Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 16

5th Jun, 2025 Views 45

💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁.
part 16

Tuko ofisini kwa principal 😭, pembeni amekaa mamangu, kakasirika kweli kweli 😓, mbele yangu amesimama Brianna, a partner in crime😂. Haachi kusmile kila anaponiangalia😪, sijui ni nini kilikuwa kimemfurahisha😪.

Haya yanatokea baada ya mamangu kutaja jina la Brianna queen darasani tena machoni mwa NJERI 🙆. Sikutaka Brianna ajitambue kwa hiyo venye aliniangalia nilimpa ishara ya kutosimama🙏🙏, don't ever joke with a woman that is in Love 😭😭. Brianna kalisimama kwa ujasiri na kudai ni yeye ndiye😱😱.

NJERI: Sky?? Did I hear your mom calling her Queen 😭😭.

Mom: That is what she's saved on his phone 😱. Brianna Queen, yes... Or please my daughter, can you read for me this name??
Mom alimuagiza Nancy (prefect wa sanitation)

Nancy: It's QUEEN with two love emojis at the end🙆🙆.

Njeri alikoza cha kusema, yan aligeuka fukara wa maneno, aliniangalia kwa macho ya simba jike mwenye amejifungua juzi na ana njaa🙆🙆. She just clicked, mm nikaangalia chini😭.

Principal: SKY, is Brianna your girlfriend??

Me: Noooh how Sir, she's not😭😭. She can't be, she shall not be and Sir she must not be my girlfriend 😭😭.

Watu walicheka,

Principal: Brianna, if you want to continue learning in this school. You must say the truth 😪😪. Nothing but the truth 🤝. Is Sky your boyfriend??

Brianna: (alimwangalia Njeri kisha aksmile) Sir, a point of correction please, Sky is my husband not BF 😱😱. We have been in a relationship since I stepped in this school😱😱.

Waah karibu nifaint😭😭. Case ilishindikana kusuluhishwa darasani ikabid tumeitwa ofisini 🙏🙏.

Principal: wewe msichana, so you lied to me right??

Brianna: Noh Sir, I didn't, Sky is my man🙏🙏.

Principal: I heard you saying since you stepped in our school??

Brianna: Yes sir, that first day🙏🙏.

Mom alikuwa hatulii, aliomba tu apewe ruhusa anirukie😭.

Principal: my girl, unakumbuka last term mlipatikana town mkigombana ukimbeg sky akusamehe hadi mkatangazwa kwa TV 🤔🤔. Why did you lie to me???

Brianna: 😱😱

Principal: Sasa jamani, hapa mkipewa suspension mnaweza enda kwa OCS tena🤔🤔. Mbna mnadanganyana?? Sky unatka kuoa🤔🤔.

Me: hapana mwalimu..

HIM: Haya mwambie Brianna kwamba, you are just wasting her time😲 😲.

Prinz aliinama chini kuchukua kalamu ambayo ilianguka

Nilimwangalia mtoto akanipa smile ya heaven😲🤩, kisha akijifanya anajikuna then akainua blouse yake kidogo😱😱. Kumbe pia alikuwa amejiweka tattoo ya jina langu🙆. Sema kuchanganyikiwa😲😲.

Me: waah mkuu we mwenyewe mchapie🙏. Hiyo ni ngori manze🙆🙆.

Mkuu: Wee si umeskia anakuwestia tu tym, wachana na yeye na umove on sawa😓😓.

Brianna: Ak sky hajasema ivo teacher 😪. Mm nampenda😭.

Kidogo mgeni wa board akafika👏👏. Sijui Brianna alitoa wapi audacity ya kuongea ivo mbele ya principal..

Principal: Welcome Sir, eeeh, you can go to class, nitawaita✌️✌️🤩🤩.

US: Okay Sir Bye 😋😋.

Kufika karibu na mlango, mam akanirukia na kuanza kuninyonga😭😭.

HER: Wewe unataka kuniua😭😭. Eeh yan mi... (Akanipa kofi ya shingo) ... mimi nalipa fees na unacheza tu😭😭.

Alinitega tukaanguka nje😭, kumbe Njeri alikuwa ametufwata na alikuwa tu huko nje akiskiza😪😪.

NJERI: Ak mam usimuue😭😭, (alimfuruta mam hadi akamtoa juu yangu😭 nikatoka mbio 🏃🚶🏻‍♀️)

Mom: Ngoja tukutane home mkifunga, usipokuwa namba one usahau kama mm ni mama yako😪😪. Nonsense 😭

Hiyo siku darasani hakukukalika😭, kila mtu alikuwa na visirani tu🙆.

Kamau: Pole sana brother,, it's hard but in the world of love, all this is normal🙏🙏. But Brianna loves you so much💖💖.

NJERI: Nyesh love nyo nyaji🙄 nyo nyo nyo nyo🙄. Who told you she Loves him?? Kama anampenda si angemtetea wakati mamake alikuwa anamnyonga😓😓. Wewe kamau sijui nia yako ni gani kwa relationship yangu na sky😪😪.

Kumbe Njeri alifika akasimama nyuma ya kamau bila kamau kujua😭.

HER: beb pole sana najuwa Brianna aliongea tu kwa madharau ivo mbele ya mamako eti ndo aniumize mm😪😪. She doesn't love you at all😪. Look hadi hajakam kukwambia pole😲😲.

(Silent)

HER: Why are you not talking Beb, Am I disturbing you??

Me: Please dear,, I need time to freshen up my mind, l'll talk to you later 🙏.

HER: Okay then, your happiness is my priority ❣️.

After ameenda nilimuita Tena kamau 🙏🙏.

Me: Bro, do you think this girl will love you the way you love her🤔🤔. Mbna anakuhate ivi🤔??

Kamau: Hehee, Bro nothing is impossible 🙏🙏. Mm najuwa hujamwambia koz unamfeel pia sindio?? They say it's better to try and fail than failing to try 💖💖. Am ready for anything bro,

Me: okay bro, usiende.

Nilimuita Njeri kwa kona, tukakuwa watatu🙏🙏.

NJERI: Yes, I hope you are fine now??

Me: Don't bother dear,,, mm nimetaka nikuulize kitu🙏🙏.

HER:,🤔🤔, okay ask.

Me: Has kamau ever done you wrong, stolen your thing, abused you or myb hit you or gossip about you in any way??

HER: 😱😱, waaah kamau?? No no no he hasn't... Why did you ask, If you won't mind 🙏🙏.

Me: If he hasn't done anything wrong to you, then why do you hate him so MUCH 😭😭. Why? is he not a human being??

HER: To be honest, I have no grudge against kamau, he's a nice guy, handsome genius and also friendly 💖💖. I always enjoy being around him💖💖. Why did you ask ??

Me: Just take a good look at him❣️❣️. Do you think he deserves the style you have just talked to him 😪😪.

HER: Sky surely,, ok am sorry 🙏🙏.

"Sorry is not enough for now,, please hold his hand💖" I requested

NJERI: His hand?? Sky?? Okay kamau leta mkono😓.

Me: Good, kamau how do you feel that softness 🤩🤩.

Kamau: Bro, me holding Njeri's hand is like a dream coming through 😭😭. She has a soft skin I say❣️❣️.

"NJERI, how do feel holding his hand for the first time"

HER: He's fine, Yes he's 🙏🙏.

Me: WOW 😋, kamau, tuassume Sasa huyu Njeri ni first time mmekutana, na umempenda. Assume umemuita akasimama na amekupa only 2mins. Tell her what you feel💖💖💖🙏.

HER: waah sky wewe ,,,

Me: Tulia upangwe🤩🤩. Okay si umempa time aseme chenye amekuitia❣️❣️.

HER: Waa🙈🙈, okay wacha aseme💖.

Kamau: Finally my day has arrived, meeting an angel like you Njeri, for sure I have gone out of words but I must say you are so beautiful dear,, just hold a breath😲, close your eyes, (Njeri alifanya ivo) leta huo mkono mwingne😲( akampa mkono tena😲 but kibahati mbaya Njeri akafungua macho🙆)

NJERI: 😲😲, whaaaat😱 kamau, is that my name on your arm😱😱.

Kamau: am dieing of your love please,, this is.......

Me: Guys kidogo tu narudi🙈🙈.

Waaah hawa karibu wafanye nijione ni kama sijui mapenzi bwana😂😂. Nilifika kwa mlango kuangalia bado walikuwa wameshikana mikono😱.

To be continued...

Did they fall in love??
Don't miss part 17❣️ ensure you like the story please❣️..
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

YAMENIKUTA

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 9

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINSI YA KUTUNZA UKE

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

PART 5 MY HEART

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MY HEART 03--04

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

*MY HEART* *1---2 *

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 7

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

ANIPHA 6--7.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

MIMBA YA BESTMAN 05

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest