๐๐๐DRAMA OF LOVE๐๐. part 44
If you have no enemies then think about your own mother. She might have produced one. No one lacks enemies๐.. heri adui mwenye anakushambulia kuliko fake friend mwenye anakuhug๐ช๐ช.
"I don't think Nancy deserves you Sky,, she is not type of a girl you want๐ช,, why are you giving her much tym๐ช, stop it" Brianna advised me.
But why was she saying that,, she dumbed me for Robby, who confronted to tell her that Robby wasn't her type too๐ค๐ค.. nilibaki kama nmekimia, kumwangalia Nancy venye alikuwa mpole na roho safi nyeupe kama bambaโฃ๏ธ.
ME: Why are saying that,, who told you the type of a girl I want๐ช.. get lost๐ช
HER: Why are you getting mad at me now,, So am I not supposed to advise you if you are dating the wrong person, hey look at me, wake up sky๐ช
ME: And who told you that Robby is the right person for you ๐ช.. wacha kujipima kwa kiatu ya wengine dada,, utakufa mapema๐๐.
BRIANNA: Hey usimtaje Robby hapa๐ช.. I want to find you a good girl โฃ๏ธ. Si huyu Nancy ๐
ME: Sitaki mapenzi sahi,, Madam advised me to focus more on my education, not this things you telling me ๐.. why are you so jealousy of your fellow girl Brianna?
Siku zilisonga ikafika tena weekend,, this round I decided to fulfill the promise I made to Madam, kwa hiyo niliamua kuenda kwa Essau "WOW ๐ finally he has decided to follow us๐, I knew it๐ช" bri said happily ๐ช.
Kwa njia nilimuavoid kabisa, sikutaka huo mchezo wake wa kunirukia kila saa,,
BRIANNA: Sijui nani aliambia watu et mkikosana mnafaa kukasirikiana๐ค.. wengine naonanga wanablockiana, sasa sijui mtu akitaka kuomba msamaha warudiane atafanya aje?? (Silence) Watu wengne wakikudharau utadhani kuna kitu kwa mwili yao hujawahi ona๐ช(silence) Wamebarikiwa na some of their body parts๐ na hawajui kuzitumia๐ช.. (silence, tulitembea kidogo then....) Kazi yao ni kutuonyesha tu,, hawajui kuomba watu mali wagonge๐ช,,( silence) sasa hata mtu anafika mahali anajiulizaa,, huyu kweli anaweza nikula hadi nishangae? ๐ค๐ค.. Ju hata hawajui kumconvince mtu awape mali
Aih mm nilishindwa kuvumilia,
ME: bri sometimes unakuwanga mwenda ama?? Kelele ni ya nini?? Utaacha utoto
BRIANNA: Ukanikumbusha siku moja uliniambia unapendanga sana kuskia sauti yangu,, huu utoto wangu ndo ulifanya ukanipenda,, ๐ช. Sahi ni kelele๐ it's okay, uzuri nahusunika tu nikiwa kwa njia, tukifika huko nitabembelezwa kama mtoto,, nitashikwa kama queen, nitapewa kila kitu chenye sijawahi pewa kwa maisha yangu๐๐
ME: Nini hiyo hujawahi pewa kwa maisha yako,,
HER: Kulimwa๐ช, Yes wewe umewahi nilima??
ME: sijawahi ju hutakangi๐ช..
HER: Sitakangi aje,, kwan huwa unataka mm nikuseduse๐ช. Si mtu akitoa nguo huwa anaanza kumromance dem wake,, wewe umewahi๐.
ME: So after kuachana ndo unaanza kusema hivo,, si hiyo siku tulikuwa kwa bed ulikataa..
HER: Nani alikwambia dem akisema, "wachaaaa" ama "sitakiii" huwa anamaanisha?? Hawa machali wa siku hizi mnakaa aje lakn๐ช.. hata heri wababa๐ค๐ค. Unajuwa wababa......๐ฑ
ME: Kwan "wacha," na "sitaki" zinamaanisha nini?
BRIANNA: Ngoja nimalize,, Unajuwa wababa.....๐ฑ๐ฑ Sky unaenda wapi sasa??
Aligeuka nyuma kama nimeturn narudi shule๐ช..
ME: zile story za wana enda umwambie Robby wako๐๐..
HER: Si ukuje twende basi,, ngร i ๐๐.. si pia umekuwa ukichangia๐ฑ. Sky?? Walahi you are not going anywhere ๐ช๐ช..
Alinifwata mbio ๐โโ๏ธ. Mm nae ni nani, nilitoka mbio ๐ pia๐..
HER: Sky weeee,, sasa unaenda wap?? Okay kam nmeacha kuongea basi๐.
Sauti yake ilikuwa sawa na kumpigia mbuzi gitaa, alikuwa anajiongelesha mwenyewe๐ช.. I meant nilizidi kukimbia๐ช.
BRIANNA: Oooh unataka niamue sindio,,, (huku akigunja skirt๐ฑ) unataka tukimbie๐ค๐ค. Don't worry dia, pia nina hiyo talanta๐ค.
Tulienda mbio tukawaacha Njeri , Kamau na Hellen wakaenda pekee yao๐๐.. aaih niliona ameanza kunikaribia๐ฑ,, "usijaribu kusimama,, leo hata ka ni Mombasa tutafika" she said huku akiendelea kunikaribia๐ฑ.. after running for 1hr and 15 mins, mm nilichoka nikaanguka kando ya mahindi๐ญ๐ญ. Nilikuwa nahema kweli kweli.
HER: Bydha kwann nilikuwa nakufwata sasa๐๐..
ME: Mm nataka kukufa aki๐ญ.. maji maji majiii,,
Brianna: Maji ni ya kiu bro,, kama unakufa maybe nikuombee tu๐. Amka twende..ama unataka maji ya uzima๐ค
ME: tuko wap,,
HER: ๐ulikuwa unaenda penye hujui,, wacha tukaekae tupumzike kwanza ndo twende๐ค๐ค.. so you better use this opportunity kunipea mistari motomoto๐ค๐ค. Huenda nikachange mind๐ค. Start ๐
ME: Kwa maisha yangu sijawahi kuwa na mtu wa kunipa furaha kama wewe Brianna,,
HER: Mm nakupa furaha wewe unashindwa kunilima.. endelea
ME: kila time nikifikiria et kwa sasa hatuko pamoja huwa nafeel vibaya sana๐ญ๐ญ.. nakuhitaji tena bri,, I miss your company ๐ค๐ค
HER: Hiyo nilikuwa nishaambiwa na Robby jana,, that's why nilikuwa naenda kwake kumpa company ๐. Continue...
ME: Funda wewe๐๐
To be continued guys......wacha nizidi kurusha mistari hapa kakikubali nitawaambia๐๐๐ฅบ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi




























Maoni