Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38

30th Nov, -0001 Views 66

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.
part 38

Don't ever promise what you can't deliver ๐Ÿ™. Except your man and Dad,, everyone lies, sisi ni binadamu bwana๐Ÿ˜‚.. And the one who knows the meaning of enough is enough will always have enough ๐Ÿค— jifunze kuridhika๐Ÿค—... Naye ndama siku zote hawezi patikana kwenye miguu ya ng'ombe ndume๐Ÿ™…, ebuka mahali penye hata ukikaa hapo kwa miaka na mikaka hautapa chochoteโฃ๏ธโฃ๏ธ..

Brianna ๐Ÿ˜ช,, for the second time she fooled me ๐Ÿ™†.. shida ya huyu mtu ni nini lakn?? Nipo kitandani naked๐Ÿ˜ญ. Baada ya kuniagiza nifanye hivo, yeye aliishia kwenda kwa sitting room๐Ÿ™†..

Niliskia akiwaambia et nmetaka kumrape akahepa๐Ÿ˜ช.. "uongo wewe wacha zako Brianna" nilishout kutoka kwa room๐Ÿ˜Ž.

HER: Back to the game guys,,, so Sir ulisema nipelekee huyo chizzy hii mali yangu akague๐Ÿคž๐Ÿคž๐Ÿ‘๐Ÿ†.. uzuri kupigwa rungu hainanga last seen๐Ÿค—.

Esau: Whaaat,, who said that?? Okay don't go,, have you forgotten that you are still a student ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.. si kulala na yeye, you just pretend as if you are interested in him๐Ÿ˜ช..

BRIANNA: Kwan unanihurumia mm๐Ÿ˜‚.. tutapewa mwili mpya huko mbinguni bro๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช.. we nipe direction ๐Ÿค—.

NJERI: Brianna you always joke about everything ๐Ÿ˜ช.. Esau is serious please..

BRIANNA: Sir nichungie huyu mtu sana,,, ooh sky umekam๐Ÿ˜‚,,

ME: ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช

HER: What a good boy,, you are always horny๐Ÿ˜‚..

ME: Leave me alone ๐Ÿ˜ช.. so bro, deal imefika wap? She should be out there by now๐Ÿ™๐Ÿ™..

HIM: Are you sure Brianna is still joking ๐Ÿค”.. sleeping with that old man is too risky,, her education might be ruined ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.. ama tuwache tu๐Ÿค”.

ME: What about my future Sir ๐Ÿ˜ญ.. you said that they are planning to sell this house without my knowledge ๐Ÿ˜ญ.. where will I go??

BRIANNA: I was just joking,, nipeeni direction ๐Ÿ™.. I can't wait to taste everything I'll be cooking in the kitchen๐Ÿค—๐Ÿค—..

NJERI: Which kitchen๐Ÿค”.

BRIANNA: Si nikiwa house helper ni mm nitakuwa napika๐Ÿค—.. naonja kila kitu๐Ÿ˜..

Esau: Waaah๐Ÿ™†๐Ÿ™†.. Brianna Brianna ๐Ÿ˜‚. But please usisahau mission yako,, make sure before mfungue shule uwe umechukua kila kitu๐Ÿ™๐Ÿ™..

(Kidogo simu yake ikaitana)
HIM: Oh sorry guys,, it's my boss๐Ÿ™.. Hello Sir?? Okay am trying my best Sir, trust me ๐Ÿ™๐Ÿ™. Bye bye sir๐Ÿ™... (After hanging up the call)

BRIANNA: Sir can I ask you a question??

Esau: sure๐Ÿ™.

HER: This is the first time to see you talking on phone ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ.. don't you have nini๐Ÿ™ˆ..... Okay how old are you sir?

NJERI: ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ Brianna yawa,,,,,he's police officer.

HER: Njeri can you do me a favor please ๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

NJERI: sure I can,, what kind of favor do you want??

BRIANNA: Just help me to shut your mouth for only 5mins๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช..

MKUU: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, what kind of favor is that๐Ÿ˜‚..

NJERI: ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

"Anyway am 26, why did you ask?" Esau answered.

BRIANNA: nothing sir,, ni venye sijakuona ukiongea na mtu yeyote kwa simu๐Ÿ™ˆ.. unajuwa wanasemanga et in every successful man there is a woman behind him๐Ÿค—๐Ÿค—..

ME: ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ. Brianna?

Esau: ๐Ÿ™†๐Ÿ™†my dear shika hii๐Ÿ™. Enda alfu ukipata documents urudi nikwambie kila kitu sawa๐Ÿค—..

HER: Ndafurahi sana,,, Sky take care please,, ujinga sitaki๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช..

Alipewa recorder ndo wakiongea na sisi pia tuskie๐Ÿ™.. baada ya kuenda Esau alisimama kisha akapumua kwa nguvu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.."kwan huyu Brianna ni nani?" He asked ๐Ÿ˜‚

"Ni mtoto wa mama,, anaturn 18 years next month ๐Ÿค—.. after there, ataanza kuwakunywa legally sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’ช,, pia ako na sistake" Brianna alieleza

Esau: Ngร i kwan wewe hujaenda๐Ÿ™†๐Ÿ™†..

BRIANNA: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mamboni wasee๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž

NJERI: Brianna wewe enda๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช..

Kwetu na kwa babangu mdogo haikuwa mbali,,, it was only 50bob ukipanda gari๐Ÿ™๐Ÿ™.. Brianna alivaa nguo chafu, akajipaka vumbi ili aonekane maskini anayetafuta kazi๐Ÿ™๐Ÿ™.. after like 1hr ivi, tulianza kuskia akikonga mlango๐Ÿ™†..

VOICE: Hey baba Quinter,, come and look at this young girl๐Ÿ˜ญ.. she must be so hungry๐Ÿ™†..

Baba mdogo: Hiyo hainihusu,, mwangalie vizuri anaweza kuwa mwizi๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.. siku hizi tunajuwa venye huwa wanakuja kutuibia๐Ÿ˜ช..

Mkewe: When will you think about postive things for once baba Quinter ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.. my daughter,, how can I help you โฃ๏ธ..

BRIANNA: Njaa,,, njaaa,,, nakufa, na....ku....f.......

Mama Quinter: hey amka ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ.. eh mungu wangu huyu amekuja kukufia kwangu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ... Baba Quinter tumpeleke hossy ak,, huyu ni kama tu mtoto wetu๐Ÿ™๐Ÿ™..

Baba mdogo: Nilikukataza kunililia ju ya vitu hazinisaidii๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.. nataka chakula mm nina njaa๐Ÿ˜ฑ.

Mama Quinter: Amka twende kwa nyumba dear,,, kuna chai ukunyweโฃ๏ธโฃ๏ธ.. usimsikize huyu shetani๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Come come dear๐Ÿ™

Baba: Unaniita mm shetani๐Ÿ˜ฑ.. kwa hiyo ulioleka kwa shetani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. oh my goodness,, ebu niletee chakula,, leo niko na wageni ambao tuna biashara ya kuongea nao๐Ÿ™.. don't insult me before them๐Ÿ™

BRIANNA: asante sana kwa chai Aunt ๐Ÿ™.. mm napenda sana kufanya kazi,, wacha nikusaidie kuosha viombo๐Ÿ™๐Ÿ™.

Mama: โฃ๏ธโฃ๏ธooh umechoka sana, utanisadia siku ingne dear,,,, nenda ukaoge kwanza๐Ÿ™๐Ÿ™.

After Briana kuingia kwa bafu๐Ÿ™๐Ÿ™." Waaah guys huyu mbaba atanipenda kweli๐Ÿ™†๐Ÿ™†,,, itabidi nitumie njia ingne wasee"

Esau: Please jaribu tu venye utawezaโฃ๏ธ๐Ÿ™๐Ÿ™.. Don't talk too much, watakupata๐Ÿ™

BRIANNA: Okay sir,, hope Sky is not eating something or someone ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช..

MKUU: noo he's eating even now,๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜. Don't worry ๐Ÿ™

BRIANNA: Namaanisha kumkula Njeri ๐Ÿ˜ช..

Esau akafaint๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

ME: Don't worry dear,, please make sure unarud salama๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜.. siwezi fanya kitu mbaya๐Ÿ™๐Ÿ™.

NJERI: Be careful Brianna,, huyo mwanaume venye anaongea hakai mtu mzuri๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

Mkuu akaamka๐Ÿ˜‚..

That day usku tulianza kuskia Brianna akiongea na boy mwengine,, actually alikuwa anakatiwa na boy alikuwa anafanya huko job(shamba boy)๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช..

BRIANNA: So brayo ulisema uko tu sure unanipenda ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜..

BRAYO: sana dear,, ulisema unaitwa aje??

BRIANNA: naitwa Natasha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. but wasee huniita ippyโฃ๏ธโฃ๏ธ.

BRAYO: ippy?? Wanamaanisha nini??

BRIANNA: Yan ipilisi๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜.. napenda sana damu ya watu,, nakatanga sehemu nyeti, alafu piaaa ๐Ÿค”๐Ÿค” nini ingnee๐Ÿค”.....

Tukaskia mtu ameanguka chini๐Ÿ˜‚..

Njeri: Huyu Brianna akujiwe tu na mungu sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚... Aaih,,,, This is too much now๐Ÿ˜‚.

Esau alikuwa amepiga magoti ju ya kucheka๐Ÿ˜‚

BRIANNA: Mbna mnacheka ivo๐Ÿ˜‚.. si mtu amenipenda,, so namjaribu nione kama anataka kunikula tu ana ako serious ๐Ÿ’ช.

ME: Hiyo imekuwa kumjaribu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

BRIANNA: See you guys mzae anakam(she whispered)

Babangu mdogo: Hey what's your name๐Ÿ˜ฑ.

Brianna: naitwa Martha Uncle๐Ÿ™.

Baba: Nice name,, haya mazingira unayaona aje,,,

BRIANNA: Ni mazuri ,, nimeyapenda sana uncle ๐Ÿ™.

HIM: Prepare something for me to eat Martha ๐Ÿ˜˜. Wow turn around?? Oh my goodness ๐Ÿ˜ what an Engel โฃ๏ธ. How old are you??

Esau: say 22๐Ÿ™.

Brianna: 32 uncle

Esau: ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ,, ngร i ๐Ÿ˜ญ

NJERI: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚huyu mtu ile vita atawekelewa๐Ÿ˜‚..

Esau: don't laugh dear,, this is serious ๐Ÿ™†๐Ÿ™†

"32? Who are you, unataka kunichezea akili yangu wewe mtoto umetumwa na nani??" baba alisema๐Ÿ˜ฑ

ME: kwisha๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.. Brianna?? Brianna???

Esau: Guys we have to go there๐Ÿ˜ฑ. Oh my God ๐Ÿ™†..

BRIANNA: you have to go where๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. relax wasee, my name is Brianna ๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช.. ameenda kwa hiyo room kuchukua pistol๐Ÿ˜‚. Huyu mzee hajawahi kutana na shetani uso kwa uso๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ.

Baba: Now tell me๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Who sent you here,, sahi hakuna mtu, nakuua then nakuzika sahi sahi๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Esau: ๐Ÿ™†๐Ÿ™† Brianna you are joking too much please,, be careful, pistol is so dangerous dear ๐Ÿ˜ญ be careful ๐Ÿ™๐Ÿ™

BRIANNA: You can't kill what is already dead .. hahahaaaaaa.. my mother lucifaaaaaa,, Lucifer. Uhuhuhuu,,, ulisema damu kiasi gani

Njeri akafaint๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

Baba: Lucifer ๐Ÿ˜ฑ. Uuuuuuuuuih nakufaaaaa,, please don't kill me,, you can kill my wife kama unataka damu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ..

Brianna: Aaahahahaaaaa,, sooonga hapaaaaa,, leta hiyo pistol. Ahaaaahahaaa,, Lucifer my Lord,, my godess mother,, damu nmepata๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Esau: akafaint tena๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

Baba: shika shika shika๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ฑ.. mbna unataka kuniua sasa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Sijafanya kitu mbaya๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ.

BRIANNA: Damuuuuu,,, daaaaamuuuu,,,, lala chini na ufunike macho,, Lucifer mwenyewe amefikaaaaa,,, aahahahahahaaaa,,, usiniangalieee,, usiniangalieee nakwambiaaaa...

After 15mins ivi,,

BRIANNA: Guys nmechukuwa kila kitu mpaka sindano ya kushona nguo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Nikujieni hapa kwa barabara๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ˜‚..

Tulitoka mbio ๐Ÿƒ๐Ÿƒ ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ,, Esau hadi hana nguvu ya kukimbia๐Ÿ˜‚..

Tulimpata akiwa na kila kitu๐Ÿ™๐Ÿ™..

BRIANNA: Mamboni๐Ÿ˜‚. Uko aje Sir ๐Ÿ˜‚.

Esau: ......

To be continued.... Part 39 coming.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 38  >>> https://www.gonga94.com/semajambo/drama-of-love-part-38



#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #war

#love #photooftheday #fashion #beautiful #happy #tbt #followme #picoftheday #art #nature #travel #fitness #motivation #life #fun #instagram #friends #smile #food


 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in


Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi drama-of-love-part
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
DRAMA OF LOVE????????????  Part 1
DRAMA OF LOVE???????????? Part 1
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 11.
DRAMA OF LOVE????????????  part 2.
DRAMA OF LOVE???????????? part 2.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 8.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 20.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜.  part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 19
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 34.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 12.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 10.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 43.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 9
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 16
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 30.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36.  Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 36. Although our God is almighty, he doesn't
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 41
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 33
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 44
????????????DRAMA OF LOVE????????.  part 13.
????????????DRAMA OF LOVE????????. part 13.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 40.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28  No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 28 No matter how bad and long a night
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 31
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 14
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 45
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27  Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 27 Kifo cha mkuu kilituwacha zote vinywa wasi๐Ÿ˜ฑ,
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 26..
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 21.
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in



Warning: Cannot modify header information - headers already sent by (output started at /home/u428456227/domains/gonga94.com/app/pages/includes/header.php:83) in /home/u428456227/domains/gonga94.com/app/core/function.php on line 258