Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
Gonga94 ยท Stories

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 20.

Ni jamatatu asubuhi, kwa room yangu niko kwenye mishemishe za kurudi shuleni๐Ÿ’ช, mlangoni mwangu amesimama Brianna, the drama Queen, yeye suspension yake itaishe jamatatu ijayo๐Ÿ™. Anashindwa ataservive aje na mamangu๐Ÿค”.

Nilimaliza maadalizi nikawa niko tayari kuondoka, "Hey Brianna, nipishe please, nataka kuondoka," nilisema nikiwa karibu sana naye๐Ÿ˜. Kwa tabasamu ya kulazimisha, "sky yani natoka kwenu hivo tu๐Ÿ™„,?" Sikuelewa alichomaanisha, walisema kuuliza sio ujinga ๐Ÿ™†.

ME: Wamaanishani?? Nieleweshe tafadhali??

HER: Who am I to you??

ME: My girlf....... No my sister ๐Ÿ™†.

HER: Your Sista you say?? What is wrong with you, you mean nitatoka huku kwenu hivo tu๐Ÿ˜ช, sasa nilikujanga nini??

Brianna hakujuwa mam alikuwa amesimama nyuma yake๐Ÿ˜ฑ. "My sister, mm nataka kuondoka, tutaonana jamatatu ijayoโฃ๏ธโฃ๏ธ๐Ÿ™".

HER: Sister?? Are you mad sky? Since when??

Mom akakohoa nyuma yake๐Ÿ˜ฒ, walahi karibu mtoto afaint๐Ÿ˜‚.

MOM: My daughter, lunch iko kwa fridge, wacha nmpeleke huyu mjinga ndo nirudi sawa??

HER: Ama ningoje twende wote nikiendanga home๐Ÿ™. Pekee yangu nitaboeka๐Ÿ™ˆ.

Alichukuwa nguo akaweka kwa bag yangu tukaishia๐Ÿ™๐Ÿ™. Alitamani sana kuniambia kitu njiani lakn mam hakutupa muda hata kidogo๐Ÿ™†. alipewa fare akaenda nasi tukaingia shule ๐Ÿ™, sema kuwamiss kamau Njeri, HELLEN na Nancy ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Principal: SKY that was just a warning, next time I'll expell you forever ๐Ÿ˜ช. You are an intelligent boy, you can score everything in all your examsโฃ๏ธ but only if utaachana na hizi vitu ndogo ndogo,, am like your parent, I know what you deserve at this ageโฃ๏ธโฃ๏ธ. Sahi unahitaji tu kusoma, wachana na hawa WASICHANA, watafanya udrop shule๐Ÿ˜ญ. Go to class, exam is scheduled from today, go prepare for English ๐Ÿ™.

MOM: my son don't fail me,,, remember the challenges we have been going through since your father died, you are the only hope I have, if you fail, we're done๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Please I beg you my son, (akainama kunipigia magoti)

ME: No, Mom, no need. Believe me, trust me. Am gonna make it ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Nilitoka kuelekea daro,,, waah new students walikuwa kibao,

NJERI: WOW ๐Ÿ˜‹, finally, my Man is backโฃ๏ธโฃ๏ธ. (Tried to hug me bad I resisted) . Sky, I hope unanipima tu๐Ÿ™„.

ME: How is Kamau??

HER: So he's more important to you than me๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Anyway he's sick, he went home two days ago, but anarudi leo๐Ÿ™๐Ÿ™. How's Brianna, naskia alioleka kwenu??

ME: Hata mtu hukaa chini akapewa notes zenye alimiss kwanza๐Ÿ˜ช. Brianna ako kwao sio kwetu๐Ÿ™๐Ÿ™.

"Heeeey dude, missed you so much,, how was your week?" Hellen alifika kama anaongea.

ME: Hey to you girl(we hugged) it was so nice and boring at the same time๐Ÿ™๐Ÿ™.

NJERI: ๐Ÿ™„๐Ÿ™„

HELLEN: Nieleze tu hapo kwa boring pekee, koz kwa nice nishajuwa๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช.

ME: Ushajuwa?? Like how??

NJERI: Wacha kuturushia vumbi kwa macho Sky, we know you have been chewing and screwing Brianna hii wiki yote๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

ME: why are you bugging me then??

HELLEN: Hey guys,, it's not time for quarrels ๐Ÿ™. NJERI please ๐Ÿฅบ, don't conclude everything wakati hujadhibitishaโฃ๏ธโฃ๏ธ. Nawe sky stop avoiding her like that.

ME: Haven't avoided her๐Ÿ™.

NJERI: Ooh really?? Mbna ukakataa kunihug but venye yeye amekam ukamhug??๐Ÿ˜ช

ME: Waah okay,, come here we hug๐ŸŒน๐ŸŒน.

Tuliposhikana ivi tight, Njeri akaweka kichwa kifuani mwangu, naye kamau akaingia mlangoni๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Hakuamin, alibaki kama amesimama wima kama mlingoti wa pendera๐Ÿ™†๐Ÿ™†. Njeri hakuwa amemuona bado ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ.

ME: (whispering to her) Shhhh!, KAMAU ametuona please niachilie๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ.

HER: Whaaat where is he??๐Ÿ˜ฑ.

Jamaa alipita tu akaenda kukaa๐Ÿ˜ฒ, this round hakukuja kuniambia venye week imekuwa๐Ÿ˜ญ. Does it mean amenikasirikia?? For what now? It was just a hug, nothing more ๐Ÿ™. I thought to myself ๐Ÿ™.

Haikupita muda mwngi, mtihani uliletwa ikabid turelax kwanza๐Ÿ™. Sema kuona paper๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, I almost gave up baada ya kuona vimulimuli, kumwangalia KAMA alikuwa ameinama kuinama, the paper was supposed to take 2hrs but kamau alimaliza na 1hr akapeleka karatasi kisha akatoka nje,,, ile kuniangalia aliniangalia, nilijuwa hapa kumeanza kuwa na ugonvi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

After kumaliza paper ya kwanza..

Teacher Tracy: Students start preparing for mathematics ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Njeri alikuja kwangu immediately after madam alitoka๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

HER:. Dude, it seems KAMAU amejam๐Ÿ™†๐Ÿ™†. What will we do??

ME: Kuna vitu mingi tu za kufanya,,, but kwanza, Do you Love this man??

HER: ๐Ÿ˜

ME: Anyway, tunaenda kumuomba msamaha na umweleze ukweli sawa??

NJERI: Okay but akishusha mie ndajiondoa walahi๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

Kutoka nje tukawaona wamekaa na HELLEN,,

Njeri: Kamau?,, ah sorry ๐Ÿ™„. Aky na atatuelewa kweli๐Ÿค”๐Ÿค”.

ME: please if love him, just show it. Tell him the truth โฃ๏ธโฃ๏ธ.

Tulifika but kamau hakuwa na shughuli na mm sana๐Ÿ™†. They were just discussing about the paper we had done๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: Mko aje manโฃ๏ธ. Naona ni discussion tu๐Ÿ™.

KAMAU: Yaa tuko fity sana kaka,,, welcome back๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: Thanks so much,, Hellen niliwasalimia wote๐Ÿ˜ช.

HELLEN: Ooh sorry I thought ju tulikuwa tushasalimiana daro nikadhan ulimlenga KAMAU ๐Ÿ™๐Ÿ™. But niko fity sanaโฃ๏ธ vipy Njeri??

Njeri: Chonjo sana,,, Beb mambo??

KAMA: (kwa kufake tu) Poa Sana Njeri โฃ๏ธ.

NJERI: Ni kama hujapona vizuri ama mbna unakaa kujam, kuboeka,, ama kuna shida??

KAMAU: (akaniangalia mm) Sidhan kama kuna shida mtu akifwata moyo wake๐ŸŒน๐ŸŒน. I love you but ni kama nmeanza kuchoka kulazimisha vitu๐Ÿ™๐Ÿ™. Sky am sorry for saying this but Njeri loves you so much โค๏ธ, hiyo ni Truth......๐Ÿ˜ญ

ME: What are you talking about bro,,,, Njeri and I are just friends ๐Ÿ˜ช. I have my own girlfriend Nd you know her very well. Mbna useme ivo??

KAMA: Mwenye macho huwa haambiwi tazama bro๐Ÿ™๐Ÿ™. Njeri ako na mtu anapenda but si mm,

NJERI: Kamau sijui haya maneno yote unayatoa wap ak,,,, mbna uniconvince hadi nikupende then unaanza excuses zako,, ama ju uliniona nimemhug Sky??

KAMA: Mbna hujawahi niambia unanipenda,, mbna hujawahi taka kujuwa venye naendelea,, yan nisipokusalimia ama kukuongelesha tutakaa tu ivo ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. To be honest I hate being underated bro โฃ๏ธ, I really hate the place where my absence can't be recognized ๐Ÿ™๐Ÿ™. (Stretching his hand on Hellen's shoulders ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ) BEB tell them๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ

NJERI: ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ

HELLEN: Don't get it twisted dear,,, KAMA and I are in a serious relationship โฃ๏ธโฃ๏ธ. I love him, and....

KAMA: And I love her too๐ŸŒน.

ME: Since when bro??

HELLEN: Since the day NJERI told him that they can be in love but chin ya maji, et hakutaka waonekane pamoja mbele ya watu๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™. Kamau shared everything with me, nikaona ni madharau sio love๐Ÿ™๐Ÿ™.

NJERI: But I loved you KAMAu ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Nilisema ivo ju sikutaka tupewe suspension venye sky na Brianna walipewa,, Beb I explained all these to you and you accepted, mbna hukusema si poa??

KAMA: Am sorry but I have already moved on with my love hereโฃ๏ธโฃ๏ธ.

ME: Kwan ulimove on haraka aje bro๐Ÿค”๐Ÿค”. Njeri ambia kamau neno la mwisho๐Ÿ™๐Ÿ™.

HER: Wacha aendelee na mwenye hamdharau kama aliona ni madharau ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. It's okay, (she left)

HELLEN: Leta soo yangu๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช.

Kamau handed a hundred bob to Hellen for pretending to be his girlfriend ๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ ..

ME: What is going on??

KAMA: How can I leave Njeri bro,,, nilitaka tu kujuwa kama ananipenda na nmeprove๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ˜‚. Sahi mie ndo bazuu kaka kw mapenzi huniwezi๐Ÿ’ช๐Ÿ˜‚.

ME: congratulations but haikuwangi ivo๐Ÿ˜‚. Mtu huambiwa ukweli kama bado hajaenda๐Ÿ™†. Wewe umewacha akaenda, uko sure ataamin ilikuwa prank??

KAMA: ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ, mbna hukunisho bana๐Ÿ˜ญ.

Kama alijaribu kumbeg Njeri warudiane lakn wap๐Ÿ™. Tulimaliza exam wakiwa bado hawajasolve๐Ÿ˜ญ. The following Monday kamau alianza kunibeg tena nimsaidie warudiane๐Ÿ˜‚.

That week tulikuwa tunaenda scout trip meeting kwa neighbor school,,, kamau hakutaka waende kama hawajasolve๐Ÿ™๐Ÿ™. We tried our best but haikumake๐Ÿ™†..

NJERI: Nothing Will change my mind Kamau,,, continue moving on .. si ulisema ivo๐Ÿ™๐Ÿ™. Sitaki mtu sahi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

ME: Hey girl,, don't take that excuse et ndo umwache Kamau,, hata hellen mwenyewe ameniconfirm ilikuwa prank, mbna hutaki kuelewa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Siku ilifika tukachaguliwa wasee 7, warembo watatu na majizee minne๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช. The hurting part ni kuwa,,, Brianna and Kamau hawakuchaguliwa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. It was me, Njeri, Nancy na wangne kutoka kwa madarasa mengine๐Ÿ™๐Ÿ™. The trip was to take 3days๐Ÿ™. Wale mnajuwa trip ya ma scout venye hukaa, wenyewe mnaunda hao yenu yenye mtakuwa mnakaa๐Ÿ™๐Ÿ™.

BRIANNA: Beb I wish you well,,, Please don't mess up again,, Njeri ni girlfriend wa kamau ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

ME: Beb why are you so insecure?? She is just a friend ๐Ÿ™๐Ÿ™. I know she's my friend's girlfriend โฃ๏ธโฃ๏ธ.

Brianna: Okay dee,,, I trust you ๐Ÿ™.

Day one ilikuwa fityโฃ๏ธ, we enjoyed the environment โฃ๏ธ. Ladies walikuwa kando alafu sisi maboy kando๐Ÿ™๐Ÿ™. Security was so tight ๐Ÿ™†. I don't know what really happened to the school domedry๐Ÿ˜ฒ. Tulianza kuskia mayowe sema kutoka nje๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ. Moto ulikuwa umecover kila mahali๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. Ilibid tutawanyike kila mtu na njia yake๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Hapo ndo tulikongana na Njeri kwa gate tukitoroka๐Ÿ˜ญ.

NJERI: Help me sky,,, nmeacha kila kitu including money๐Ÿ˜ญ.

NJERI ndo alikuwa amebeba doh za matumizi๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: save your life first, pesa baadae๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Kidogo askari wa emergency walifika na kuanza viboko, huku wakipiga risasi angani,, penye tuliponea ni katikati ya miwa ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. No phone to call home watukujie๐Ÿ˜ญ. No blanket to cover ourselves from mosquitos ๐Ÿ˜ญ.

HER: Aki hii baridi hapana๐Ÿ˜ญ.

ME: Take my shirt ujifunike nayoโฃ๏ธ.

HER: What about you??

Me: Don't worry,, niko na tisho ndaniโฃ๏ธโฃ๏ธ.

Shetani ni mbaya๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. We messed up ๐Ÿ‘๐Ÿ† hadi morning ๐Ÿ™๐Ÿ™.

HER: SKY tumefanya bila protection, what if unipe bol๐Ÿ˜ฒ๐Ÿ˜ฒ. How will my KAMAu take it๐Ÿค”. I was just pretending not to love him but I really doโฃ๏ธโฃ๏ธ. This should be the secret between us please ๐Ÿ˜ญ. Wewe uko na Brianna ๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: You can't get pregnant kwa mara ya kwanza Njeri,, anyway let this be our secret ๐Ÿ™๐Ÿ™.

To be continued...... Unapita bila kuLIKE ukiwa wapi ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ™ˆ
PART 21 LOADING...

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 20.

Ni jamatatu asubuhi, kwa room yangu niko kwenye mishemishe za kurudi shuleni๐Ÿ’ช, mlangoni mwangu amesimama Brianna, the drama Queen, yeye suspension yake itaishe jamatatu ijayo๐Ÿ™. Anashindwa ataservive aje na mamangu๐Ÿค”.

Nilimaliza maadalizi nikawa niko tayari kuondoka, "Hey Brianna, nipishe please, nataka kuondoka," nilisema nikiwa karibu sana naye๐Ÿ˜. Kwa tabasamu ya kulazimisha, "sky yani natoka kwenu hivo tu๐Ÿ™„,?" Sikuelewa alichomaanisha, walisema kuuliza sio ujinga ๐Ÿ™†.

ME: Wamaanishani?? Nieleweshe tafadhali??

HER: Who am I to you??

ME: My girlf....... No my sister ๐Ÿ™†.

HER: Your Sista you say?? What is wrong with you, you mean nitatoka huku kwenu hivo tu๐Ÿ˜ช, sasa nilikujanga...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.  part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28  No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28 No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

869
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

671
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

556
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

353
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

166
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

165
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

126
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

100
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

29
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

10

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest