๐๐๐DRAMA OF LOVE๐๐.
part 38
Don't ever promise what you can't deliver ๐. Except your man and Dad,, everyone lies, sisi ni binadamu bwana๐.. And the one who knows the meaning of enough is enough will always have enough ๐ค jifunze kuridhika๐ค... Naye ndama siku zote hawezi patikana kwenye miguu ya ng'ombe ndume๐
, ebuka mahali penye hata ukikaa hapo kwa miaka na mikaka hautapa chochoteโฃ๏ธโฃ๏ธ..
Brianna ๐ช,, for the second time she fooled me ๐.. shida ya huyu mtu ni nini lakn?? Nipo kitandani naked๐ญ. Baada ya kuniagiza nifanye hivo, yeye aliishia kwenda kwa sitting room๐..
Niliskia akiwaambia et nmetaka kumrape akahepa๐ช.. "uongo wewe wacha zako Brianna" nilishout kutoka kwa room๐.
HER: Back to the game guys,,, so Sir ulisema nipelekee huyo chizzy hii mali yangu akague๐ค๐ค๐๐.. uzuri kupigwa rungu hainanga last seen๐ค.
Esau: Whaaat,, who said that?? Okay don't go,, have you forgotten that you are still a student ๐ช๐ช.. si kulala na yeye, you just pretend as if you are interested in him๐ช..
BRIANNA: Kwan unanihurumia mm๐.. tutapewa mwili mpya huko mbinguni bro๐ช๐ช.. we nipe direction ๐ค.
NJERI: Brianna you always joke about everything ๐ช.. Esau is serious please..
BRIANNA: Sir nichungie huyu mtu sana,,, ooh sky umekam๐,,
ME: ๐ช๐ช
HER: What a good boy,, you are always horny๐..
ME: Leave me alone ๐ช.. so bro, deal imefika wap? She should be out there by now๐๐..
HIM: Are you sure Brianna is still joking ๐ค.. sleeping with that old man is too risky,, her education might be ruined ๐ช๐ช.. ama tuwache tu๐ค.
ME: What about my future Sir ๐ญ.. you said that they are planning to sell this house without my knowledge ๐ญ.. where will I go??
BRIANNA: I was just joking,, nipeeni direction ๐.. I can't wait to taste everything I'll be cooking in the kitchen๐ค๐ค..
NJERI: Which kitchen๐ค.
BRIANNA: Si nikiwa house helper ni mm nitakuwa napika๐ค.. naonja kila kitu๐..
Esau: Waaah๐๐.. Brianna Brianna ๐. But please usisahau mission yako,, make sure before mfungue shule uwe umechukua kila kitu๐๐..
(Kidogo simu yake ikaitana)
HIM: Oh sorry guys,, it's my boss๐.. Hello Sir?? Okay am trying my best Sir, trust me ๐๐. Bye bye sir๐... (After hanging up the call)
BRIANNA: Sir can I ask you a question??
Esau: sure๐.
HER: This is the first time to see you talking on phone ๐๐.. don't you have nini๐..... Okay how old are you sir?
NJERI: ๐ฑ๐ฑ Brianna yawa,,,,,he's police officer.
HER: Njeri can you do me a favor please ๐๐.
NJERI: sure I can,, what kind of favor do you want??
BRIANNA: Just help me to shut your mouth for only 5mins๐ช๐ช..
MKUU: ๐๐๐, what kind of favor is that๐..
NJERI: ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ.
"Anyway am 26, why did you ask?" Esau answered.
BRIANNA: nothing sir,, ni venye sijakuona ukiongea na mtu yeyote kwa simu๐.. unajuwa wanasemanga et in every successful man there is a woman behind him๐ค๐ค..
ME: ๐ฑ๐ฑ๐ฑ. Brianna?
Esau: ๐๐my dear shika hii๐. Enda alfu ukipata documents urudi nikwambie kila kitu sawa๐ค..
HER: Ndafurahi sana,,, Sky take care please,, ujinga sitaki๐ช๐ช..
Alipewa recorder ndo wakiongea na sisi pia tuskie๐.. baada ya kuenda Esau alisimama kisha akapumua kwa nguvu๐๐.."kwan huyu Brianna ni nani?" He asked ๐
"Ni mtoto wa mama,, anaturn 18 years next month ๐ค.. after there, ataanza kuwakunywa legally sasa๐๐๐ช,, pia ako na sistake" Brianna alieleza
Esau: Ngร i kwan wewe hujaenda๐๐..
BRIANNA: ๐๐mamboni wasee๐๐
NJERI: Brianna wewe enda๐ช๐ช..
Kwetu na kwa babangu mdogo haikuwa mbali,,, it was only 50bob ukipanda gari๐๐.. Brianna alivaa nguo chafu, akajipaka vumbi ili aonekane maskini anayetafuta kazi๐๐.. after like 1hr ivi, tulianza kuskia akikonga mlango๐..
VOICE: Hey baba Quinter,, come and look at this young girl๐ญ.. she must be so hungry๐..
Baba mdogo: Hiyo hainihusu,, mwangalie vizuri anaweza kuwa mwizi๐ช๐ช.. siku hizi tunajuwa venye huwa wanakuja kutuibia๐ช..
Mkewe: When will you think about postive things for once baba Quinter ๐ช๐ช.. my daughter,, how can I help you โฃ๏ธ..
BRIANNA: Njaa,,, njaaa,,, nakufa, na....ku....f.......
Mama Quinter: hey amka ๐ฑ๐ฑ.. eh mungu wangu huyu amekuja kukufia kwangu๐ญ๐ญ... Baba Quinter tumpeleke hossy ak,, huyu ni kama tu mtoto wetu๐๐..
Baba mdogo: Nilikukataza kunililia ju ya vitu hazinisaidii๐ช๐ช.. nataka chakula mm nina njaa๐ฑ.
Mama Quinter: Amka twende kwa nyumba dear,,, kuna chai ukunyweโฃ๏ธโฃ๏ธ.. usimsikize huyu shetani๐ช๐ช. Come come dear๐
Baba: Unaniita mm shetani๐ฑ.. kwa hiyo ulioleka kwa shetani๐๐.. oh my goodness,, ebu niletee chakula,, leo niko na wageni ambao tuna biashara ya kuongea nao๐.. don't insult me before them๐
BRIANNA: asante sana kwa chai Aunt ๐.. mm napenda sana kufanya kazi,, wacha nikusaidie kuosha viombo๐๐.
Mama: โฃ๏ธโฃ๏ธooh umechoka sana, utanisadia siku ingne dear,,,, nenda ukaoge kwanza๐๐.
After Briana kuingia kwa bafu๐๐." Waaah guys huyu mbaba atanipenda kweli๐๐,,, itabidi nitumie njia ingne wasee"
Esau: Please jaribu tu venye utawezaโฃ๏ธ๐๐.. Don't talk too much, watakupata๐
BRIANNA: Okay sir,, hope Sky is not eating something or someone ๐ช๐ช..
MKUU: noo he's eating even now,๐๐. Don't worry ๐
BRIANNA: Namaanisha kumkula Njeri ๐ช..
Esau akafaint๐๐..
ME: Don't worry dear,, please make sure unarud salama๐๐.. siwezi fanya kitu mbaya๐๐.
NJERI: Be careful Brianna,, huyo mwanaume venye anaongea hakai mtu mzuri๐๐.
Mkuu akaamka๐..
That day usku tulianza kuskia Brianna akiongea na boy mwengine,, actually alikuwa anakatiwa na boy alikuwa anafanya huko job(shamba boy)๐ช๐ช..
BRIANNA: So brayo ulisema uko tu sure unanipenda ๐๐..
BRAYO: sana dear,, ulisema unaitwa aje??
BRIANNA: naitwa Natasha๐๐.. but wasee huniita ippyโฃ๏ธโฃ๏ธ.
BRAYO: ippy?? Wanamaanisha nini??
BRIANNA: Yan ipilisi๐๐.. napenda sana damu ya watu,, nakatanga sehemu nyeti, alafu piaaa ๐ค๐ค nini ingnee๐ค.....
Tukaskia mtu ameanguka chini๐..
Njeri: Huyu Brianna akujiwe tu na mungu sasa๐๐... Aaih,,,, This is too much now๐.
Esau alikuwa amepiga magoti ju ya kucheka๐
BRIANNA: Mbna mnacheka ivo๐.. si mtu amenipenda,, so namjaribu nione kama anataka kunikula tu ana ako serious ๐ช.
ME: Hiyo imekuwa kumjaribu๐๐..
BRIANNA: See you guys mzae anakam(she whispered)
Babangu mdogo: Hey what's your name๐ฑ.
Brianna: naitwa Martha Uncle๐.
Baba: Nice name,, haya mazingira unayaona aje,,,
BRIANNA: Ni mazuri ,, nimeyapenda sana uncle ๐.
HIM: Prepare something for me to eat Martha ๐. Wow turn around?? Oh my goodness ๐ what an Engel โฃ๏ธ. How old are you??
Esau: say 22๐.
Brianna: 32 uncle
Esau: ๐ฑ๐ฑ๐ฑ,, ngร i ๐ญ
NJERI: ๐๐๐huyu mtu ile vita atawekelewa๐..
Esau: don't laugh dear,, this is serious ๐๐
"32? Who are you, unataka kunichezea akili yangu wewe mtoto umetumwa na nani??" baba alisema๐ฑ
ME: kwisha๐ญ๐ญ๐ญ.. Brianna?? Brianna???
Esau: Guys we have to go there๐ฑ. Oh my God ๐..
BRIANNA: you have to go where๐๐.. relax wasee, my name is Brianna ๐ช๐ช.. ameenda kwa hiyo room kuchukua pistol๐. Huyu mzee hajawahi kutana na shetani uso kwa uso๐ฑ๐ฑ.
Baba: Now tell me๐ญ๐ญ. Who sent you here,, sahi hakuna mtu, nakuua then nakuzika sahi sahi๐ญ๐ญ.
Esau: ๐๐ Brianna you are joking too much please,, be careful, pistol is so dangerous dear ๐ญ be careful ๐๐
BRIANNA: You can't kill what is already dead .. hahahaaaaaa.. my mother lucifaaaaaa,, Lucifer. Uhuhuhuu,,, ulisema damu kiasi gani
Njeri akafaint๐๐๐..
Baba: Lucifer ๐ฑ. Uuuuuuuuuih nakufaaaaa,, please don't kill me,, you can kill my wife kama unataka damu๐ญ๐ญ๐ญ..
Brianna: Aaahahahaaaaa,, sooonga hapaaaaa,, leta hiyo pistol. Ahaaaahahaaa,, Lucifer my Lord,, my godess mother,, damu nmepata๐๐๐.
Esau: akafaint tena๐๐๐..
Baba: shika shika shika๐ญ๐ญ๐ญ๐ฑ.. mbna unataka kuniua sasa๐ญ๐ญ. Sijafanya kitu mbaya๐ฑ๐ฑ.
BRIANNA: Damuuuuu,,, daaaaamuuuu,,,, lala chini na ufunike macho,, Lucifer mwenyewe amefikaaaaa,,, aahahahahahaaaa,,, usiniangalieee,, usiniangalieee nakwambiaaaa...
After 15mins ivi,,
BRIANNA: Guys nmechukuwa kila kitu mpaka sindano ya kushona nguo๐๐. Nikujieni hapa kwa barabara๐ช๐ช๐..
Tulitoka mbio ๐๐ ๐โโ๏ธ,, Esau hadi hana nguvu ya kukimbia๐..
Tulimpata akiwa na kila kitu๐๐..
BRIANNA: Mamboni๐. Uko aje Sir ๐.
Esau: ......
To be continued.... Part 39 coming.
Maoni