Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
Gonga94 · Stories

DRAMA OF LOVE???????????? part 2.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????????????DRAMA OF LOVE????????????

part 2.

But she never looked old to be deputy principal,, I just saw her as my age mate, my classmate, does it mean I was crushing on my chemistry teacher ????????. That sounds weird and funny to you right?

The whole class was now staring at me as if I had peed in class or something like that ????.
"Why are you so stradend SKY, did I not tell you about this????, ukiyavulia lazma uyaoge bro", it was Hellen's voice, alionekana kukerwa na behaviors zangu already ????. Kabla hata sijafungua mdomo wangu ili niteme yaliyokuwa moyoni, niliskia sauti nyororo kutoka mlangoni, "SKY, follow me to staff room ????" madam Stacy roared like a lioness, she was now displaying her real characters ????.

My moves on pleading her to forgive me, all went in vain, hakuniskia wala kuniangalia aone nilivyokuwa nahurumisha, walisema ukitaka kumuua nyani, kamwe usidhubutu kumwangalia usoni, ilionekana madam Stacy alikuwa ashabobea kwa hii methali koz hakuniangalia hata????????????.

Nilianza kuhisi ni kama nishambetray mamangu already, wiki mbili tu nishachoma????????. Kiherehere hakifai chambilecho guru stadi wala bin wala????. Sasa ningekaa tu nitulie jamani ningekufa kweli????, ningeamua kusoma barua niliyopewa na Hellen singejikuta kwa haya????????. Ina maana Shanny alikuwa sahihi aliponiita mpuzi/mpuuzi????????. Shanny alikuwa BESTIE wangu in my former school ????.

Nilishtushwa na sauti ileile ya madam Stacy kutoka kwa mawazo ambayo hayakuwa na mwisho????????.

"I said follow me SKY, you seem to be so rude and ignorant????????. Nisifike huko kama hujafika", akaishia????.

Minong'ono ilianza kuskika kutoka kwa wanafunzi wenzangu bint tu nilipotoka mlangoni kumfwata madam????. I didn't mind them.

Nilifika mlangoni kwa office yake, kwanza nikawekelewa kofi ya ghafla????. Huyu ndo Stacy yule nmekatia darasani kweli????. Nilianza kuhisi kidefudefu, na kuanza kuona vimulimuli????????. Baada ya dakaki kama nne ivi, nikawa sasa naanza kuona vizuri. Nilijikuta nmeketi karibu na mrembo mwengne kwa bench????. So ameona haya yote yenye nmefanyiwa????????. Nilijiuliza

Alionekana kuzuia kicheko????. Lakn hatimaye alishindwa kukistahimili kabisaa na kupasuka kama kuni kwa kicheko????.

Her: Samahani jamani, sina ubaya na wewe????????. (Huku akiendelea kunicheka????)

Me: Mbna umefurahi hivo lakni, ama unanijuwa??

Her: Hapana, wacha kukujuwa, hata kukuona sijawahi( aaih bado anacheka, hili halikuleta shangwe)

Me: Lakn mbna bado unacheka,, what's funny here,????????

Her: ????????pole lakn unakaa mtu mfunny sana????. Mbona umetag in kwa boxer na ni ya kitenge????.

"Whaaat????????????, oh my God ????. (Nikitengeneza ) sasa wewe unacheka mtu badala ya kumsaidia aki????????". Sema aibu????????. Mm nitahama kwa hii shule aki????.

Her: Bro kwan huna belt????????. Si hii umefunga nayo ni socks ya mtoto????.

Ilibidi niamke tu niende ????????. Hapa sikai????. KIDOGO TENA "Wee unaenda wap, rudi ukae hapo ungoje principal ????????," kumbe madam Stacy alikuwa ameniona nikiamka????????. Nilirudi nikakaa????????.

"Inaonekana Sistangu amejam sana, umemkosea??" Niliulizwa na huyo dem????.

Me: Yaa, she found out that I do carry my phone in school ????????.

Her: That's so bad bro.. anyway my name is BRIANNA, am sorry for everything ????????.

Me: Thanks.

Her: But hata na wewe surely, how dare you Carry a phone in school. Hujaniambia jina lako????.

Me: ooh am SKYBOY.

Her: I like that name SKY ????????. It sounds sweet.

Me: Thank you.. so wewe pia ni msomi wa hapa??

"No, not at all, nmekam kuomba nafasi pia,, am Stacy's younger sister ????. Niliona ni bora nikisomea kwa shule anafunza ndo iwe rahisi kwa ulipaji wa Karo ????????"

Me: Oh WOW ????. Welcome BRIANNA. Sasa kama ni sister yako, si unaweza nisaidia kubonga naye unitoe kwa hii ngori manze????????. Imgn pia nmejoin kwa hii shule last week, na hii mambo ikimfikia Prinz walahi hiyo ni ex straight ????????. Please...

BRIANNA: Her problem huwa ananichukuwa mm kama mtoto????????. Sidhan ka atanielewa but le me try????????.

Mm niliinama kwa magoti kuomba sir God aintervene wakati BRIANNA alijiset kwa office ya madam Stacy ????????. After kitu like 10mins ivi niliitwa ndani????.

MADAM: SKY kneel down, now tell me, Mbna uamue kubeba simu shuleni, na unajuwa haikubaliki????????.

Me: Forgive me madam,,, I can give it to you uniwekee then utanipa during midterm ????????. It won't repeat ????.

Her: I said why did you Carry the phone in school?? Unaanza kusema sorry. Kwa hii shule sorry huwa inaandikwa kwa apology letter ????.

BRIANNA: SISTER, si aende tu daro, haya mambo tutaongea in the evening. Umesema principal amefika hapa chini anakam, anawezampata????????pliiiz...

MADAM: Do you guys know each other??

BRIANNA: Noooh,

MADAM: Then mbna unamtetea ni kama brothako????????.

BRIANNA: Am just trying to feel what he's feeling now.. sister you know very well Prinz akifika hapa, hiyo ni ex direct. Usiwe chanzo Cha mtoto wa mtu kuacha shule ak????????. Koz do you rem.........

Principal akafika????????????. "Nani anataka kuwacha shule??"

Woih????????

MADAM: Welcome Sir. SKY go back to class utaleta hiyo hesabu nikusaidie baadae????????.

BRIANNA kakanikanyaga kwa mguu????????. Kumwangalia akanipa smile ya kimataifa????????. I think she had become my best friend already ????.

Kila mtu alishangaa kuniona nafika daro nikibounce kiboss????????. Hawakuamin waliponicheky hata sijachapwa????.

They all started thinking that maybe our chemistry madam had given in for me????. "Bro how did you get out of this??, Yule boy naskia ndo mfunny zaidi ikifika tym ya intertainment aliuliza????.

Me: Ni kucheza na maneno kaka,, mm ndo ule bazuu mwenyewe, ukifika kwangu ka uko na makosa hata kama ni ya kuua mtu, juwa hauna makosa tena????????. Eeh unachecky, (aaaih kumwangalia ashaachana na mm anasoma, kumbe mwalimu alinifwata na alikuwa amesimama kwa dirisha????????)

Madam Stacy: What's it again SKY. What are you preaching to them????????.

Me: Eeh madam????????. Alikuwa ameniuliza meaning ya word encyclopedia, so nilikuwa namwelezea????????.

Madam: Encyclopedia?? Kwann? Wee KAMAU, ulijulia wap encyclopedia?? Ebu spell hilo jina??

Kamau: ngài, kuspell tena????.

Watu wakacheka,, kumbe kamau ndo anafunganga bottom ten kwa exam????????. So madam alishindwa kwan ni ndoto ama..

Her: Eti Nini kamau??

Kama: A.....nii..sa...yii... Collo ,,,pii... Tia..

Madam: woih Jesus Christ ????????. Unasema aje wewe??

Kamau: Madam SKY anadanganya????????. Mm nilimuuliza kuspell jina MAMA

Madam akacheka????????.

Her: sasa unataka nikuweke usipell mama????????. Ona huyu msee????. And you SKY, see me in my office during evening break????????.

Madam Stacy haonekani mkubwa ak.. I think ni masomo tu yalimkubali❣️❣️. Anyway, alikuwa amemleta BRIANNA darasani????????. Kumbe pia kalikuwa form two????.

Hehee wachana sasa na madam, huyu naye sina maneno ya kudescribe urembo wake????. Nyuma amebeba hadi na za sister yake????. Kifua kimesimama wima kama mlingoti wa pendera????. Mtoto hadi akikaa chini, kifua bado kimasimama tu????????.

BRIANNA: So ulikuwa umekatia Sistangu na unaniambia mambo na simu????????. How can you propose to your teacher Sky surely??

Me: Come down Brianna. Have a seat first. (Nilimpa kiti changu mm nikasimama

Her: Alfu na wewe unakalia wap????????.

Me: you are welcome ❤️. Kama hiyo ndo shukran ????

Her: ????????usinifanye nicheke tena.. na venye unakaa innocent ????????.

Me: Usianze mambo yako tena????????.

Mm na BRIANNA already tulikuwa tumezoeana ungedhani ni mahomie ????????. Alinirushia namba yenye nilikuwa nmempa madam????????. "SKY you have to be serious manze,," she said.

Na ju mwalimu hakuwa daro,, nilisuggest msee mwenge ako na talent aende mbele apige show, yan a rap kiasi ????????????.

Hellen: SKY, hivi, wewe ni mtu wa aina gani labda?? Watu wanasomea exam ya next week unasema mtu aende mbele apige show????????. Wewe hata sijui unaactingi PÔRÑØ ????????.

Me: ngai ????????. Et mm naactingi pôrñø ????????????????. Hellen surely ????????

Sema class kucheka ????????. Nilimwangalia Brianna amecheka hadi amekalia mgongo wa kamau na hawajuani????????????.

To be continued.... Don't forget to like guys????????????

Part 3 loading.....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DRAMA OF LOVE???????????? part 2.

????????????DRAMA OF LOVE????????????

part 2.

But she never looked old to be deputy principal,, I just saw her as my age mate, my classmate, does it mean I was crushing on my chemistry teacher ????????. That sounds weird and funny to you right?

The whole class was now staring at me as if I had peed in class or something like that ????.
"Why are you so stradend SKY, did I not tell you about this????, ukiyavulia lazma uyaoge bro", it was Hellen's voice, alionekana kukerwa na behaviors zangu already ????. Kabla hata sijafungua mdomo wangu ili niteme yaliyokuwa moyoni, niliskia sauti nyororo kutoka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 18.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 18.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 22.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 22.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 37.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 11.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 11.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 8.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 8.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 20.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 20.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁.  part 19
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 19
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 34.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 9
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 9
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 43.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 43.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 38
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 38
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 16
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 16
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 30.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 30.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 41
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 41
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi😱,
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi😱,
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 33
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 40.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 40.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 44
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 44
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 28  No matter how bad and long a night
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 28 No matter how bad and long a night
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 31
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 31
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 14
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 14
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 45
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 45
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 26..
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 26..
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 21.
💕😁💖DRAMA OF LOVE💖😁. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest