Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
Gonga94 ยท Stories

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Cheaters,, has he/she ever cheated on you?. Was it twice or thrice๐Ÿค”. Kufikia sasa venye tunaishi kwa hii dunia,, huwezi mshawishi nyani kwamba pesa ni tamu kuliko ndizi na akuelewe๐Ÿ™. Namaanisha, mbwa siku zote yeye anaamin kwamba mfupa ni tamu kuliko nyama๐Ÿ™,, I mean kufikia sasa huwezi mbadilisha mtu aliyezoea kucheat,, already ashajuwa mfupa(wengine) ni tamu kuliko nyama(wewe)๐Ÿ’”๐Ÿ˜ญ. Mbna acheat sasa๐Ÿ˜ช.

MADAM Stacy alishangaa kutuona tunafika late sana๐Ÿ˜‚. Hakujuwa it was planned by her younger sister ๐Ÿ’ช.. miss drama mwenyewe๐Ÿ™.. They way stacy was talking, hata kipofu angeona kwamba in one way or the other, kuna kitu alikuwa amefurahishwa nacho kwa Esau โฃ๏ธ.. Brianna hakusita kuanza zake.

HER: Am now relieved siz ๐Ÿ’ช,, I see you are trying your level best to make sure am happy ๐Ÿค—๐Ÿค—.. don't stress too much about that dear,, am already happy๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

Stacy: Happy for what??

BRIANNA: Anyway in-law? How is my item๐Ÿ˜‚. Mali ikoje๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ

MADAM: Brianna tokeni hapa,, am your teacher mjue๐Ÿ˜ช.. why don't you respect me for once,, I shouldn't have come๐Ÿ˜ช.

Esau: Why are sounding as if you don't know your younger sister well๐Ÿ˜‚.. she speaks everything that comes in her mind๐Ÿ™†.

BRIANNA: Sister you may see me as a child but trust me. I know what is good and bad for you ๐Ÿ™๐Ÿ™.. Jared is a bad guy๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. I hated him since the first time I sighted him๐Ÿ˜ช.. How can you date a drunkard man for Jesus sake๐Ÿ˜ญ. Me hadi niliku....

MADAM: Shut up๐Ÿ˜ช. Why are you saying all these now?? Stop disclosing my private life ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

BRIANNA: Am sorry Siz,, but by bad luck it isn't a secret now๐Ÿ™๐Ÿ™.. Jared is a womanizer๐Ÿ˜ช. All time anakuomba doh, who does that to his lover if truly he loves her๐Ÿ’”๐Ÿ’”..

MADAM: Is this what you called me for?? Hey Esau, please don't take her serious, she's still a child ๐Ÿ™๐Ÿ™.

ESAU: I know that ๐Ÿ™.. but can I ask you a question?

MADAM: Sure

ESAU: Do Jared drink alcohol? Is he a womanizer?

STACY: He drinks but not that much๐Ÿ™. Kwa womanizer, to be honest I have only caught him twice๐Ÿ™๐Ÿ™..

BRIANNA: Siz umesahau kuongeza "with different girls" koz that twice hukumpata na mmoja๐Ÿ’”๐Ÿ˜ช.. ndio mm ni mtoto but wewe ni ugonjwa unajitafutia๐Ÿ™†. SISTER, I love you so much ๐Ÿ™

STACY: Oookay dear,, go to kitchen now,, enda mkapike๐Ÿ˜‚.. I know you care so much about your elder sister โฃ๏ธโฃ๏ธ.

ESAU: my dear, enda mkapike sasa๐Ÿ™๐Ÿ™. Aki this girl๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜,, anaongea maneno yanapita umri wake๐Ÿค—.

MADAM: wachana na yeye๐Ÿ˜‚.. so you said uko single?? How and why? at your age?

Tulitamani mm na NJERI tuskize venye wanaongea but story za Brianna hazikutupa time๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

HER: Lakn huku shuleni kuna vitu zingine huwa hazimake sense๐Ÿ˜ช. Sasa mbna huwa tunasoma vinyume jamani๐Ÿ˜‚..

NJERI: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚huyu mtu ak,, yan huwez kaa tu ukatulia๐Ÿ˜‚.. na bydha mbna huwa tunasoma vinyume surely ๐Ÿ˜‚..

ME: Maji imechemka nyie pikeni bana ๐Ÿ˜‚..

NJERI aliweka unga akaanza kazi yake

BRIANNA: Ngร i Njeri kwan uko na mgongo mrefu aje๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. ooh sorry kumbe huna haga,, waah nilidhan ni mgongo ndo mrefu๐Ÿ˜‚.

NJERI alikakonga na sahani ya plastic kwa kichwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

HER: Sasa haga yangu na yako gani ndo ndogo surely๐Ÿ˜‚.. check vizuri usiconfuse bana๐Ÿ˜‚..

BRIANNA: Sky et ni ukweli??

ME: Pikeni kwanza nitawaambia baadae ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

Kidogo Kamau akanikol๐Ÿค—. "Waah hadi nilikuwa karibu kumsahau ak,," Njeri alisema..

BRIANNA: sasa umsahau ubaki na nani ๐Ÿ˜‚.. watu wengne ak๐Ÿ˜‚.. oyah ebu shika iyo kol tuone anaplan gani๐Ÿ™.

"Hello kaka vipy?" I said after receiving the call

VOICE: Poa sana bro, eeih siku mob bana hadi huwez nichat man?? How's life there?

ME: Smooth bro,, nikiwa na bri na njeri reason ya kuboeka natoa wap ak๐Ÿ˜‚..

VOICE: Wako hapo??

ME: Ndioo hadi nmeweka loud speaker๐Ÿ˜‚..

VOICE: Mpe Njeri Kidogo ๐Ÿค—.

NJERI: Hello kamaa?? Bri nisaidie kumalizia kupika hiyo ugali please ๐Ÿ™

VOICE: How are you doing ? Kumbe ulienda kwa SKY hata hukunishow imgn??

NJERI: Sorry , niliona ni stress to ndakupa koz wewe huwa unakaa na mbogi yako kwa hao ๐Ÿ™๐Ÿ™..

VOICE: Haina shida, inabid bana,, so form Ni gani, azn you haven't talked about our future together,, does it mean bol ilipangua kila kitu??

NJERI: Aa...eh.. ama ngoja tutachat kwa simu yangu basi... Nitakwambia โฃ๏ธโฃ๏ธ

VOICE: I'm expecting some good news dear๐Ÿ™๐Ÿ™..

NJERI: Of course.. et bri anataka kukugotea๐Ÿค—๐Ÿค—

BRIANNA: Oya morio vipy??

KAMAU: Nyie mko sawa hamlipi rent ak.. huku tushaanza kudaiwa imgn๐Ÿ™†๐Ÿ™†..

BRIANNA: Landlord mgan hudaisha rent tare moja surely,, like seriously,, hata watu wa illuminate hawajalipwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

ESAU: ngร i ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚... Brianna??๐Ÿ˜‚

MADAM Stacy: ๐Ÿ˜‚wachana na huyu mwendawazimu ๐Ÿ˜‚.

KAMAU: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚et watu wa nini๐Ÿ˜‚.. mojinga wewe๐Ÿ˜‚..

BRIANNA: akili mtu wangu๐Ÿ˜‚. Rent ni how much??

KAMAU: Si mob, ni 1500 ๐Ÿ™

BRIANNA: Don't worry,, niko na in-law hapa anakusort๐Ÿ˜‚.. oyah in-law??

Madam akacheka๐Ÿ˜‚

ESAU: nambie niskie?

Bri: Cheza kama wewe bana,,, huyu anakol ni mbogi yangu ya shule,, pale top 4๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช.. nakupa namba๐Ÿ’ช.

KAMAU: Are you serious?

Supper iliiva , WOW ๐Ÿ˜‹ I felt so special to have madam Stacy in our house again,, for sure she was my favorite teacher in school,, I could talk or share everything with her๐Ÿ™๐Ÿ™.. so friendly and good hearted too๐Ÿ™๐Ÿ™..

Finally Madam had already given in for Esau,, shida ikawa hapo kwa kumfanya Jared a move on๐Ÿ™†๐Ÿ™†.. mm na Njeri atukuwa tunabonga mob ju tulikuwa tunamuogopa madam๐Ÿ™๐Ÿ™.. hadi yeye hakuwa anataka tuongee kuhusu love sana๐Ÿ™. Inakubalika๐Ÿ™.

BRIANNA: Worry less Siz,, hiyo kazi niachie๐Ÿ™.. hapo nitakufanyia 2k pekee๐Ÿ™๐Ÿ™

MADAM: ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ2k?? Are you mad?

BRIANNA: Is 2k huge money? Why are yelling at me now๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. are you not the one asked๐Ÿ˜‚. Okay nmekutolea 15bob,, utanipa ksh.1985..

NJERI: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

MADAM: What will you do now?? Si nmekupa 2k zako๐Ÿ™๐Ÿ™
Bri: Leave everything to me๐Ÿ™๐Ÿ™..

Tukiwa bado kwa meza,, mtu alikonga kwa mlango na nguvu sana๐Ÿ˜ฑ.. "who's that?" I asked but the person continued knocking heavily. Niliamka kuenda kufungua but askari akanikanya๐Ÿ™..

ESAU: Sky, sit down and eat .. huwezi fungulia mtu humjui na pia hataki kusema jina๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช..

Aaih the speed continued untill Esau stood up and took out his gun๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ

BRIANNA: Whaaat? Yan unakuwanga na hii mali na hujawahi nifunza kuitumia๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ˜ฑ..

ESAU alisonga polepole hadi kwa mlango๐Ÿ™.. "Who are you?" He asked.. he got no response ๐Ÿค”๐Ÿค”.. "guys be ready to lay down if he has a weapon okay?" He whispered to us

BRIANNA: ama ni babako mdogo??

ME: Oh my God,, he must be him ๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Hey Sir be careful please, that man is evil๐Ÿ˜ญ.

BRIANNA: Kama ni huyo niachie mm ak๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช..

Kalikimbia kakachota maji kwa tap ya kitchen then straight hadi kwa mlango ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ..

MADAM: Brianna stop it,, it's very risky Please, ,hujui amebeba nini kama silaha๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Wachia askari ndo anajuwa๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช..

Brianna: What if ako na nia ya kutuua ๐Ÿ™†.. we can't die bana..

ESAU: My dear, go back , enda penye SKY wapo

Hata hakumaliza Brianna alifungua mlango๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

To be continued..... Sasa huyu jamani๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคฆโ€โ™‚๏ธ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.


Cheaters,, has he/she ever cheated on you?. Was it twice or thrice๐Ÿค”. Kufikia sasa venye tunaishi kwa hii dunia,, huwezi mshawishi nyani kwamba pesa ni tamu kuliko ndizi na akuelewe๐Ÿ™. Namaanisha, mbwa siku zote yeye anaamin kwamba mfupa ni tamu kuliko nyama๐Ÿ™,, I mean kufikia sasa huwezi mbadilisha mtu aliyezoea kucheat,, already ashajuwa mfupa(wengine) ni tamu kuliko nyama(wewe)๐Ÿ’”๐Ÿ˜ญ. Mbna acheat sasa๐Ÿ˜ช.

MADAM Stacy alishangaa kutuona tunafika late sana๐Ÿ˜‚. Hakujuwa it was planned by her younger sister ๐Ÿ’ช.. miss drama mwenyewe๐Ÿ™.. They way stacy was talking, hata kipofu angeona kwamba in one way or the other, kuna kitu alikuwa amefurahishwa nacho kwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-40

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.  part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28  No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28 No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

100
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest