The devil only tempts but he doesn't force. Stop saying am sorry beb, woo it was Satan who entered me๐. If you cheated you cheated, case closed๐ค๐ค.
Esau alizidi kumrai Brianna arudi akae nasi koz hakuna aliyekuwa na habari kuhusu yule mtu na alichokuwa amekibeba kama silaha,, but Brianna ni nani๐,, after kuchukuwa maji kwa jack pale kitchen,, she proceeded to the door where Esau was๐ฑ.
MADAM: My dear siz,, please stop making fun of everything around you, this is more serious and risky too๐๐. Come here
ESAU: (whispering) Hey darl, go back. Listen to your sister ๐ช๐ช.
Hata hakumaliza kusema,, Brianna alifungua mlango haraka then she poured water at him..
BRIANNA: Yes chomwa na hiyo acid kabisa๐๐ช..
Immediately akafunga mlango na kulock๐ฑ. Kidogo tuliskia mtu nje akipiga nduru kama mtoto๐.. "Ngร i acid kwa macho yangu๐ฑ,, uuuuuuuuuih, mmeniuaa,,,, mmeniuaaa" alisema huku akitoka mbio ๐๐.
BRIANNA: Sky huku kwenu watu wana ujinga aje๐.. hawa ndo wanaitanga madem wao lunch na reverse call, nonsense ๐..
ESAU: ๐๐ Brianna this is too much of you ๐ฑ.. who was he bydha??
BRIANNA: Bydha amekuwa nani?? But hiyo sauti nishawahi isikia mahali๐ค๐ค.. Yes when I was a house helper somewhere ๐๐. That was your dad sky๐ช๐ช
MADAM: House helper?? Where when and why??
ESAU: Good hadi ukanikumbusha,, the letter that yo Mom wrote to you boy๐๐.. She believed that your biological father didn't died ๐๐.. one day you will meet him๐๐. You are not alone broโฃ๏ธ
NJERI: I had that feeling too๐.. from the first time I heard about this story eti walizika mgomba wa ndizi, I knew one day someone's Dad will meet his great sonโฃ๏ธ.
Brianna: Everything happens with a reason guys ๐. We should not in one way or another give up in this life๐.. hata kama uko na 99 reasons to cry and give up, there must be that one reason to make you smile and say to yourself, I will stand up and press the on button โฃ๏ธโฃ๏ธ..
NJERI: Hiyo umecopy walahi ๐..
BRIANNA: si ndiyo hiyo pale kwa ukuta๐๐.. hamna macho kwan๐๐ช
ESAU: bri, unadhan huyo mtu anaweza kuwa amekuja niniโฃ๏ธ. Koz you seem to be so intelligent ๐ค๐ค.
BRIANNA: 1k๐คฒ๐คฒ.
ESAU: Not again please,, sasa hatutatoka kwa hii nyumba na pesa yoyote๐ญ..
BRIANNA: ๐๐๐sasa unataka kulia๐ค. Leta punch basi(500)
HIM: please sina kitu chochote kwa sasa๐๐..
Brianna: Waah sasa tutafanya aje??
MADAM: Hiyo ni swali kweli,, anyway it's getting late guys, sijawahi kaa hivi hadi saa tano usiku ๐. Watu walaleโฃ๏ธ
Brianna: Siz leo utanisaidia na simu yako nitume songs ๐..
"It's okay, have it, mm hadi nmechoka," we gave them blanket wao wakalala kwa viti๐
,
BRIANNA: Njeri today I have a deal with you,, so inabid tulale na wewe๐..
NJERI: it's okay,, let's go๐
Sema asubuhi na mapema๐ฑ.. Jared had already broken up with madam๐. Texts mob akitusi madam๐. kwan nini kilifanyika usiku ๐. We will come to know ๐.
Finally shule zilifunguliwa na sote tukarudi chuo๐ค.. I was happy to see Njeri smile again,, alikuwa ameshasahau stress za kwaoโฃ๏ธ. Brianna made sure that our faces were full of smiles ๐..
A week later, Madam and Esau started dating,, this made Brianna so much happy ๐ค.. "finally my Siz is in safe hands ๐" she said excitedly ๐ค. Hazikupita siku mob, we started hearing the rumors that Stacy and Esau are planning to get married (wedding)๐.
So most of the time we could seek the permit from Principal's office to go to ESAU's home during weekends ๐๐.. do hiyo weekend tulienda kwa kina Essau..... wonders shall never end, kumbe Esau also had a younger bro of my age๐๐.. he was in book 3 too โฃ๏ธโฃ๏ธ.
ESAU: Haha welkam again my people,, Brianna karibu๐. Hope sasa umetulia ju shule zimefunguliwa๐ค๐ค.
BRIANNA: Why don't you introduce yo family to us first๐.. WOW ๐ he looks like you. You guys look again yan mnafanana ๐๐.
ESAU: who๐ค๐ค.. ooh sorry this my younger brother, his name is Robby ๐.. Robby say hi to your age mates๐ค
Robby: vipi vipi wasee,, good to know you men๐ช๐ช..
BRIANNA: ๐ค๐ค. Wewe msanii sio??
Robby: haha of course yes I'm ๐. How did you know that??
BRIANNA: From your voice and talking style๐..
Macho yao yalipatana hadi nikasense kitu๐ช๐ช..
ESAU: Karibu sana,, soda, juice and water๐. Gani mletewe
BRIANNA: Kuna Guinness and tusker ๐ค๐ค๐
Robby: ngร i ๐ฑ, Wait๐ค, et Guinness??
BRIANNA: tuletee mizinga mbili please ๐.
ESAU: Unashangaa nini,, didn't I tell you about her ๐๐..
Robby and Brianna were getting more close to
each other every day we visited there ๐๐.. they could walk around, make fun of themselves, sometimes wanatumwa pamoja,, aaih๐ค๐ค.. finally the signs of them falling in love came out๐ช..
After we got back to school,
ME: Brianna, love is like pregnancy dear,, hata uifiche aje, it will eventually display itself๐๐. Are you guys in love ๐ช
HER: Why are you sounding so sad like that,, is it bad??
ME: I didn't asked to get asked BRIANNA.. just simple, Yes nor no??
BRIANNA: Sky I can read your eyes very well,, you are already jealousy of us๐ช๐ช.. don't you have NJERI?? Eeh okay since you wanted to here this, I won't hastate to shower you with nothing but the truth ๐๐.. He proposed to me the other day ๐ช
ME: Then??
HER: Sky wewe mwenyewe ulishindwa kuchagua mtu mmoja kati yangu na Njeri... mbna umekasirika sasa๐ช..
NJERI akafika,, "why are shouting guys? What is the matter?" She asked..
ME: Njeri, do you love KAMAU ๐๐
HER: I don't love him,, we love each other soooo much๐โฃ๏ธ.
ME: Brianna you see now๐ญ๐ช,, have you heard๐ญ๐ญ.
HER: Yes I have heard her๐.. So?? am sorry but Robby has already proposed to me โฃ๏ธ,, mbna nikudanganye sasa,,
ME:......
To be continued.... Nataka mtu guys๐ญ๐ญ.
Maoni