💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁.
part 16
Tuko ofisini kwa principal 😭, pembeni amekaa mamangu, kakasirika kweli kweli 😓, mbele yangu amesimama Brianna, a partner in crime😂. Haachi kusmile kila anaponiangalia😪, sijui ni nini kilikuwa kimemfurahisha😪.
Haya yanatokea baada ya mamangu kutaja jina la Brianna queen darasani tena machoni mwa NJERI 🙆. Sikutaka Brianna ajitambue kwa hiyo venye aliniangalia nilimpa ishara ya kutosimama🙏🙏, don't ever joke with a woman that is in Love 😭😭. Brianna kalisimama kwa ujasiri na kudai ni yeye ndiye😱😱.
NJERI: Sky?? Did I hear your mom calling her Queen 😭😭.
Mom: That is what she's saved on his phone 😱. Brianna Queen, yes... Or please my daughter, can you read for me this name??
Mom alimuagiza Nancy (prefect wa sanitation)
Nancy: It's QUEEN with two love emojis at the end🙆🙆.
Njeri alikoza cha kusema, yan aligeuka fukara wa maneno, aliniangalia kwa macho ya simba jike mwenye amejifungua juzi na ana njaa🙆🙆. She just clicked, mm nikaangalia chini😭.
Principal: SKY, is Brianna your girlfriend??
Me: Noooh how Sir, she's not😭😭. She can't be, she shall not be and Sir she must not be my girlfriend 😭😭.
Watu walicheka,
Principal: Brianna, if you want to continue learning in this school. You must say the truth 😪😪. Nothing but the truth 🤝. Is Sky your boyfriend??
Brianna: (alimwangalia Njeri kisha aksmile) Sir, a point of correction please, Sky is my husband not BF 😱😱. We have been in a relationship since I stepped in this school😱😱.
Waah karibu nifaint😭😭. Case ilishindikana kusuluhishwa darasani ikabid tumeitwa ofisini 🙏🙏.
Principal: wewe msichana, so you lied to me right??
Brianna: Noh Sir, I didn't, Sky is my man🙏🙏.
Principal: I heard you saying since you stepped in our school??
Brianna: Yes sir, that first day🙏🙏.
Mom alikuwa hatulii, aliomba tu apewe ruhusa anirukie😭.
Principal: my girl, unakumbuka last term mlipatikana town mkigombana ukimbeg sky akusamehe hadi mkatangazwa kwa TV 🤔🤔. Why did you lie to me???
Brianna: 😱😱
Principal: Sasa jamani, hapa mkipewa suspension mnaweza enda kwa OCS tena🤔🤔. Mbna mnadanganyana?? Sky unatka kuoa🤔🤔.
Me: hapana mwalimu..
HIM: Haya mwambie Brianna kwamba, you are just wasting her time😲 😲.
Prinz aliinama chini kuchukua kalamu ambayo ilianguka
Nilimwangalia mtoto akanipa smile ya heaven😲🤩, kisha akijifanya anajikuna then akainua blouse yake kidogo😱😱. Kumbe pia alikuwa amejiweka tattoo ya jina langu🙆. Sema kuchanganyikiwa😲😲.
Me: waah mkuu we mwenyewe mchapie🙏. Hiyo ni ngori manze🙆🙆.
Mkuu: Wee si umeskia anakuwestia tu tym, wachana na yeye na umove on sawa😓😓.
Brianna: Ak sky hajasema ivo teacher 😪. Mm nampenda😭.
Kidogo mgeni wa board akafika👏👏. Sijui Brianna alitoa wapi audacity ya kuongea ivo mbele ya principal..
Principal: Welcome Sir, eeeh, you can go to class, nitawaita✌️✌️🤩🤩.
US: Okay Sir Bye 😋😋.
Kufika karibu na mlango, mam akanirukia na kuanza kuninyonga😭😭.
HER: Wewe unataka kuniua😭😭. Eeh yan mi... (Akanipa kofi ya shingo) ... mimi nalipa fees na unacheza tu😭😭.
Alinitega tukaanguka nje😭, kumbe Njeri alikuwa ametufwata na alikuwa tu huko nje akiskiza😪😪.
NJERI: Ak mam usimuue😭😭, (alimfuruta mam hadi akamtoa juu yangu😭 nikatoka mbio 🏃🚶🏻♀️)
Mom: Ngoja tukutane home mkifunga, usipokuwa namba one usahau kama mm ni mama yako😪😪. Nonsense 😭
Hiyo siku darasani hakukukalika😭, kila mtu alikuwa na visirani tu🙆.
Kamau: Pole sana brother,, it's hard but in the world of love, all this is normal🙏🙏. But Brianna loves you so much💖💖.
NJERI: Nyesh love nyo nyaji🙄 nyo nyo nyo nyo🙄. Who told you she Loves him?? Kama anampenda si angemtetea wakati mamake alikuwa anamnyonga😓😓. Wewe kamau sijui nia yako ni gani kwa relationship yangu na sky😪😪.
Kumbe Njeri alifika akasimama nyuma ya kamau bila kamau kujua😭.
HER: beb pole sana najuwa Brianna aliongea tu kwa madharau ivo mbele ya mamako eti ndo aniumize mm😪😪. She doesn't love you at all😪. Look hadi hajakam kukwambia pole😲😲.
(Silent)
HER: Why are you not talking Beb, Am I disturbing you??
Me: Please dear,, I need time to freshen up my mind, l'll talk to you later 🙏.
HER: Okay then, your happiness is my priority ❣️.
After ameenda nilimuita Tena kamau 🙏🙏.
Me: Bro, do you think this girl will love you the way you love her🤔🤔. Mbna anakuhate ivi🤔??
Kamau: Hehee, Bro nothing is impossible 🙏🙏. Mm najuwa hujamwambia koz unamfeel pia sindio?? They say it's better to try and fail than failing to try 💖💖. Am ready for anything bro,
Me: okay bro, usiende.
Nilimuita Njeri kwa kona, tukakuwa watatu🙏🙏.
NJERI: Yes, I hope you are fine now??
Me: Don't bother dear,,, mm nimetaka nikuulize kitu🙏🙏.
HER:,🤔🤔, okay ask.
Me: Has kamau ever done you wrong, stolen your thing, abused you or myb hit you or gossip about you in any way??
HER: 😱😱, waaah kamau?? No no no he hasn't... Why did you ask, If you won't mind 🙏🙏.
Me: If he hasn't done anything wrong to you, then why do you hate him so MUCH 😭😭. Why? is he not a human being??
HER: To be honest, I have no grudge against kamau, he's a nice guy, handsome genius and also friendly 💖💖. I always enjoy being around him💖💖. Why did you ask ??
Me: Just take a good look at him❣️❣️. Do you think he deserves the style you have just talked to him 😪😪.
HER: Sky surely,, ok am sorry 🙏🙏.
"Sorry is not enough for now,, please hold his hand💖" I requested
NJERI: His hand?? Sky?? Okay kamau leta mkono😓.
Me: Good, kamau how do you feel that softness 🤩🤩.
Kamau: Bro, me holding Njeri's hand is like a dream coming through 😭😭. She has a soft skin I say❣️❣️.
"NJERI, how do feel holding his hand for the first time"
HER: He's fine, Yes he's 🙏🙏.
Me: WOW 😋, kamau, tuassume Sasa huyu Njeri ni first time mmekutana, na umempenda. Assume umemuita akasimama na amekupa only 2mins. Tell her what you feel💖💖💖🙏.
HER: waah sky wewe ,,,
Me: Tulia upangwe🤩🤩. Okay si umempa time aseme chenye amekuitia❣️❣️.
HER: Waa🙈🙈, okay wacha aseme💖.
Kamau: Finally my day has arrived, meeting an angel like you Njeri, for sure I have gone out of words but I must say you are so beautiful dear,, just hold a breath😲, close your eyes, (Njeri alifanya ivo) leta huo mkono mwingne😲( akampa mkono tena😲 but kibahati mbaya Njeri akafungua macho🙆)
NJERI: 😲😲, whaaaat😱 kamau, is that my name on your arm😱😱.
Kamau: am dieing of your love please,, this is.......
Me: Guys kidogo tu narudi🙈🙈.
Waaah hawa karibu wafanye nijione ni kama sijui mapenzi bwana😂😂. Nilifika kwa mlango kuangalia bado walikuwa wameshikana mikono😱.
To be continued...
Did they fall in love??
Don't miss part 17❣️ ensure you like the story please❣️..