Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
: WATOTO MAPACHA

Sehemu ya 10

Mama Celena alirudi nyumban kwake na akapokelewa na wafanyakazi na wakampa pole kwa kuumwa , sasa akajipunzisha kwenye sofa hapo sebuleni
akajikuta anawaza tena maisha yake ya nyuma ,

Mr Benson au barozi hakufanikiwa kupata mtoto kwa mkewe anaeitwa Celina ,
Sasa Maria ambae ndio mama Celena wa sasa akapanga amzalie mtoto Mr Benson,
Na mapenzi yao yalikuwa ya Siri sana na Celina hakujua chochote ,
Humo humo ndani Mr Benson alikuwa anatoroka usiku anamuacha Celina kalala anakwenda chumbani kwa Maria na kufanya mapenzi ,
Wahenga wanasema ""penzi kikohozi kulificha huliwezi ,"
Maria akaanza zarau kwa mke wa Mr Benson ,heshima ikapungua,akawa sio msikivu tena,
Analala anapojiskia na kuamka anapojiskia ,
Mke wa Mr Benson akachunguza ili ajue shida nini kwa Maria ,akapata jibu kuwa Maria anatembea na mumewe ,
Siku moja usiku Mr Benson aliamka akanyata na kufungua mlango akatoka na kwenda kwenye chumba cha Maria,kumbe Celina mke wake nae alikuwa hajalala ,akawa anamfuata nyuma nyuma , Mr alipozama chumbani kwa Maria ,Celina akasimama mlangoni na kusikiliza kila kitu walichokuwa wanafanya,
Siku hiyo Celina alilia sana na akarudi chumban bila hata kuwastua ,
Mr Benson alipomaliza kufanya yake kwa Maria ,akarudi kwa kunyata asijue kama mkewe yuko macho ,

"Usihangaike mume wangu mimi najua kila kitu ,,"" Celina alimwambia Mr Benson ,na Mr Benson akastuka ,maana hakujua kama mkewe yuko macho.

" Mume wangu nataka nikwambie kitu ,najua unanipenda na mimi nakupenda sana mume wangu ,
" Hayo mambo unayoyafanya yananiumiza ,""
Celina alikuwa ni mwanamke mwenye hekima sana ,alimwambia mumewe kwa kum bembeleza kuwa aachane na hayo mambo ,na kama swala la mtoto mungu yupo atawajaalia tu ,
Mr Benson alimuelewa mkewe ,na akamuomba msamaha yakaisha wakalala zao,
:
Kesho yake Celina mke wa Mr Benson ,akampa likizo Maria , akamwambia aende kwao akakae wiki mbili baadae watamwita ,

"Dada mbona gafra kwani kuna shida ,,""?
Maria aliuliza ,

"Shida ipo ndio maana unapewa likizo na ukirudi ujirekebishe la sivyo utaacha kazi kabisa ,,""
Celina alimjibu Maria ,
Maria akajiongeza na kujua kimenuka ,
Maria akarudi kijijini ,
Kule kijijini Maria alikuwa na rafiki yake aitwae Fatu,
Maria akamuhadisia Fatu kila kitu ,
"Sasa we umekosea ungemzalia mtoto ndo ungekuwa tajiri nakwambia ,maana angekupenda hatari,,"
Fatu alitoa ushauri ,

"Labda wakiniita tena maana nahisi kama mkewe kajua kuwa natembea na mumewe,,""

"Aa basi tuachane nahayo,shoga nataka nikupeleke kwa babu ndere ,,
""
Fatu alimwambia Maria ,

"Babu ndere ,,""?
Maria aliuliza kwa kustuka,

Ndio we huioni hiyo bahati uliyokuwa nayo ,,""?
Sasa hapo kikwazo si huyo mkewe tunamfutilia mbali ,,we unabaki kuwa mama mwenye mjengo heheheeeeeh,,halooooh,,!!!!
Walicheka na kugongeana mikono,

"Sasa huyo babu ndere kazi anaweza ""??
Maria aliuliza kwa shauku ,

We unasema mwenyewe ,kuwa unataka tumfanyeje ,awe chizi ,au tumpeperushe ,au tumuue kabisa , ? Wewe tu utakavyoamua ,,""
Fatu aliongea kwa kujiamini,

"Mi nataka tumuue kabisa na mimi ndo nikae pale niwe mama mwenye mjengo,,""!
Maria akaongea,

Hiyo kazi rahisi sana heeee,, halooooh,,!!!
Wakacheka tena na kugongesheanamikono,

***
Mamaa,, weee mamaa,
Celena alimtingisha mama yake baada ya kumuona hamuitikii ,
," Eeeeh mwanangu umerudi shule saangapi ,"?
Mama Celena alikurupuka kutoka kwenye yale mawazo na kumshangaa mwanae ,

Celena aliingia kwao nakumkuta mama yake kakaa kwenye sofa alionekana mwenye mawazo sana ,akampita na kuingia ndani ,akabadilisha zile nguo na kuvaa za nyumbani ,
Halafu akarudi sebuleni na kumstua mama yake aliekuwa anawaza mambo yaliyotokea nyuma ,
"Nimerudi nikaingia ndani na kubadirisha nguo we umekaa tu hapa ,"
Aliongea Celena kwa kudeka huku akimlalia mama yake ,

""Mama mi nakwambia kitu cha kweli na toka jana mi sipo humu ndani ,na hata kunitafuta hamjanitafuta ,,""!
Celena bado alizidi kuongea bila kujua anamchanganya mama yake ,

""We mtoto mbona muongo hivyo ,we umetoka nyumbani ukaenda shuleni ,ukawa unalia lia mi nikaitwa shuleni kwenu nikaenda tukakubembeleza ukanyamaza ndo mi nikarudi nyumbani ,""
Mama Celena alimwambia mwanae,
"Sawa lakini mimi sijalala nyumbani ,"
Celena alimjibu mama yake ,
"We mbona unanichanganya ,? Yaan usilale nyumbani na hawa wafanyakazi wapo si wangepiga hata simu utafutwe ,"
Mama Celena bado aliona ni mzaha ,
"Basi ngoja tumuulize ant "
Aliongea Celena huku akimuita yule mfanyakazi wao anaeitwa ant,
" Eti anti mi jana nilikuja ,?
Celena aliuliza huku mama yake akiwa makini kusikiliza jibu ,
" Ndio ulikuja tena ukajifanya mgeni kabisa yaani mpaka chumba chako ulikisahau ,"
Aliongea yule yule mfanyakazi,
" Huyo ni Celina sio mimi ngoja

Itaendelea
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

: WATOTO MAPACHA

Sehemu ya 10

Mama Celena alirudi nyumban kwake na akapokelewa na wafanyakazi na wakampa pole kwa kuumwa , sasa akajipunzisha kwenye sofa hapo sebuleni
akajikuta anawaza tena maisha yake ya nyuma ,

Mr Benson au barozi hakufanikiwa kupata mtoto kwa mkewe anaeitwa Celina ,
Sasa Maria ambae ndio mama Celena wa sasa akapanga amzalie mtoto Mr Benson,
Na mapenzi yao yalikuwa ya Siri sana na Celina hakujua chochote ,
Humo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

748
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

714
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

384
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

320
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

250
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

238
MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

171
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

146
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

143
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

105

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest