Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DRAMA OF LOVE  part 4.
Gonga94 · Stories

DRAMA OF LOVE part 4.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????????????DRAMA OF LOVE????????????
part 4.

Have you ever had a crush on someone?? But the more you were trying to show how much you are into him/her, the more you were getting ignored ????????. What did you do ????. Kwa Brianna ungeona tu kwa macho venye alikuwa ameboeka, nadhan hakutaka aseme ju huenda ningejam labda????????.

Kwa school canteen, tumesimama kwa veranda baada ya kununua tungumu twa mbao, tunakula huku tukipiga gumzo????.

BRANANA: SKY you must be joking, yan umebuy ngumu nne then ukule tatu mm unipe moja??.

Me: Et tatu??, My dear hata hiyo moja yenye nmekupa tunakawana katikati✌️✌️.

BRANANA: Wait, et hii moja tunakawana????????. Watu waache bhangi ak????????. Na sasa hizo tatu zenye umeshika????????.

Akiendelea kuongea, jamaa nikachukuwa hiyo moja na kukata katikati✌️✌️. Mm nikabaki na 3½????????.

Brianna: Hahaa sky I hope you are joking ????.

Me: Joking you say????. Wacha nmalize ndo nikumalizie hiyo story sasa????????. Koz hata sahi am sure uncle Mike ako home amenikujia????????. (Huku nikitafuna ngumu ya mwisho????✌️)

Brianna hakuamin????. "Ngai, Sky like seriously?? Mm unanipa nusu??" She asked.

Me: (sasa najipanguza mikono na mdomo) Bydha mm hukuwanga msee generous sana,, unaona hata hukuwa umeniomba kitu lakn nikaamua tu kukuita tukuje tukule something hapa❣️❣️. Anyway, sasaaa, kwa uncle yangu Mike hehee, Brianna am telling you, huyo uncle yangy.......

Kumgeukia nikaona anaenda daro????????. "Wee sasa after nmekununua ngumu ukakula ndo unaamua kuniacha hapa" nilishout.

Bosco: (msee wa canteen) Bro, unachoma man,, huyu dem anakaa amekupenda but wewe hushikanishi.. sasa uncle.... uncle itamsaidia na nini????????. Ambia mtoy umempenda bro,, hiyo ndo anataka kuskia, nmeona hadi anakuuliza mambo ya love wewe ni uncle tu????????????.

For sure nilikuwa nmempenda Brianna ile mbaya,, nilikuwa nataka kufanya venye niliambiwa na teacher Google ????????. Alisema jaribu ukijoke na dem, et madem hawatakangi msee anakaa serious kama jeshi????. Kwa Brianna hilo halikuwork????.

Nilifika daro nikampata ameita kamau sijui walikuwa wanaongea nini????. Waliponiona walichange topic ikawa et kamau alikuwa amempa hesabu amsaidie????????.

After shehere zimeisha, nilimuita kamau ndo anieleze vizuri????????.

Kamau: Bro, huyu BRIANNA ni dream ya kila msee kwa hii class hadi shule nzima????????. Sijui ni venye hujawahi penda ama humtaki????????.

Me: So mlikuwa mnaongelea nini,??

Kamau: Nothing, Then do you love her?? Koz hata mm nmeanza kumfeel kiplan na sitaki niharibu ubeshte wetu??

Me: What are you talking about.. et umeanza kumfeel. Hey brother, usiniforce nifanye kitu dunia inikumbuke????????. Please stay away from that girl, kama unataka ubeshte wetu uendelee.

Kamau: ????????, najuwa si wewe unaongea, ni kashetani tu kako ndani yako... Mbna hujamwambia unampenda sasa??

Me: Kwan unadhan tulikuwa tunaongea nini hapo kwa canteen. Si nmerusha mistari hadi dem akatii????????.

Niliona nijichoche ndo ajuwe tunapendana na Brianna kwa hiyo akae mbali na yeye sana????????. Seeing any man around Brianna ni temptation yenye siwezi overcome ????.

Kamau: Wow,, siku hizi uncle Mike ndo mistari zinatumika kukatia madem????????. Woo maradio, woo swimming pool, sofa sets kwa nyumba????????????.

Me: Wait ✋✋. Is that what she has been telling you??

Kamau: Unaniangusha jamaa????. Mtoto amejipa. Ukija kumpoteza kwa mtu mwengne usinilaumu????????.

I loved kamau koz ikifika upande wa jokes anajuwa, ukifika kwa serious business anarada mbaya sana, sisemi ikifika kwa kusoma❣️❣️. Alikuwa ameanza kufikiria kujipata kwa top ten sasa????????. Hata hivo alinisaidia na advice ila nilijawa na aibu sana, kwanza nikiimgn venye nlikuwa napeana story zenye hawataki????????. Nguvu ya kuenda nijitetee tena itoke wap????????.

That day iliisha ivo, hatukuongea tena na Brianna, I was looking for a best way of approaching her but waah,,,, I think I was so shy to just say "I Love you" ????????. Nilijaribu kumtuma kamau but akasema, ikifika kwa mapenzi ni mm na mm pekee yangu????????.

The following day mrng, wasee walikuwa washaanza kuenda mahome????????. Bado hatukuwa tumeongea na Brianna ????. "Hivi,,???????? ni kweli et ukichelewachelewa utapata mwana si wako??" Nilianza kujiuliza kimoyomoyo wakati nilimuona Brianna akija daro huku akiniangalia as if alitaka niseme kitu????????. Guys sikusema anything,,, instead my heart was racing in my chest, sijui nimuite??

Alipoona sina shughuli sana akatoka, am sure alitarajia nimfwate????????. For the second time I didn't follow her????????. Ina maana hivi ndo watu hufeel wakati wamecrushia wengne,,, sijui kwann moyo ulikuwa unaenda mbio????????. Wacha kucrush sasa, I had already fallen in love with her but breaking it to her....., woih????????.

Kidogo Kamau alifika, sema kashangaa????????. "Bro, what is wrong with you, eeh Sky, what exactly is wrong with you ????????"

Me: What is it bro.. what have I done??

Kamau: Ooh so you don't know what you are supposed to do now right?? Bro, tunaenda midterm man Brianna is Waiting to hear something from you ????????. SKY ????, usiniambie hujui kakatia please ????????.

Me: Hivo ndo amekutuma...

Him: Okay amesema nikwambie anataka kuenda..

Me: Waaah, so?? Bro si umwambie angoje kwanza bana????????

Him: ????????????et nimwambie angoje kwanza, kwan ameenda????????. Si ako hapa nje ????????. (Shouting) Hey Brianna óga haha????????.

Brianna alifika tena????. "Mkimaliza usiende kwanza bro, nmetaka tuongee kidogo before niishie sawa?" Kamau alisema before atoke nje????????.

Maneno yakanisaliti tena kwa mara ya pili????????. Sikujuwa niseme nini cha kwanza????????.
After 5mins of silence

Her : Waah sky ????. Nataka kuenda aki, niambie??

Me: Mambo?

Her: POA sana.

Me: Hata mm pia niko poa sana.

(Silent)
After 3mins.

BRIANNA: Wacha mm niende home. Naweza chelewa ak????.

Me: Ooh unataka kuenda?? Si tukaekae kidogo ama??

Her: Sasa wewe huongei surely ????.

Me: Si ivo, si ninaongea Brianna. Si nmekuuliza Mambo??

Her: Waah????????. Okay umewahi kuwa na girlfriend ama uko naye??

Me: Hapana,,, Sina GF mm.

5mins of silence again.

BRIANNA: Wacha sasa niende home. Si tutaonana next week but one basi????.

Me: Kwan unataka kuenda, si tukaekae . Sasa sahi unaenda kufanya nini, heri ufike jioni home..

Her: Mm sijatakaa kukaa sky. But sasaaa. Okay niambie basi siendi????

Me: Unaendanga Church gan??

Akacheka????????. "Oh my goodness ????, kamau alienda wapi?" Brianna aliniuliza.

Me: Ngoja kwanza,, bado hujanijibu, unaendaga church gan??

Kama akafika na kutushow madam Stacy anakam????????. Ilibid tukuwe serious kidogo????. Akafika akasimaaaama????????.

MADAM: Brianna unaenda sahi home twende ama unakaakaa????????. Naona mko busy kidogo??

BRIANNA : Siz bado nakaakaa, si upige maround ifike saa kumi ndo twende????.

STACY: It's okay. Nyny soma soma nitakukujia????????. Then kamau, I like your effort now days❣️❣️, you can make it imgn... So ukienda home usilale, chapa kitabu, soma kwa bidii, nmeona unaweza fanya vizuri sana????????.

Kamau: Nashukuru sana madam, sure I will do my best ????????.

Madam: Nataka nikuone kwa top ten next exam,, nasema hivo ju najuwa unaweza????????. Anyway someni nitarudi sawa mammy❣️.

BRIANNA : poa siz????????.(madam akaishia)

Kamau: So guys, sorry for disturbing your your endless conversation ????????. Naomba niishie nitarudi sawa.

Brianna: Kamau usiende kwanza????????.

Kamau: What is it again ????????. Sky ni nini????????.

To be continued...... Weka like kwanza majamaa????????????. 500likes nidrop next leo leo..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DRAMA OF LOVE part 4.

????????????DRAMA OF LOVE????????????
part 4.

Have you ever had a crush on someone?? But the more you were trying to show how much you are into him/her, the more you were getting ignored ????????. What did you do ????. Kwa Brianna ungeona tu kwa macho venye alikuwa ameboeka, nadhan hakutaka aseme ju huenda ningejam labda????????.

Kwa school canteen, tumesimama kwa veranda baada ya kununua tungumu twa mbao, tunakula huku tukipiga gumzo????.

BRANANA: SKY you must be joking, yan umebuy ngumu nne then ukule tatu mm unipe moja??.

Me: Et tatu??, My dear hata hiyo moja yenye nmekupa tunakawana katikati✌️✌️.

BRANANA: Wait, et hii...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 18.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 18.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 22.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 22.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 37.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 11.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 11.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 8.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 8.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 20.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 20.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁.  part 19
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 19
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 34.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 9
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 9
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 43.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 43.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 38
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 38
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 16
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 16
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 30.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 30.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 41
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 41
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi😱,
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi😱,
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 33
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 40.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 40.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 44
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 44
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 28  No matter how bad and long a night
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 28 No matter how bad and long a night
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 31
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 31
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 14
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 14
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 45
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 45
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 26..
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 26..
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 21.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest