Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
Gonga94 ยท Stories

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


The devil only tempts but he doesn't force. Stop saying am sorry beb, woo it was Satan who entered me๐Ÿ˜‚. If you cheated you cheated, case closed๐Ÿคž๐Ÿคž.

Esau alizidi kumrai Brianna arudi akae nasi koz hakuna aliyekuwa na habari kuhusu yule mtu na alichokuwa amekibeba kama silaha,, but Brianna ni nani๐Ÿ™†,, after kuchukuwa maji kwa jack pale kitchen,, she proceeded to the door where Esau was๐Ÿ˜ฑ.

MADAM: My dear siz,, please stop making fun of everything around you, this is more serious and risky too๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Come here

ESAU: (whispering) Hey darl, go back. Listen to your sister ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

Hata hakumaliza kusema,, Brianna alifungua mlango haraka then she poured water at him..

BRIANNA: Yes chomwa na hiyo acid kabisa๐Ÿ‘Š๐Ÿ’ช..

Immediately akafunga mlango na kulock๐Ÿ˜ฑ. Kidogo tuliskia mtu nje akipiga nduru kama mtoto๐Ÿ˜‚.. "Ngร i acid kwa macho yangu๐Ÿ˜ฑ,, uuuuuuuuuih, mmeniuaa,,,, mmeniuaaa" alisema huku akitoka mbio ๐Ÿƒ๐Ÿ˜‚.

BRIANNA: Sky huku kwenu watu wana ujinga aje๐Ÿ˜‚.. hawa ndo wanaitanga madem wao lunch na reverse call, nonsense ๐Ÿ˜‚..

ESAU: ๐Ÿ™†๐Ÿ™† Brianna this is too much of you ๐Ÿ˜ฑ.. who was he bydha??

BRIANNA: Bydha amekuwa nani?? But hiyo sauti nishawahi isikia mahali๐Ÿค”๐Ÿค”.. Yes when I was a house helper somewhere ๐Ÿ™๐Ÿ™. That was your dad sky๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช

MADAM: House helper?? Where when and why??

ESAU: Good hadi ukanikumbusha,, the letter that yo Mom wrote to you boy๐Ÿ™๐Ÿ™.. She believed that your biological father didn't died ๐Ÿ™๐Ÿ™.. one day you will meet him๐Ÿ™๐Ÿ™. You are not alone broโฃ๏ธ

NJERI: I had that feeling too๐Ÿ™.. from the first time I heard about this story eti walizika mgomba wa ndizi, I knew one day someone's Dad will meet his great sonโฃ๏ธ.

Brianna: Everything happens with a reason guys ๐Ÿ™. We should not in one way or another give up in this life๐Ÿ™.. hata kama uko na 99 reasons to cry and give up, there must be that one reason to make you smile and say to yourself, I will stand up and press the on button โฃ๏ธโฃ๏ธ..

NJERI: Hiyo umecopy walahi ๐Ÿ˜‚..

BRIANNA: si ndiyo hiyo pale kwa ukuta๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. hamna macho kwan๐Ÿ˜‚๐Ÿ’ช

ESAU: bri, unadhan huyo mtu anaweza kuwa amekuja niniโฃ๏ธ. Koz you seem to be so intelligent ๐Ÿค—๐Ÿค—.

BRIANNA: 1k๐Ÿคฒ๐Ÿคฒ.

ESAU: Not again please,, sasa hatutatoka kwa hii nyumba na pesa yoyote๐Ÿ˜ญ..

BRIANNA: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚sasa unataka kulia๐Ÿคž. Leta punch basi(500)

HIM: please sina kitu chochote kwa sasa๐Ÿ‘๐Ÿ‘..

Brianna: Waah sasa tutafanya aje??

MADAM: Hiyo ni swali kweli,, anyway it's getting late guys, sijawahi kaa hivi hadi saa tano usiku ๐Ÿ™†. Watu walaleโฃ๏ธ

Brianna: Siz leo utanisaidia na simu yako nitume songs ๐Ÿ™..

"It's okay, have it, mm hadi nmechoka," we gave them blanket wao wakalala kwa viti๐Ÿ™
,
BRIANNA: Njeri today I have a deal with you,, so inabid tulale na wewe๐Ÿ˜˜..

NJERI: it's okay,, let's go๐Ÿ™

Sema asubuhi na mapema๐Ÿ˜ฑ.. Jared had already broken up with madam๐Ÿ˜‚. Texts mob akitusi madam๐Ÿ˜‚. kwan nini kilifanyika usiku ๐Ÿ˜‚. We will come to know ๐Ÿ˜‚.

Finally shule zilifunguliwa na sote tukarudi chuo๐Ÿค—.. I was happy to see Njeri smile again,, alikuwa ameshasahau stress za kwaoโฃ๏ธ. Brianna made sure that our faces were full of smiles ๐Ÿ˜˜..

A week later, Madam and Esau started dating,, this made Brianna so much happy ๐Ÿค—.. "finally my Siz is in safe hands ๐Ÿ˜˜" she said excitedly ๐Ÿค—. Hazikupita siku mob, we started hearing the rumors that Stacy and Esau are planning to get married (wedding)๐Ÿ™.

So most of the time we could seek the permit from Principal's office to go to ESAU's home during weekends ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜.. do hiyo weekend tulienda kwa kina Essau..... wonders shall never end, kumbe Esau also had a younger bro of my age๐Ÿ™๐Ÿ™.. he was in book 3 too โฃ๏ธโฃ๏ธ.

ESAU: Haha welkam again my people,, Brianna karibu๐Ÿ˜‚. Hope sasa umetulia ju shule zimefunguliwa๐Ÿค—๐Ÿค—.

BRIANNA: Why don't you introduce yo family to us first๐Ÿ˜‚.. WOW ๐Ÿ˜‹ he looks like you. You guys look again yan mnafanana ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ.

ESAU: who๐Ÿค”๐Ÿค”.. ooh sorry this my younger brother, his name is Robby ๐Ÿ˜˜.. Robby say hi to your age mates๐Ÿค—

Robby: vipi vipi wasee,, good to know you men๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช..

BRIANNA: ๐Ÿคž๐Ÿคž. Wewe msanii sio??

Robby: haha of course yes I'm ๐Ÿ™. How did you know that??

BRIANNA: From your voice and talking style๐Ÿ˜˜..

Macho yao yalipatana hadi nikasense kitu๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช..

ESAU: Karibu sana,, soda, juice and water๐Ÿ™. Gani mletewe

BRIANNA: Kuna Guinness and tusker ๐Ÿคž๐Ÿคž๐Ÿ˜‚

Robby: ngร i ๐Ÿ˜ฑ, Wait๐Ÿคš, et Guinness??

BRIANNA: tuletee mizinga mbili please ๐Ÿ‘Š.

ESAU: Unashangaa nini,, didn't I tell you about her ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

Robby and Brianna were getting more close to
each other every day we visited there ๐Ÿ™†๐Ÿ™†.. they could walk around, make fun of themselves, sometimes wanatumwa pamoja,, aaih๐Ÿค”๐Ÿค”.. finally the signs of them falling in love came out๐Ÿ˜ช..

After we got back to school,

ME: Brianna, love is like pregnancy dear,, hata uifiche aje, it will eventually display itself๐Ÿ™๐Ÿ™. Are you guys in love ๐Ÿ˜ช

HER: Why are you sounding so sad like that,, is it bad??

ME: I didn't asked to get asked BRIANNA.. just simple, Yes nor no??

BRIANNA: Sky I can read your eyes very well,, you are already jealousy of us๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.. don't you have NJERI?? Eeh okay since you wanted to here this, I won't hastate to shower you with nothing but the truth ๐Ÿ™๐Ÿ™.. He proposed to me the other day ๐Ÿ˜ช

ME: Then??

HER: Sky wewe mwenyewe ulishindwa kuchagua mtu mmoja kati yangu na Njeri... mbna umekasirika sasa๐Ÿ˜ช..

NJERI akafika,, "why are shouting guys? What is the matter?" She asked..

ME: Njeri, do you love KAMAU ๐Ÿ™๐Ÿ™

HER: I don't love him,, we love each other soooo much๐Ÿ˜˜โฃ๏ธ.

ME: Brianna you see now๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ช,, have you heard๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

HER: Yes I have heard her๐Ÿ™.. So?? am sorry but Robby has already proposed to me โฃ๏ธ,, mbna nikudanganye sasa,,

ME:......

To be continued.... Nataka mtu guys๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41



The devil only tempts but he doesn't force. Stop saying am sorry beb, woo it was Satan who entered me๐Ÿ˜‚. If you cheated you cheated, case closed๐Ÿคž๐Ÿคž.

Esau alizidi kumrai Brianna arudi akae nasi koz hakuna aliyekuwa na habari kuhusu yule mtu na alichokuwa amekibeba kama silaha,, but Brianna ni nani๐Ÿ™†,, after kuchukuwa maji kwa jack pale kitchen,, she proceeded to the door where Esau was๐Ÿ˜ฑ.

MADAM: My dear siz,, please stop making fun of everything around you, this is more serious and risky too๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Come here

ESAU: (whispering) Hey darl, go back. Listen to your sister ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

Hata hakumaliza kusema,, Brianna alifungua...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-41

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.  part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28  No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28 No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

100
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest