AZAM FC : KWA FEISAL WANAFANYA KUFURU YA PESA ✍️
-Azam Fc wapo kwenye mpango wa kuongeza mkataba wa Feisal Toto hadi mwaka 2028 ... Mkataba wa sasa hivi wa Feisal utaisha June 2026 .
- Hela ya kusaini mkataba mpya mchezaji Feisal atapokea kiasi cha milioni 805,254,286 za Kitanzania.
-Azam watamlipa Feisal Toto kiasi cha milioni 79,092,064 kwa mwezi kama mshahara.
-Pia Azam imeongeza kiasi cha $3 million kwenye kipengere cha kuachiwa kwa muajiri. wao.. yani Feisal kuondoka itahitajika zilipwe shilingi BILIONI 8 za Kitanzania.
-Feisal hadi sasa hajasaini mkataba mpya na ameweka wazi anataka kuondoka.
Hii ni kwa mujibu wa muandishi bora barani Africa Micky Jnr African Football Journalist
Note :
✍️ Mkataba huu ukitiki basi Feisal atakuwa ni mchezaji mwenye thamani kwenye NBC PREMIER LEAGUE ..
KING FEI 🙌.