Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PART 10 JINSI UTULIVU ULIVYOPONYA NDOA YANGU
Gonga94 ยท Stories

PART 10 JINSI UTULIVU ULIVYOPONYA NDOA YANGU

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PART 10
JINSI UTULIVU ULIVYOPONYA NDOA YANGU

Pastor aliniambia hakikisha hauwapi adui zako kile wanachotaka au kutarajia. Akasema Mumeo anajua kabisa utakasirika, utauwasha Moto, utalia, sasa wewe fanya tofauti, badili gia angani. Tulia, relax kama hakuna kitu.

Sio siri sikuendelea kufungua zile picha nilitulia nikaachana nazo, japo moyo ulikuwa na maumivu sana ikabidi niingie kwenye maombi kumsihi Roho Mtakatifu anipe amani. Unajua unajiuliza hivi huyu mwanaume kweli Mume wa Ndoa anakuacha anaenda nje na anatumika haswaa, kuna muda nilikuwa nasikia sauti inasema MPASUE KICHWA HUYU, AU NASIKIA VUNJA VIOO VYA GARI, lakini najizuia. Hasira ilikuwa kali sana sana. Nikamwambia Mungu nipe utulivu.

Nilianza maombi, Mume wangu sikumwambia chochote, nilikuwa kimya sana mule ndani, japo yeye alitarajia vurugu na akatarajia labda nitafanya kitu chochote ila sikufanya, japo ukimya wangu uliongezeka zaidi, nikawa kuongea tena siwezi. Anaenda kazini anarudi Mimi kimyaa.

Baada ya wiki nakumbuka kulikuwa na Birthday ya rafiki yangu tuko nae kwenye kikoba aliamua kufanya Party, nikasema hapa natoka na siagi mtu ntarudi usiku acha nikatoe stress. Siku hiyo Mr alitoka alienda kazini, jumamosi huwa saa kumi na mbili anarudi, Mimi saa kumi na moja nikatoka. Nilivaa kagauni keusi kafupi, kiatu changu kizuri cha juu na kapochi, nilikuwa simple but classic. Basi bwana Mr Akarudi akakuta watoto na Dada wa kazi akauliza Mama yuko wapi, wakasema hayupo katoka, na sikutoka na gari niliita Bolt sikutaka hekaheka, basi akauliza mbona katoka bila Gari wakamwambia hatujui ila katoka.
Na Simu niliweka silence sikutaka kelele, nilitaka nirelax nitafute amani yangu ya moyo. Nikawa busy na wenzangu tunakula tunacheza yani raha tupu.

Kumbe bwana huku Jamaa kapiga simu mara kumi, katuma mamessage kibao, Mke wa Mtu sahizi uko wapi, pokea simu tafadhali, nakwambia nikijua ulipo nikakufwata utanijua, pokea simu ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ vitisho haswa.

Akampigia Dada yangu Dada akasema hata Mimi nampigia hapokei, akampigia Mama yangu, Mama nae akasema hata Mimi nampigia simpati sijui atakuwa wapi, akaanza kuhangaika. Akatoka nyumbani kunitafuta.

Akawapigia wazazi wake kawaomba waje nyumbani kuna matatizo, na akaita hadi wasimamizi wa harusi waje.

Sasa imefika saa nne nikawa nimeshawakumbuka wanangu, ndio nachukua simu niite bolt nakuta missed call kibao, na Yeye akaanza kupiga tena. Nikapokea Hallow uko wapi, nikamwambia niko sehemu fulani, akasema nisubiri hapo hapo nakuja, nisubiri hapo hapo, nikasema sawa. Yani alikuwa kama Mtu mwenye pressure hivi.

Basi nikatulia, nikamsubiri akaja. Alivyokuja nikatoka kwenye sherehe namfwata, nilikuwa nimependeza mnoo yani mnoo, aliponiona akashuka faster, akaanza ulikuwa wapi, nani kakutoa outing, nani huyo, akasema aisee nitakunyonga niambie ulikuwa wapi kwa hasira, Nikamwambia hapana nilikuwa kwenye Birthday ya rafiki yangu, twende ukaone, ikabidi nimpeleke kwenye birthday ndio kuingia akawaona wenzangu wengi akasalimia tukatoka. Ila tunatoka pale akaanza kwanini hujaniambia kama unatoka, kwanini hujaniaga, kwanini umeacha gari, nani kakuleta. Nikamwambia nilipanda Bolt gari haina mafuta. Basi tukaanza safari ya kurudi, mara naona katafuta hospital akapaki, nikamwambia hospital sahizi kweli, akasema ulisema tukapime naomba tukapime, nikamwambia sawa. Basi tukashuka, imagine hiyo ni saa tano, tukaingia hospital, tukamuona Doctor, tukamuomba atusaidie. Basi tukapima, tukawa tumekaa tunasubiri majibu. Hapo nimekaa simu zinaita Mama, Dada wananiambia unatafutwa, nikawaambia niko nae nilienda kwenye sherehe, wakasema sawa kama amekupata.

Basi tulipokea majibu, tuko sawa kiafya, tukaanza safari ya kurudi nyumbani. Njia nzima analalamika, kweli Mke wangu umevaa nguo fupi namna hii kweli, halafu hujaniaga kweli, Mimi nikanyamaza tu kimya. Tumefika nyumbani nikaingia bafuni kuoga, natoka namkuta yuko na simu yangu, anapekua message, Whatsapp yani kila mahali wala sikumsemesha nikaenda kulala. Baadae akaja kitandani akanifunua shuka, akaanza kwanini hukupokea simu zangu nakupigia masaa matatu hupokei, inaonekana ulikuwa na Mtu mahali ndio baadae ukienda kwenye party, kwanini usiage, niambie ukweli ulikuwa na nani. Kwanini unatoka unaacha watoto peke yao? Nyie ugomvi ukaanza huo usiku, akaniamsha niambie ulikuwa wapi, ulikuwa na nani? Akaanza hata kama nimekukosea sistahili hii adhabu, husemi kitu, hujibu chochote na wala hunijali, yani huonyeshi kuumia kwa chochote kuhusu Mimi, inaonyesha hunipendi tena na kuna Mtu unampenda. Wewe zamani ulikuwa hadi unanililia kweli Jane umekuwa hivi sasahv kweli?

Naomba niambie huyo mwanaume ni nani, anaekupa kiburi, naomba niambie nimfwate Mimi nimerudi kwenye familia yangu na siko tayari kuipoteza Ndoa yangu. Sitakubali nitakuua na Mimi nife, sema ukweli kabla sijakuumiza, Daaaah niliishiwa nguvu jamani.

Niwe mkweli sikuwa na jibu nikabaki nashangaa imekuwaje jamani, hivi kweli mambo yote aliyonifanyia Leo Mimi kwenda tu kwenye Birthday imekuwa kesi kweli. Akanikaba nakwambia niambie nani anakupa kiburi, mbona hujali kuhusu Mimi kabisaaa, ikabidi nianze kulia nilipiga kelele niuwe, niuwee kama uniamini basi niuwe, hivi kweli Mimi na akili zangu nichepuke ya nini? Labda kama wewe hunipendi, unataka sababu ya kuondoka tena. Alivyoona nalia sana akawa mpole, akaanza Basi Mama basi Mke wangu nisamehe, unajua nina wivu, lakini pia You have been acting so strange now days, umebadilika sana Mke wangu nisamehe basi nisamehe

Nikaanza kulia, nikakumbuka kila uchungu wacha nimwage machozi

ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PART 10 JINSI UTULIVU ULIVYOPONYA NDOA YANGU

PART 10
JINSI UTULIVU ULIVYOPONYA NDOA YANGU

Pastor aliniambia hakikisha hauwapi adui zako kile wanachotaka au kutarajia. Akasema Mumeo anajua kabisa utakasirika, utauwasha Moto, utalia, sasa wewe fanya tofauti, badili gia angani. Tulia, relax kama hakuna kitu.

Sio siri sikuendelea kufungua zile picha nilitulia nikaachana nazo, japo moyo ulikuwa na maumivu sana ikabidi niingie kwenye maombi kumsihi Roho Mtakatifu anipe amani. Unajua unajiuliza hivi huyu mwanaume kweli Mume wa Ndoa anakuacha anaenda nje na anatumika haswaa, kuna muda nilikuwa nasikia sauti inasema MPASUE KICHWA HUYU, AU NASIKIA VUNJA VIOO VYA GARI, lakini najizuia. Hasira ilikuwa kali sana sana. Nikamwambia Mungu nipe utulivu....

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/part-10-jinsi-utulivu-ulivyoponya-ndoa-yangu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi part
๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUA๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ“๐Ÿ“ Part One
๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUA๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ“๐Ÿ“ Part One
I was sleeping when Olivia's father entered my apartment with his guards, when I woke up, I saw him, but at first I thought I was dreaming because that is...
I was sleeping when Olivia's father entered my apartment with his guards, when I woke up, I saw him, but at first I thought I was dreaming because that is...
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 8
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 8
๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUA๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ“๐Ÿ“ Part2
๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUA๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ“๐Ÿ“ Part2
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 5
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 5
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
DRAMA OF LOVE  part 4.
DRAMA OF LOVE part 4.
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ  Part 2
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 2
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 6
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 6
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 3
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 3
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 18.
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 7
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 7
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
BODY๐Ÿ†COUNT๐Ÿ‘ part 3.
BODY๐Ÿ†COUNT๐Ÿ‘ part 3.
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 4
HAKU HUKO MI SIWEZI ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ Part 4
PENZI LA TAJIRI NA BINTI MASIKINI ( Part 1)
PENZI LA TAJIRI NA BINTI MASIKINI ( Part 1)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
THE FACE IN THE POT (PART 1) โ€“ DO NOT EAT AFTER MIDNIGHT
THE FACE IN THE POT (PART 1) โ€“ DO NOT EAT AFTER MIDNIGHT
SITOSAHAU ALIVYONIPAKIA MKONGO KUNIKOMOA.   PART: 04
SITOSAHAU ALIVYONIPAKIA MKONGO KUNIKOMOA. PART: 04
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
PART 1: THE NIGHT MY WIFE WALKED IN โ€” AND BEAT BOTH ME AND MY SIDE CHICK LIKE THIEVES!
PART 1: THE NIGHT MY WIFE WALKED IN โ€” AND BEAT BOTH ME AND MY SIDE CHICK LIKE THIEVES!
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 22.
MUOKOTA MAKOPO ALIVYONIFIKISHA KILELENI, HADI NIKAMDHARAU MUME WANGU  PART 01
MUOKOTA MAKOPO ALIVYONIFIKISHA KILELENI, HADI NIKAMDHARAU MUME WANGU PART 01
MAPENZI YA KUKOMOANA  PART: 01
MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 01
The Girl Who Was Buried Pregnant (Part 6)
The Girl Who Was Buried Pregnant (Part 6)
โ€ŽBIBI YA BESHTE YANGU (Part 7)๐Ÿฅต๐Ÿ’ฆ
โ€ŽBIBI YA BESHTE YANGU (Part 7)๐Ÿฅต๐Ÿ’ฆ
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
๐Ÿ’•๐Ÿ˜๐Ÿ’–DRAMA OF LOVE๐Ÿ’–๐Ÿ˜. part 37.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.24K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

1.06K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

854
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72

467
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

329
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

326
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

295
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

237
SHAMIRA 105 na 106

SHAMIRA 105 na 106

207
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

187

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.8K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.53K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.95K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.78K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO YALIKUPITA: Post Mpya
KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO YALIKUPITA:
@majario LIVE

1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa jino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa jumapili tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' a.k.a tetesakrin 5. Kupamba kadi na pamba sebuleni 6. Ukumbi wa sherehe kupambwa...

SHAMIRA 107 Hadi 109 Post Mpya
SHAMIRA 107 Hadi 109
@majario LIVE

Sehemu ya 107 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema acha na masuala ya mtoto bwana apa nipo mimi na wewe plsss mpenzi . Nikajikuta nacheka tu akanmbia daah ukicheka...

Jamie Carragher baada ya Senegal๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ kuinyangโ€™anywa(na CAF)ubingwa na kuitangaza Morocco๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ kuwa mabingwa wapya:๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŽ™ Post Mpya
Jamie Carragher baada ya Senegal๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ kuinyangโ€™anywa(na CAF)ubingwa na kuitangaza Morocco๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ kuwa mabingwa wapya:๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŽ™
@majario LIVE

โ€œSawa, subiri kidogoโ€ฆ kwa hiyo Senegal wanashinda fainali ya AFCON, mashabiki wanashangilia, wachezaji wanainua kombe, kila mtu anasherehekea halafu sasa wanaambiwa: 'Hapana, samahani, Morocco ndio washindi 3-0!' Unatania?" "Yaani, hii ndiyo...

 ๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 8,9,10 Post Mpya
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 8,9,10
@majario LIVE

O8 Unamaanisha hii simu๐Ÿ“ฑni yangu ๐Ÿค” nilimuuliza , Ndio ni yako lete nisevu namba yangu baadae nataka tuongee kuhusu kazi . Sawa nashukuru ๐Ÿ™ sana kaka Denis Mungu akubarikii ulipotoa akuzidishie....

๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 6 na 7 Post Mpya
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 6 na 7
@majario LIVE

O6 Umekuja tena ? nilimuuliza . Ndio kwani ni vibaya kuja kukujulia hali wakati wewe ni jirani yangu sasa kwanini jana ulikataa kuwa sio wewe wakati nakufahamu vizuri hadi nimeenda kumuuliza...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72
@majario LIVE

Sehemu ya 70 Siwafichi umaraya sikuwa nimeacha ila.nilipunguza sana, yani sanaaaaaaa , yani nachepuka sawa ,ila kwa kutokezea sana, nilitulia na awa wake zangu wawili, ata ibraa alinambia nimechange...

LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’ LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest