Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
: WATOTO MAPACHA

Sehemu ya 10

Mama Celena alirudi nyumban kwake na akapokelewa na wafanyakazi na wakampa pole kwa kuumwa , sasa akajipunzisha kwenye sofa hapo sebuleni
akajikuta anawaza tena maisha yake ya nyuma ,

Mr Benson au barozi hakufanikiwa kupata mtoto kwa mkewe anaeitwa Celina ,
Sasa Maria ambae ndio mama Celena wa sasa akapanga amzalie mtoto Mr Benson,
Na mapenzi yao yalikuwa ya Siri sana na Celina hakujua chochote ,
Humo humo ndani Mr Benson alikuwa anatoroka usiku anamuacha Celina kalala anakwenda chumbani kwa Maria na kufanya mapenzi ,
Wahenga wanasema ""penzi kikohozi kulificha huliwezi ,"
Maria akaanza zarau kwa mke wa Mr Benson ,heshima ikapungua,akawa sio msikivu tena,
Analala anapojiskia na kuamka anapojiskia ,
Mke wa Mr Benson akachunguza ili ajue shida nini kwa Maria ,akapata jibu kuwa Maria anatembea na mumewe ,
Siku moja usiku Mr Benson aliamka akanyata na kufungua mlango akatoka na kwenda kwenye chumba cha Maria,kumbe Celina mke wake nae alikuwa hajalala ,akawa anamfuata nyuma nyuma , Mr alipozama chumbani kwa Maria ,Celina akasimama mlangoni na kusikiliza kila kitu walichokuwa wanafanya,
Siku hiyo Celina alilia sana na akarudi chumban bila hata kuwastua ,
Mr Benson alipomaliza kufanya yake kwa Maria ,akarudi kwa kunyata asijue kama mkewe yuko macho ,

"Usihangaike mume wangu mimi najua kila kitu ,,"" Celina alimwambia Mr Benson ,na Mr Benson akastuka ,maana hakujua kama mkewe yuko macho.

" Mume wangu nataka nikwambie kitu ,najua unanipenda na mimi nakupenda sana mume wangu ,
" Hayo mambo unayoyafanya yananiumiza ,""
Celina alikuwa ni mwanamke mwenye hekima sana ,alimwambia mumewe kwa kum bembeleza kuwa aachane na hayo mambo ,na kama swala la mtoto mungu yupo atawajaalia tu ,
Mr Benson alimuelewa mkewe ,na akamuomba msamaha yakaisha wakalala zao,
:
Kesho yake Celina mke wa Mr Benson ,akampa likizo Maria , akamwambia aende kwao akakae wiki mbili baadae watamwita ,

"Dada mbona gafra kwani kuna shida ,,""?
Maria aliuliza ,

"Shida ipo ndio maana unapewa likizo na ukirudi ujirekebishe la sivyo utaacha kazi kabisa ,,""
Celina alimjibu Maria ,
Maria akajiongeza na kujua kimenuka ,
Maria akarudi kijijini ,
Kule kijijini Maria alikuwa na rafiki yake aitwae Fatu,
Maria akamuhadisia Fatu kila kitu ,
"Sasa we umekosea ungemzalia mtoto ndo ungekuwa tajiri nakwambia ,maana angekupenda hatari,,"
Fatu alitoa ushauri ,

"Labda wakiniita tena maana nahisi kama mkewe kajua kuwa natembea na mumewe,,""

"Aa basi tuachane nahayo,shoga nataka nikupeleke kwa babu ndere ,,
""
Fatu alimwambia Maria ,

"Babu ndere ,,""?
Maria aliuliza kwa kustuka,

Ndio we huioni hiyo bahati uliyokuwa nayo ,,""?
Sasa hapo kikwazo si huyo mkewe tunamfutilia mbali ,,we unabaki kuwa mama mwenye mjengo heheheeeeeh,,halooooh,,!!!!
Walicheka na kugongeana mikono,

"Sasa huyo babu ndere kazi anaweza ""??
Maria aliuliza kwa shauku ,

We unasema mwenyewe ,kuwa unataka tumfanyeje ,awe chizi ,au tumpeperushe ,au tumuue kabisa , ? Wewe tu utakavyoamua ,,""
Fatu aliongea kwa kujiamini,

"Mi nataka tumuue kabisa na mimi ndo nikae pale niwe mama mwenye mjengo,,""!
Maria akaongea,

Hiyo kazi rahisi sana heeee,, halooooh,,!!!
Wakacheka tena na kugongesheanamikono,

***
Mamaa,, weee mamaa,
Celena alimtingisha mama yake baada ya kumuona hamuitikii ,
," Eeeeh mwanangu umerudi shule saangapi ,"?
Mama Celena alikurupuka kutoka kwenye yale mawazo na kumshangaa mwanae ,

Celena aliingia kwao nakumkuta mama yake kakaa kwenye sofa alionekana mwenye mawazo sana ,akampita na kuingia ndani ,akabadilisha zile nguo na kuvaa za nyumbani ,
Halafu akarudi sebuleni na kumstua mama yake aliekuwa anawaza mambo yaliyotokea nyuma ,
"Nimerudi nikaingia ndani na kubadirisha nguo we umekaa tu hapa ,"
Aliongea Celena kwa kudeka huku akimlalia mama yake ,

""Mama mi nakwambia kitu cha kweli na toka jana mi sipo humu ndani ,na hata kunitafuta hamjanitafuta ,,""!
Celena bado alizidi kuongea bila kujua anamchanganya mama yake ,

""We mtoto mbona muongo hivyo ,we umetoka nyumbani ukaenda shuleni ,ukawa unalia lia mi nikaitwa shuleni kwenu nikaenda tukakubembeleza ukanyamaza ndo mi nikarudi nyumbani ,""
Mama Celena alimwambia mwanae,
"Sawa lakini mimi sijalala nyumbani ,"
Celena alimjibu mama yake ,
"We mbona unanichanganya ,? Yaan usilale nyumbani na hawa wafanyakazi wapo si wangepiga hata simu utafutwe ,"
Mama Celena bado aliona ni mzaha ,
"Basi ngoja tumuulize ant "
Aliongea Celena huku akimuita yule mfanyakazi wao anaeitwa ant,
" Eti anti mi jana nilikuja ,?
Celena aliuliza huku mama yake akiwa makini kusikiliza jibu ,
" Ndio ulikuja tena ukajifanya mgeni kabisa yaani mpaka chumba chako ulikisahau ,"
Aliongea yule yule mfanyakazi,
" Huyo ni Celina sio mimi ngoja

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

: WATOTO MAPACHA

Sehemu ya 10

Mama Celena alirudi nyumban kwake na akapokelewa na wafanyakazi na wakampa pole kwa kuumwa , sasa akajipunzisha kwenye sofa hapo sebuleni
akajikuta anawaza tena maisha yake ya nyuma ,

Mr Benson au barozi hakufanikiwa kupata mtoto kwa mkewe anaeitwa Celina ,
Sasa Maria ambae ndio mama Celena wa sasa akapanga amzalie mtoto Mr Benson,
Na mapenzi yao yalikuwa ya Siri sana na Celina hakujua chochote ,
Humo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

513
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

463
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

458
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

333
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

303
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

195
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

194
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

187
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

165
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

132

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.72K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.15K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.89K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest