm pia niliwahi kuwa msichana, wacha kumkanyaga QUEEN kwa mguu hapo chin ya meza๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

QUEEN: ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ,

MOM: Basi someni kwa bidii itakuwa furaha yangu mkipita mtihani nyny nyoteโฃ๏ธโฃ๏ธ. Goodnight my children โฃ๏ธ.

ME: Are you happy now??

Brianna: Happy for what??

ME: Kuitwa mtoto wetu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

BRIANNA: Ona huyu, tumeambiwa tusome si kuulizana maswali ๐Ÿ™ˆ.

Me: 1+1??

HER: Two

ME: Two plus two?

Her: 4

Me: 4+4?

BRIANNA: Hiyo ni bhangi gani unatumia๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

MOM: Ngร i wuuuwih๐Ÿ˜ฑ. Mtoto wangu anatumia bhangi na huwezi niambia, (alitoka kwa yake room mbio)

Niliambia Brianna mam hapa akitupata ni mazishi๐Ÿ™. Sote ๐Ÿƒ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ hadi kwa room yangu na kisha kujifungia huko๐Ÿ’ช.

MOM: Fungua huu mlango๐Ÿค”.(hatukufungua) Haya basi laleni huko, mtu asikanyake nje๐Ÿ˜“.

BRIANNA: Waah huyu mamako si ni dramatic aki ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Kwan alikuwa anaskia tukiongea๐Ÿ˜‚.

ME: Hiyo ndo inakuwanga tu kazi yako kwa maisha yangu Brianna. Kila mara nikiwa na wewe lazma nijipate kwa ngori๐Ÿ˜ช.

HER: Lakn sasa hata na wewe ulikuwa unaniuliza maswali gani hayo jamani๐Ÿ˜ช. What is 1+1??

ME: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, wacha me nilale mwenyewe ujipange venye utatoka ndo uingie room yako๐Ÿ˜‚โœŒ๏ธ.(nilijirusha kwa bed kulala nikiangalia juu๐Ÿ’ช)

HER: ๐Ÿค”๐Ÿค”, ama mamako ataniekelea ngoto๐Ÿ™†. (Alienda akashika kwa mlango akaona mathe aliwasha TV akaanza kuwatch๐Ÿ˜ฑ) SKY she's watching TV ๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

ME: Oh wow, huo ni mtego Brianna,, ile kuundwa utaundwa leo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Hiyo haga yako tamu hutawahi iona tena๐Ÿ™ˆ.

HER: (alifungua mlango polepole et ndo atoke mbio, before mama aamke atakuwa ameingia kwa room yake๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ)

MOM: Bhangi? Sky anavuta bhangi?? Tangu lini??

Brianna alirudi mbio bila kuulizwa kitu. "Sky am scared, it seems amekasirika sana๐Ÿ˜ญ, si tusome tusome hadi alale kwanza alfu niende? Please ๐Ÿ™"

ME: Eti tusome,, mm nataka kulala๐Ÿ˜‚. Chukuwa kitabu kwa hiyo bag usomeโฃ๏ธโฃ๏ธ. Akienda kulala pia utaenda sawa๐Ÿ’ช.

Mom akaenda miayo๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. "Nyny watoto kwan hamsomi leo?? Pitine huku msome" huyu akaona amepoa๐Ÿ™. Zile slippers aliwekelewa๐Ÿ˜‚, " wewe unajuwa (akipigwa) mtoto wangu anavuta bhangi na husemi, " teke moja la haga then akarudi kwa room yangu mbio ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

BRIANNA: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚.

ME: Unacheka ama unalia wewe?? Nmekwambia huskii, huyo akijam hadi supper huwezi kula, anyway kaa hapa tusome tusome basi๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ.

HER: Kesho narud kwetu walahi,, these dramas are now too much๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. What a mom๐Ÿ˜‚. Karibu niuliwe bure tu๐Ÿ˜‚.

ME: Na bado๐Ÿ˜‚, kama hautabehave normally, my Mom will treat you abnormally ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

HER: Sasa wewe ni kunicheka tu๐Ÿ˜ญ. Ujuwe mm sitoki kwa hii room, leo ni wewe utaenda kulala huko๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

ME: Okay haina shida๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ. Tusome sasaโฃ๏ธโฃ๏ธ. Si usonge huku tusome, mm sichapangi wasee๐Ÿ™ˆ.

Kalisonga, kwenda kufungua kitabu, stima nayo kumbe ilikuwa imejam๐Ÿ˜‚. Ilipotea mara that, tulianza kusikia mama akitembea kuingia kwake kwa bedroom โฃ๏ธโฃ๏ธ.

BRIANNA:(whispering) She's going to sleepโฃ๏ธ.

MOM: Going to sleep where?? Sitoki hapa,, et anavuta bhangi?? SKY fungua huu mlango๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

Brianna mara hiyo akajitupa kwa blanket na kujifunika๐Ÿ™†.

MOM: Sky?? Wewe mtoto hunijui mm๐Ÿ˜ช. Nalipa fees ili uende uvute bhangi huko shuleni๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

ME:. Mom she was just kidding,, she didn't mean it ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Mbna leo uko na kisirani hivi, kwan hatutasoma et ju ya hiyo tu๐Ÿ˜ช. Mam mm haunibambi ak๐Ÿ˜ญ.

MOM: Ni sawa, goodnight tukutane asubuhi๐Ÿ˜ฑ.

BRIANNA: sky mbna unajibu mamako ivo??

ME: Sasa for sure ni nini inamfanya akasirike hivo?? Wewe nawe uliniona wap nikivuta bhangi๐Ÿ˜ญ.

HER: I was just joking, hadi wewe unajuwa ivo, sijui mbna Mom amejam ivo, ama kulikuwa na issue ingne??

ME: โฃ๏ธโฃ๏ธ, those thighs please ๐Ÿฅบ ๐Ÿ’–. Hivi ndo wewe huwa mhot๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

HER: What are you talking about??

ME: I mean, eeishโฃ๏ธ.

HER: wee ni nini unanisongea hivo??

ME: ulisema ulinipa nini nikague nikashindwa??

MOM: Athe?? Kukupea nini ukague sky?? Toka toka toka,,, toooka nje๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

After kufungua mlango. Nilitolewa nikaenda kulala kwa room ya Brianna ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

MOM: kuwapea dakika mbili tu already mnataka kufanya๐Ÿ˜ฑ.

Huyu Mom ni nini mbaya na yeye๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

To be continued...

Part 20 LOADING. ..(wach alamaโฃ๏ธ(like))

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 19

"Fika Mama Lucy hospital, Brianna is not feeling well. According to the letter she left, you are the reason for her unwellnes ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ"

Whaaat ๐Ÿ˜ฑ. Noh๐Ÿ˜ญ, am the reason?? How?

Kumbe Mom alikuwa nyuma yangu๐Ÿ™†. Nilidial namba ya Madam kuenda kumkol ndo nikamuona mathe ๐Ÿ˜ฒ.

HER: Sky, ni nini mbaya unashinda ukisema no?? Niambie mm ni mamakoโฃ๏ธ. Ukifanya ivo hata mm pia naanza kuwa na wasiwasi ๐Ÿ˜ญ.

"That girl๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ"

"That girl mgani sasa? Ninini kimemfanyikia?" She implored

ME: Brianna Queen has poisoned herself, na amesema et ni mm ndo nmefanya ajiue๐Ÿ˜ญ.

MOM: Jesus Christ ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ. Unasema yule msichana nilikuja shule kumjuwa๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

ME:...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28  No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28 No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

100
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest